< Ufunuo 14 >

1 Nalangili na nabhwene mwanakondoo ajhemili palongolo pa nene panani pa kidonda sayuni. Pamonga ni muene bhajhele 144, 000 bhenye lihina lya muene ni lihina lya Dadi munu lijhandikibhu mu mapaji gha nyuso sya bhene.
Kisha nikatazama na hapo mbele yangu alikuwepo Mwana-Kondoo, akiwa amesimama juu ya Mlima Sayuni. Pamoja naye walikuwa wale 144,000 wenye Jina la Mwana-Kondoo na Jina la Baba yake likiwa limeandikwa kwenye vipaji vya nyuso zao.
2 Napeliki sauti kuhoma kumbinguni jhikajha jhipelekeka kama lipajhula lya masi ghamehele ni sauti mbaha jha radi. Sauti jhanajhipeliki ndo kama bhakhobha vinubi bhikhobha vinubi fya bhene.
Nami nikasikia sauti kutoka mbinguni kama sauti ya maji mengi yaendayo kwa kasi na sauti kama ngurumo ya radi. Sauti hiyo niliyoisikia ilikuwa kama sauti ya wapiga vinubi wakipiga vinubi vyao.
3 Bhakajha bhijhemba nyembu mpya palongolo pa kiti kya enzi ni palongolo pa bhene uhai bhancheche ni bhaseya. Ajhelepi mwenye uwezo bhwa kwimanyisya luembu o'lu isipokujha kwa 144, 000 ambabho bhakombolibhu kuhoma kuduniani.
Nao wakaimba wimbo mpya mbele ya hicho kiti cha enzi na mbele ya wale viumbe wanne wenye uhai na wale wazee. Hakuna mtu yeyote aliyeweza kujifunza wimbo huo isipokuwa hao 144,000 waliokuwa wamekombolewa kutoka duniani.
4 Abha ndo bhala ambabho bhakichafuili lepi bhene kwa bhadala, maana bhakilunzili bhene dhidi jha matendo gha zinaa. Ndo abha bhabhan'kesili mwanakondoo popoha paalotili. Abha bhakombolibhu kuhoma kwa bhanadamu bhakajha matunda gha kuanza kwa K'yara ni kwa mwanakondoo.
Hawa ndio wale ambao hawakujitia unajisi kwa wanawake, kwa kuwa wao ni bikira. Wao humfuata Mwana-Kondoo kila aendako. Hawa wamekombolewa kutoka miongoni mwa wanadamu wakawa malimbuko kwa Mungu na kwa Mwana-Kondoo.
5 Ujhelepi udesi bhwa bhwapatikene mu finywa fya bhene; Bhilaumibhwalepi.
Vinywani mwao hapakuonekana uongo, wala hawakuwa na hatia yoyote.
6 Nikabhona malaika jhongi iruka pagati pa mbingu ambajhe ajhe ni ujumbe bhwa kumbinguni bhwa habari jhinofu kwa kubhatangasila bhenye kuishi pa duniani kwa khila litaifa, kabila, lugha, ni bhanu. (aiōnios g166)
Kisha nikamwona malaika mwingine akiruka juu angani, naye alikuwa na Injili ya milele ya kuwatangazia wale waishio duniani, yaani, kwa kila taifa, kabila, lugha na jamaa. (aiōnios g166)
7 Akabhakuta kwa sauti mbaha, “Muntilayi K'yara na mumpelayi utukufu kwandabha muda bhwa hukumu ukaribili. Mumwabhuduajhi muene, muene jhaabhombili mbingu, ni dunia, ni bahari, ni chemichemi sya.”
Akasema kwa sauti kubwa, “Mcheni Mungu na kumpa utukufu, kwa maana saa ya hukumu yake imewadia. Mwabuduni yeye aliyeziumba mbingu, dunia, bahari na chemchemi za maji.”
8 Malaika jhongi- malaika ghwa bhubhele- akakesya akajobha, “Ubinili Babeli mbaha, ambajhe ghwabhanywesisi mataifa divai ambajho jhaletili gadhabu panani pa muene.”
Malaika wa pili akafuata akisema, “Umeanguka! Umeanguka Babeli Mkuu, ule uliyafanya mataifa yote kulewa kwa mvinyo wa ghadhabu ya uasherati wake.”
9 Malaika jhongi - malaika ghwa tatu- abhakesisi, akajobha kwa sauti mbaha, “Jhejhioha jhaibeta kumwabudu mnyama ojhu ni sanamu jha muene, ni kupokela alama mu lipaji lya uso bhwa muene au mkibhoko,
Malaika wa tatu akawafuata hao wawili akisema kwa sauti kubwa, “Kama mtu yeyote anamwabudu huyo mnyama na sanamu yake na kutiwa chapa yake kwenye kipaji chake cha uso au kwenye mkono wake,
10 Muene kabhele ibeta kunywa divai jha gadhabu jha K'yara, divai ambajho jhiandalibhu ni kujhitisibhwa bila kuchanganyibhwa mu kikombi kya ligoga lya muene. Munu jhaibeta kunywa ibeta kutesibhwa kwa muoto ni muoto bhwa kiberiti palongolo pa malaika bha muene bhatakatifu ni palongolo pa mwanakondoo.
yeye pia atakunywa mvinyo wa hasira kali ya Mungu ambayo imemiminwa katika kikombe cha ghadhabu yake pasipo kuchanganywa na maji. Naye atateswa kwa moto uwakao na kiberiti mbele ya malaika watakatifu na mbele za Mwana-Kondoo.
11 Ni liosi lya maumivu gha bhene ukalota milele, na bhajhelepi ni mapomoseku pamusi ni pakilu - abhu bhabhiabudu mnyama ni sanamu jha muene, ni khila munu jhaapokili alama jha lihina lya muene. (aiōn g165)
Nao moshi wa mateso yao hupanda juu milele na milele. Hakuna mapumziko, mchana wala usiku, kwa wale wamwabuduo huyo mnyama na sanamu yake, au kwa yeyote anayepokea chapa ya jina lake.” (aiōn g165)
12 Obho ndo mwito bhwa subira ni uvumilivu kwa bhaamini, bhala bhabhitii amri sya K'yara ni imani kwa Yesu.”
Hapa ndipo penye wito wa subira na uvumilivu wa watakatifu; wale wanaozishika amri za Mungu na kudumu katika uaminifu kwa Yesu.
13 Napeliki sauti kuhoma kumbinguni jhijobha, “jhandikayi agha: Heri bhafu bha bhifwa ni Bwana.” “Ena,” ijobha Roho, “ili bhabhwesiajhi kup'omoseka kuhoma mu mbombo sya bhene ndabha malombosi gha bhene ghibeta kubhakesya.”
Kisha nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, “Andika: Wamebarikiwa wafu wafao katika Bwana tangu sasa.” “Naam,” asema Roho, “watapumzika kutoka taabu zao, kwa kuwa matendo yao yatawafuata.”
14 Nalangili na nabhuene kwajhele ni libhengu libhalafu, na jhaatamili mu libhengu ajhele ni mfuano bhwa mwana bhwa munu. Ajhele ni taji jha dhahabu pa mutu pa muene ni kisyengelu kikali mu kibhoko kya muene.
Nikatazama, hapo mbele yangu palikuwa na wingu jeupe, na aliyekuwa ameketi juu ya hilo wingu alikuwa “kama Mwana wa Adamu” mwenye taji ya dhahabu kichwani mwake na mundu mkali mkononi mwake.
15 Malaika jhongi kabhele akahida kuhoma mu hekalu na akutili kwa sauti mbaha kulota kwa jhola jhaatamili mu libhengu: “Tolayi kisyengelu kya jhobhi na ujhandayi kuvuna. Kwakujha muda ghwa mavuno uwadili ndabha mavuno ghaghajhele mu dunia ghamalikufunda.”
Kisha malaika mwingine akaja kutoka hekaluni naye akamwita kwa sauti kubwa yule aliyekuwa ameketi juu ya lile wingu akasema, “Chukua mundu wako ukavune kwa kuwa wakati wa mavuno umewadia, kwa maana mavuno ya dunia yamekomaa.”
16 Kabhele jhola jhaajhele mu libhengu abhup'etisi mundu bhwa muene panani pa dunia, ni dunia jhavunibhu.
Hivyo yule aliyekuwa ameketi juu ya lile wingu akauzungusha mundu wake duniani, nayo dunia ikavunwa.
17 Ni malaika jhongi akahida kuhoma mu hekalu lya kumbinguni; ni muene ajhele ni kisengelu kikali.
Malaika mwingine akatoka katika hekalu lililoko mbinguni, naye pia alikuwa na mundu mkali.
18 Na bado malaika jhongi akahida kuhoma mu madhabahu, ni malaika jhaajhele ni mamlaka juu jha muoto. Akan'kuta kwa sauti mbaha malaika ambajhe ajhele ni kisengelu kikali, “tolayi kisengelu kikali na ughabhonganiayi matafi gha mzabibu bhwa nchi, kwandabha zabibu henu sifundili.”
Kisha malaika mwingine, aliyekuwa na mamlaka juu ya moto, akatoka kwenye madhabahu, naye akamwita yule malaika mwenye mundu mkali kwa sauti kubwa, akisema, “Chukua mundu wako mkali ukakusanye vichala vya mizabibu ya dunia, maana zabibu zake zimeiva.”
19 Malaika apeliki kisengelu kya muene mu dunia na abhongeniye mavuno gha zabibu jha dunia na asopili mu lipipa libhaha lya divai jha gadhabu jha K'yara.
Hivyo yule malaika akauzungusha mundu wake duniani na kukusanya zabibu za dunia na kuzitupa kwenye shinikizo kubwa la ghadhabu ya Mungu.
20 Lichujio lya divai lyapondibhu kwibhala jha mji ni damu jhajhitiki kuhoma mu kimo e'ku kya hatamu jha farasi, kwa stadia 1, 600.
Lile shinikizo likakanyagwa nje ya mji, nayo damu ikatiririka kama mafuriko kutoka hilo shinikizo kufikia kimo cha hatamu za farasi, kwa umbali wa maili 200.

< Ufunuo 14 >