< 시편 20 >
1 (다윗의 시. 영장으로 한 노래) 환난 날에 여호와께서 네게 응답하시고 야곱의 하나님의 이름이 너를 높이 드시며
Kwa kiongozi wa muziki. Zaburi ya Daudi. Mungu akusaidie wakati wa shida; na jina la Mungu wa Yakobo likulinde
2 성소에서 너를 도와주시고 시온에서 너를 붙드시며
na kutuma msaada kutoka mahali patakatifu kwa ajili ya kukutegemeza wewe kutoka Sayuni.
3 네 모든 소제를 기억하시며 네 번제를 받으시기를 원하노라 (셀라)
Naye akumbuke sadaka yako yote na kuipokea sadaka ya kuteketezwa.
4 네 마음의 소원대로 허락하시고 네 모든 도모를 이루시기를 원하노라
Naye akujalie haja za moyo wako na kutimiza mipango yako yote.
5 우리가 너의 승리로 인하여 개가를 부르며 우리 하나님의 이름으로 우리 기를 세우리니 여호와께서 네 모든 기도를 이루시기를 원하노라
Ndipo tutakapo shangilia katika ushindi wako, na, katika jina la Mungu wetu, tutapeperusha bendera. Yahwe naakupe maombi yako yote ya haki.
6 여호와께서 자기에게 속한 바 기름부음 받은 자를 구원하시는 줄 이제 내가 아노니 그 오른손에 구원하는 힘으로 그 거룩한 하늘에서 저에게 응락하시리로다
Sasa ninajua ya kuwa Yahwe atawaokoa wapakwa mafuta wake; yeye atamjibu yeye kutoka katika mbingu takatifu kwa uweza wa mkono wake wa kuume ambao waweza kumuokoa yeye.
7 혹은 병거 혹은 말을 의지하나 우리는 여호와 우리 하나님의 이름을 자랑하리로다
Baadhi hamini katika magari na wengine katika farasi, lakini sisi tumuita Yahwe Mungu wetu.
8 저희는 굽어 엎드러지고 우리는 일어나 바로 서도다
Wao watashushwa chini na kuanguka, bali sisi tutainuka na kusimama wima!
9 여호와여, 구원하소서 우리가 부를 때에 왕은 응락하소서
Yahwe, umuokoe mfalme; utusaidie sisi tukuitapo.