< Ufunuo 8 >

1 Wakati mwanakondoo abhopuili muhuri ghwa saba, kwajhele ni kinunu kumbinguni takribani nusu saa.
Na Mwanakondoo alipouvunja mhuri wa saba, kukawa kimya mbinguni kwa muda wa nusu saa.
2 Kisha nikabhona malaika saba bhabhijhema palongolo pa K'yara na bhapelibhu tarumbeta saba.
Kisha nikawaona wale malaika saba wanaosimama mbele ya Mungu wamepewa tarumbeta saba.
3 alaika jhongi akahida, akamulili bakuli lya dhahabu jhajhijhele ni uvumba, ajhemili mu madhabahu. Apelibhu uvumba bhumahele ili kwamba aubhosiajhi pamonga ni maombi gha bhaamini bhoha mu madhabahu gha dhahabu palongolo pa kiti kya enzi.
Malaika mwingine akafika, akiwa anachukua chetezo cha dhahabu, akasimama mbele ya madhabahu ya kufukizia ubani. Naye akapewa ubani mwingi autoe sadaka pamoja na sala za watu wote wa Mungu, juu ya madhabahu ya dhahabu iliyo mbele ya kiti cha enzi.
4 Lyosi lya uvumba, pamonga ni maombi gha bhaamini, akakwela panani palongolo pa K'yara kuhoma mu mabhoko gha malaika.
Moshi wa ubani ukapanda juu, pamoja na sala za watu wa Mungu, kutoka mikononi mwake huyo malaika aliyekuwa mbele ya Mungu.
5 Malaika akalota bakuli lya uvumba ni kulimemesya muoto kuhoma mu madhabahu. Kisha akalitagha pasi panani pa nchi, na kwatokili sauti jha radi, miale jha radi ni litetemeku lya nchi.
Kisha malaika akakichukua hicho chetezo, akakijaza moto wa madhabahuni akakitupa duniani. Kukawa na ngurumo, sauti, umeme na tetemeko la ardhi.
6 Bhala malaika saba ambabho bhajhele ni tarumbeta saba bhajhele tayari kusikobha.
Kisha wale malaika saba wenye tarumbeta saba wakajiweka tayari kupiga mbiu ya mgambo.
7 Malaika ghwa kuanza akakobha tarumbeta jha muene, na kwatokili fula jha maganga ni muoto bhwabhuchanganyikene ni damu. Fyataghibhu pasi pa nchi ili kwamba theluthi jhiake jhipiayi, theluthi jha mabehe jhapili ni manyasi ghoha gha kijani ghapili.
Malaika wa kwanza akapiga tarumbeta yake. Mchanganyiko wa mvua ya mawe na moto, pamoja na damu, ukamwagwa juu ya nchi. Theluthi moja ya nchi ikaungua, theluthi moja ya miti ikaungua, na majani yote mabichi yakaungua.
8 Malaika ghwa pili akakhobha tarumbeta jha muene, ni khenu kama kidonda kibhaha kikajhele kama kidonda kibhaha kya kipili kwa muoto kyateghibhu mu bahari.
Malaika wa pili akapiga tarumbeta yake. Na kitu kama mlima mkubwa unaowaka moto ukatupwa baharini. Theluthi moja ya bahari ikawa damu,
9 Theluthi jha bahari jhajhele damu, theluthi jha viumbe hai mu bahari fyafuili ni theluthi jha meli syaharibiki.
theluthi moja ya viumbe vya baharini vikafa na theluthi moja ya meli zikaharibiwa.
10 Malaika ghwa tatu akakobha tarumbeta lya muene, ni litondo libhaha likabina kuhoma kumbinguni, ni kulangasya kama ligesi, panani pa theluthi jha fiholo ni chemichemi sya masi.
Kisha malaika wa tatu akapiga tarumbeta yake. Na nyota kubwa ikiwaka kama bonge la moto, ikaanguka kutoka mbinguni, na kutua juu ya theluthi moja ya mito na chemchemi za maji.
11 Lihina lya litondo ndo pakanga. Theluthi jha masi jhajhele pakanga, ni bhanu bhamehele bhafuili kutokana ni masi ghaghajhele makali.
(Nyota hiyo inaitwa “Uchungu.”) Basi, theluthi moja ya maji yakawa machungu; watu wengi wakafa kutokana na maji hayo, kwa sababu yaligeuka kuwa machungu.
12 Malaika ghwa nne akobhili tarumbeta lya muene ni theluthi jha lijobha jhatobhibhu, pamonga ni theluthi jha muesi ni theluthi jha litondo. Henu, theluthi jha fyoha jhageuki kujha ngisi; theluthi jha pamusi ni theluthi jha pakilu fyajhelepi ni muanga.
Kisha malaika wa nne akapiga tarumbeta yake. Ndipo theluthi moja ya jua, ya mwezi na ya nyota ikapata pigo; hata mwangaza ukapoteza theluthi moja ya mng'ao wake. Theluthi moja ya mchana ikakosa mwanga, hali kadhalika na theluthi moja ya usiku.
13 Nalangili, na napeliki tai jhearukeghe pagati pa anga, ikuta kwa sauti mbaha, “Ole, ole, ole, kwa bhala bhabhitama mu nchi, kwandabha jha mlipuko bhwa tarumbeta jhajhibakili ambajho jhikaribili kukhobhibhwa ni malaika bhadatu.”
Kisha nikatazama, nikasikia tai akiruka juu kabisa angani anasema kwa sauti kubwa, “Ole, ole, ole kwa wanaoishi duniani wakati malaika watatu waliobaki watakapopiga tarumbeta zao!”

< Ufunuo 8 >