< 민수기 34 >
2 너는 이스라엘 자손에게 명하여 그들에게 이르라 너희가 가나안 땅에 들어가는 때에 그 땅은 너희의 기업이 되리니 곧 가나안 사방 지경이라
“Waamuru Waisraeli na uwaambie: ‘Mtakapoingia nchi ya Kanaani, nchi ambayo itagawanywa kwenu kama urithi itakuwa na mipaka ifuatayo:
3 너희 남방은 에돔 곁에 접근한 신 광야니 너희 남편 경계는 동편으로 염해 끝에서 시작하여
“‘Upande wenu wa kusini utajumuisha sehemu ya Jangwa la Sini kufuata mpaka wa Edomu. Upande wa mashariki mpaka wenu wa kusini utaanzia mwisho wa Bahari ya Chumvi,
4 돌아서 아그람빔 언덕 남편에 이르고 신을 지나 가데스바네아 남방에 이르고 또 하살아달을 지나 아스몬에 이르고
katiza kusini mwa Pito la Akrabimu, endelea mpaka Sini na kwenda kusini ya Kadesh-Barnea. Kisha mpaka huo utaenda hadi Hasar-Adari hadi Azmoni,
5 아스몬에서 돌아서 애굽 시내를 지나 바다까지 이르느니라
mahali ambapo utapinda, na kuunganika na Kijito cha Misri na kumalizikia kwenye Bahari ya Kati.
6 서편 경계는 대해가 경계가 되나니 이는 너희의 서편 경계니라
“‘Mpaka wenu wa magharibi utakuwa Bahari ya Kati. Huu utakuwa mpaka wenu upande wa magharibi.
7 북편 경계는 이러하니 대해에서부터 호르산까지 긋고
“‘Kwa mpaka wenu wa kaskazini, wekeni alama kuanzia Bahari ya Kati hadi mlima Hori,
8 호르산에서 그어 하맛 어귀에 이르러 스닷에 미치고
na kutoka mlima Hori hadi Pito la Hamathi. Kisha mpaka utaenda hadi Sedadi,
9 그 경계가 또 시브론을 지나 하살에난에 미치나니 이는 너희 북편 경계니라
kuendelea hadi Zifroni, na kuishia Hasar-Enani. Huu utakuwa mpaka wenu upande wa kaskazini.
10 너희의 동편 경계는 하살에난에서 그어 스밤에 이르고
“‘Kwa mpaka wenu wa mashariki, wekeni alama kuanzia Hasar-Enani hadi Shefamu.
11 그 경계가 또 스밤에서 리블라로 내려가서 아인 동편에 이르고 또 내려가서 긴네렛 동편 해변에 미치고
Mpaka utaelekea kusini kuanzia Shefamu hadi Ribla upande wa mashariki wa Aini, na kuendelea kwenye miteremko mashariki mwa Bahari ya Kinerethi.
12 그 경계가 또 요단으로 내려가서 염해에 미치나니 너희 땅의 사방 경계가 이러하니라
Kisha mpaka utashuka kuelekea Mto Yordani na kuishia katika Bahari ya Chumvi. “‘Hii itakuwa nchi yenu, ikiwa na mipaka yake kila upande.’”
13 모세가 이스라엘 자손에게 명하여 가로되 `이는 너희가 제비뽑아 얻을 땅이라 여호와께서 이것을 아홉 지파와 반 지파에게 주라고 명하셨나니
Mose akawaamuru Waisraeli: “Gawanyeni nchi hii kwa kura kama urithi. Bwana ameagiza kwamba itolewe kwa yale makabila tisa na nusu,
14 이는 르우벤 자손의 지파와 갓 자손의 지파가 함께 그들의 종족대로 그 기업을 받았고 므낫세의 반 지파도 기업을 받았음이라
kwa sababu jamaa ya kabila la Reubeni, kabila la Gadi, na nusu ya kabila la Manase wamekwishapokea urithi wao.
15 이 두 지파와 반 지파가 여리고 맞은편 요단 건너편 곧 해 돋는 편에서 그 기업을 받았느니라'
Haya makabila mawili na nusu wamekwishapokea urithi wao upande wa mashariki wa Yordani ngʼambo ya Yeriko, kuelekea mawio ya jua.”
17 너희에게 땅을 기업으로 나눈 자의 이름이 이러하니 제사장 엘르아살과 눈의 아들 여호수아니라
“Haya ndiyo majina ya watu ambao watakusaidia kugawanya nchi kama urithi: Eleazari kuhani na Yoshua mwana wa Nuni.
18 너희가 또 기업의 땅을 나누기 위하여 매 지파에 한 족장씩 택하라
Tena uteue kiongozi mmoja kutoka kila kabila kusaidia kuigawanya nchi.
19 그 사람들의 이름은 이러하니 유다 지파에서는 여분네의 아들 갈렙이요
Haya ndiyo majina yao: “Kalebu mwana wa Yefune, kutoka kabila la Yuda;
20 시므온 지파에서는 암미훗의 아들 스므엘이요
Shemueli mwana wa Amihudi, kutoka kabila la Simeoni;
21 베냐민 지파에서는 기슬론의 아들 엘리닷이요
Elidadi mwana wa Kisloni, kutoka kabila la Benyamini;
22 단 자손의 지파의 족장 요글리의 아들 북기요
Buki mwana wa Yogli, kiongozi kutoka kabila la Dani;
23 요셉 자손 중 므낫세 자손 지파의 족장 에봇의 아들 한니엘이요
Hanieli mwana wa Efodi, kiongozi kutoka kabila la Manase mwana wa Yosefu;
24 에브라임 자손 지파의 족장 십단의 아들 그므엘이요
Kemueli mwana wa Shiftani, kiongozi kutoka kabila la Efraimu mwana wa Yosefu;
25 스블론 자손 지파의 족장 바르삭의 아들 엘리사반이요
Elisafani mwana wa Parnaki, kiongozi kutoka kabila la Zabuloni;
26 잇사갈 자손 지파의 족장 앗산의 아들 발디엘이요
Paltieli mwana wa Azani, kiongozi kutoka kabila la Isakari;
27 아셀 자손 지파의 족장 슬로미의 아들 아히훗이요
Ahihudi mwana wa Shelomi, kiongozi kutoka kabila la Asheri;
28 납달리 자손 지파의 족장 암미훗의 아들 브다헬이니라 하셨으니
Pedaheli mwana wa Amihudi, kiongozi kutoka kabila la Naftali.”
29 여호와께서 명하사 가나안 땅에서 이스라엘 자손에게 기업을 나누게 하신 자들이 이러하였더라
Hawa ndio watu ambao Bwana aliamuru wagawanye urithi kwa Waisraeli katika nchi ya Kanaani.