< 시편 114 >

1 이스라엘이 애굽에서 나오며 야곱의 집이 방언 다른 민족에게서 나올 때에
Israeli ilipotoka Misri, na nyumba ya Yakobo toka kutoka katika wale watu wa kigeni,
2 유다는 여호와의 성소가 되고 이스라엘은 그의 영토가 되었도다
Yuda ilifanyika kuwa mahali pake patakatifu, Ufalme wa Israeli.
3 바다는 이를 보고 도망하며 요단은 물러갔으며
Bahari iliona ikakimbia; Yordani ilirudi nyuma.
4 산들은 수양 같이 뛰놀며 작은 산들은 어린 양 같이 뛰었도다
Milima iliruka kama kondoo waume, vilima viliruka kama wana-kondoo.
5 바다야, 네가 도망함은 어찜이며 요단아 네가 물러감은 어찜인고
Ewe Bahari kwa nini ulikimbia? Yordani kwa nini ulirudi nyuma?
6 너희 산들아, 수양 같이 뛰놀며 작은 산들아 어린 양 같이 뛰놂은 어찜인고
Milima, kwa nini uliruka kama kondoo waume? Enyi vilima wadogo, kwa nini mliruka kama wana-kondoo?
7 땅이여, 너는 주 앞 곧 야곱의 하나님 앞에서 떨지어다
Tetemeka, ee nchi, mbele za Bwana, uweponi mwa Mungu wa Yakobo.
8 저가 반석을 변하여 못이 되게 하시며 차돌로 샘물이 되게 하셨도다
Aligeuza mwamba kuwa ziwa la maji, jiwe gumu kuwa chemchem.

< 시편 114 >