< Ufunuo 2 >
1 Kwa malaika bha kanisa lya Efeso jhandikayi: 'Agha ndo malobhi gha jhola jhaikamu ila matonda ghala saba mu kibhoko kya muene kya kuume. Muene jhaigenda mu finara fya dhahabu fya taa saba ijobha naha,”
“Kwa malaika wa kanisa lililoko Efeso andika: “Haya ndiyo maneno ya yule aliyezishika zile nyota saba katika mkono wake wa kuume na ambaye hutembea kati ya vile vinara saba vya taa vya dhahabu.
2 “Nimanyili kyaukhelili ni bidii jha jhobhi jha mbombo ni uvumilivu bhwa jhobhi thabiti, ni kwamba ghwibhwesya lepi kuhusiana nabhu bhabhajhele bhaovu, na ubhajaribu bhoha bhabhikikuta kujha mitume kumbe lepi, na bhabhonekene kujha bhadesi.
Nayajua matendo yako, bidii yako na saburi yako. Najua kuwa huwezi kuvumiliana na watu waovu na ya kwamba umewajaribu wale wanaojifanya kuwa mitume na kumbe sio, nawe umewatambua kuwa ni waongo.
3 Nimanyili kujha ujhe ni subira ni uvumilivu, na ubhwesi ghamehele kwa ndabha jha lihina lya nene, na utondilepi bado.
Umevumilia na kustahimili taabu kwa ajili ya Jina langu, wala hukuchoka.
4 Lakini ele ndo lyanijhe nalu dhidi jha jhobhi, ughulekili upendo ghwa jhobhi bhwa kubhwandelu.
“Lakini nina neno dhidi yako: Umeuacha upendo wako wa kwanza.
5 Kwa hiyo ukhombokayi pa ubinili, ukatubuajhi ni kubhomba matendo ghaubhombeghe kuh'omela kubhuandu. Ukabelayi kutubu, nibeta kuhida kwa bhebhe ni kukibhosya kinara kya jhobhi kuh'oma mahali pa kyene.
Kumbuka basi ni wapi ulikoangukia! Tubu na ukafanye matendo yale ya kwanza. Kama usipotubu, nitakuja kwako na kukiondoa kinara chako cha taa kutoka mahali pake.
6 Lakini bhebhe ujhe ni ele, ghwidada ghala ambagho Bhanikolai bhaghabhombili, ambagho hata ni ghadadili.
Lakini una jambo hili kwa upande wako: Unayachukia matendo ya Wanikolai, ambayo nami pia nayachukia.
7 Kama ujhe ni mb'olokoto, pelekesiajhi ghala ambagho Roho akaghajobhela makanisa. Na jhaibeta kushinda nibeta kumpela kibali kya kulya kuhoma mu libehe lya uzima lyajhele mu Paradiso jha K'yara.'
“Yeye aliye na sikio na asikie yale ambayo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa haki ya kula matunda toka kwa mti wa uzima, ambao uko katika paradisoya Mungu.
8 “Kwa malaika bha kanisa lya Smirna jhandikayi: 'Agha ndo malobhi gha jhola. ambajhe ndo mwanzo ni mwishu ambajhe afuili ni kujha hai kabhele:
“Kwa malaika wa kanisa lililoko Smirna andika: “Haya ndiyo maneno yake yeye aliye wa Kwanza na wa Mwisho, aliyekufa kisha akafufuka.
9 “Nimanyili malombosi ghako ni umaskini bhwa jhobhi (lakini bhebhe ndo tajiri), ni udesi bhwa bhala bhabhikikuta bhayahudi (lakini lepi - bhene ndo sinagogi lya syetani).
Naijua dhiki yako na umaskini wako, lakini wewe ni tajiri! Nayajua masingizio ya wale wasemao kuwa ni Wayahudi lakini sio, bali wao ni sinagogi la Shetani.
10 Usitili malombosi ghaghibeta kukabha. Langayi! Ibilisi ilonda kubhatagha baadhi jha muenga muligereza ili mubhwesiajhi kujaribibhwa, na mwibeta kutesibhwa kwa magono kumi. Mujhelayi mwebhaaminifu hadi kufwa, na nibeta kubhapela taji jha uzima.
Usiogope mateso yatakayokupata. Nakuambia ibilisi atawatia baadhi yenu gerezani ili kuwajaribu, nanyi mtapata dhiki kwa muda wa siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufa, nami nitakupa taji ya uzima.
11 Kama ujhe ni mb'olokoto, pelekesiajhi Roho kyaakaghajobhela makanisa. Muene jha ibeta kushinda ibetalepi kukabha mauti gha pili.'
“Yeye aliye na sikio na asikie yale ambayo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindaye hatadhuriwa kamwe na mauti ya pili.
12 Kwa malaika bha kanisa lya Pergamo jhandikayi: 'Agha ndo ghaijobha muene jhaajhe ni upanga obhu mkali, bhwabhujhe ni makali kubhele.
“Kwa malaika wa Kanisa lililoko Pergamo andika: “Haya ndiyo maneno yake yeye aliye na upanga mkali wenye makali kuwili.
13 “Nimanyili mahali paghwitama mahali pa kijhele kiti kya enzi kya shetani. Hata naha bhebhe ulikamuili sana lihina lya nene, na ghwajhibelili lepi imani jha jhobhi jhaijhele kwa nene hata magono ghala gha Antipasi shahidi ghwa nene, mwaminifu ghwa nene, jhaakhomibhu miongoni mwa jhomu, apu ndo syetani itama.
Ninajua unakoishi, ni kule ambako Shetani ana kiti chake cha enzi. Lakini umelishika Jina langu. Wala hukuikana imani yako kwangu hata katika siku za shahidi wangu mwaminifu Antipa, ambaye aliuawa katika mji mkuu wenu, ambako ndiko anakoishi Shetani.
14 Lakini nijheni mambo madebe dhidi jha bhebhe: ujhe nabhu okhu bhanu bhabhikamula mafundisu gha Balaamu, muene jhaamfundisi Balaki kubheka fikwazo palongolo jha bhene bha Israeli ili bhaliajhi fyakulya fya fipisibhu sadaka kwa masieto ni kuzini.
“Hata hivyo, nina mambo machache dhidi yako: Unao watu wafuatao mafundisho ya Balaamu, yule aliyemfundisha Balaki kuwashawishi Waisraeli watende dhambi kwa kula vitu vilivyotolewa kafara kwa sanamu na kufanya uasherati.
15 Mu hali ejhu hata bhebhe ujhe ni baadhi jha bhene bhikamula mafundisu gha Bhanikolai.
Vivyo hivyo unao wale wayashikayo mafundisho ya Wanikolai.
16 Basi tubuajhi! Na ubelili kukheta naha, nihida manyata, na nibeta kukheta vita dhidi jha bhene kwa upanga bhwa bhwihomela mu kinywa kya nene.
Basi tubu! Ama sivyo, nitakuja kwako upesi na kupigana na watu hao kwa upanga wa kinywa changu.
17 Kama ujhe ni mb'olokoto, pelekesiajhi Roho kya ikabhajobhela makanisa. Muene jha ibeta kushinda nibeta kumpela baadhi jha jhela mana jhajhafighibhu, kabhele nibeta kumpela liganga libhalabhu lya litembibhu lihina lipya panani pa liganga, lihina ambalya ajhelepi jha alimanyili isipokujha muene jhaakalipokela.'
“Yeye aliye na sikio na asikie yale ambayo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindaye nitampa baadhi ya ile mana iliyofichwa. Nitampa pia jiwe jeupe ambalo juu yake limeandikwa jina jipya asilolijua mtu, isipokuwa yule anayelipokea.
18 Kwa malaika bha kanisa lya Thiatira jhandikayi: “Agha ndo malobhi gha mwana ghwa K'yara, muene jha ajhe ni mihu gha muene kama mwali ghwa muoto, ni jhayu kama shaba jhajhisugulibhu nasu:
“Kwa malaika wa kanisa lililoko Thiatira andika: “Haya ndiyo maneno ya Mwana wa Mungu, ambaye macho yake ni kama mwali wa moto na ambaye miguu yake ni kama shaba iliyosuguliwa sana.
19 Nimanyili gha ubhombili - upendo bhwa jhobhi ni imani ni huduma ni uvumilivu bhwa jhobhi thabiti, ni kujha khela kya ukhetili naha karibuni ndo zaidi jha khela kya abhombili kubhuandu.
Nayajua matendo yako, upendo wako na imani yako, huduma na saburi yako na kwamba matendo yako ya sasa yamezidi yale ya kwanza.
20 Lakini nijhe ni e'le dhidi jha bhebhe: ukamvumilila n'dala Yezebeli jhaikikuta muene nabii n'dala. Kwa mafundisu gha muene, akabhapotosya bhatumishi bha nene kuzini ni kulya kyakulya kya kipisibhu sadaka kwa sanamu.
“Hata hivyo, nina neno dhidi yako: Unamvumilia yule mwanamke Yezebeli ambaye anajiita nabii, lakini anawafundisha na kuwapotosha watumishi wangu ili wafanye uasherati na kula vyakula vilivyotolewa kafara kwa sanamu.
21 Nampelili muda bhwa kutubu, lakini ajhelepi tayari kutubila uovu bhwa muene.
Nimempa muda ili atubu kwa ajili ya uasherati wake, lakini hataki.
22 Langayi! Nibetakun'tagha mu kitanda kya maradhi, ni bhala bhabhibhomba uasherati naku mu malombosi makali, vinginevyo bhatubuajhi kwa kyabhakhetili.
Kwa hiyo nitamtupa kwenye kitanda cha mateso, na nitawafanya hao wanaozini naye kupata mateso makali wasipotubia njia zake.
23 Nibeta kubhatobha bhana bhabhi bhafuajhi ni makanisa ghoha ghibetakumanya nene ndo nikaghalangilila mawazo ni tamaa. Nibeta kumpela khila mmonga bhinu kadri jha matendo gha muene.
Nami nitawaua watoto wake. Nayo makanisa yote yatajua kwamba Mimi ndiye nichunguzaye mioyo na nia, na kwamba nitamlipa kila mmoja wenu kwa kadiri ya matendo yake.
24 Lakini kwa baadhi jha muenga jhamubakili mu Thiatira, kwa bhala mwebhoha jha mkamuili lepi lifundisu e'le, na jha mumanyilepi khela ambakyo baadhi bhikuta mafumbo gha shetani, nijobha kwa muenga, 'Nibeta lepi kubheka kwa muenga n'sighu ghoghuoha ghola.'
Basi nawaambia ninyi wengine mlioko Thiatira, ninyi ambao hamyafuati mafundisho ya Yezebeli, wala hamkujifunza hayo yanayoitwa mambo ya ndani sana ya Shetani (sitaweka mzigo mwingine wowote juu yenu):
25 Kwa lijambo lyolyoha, lazima mujhelayi imara mpaka panibeta kuhida.
Lakini shikeni sana mlicho nacho, mpaka nitakapokuja.
26 Jhejhioha jhaibeta kushinda ni kubhomba khela kya nibhomba I mpaka kumwisu, muene nibeta kumpela mamlaka panani pa mataifa.
“Atakayeshinda na kutenda mapenzi yangu mpaka mwisho, nitampa mamlaka juu ya mataifa:
27 'Ibetakubhatawala kwa ndongo jha chuma, kama makaburi gha udongo, ibetakubhatenya fipandi.'
“‘Atawatawala kwa fimbo ya chuma, atawavunja vipande vipande kama chombo cha udongo’: kama vile mimi nilivyopokea mamlaka kutoka kwa Baba yangu.
28 Kama kyanipokili kuhoma kwa Dadi jhangu, nibeta kumpela kabhele litondo lya lukhela.
Nami nitampa pia ile nyota ya asubuhi.
29 Ukajhelayi ni mb'olokoto, pelekesiajhi khela ambakyo Roho akaghajobhela makanisa.'
Yeye aliye na sikio na asikie yale ambayo Roho ayaambia makanisa.