< Wafilipi 1 >
1 Pauli ni Timoti, bhatumishi bha Kristu Yesu, kwa bhala bhatengibhu mwa kristu bhabhitema Filipi, pamonga ni bhabhiyangilila ni mashemasi.
Waraka wa Paulo na Timotheo, watumishi wa Kristo Yesu: Kwa watakatifu wote katika Kristo Yesu walioko Filipi, pamoja na waangalizi na mashemasi:
2 Neema na j'hiyelayi kwa muenga ni amani j'hayih'omela kwa K'yara dadiyetu ni Bwana bhitu Yesu kristu.
Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi.
3 Nikammbombesya K'yara bhengu kila pa nikabhak'homb'hoka muenga mwebhoha.
Ninamshukuru Mungu wangu kila niwakumbukapo ninyi.
4 Mara syoha kila liombi lyangu kwa ndabha j'ha mwenga mwebhoha, huwa nikobhoka panikabhas'omela.
Katika maombi yangu yote daima nimekuwa nikiwaombea ninyi nyote kwa furaha,
5 Niyele ni shukrani limehele kwandabha j'ha ushirika bhw'henu muinjili kuh'omela ligono lya lya kubhwandelu mpaka lelu.
kwa sababu ya kushiriki kwenu katika kueneza Injili, tangu siku ya kwanza hadi leo.
6 Niyele nibhuhakika kuj'ha muene j'haoyandisi lihengu linofu mugati mwa muenga ibeyendelela kuj'hikamilisya mpaka ligono lya Bwana YesuKristu.
Nina hakika kwamba yeye aliyeianza kazi njema mioyoni mwenu, ataiendeleza na kuikamilisha hata siku ya Kristo Yesu.
7 Ni sawa kwa nene kujip'heleka naha nalabha j'hamuenga mwabhoha kwa nakbha mmbabhakhili mun'teema bhwangu. Kwandabha muenga muyele bhashirika bhayinu mwa neema mukifungu kyangu ni mu utetezi ni bhuthibitishaji bhwangu bhwa injili.
Ni haki na ni wajibu wangu kufikiri hivi juu yenu nyote, kwa sababu ninyi mko moyoni mwangu. Ikiwa nimefungwa au nikiwa ninaitetea na kuithibitisha Injili, ninyi nyote mnashiriki neema ya Mungu pamoja nami.
8 K'yara ndo shahidi ghwa nene, ndabha kyaniyele ni shauku ndabha j'ha muenga mwebhoha mu ugati ghwa pendo lya Yesu kristu.
Mungu ni shahidi wangu jinsi ninavyowaonea shauku ninyi nyote kwa huruma ya Kristo Yesu.
9 Na nis'oma kuj'ha: lugano lwinu bhuyongesekai zaidi ni zaidi mu maarifa ni luhala lwoha.
Haya ndiyo maombi yangu: kwamba upendo wenu uongezeke zaidi na zaidi katika maarifa na ufahamu wote,
10 Nis'oma kwandabha j'ha e'le muyelai kinofu ni bhuwezo bhwa kup'hema ni kuchagula mambo ghaghayele kinofu sana. Pia nikihabhas'omela ili muyelai kinofu bila kuj'ha nihatia j'hoj'hioha y'hela muligono lya Kristu.
ili mpate kutambua yale yaliyo mema, mkawe safi, wasio na hatia hadi siku ya Kristo,
11 Na pia ili mmemesibhwaya ni litunda lya haki lyalipatikana mwa Yesu Kristu, kwa bhutukufu ni sifa j'ha K'yara.
mkiwa mmejawa na matunda ya haki yapatikanayo kwa njia ya Yesu Kristo, kwa utukufu na sifa za Mungu.
12 Henu bhalongobhangu, nilonda mmanyayi kuj'ha mambo ghaghah'omili kwa nene ghaghaifwanjili injili iyendelelayi sana.
Basi, ndugu zangu, nataka mjue kwamba mambo yale yaliyonipata kwa kweli yamesaidia sana kueneza Injili.
13 Ndo maana fifungu fyangu mu Kristu, fimanyik'hene kwa bhalinzi bha ikulu iyoha ni kwa k'hila munu pia.
Matokeo yake ni kwamba imejulikana wazi kwa walinzi wote wa jumba la kifalme na kwa wengine wote kuwa nimefungwa kwa ajili ya Kristo.
14 Ni bhalongo bhingi mu Bhwana kwandabha j'ha fifungu fyanene bhashawishiki nikuthubutu kulihubiri lilobhi bila khutila.
Kwa sababu ya vifungo vyangu, ndugu wengi katika Bwana wametiwa moyo kuhubiri neno la Mungu kwa ujasiri zaidi na bila woga.
15 Bhamana kuweli hata bhikhanta ngasya Kristu kwa fitina ningondo, na pia bhamana kwa nia yinofu.
Ni kweli kwamba wengine wanamhubiri Kristo kutokana na wivu na kwa kutaka kushindana, lakini wengine wanamhubiri Kristo kwa nia njema.
16 Bhala bhabhakantangasya Kristu kwa lugano bhamanyili kuj'ha nibhekhibhu apanai kwa ndabha j'ha kuitetela injili.
Hawa wa mwisho wanamhubiri Kristo kwa moyo wa upendo, wakifahamu kwamba nimo humu gerezani kwa ajili ya kuitetea Injili.
17 Bali bhangi bhikantangasya Kristu, kwa bhubinafsi ni kwa nia yibaya. Bhidhanila kuj'ha bhisababisya matatizo kwa nene muminyororo ghyangu.
Hao wa kwanza wanamtangaza Kristo kutokana na tamaa zao wenyewe wala si kwa moyo mweupe, bali wanakusudia kuongeza mateso yangu katika huku kufungwa kwangu.
18 Henu? nijali lepi aidha nj'hela iyelai ni kwa hilarious au kwa bhukweli, Kristu itangasibhwa ni mu e'le nihobhok'hela! Ndo, nibekuhobhokila.
Lakini inadhuru nini? Jambo la muhimu ni kwamba kwa kila njia, ikiwa ni kwa nia mbaya au njema, Kristo anahubiriwa. Nami kwa ajili ya jambo hilo ninafurahi. Naam, nami nitaendelea kufurahi,
19 kwa kuj'ha nimanyili e'le libekutokula kubhopolibhwa kwa nene. like Jambo e'le libekutokula kwandabha j'ha maombi ghinu ni kwa msaada bhwa Roho j'ha yes Kristu.
kwa maana ninajua kwamba kwa maombi yenu na kwa msaada unaotolewa na Roho wa Yesu Kristo, yale yaliyonipata mimi yatageuka kuwa wokovu wangu.
20 kul'hengana ni matajio ghangu ghabhuhakika ni ibhukweli ni kwamba, nibebhona lepisoni. Badala yiake, kwabhujasiri bhuoha, Kama ambavyo magono ghoha ni henu, nitarajila kuj'ha Kristu ibekuyinulibhwa mu mb'hele bhwangu, ikayelaye mu bhusima au mu kafwelelu.
Ninatarajia kwa shauku kubwa na kutumaini kwamba sitaaibika kwa njia yoyote, bali nitakuwa na ujasiri wa kutosha ili sasa kama wakati mwingine wowote, Kristo atukuzwe katika mwili wangu, ikiwa ni kwa kuishi au kwa kufa.
21 kwa maana kwanene kuishi ni Kristu na kufwa ni faida.
Kwa maana kwangu mimi, kuishi ni Kristo, na kufa ni faida.
22 lakini Kama kutama mu m'mb'hele wihogola litunda mu lihengu lyangu, kwahenu nd'hesi l'el'eku lya kuchagula.
Kama nitaendelea kuishi katika mwili, kwangu hili ni kwa ajili ya matunda ya kazi. Lakini sijui nichague lipi? Mimi sijui!
23 Maana nisukumibhwa sana ni mawazo agha mab'hele. Niye ni hamu j'ha kuleka m'mb'hele ni kuj'ha pamonja ni Kristu, k'henu ambakyo ni kya thamani sanasana.
Ninavutwa kati ya mambo mawili: Ninatamani kuondoka nikakae pamoja na Kristo, jambo hilo ni bora zaidi.
24 Ingawa, kubakila mu m'mb'hele obho nik'henu kya mhimu sana kwa ndabha j'ha muenga.
Lakini kwa sababu yenu ni muhimu zaidi mimi nikiendelea kuishi katika mwili.
25 kwa kuj'ha niyele ni bhuhakika kwa ndabha j'ha e'le nimanyili nibhebakila nikuj'hendelela kuj'ha pamonja namu mwe bhoha, kwa ndabha j'ha maendeleo ni furaha j'ha muenga.
Kwa kuwa nina matumaini haya, ninajua kwamba nitaendelea kuwepo na kuwa pamoja nanyi nyote, ili mpate kukua na kuwa na furaha katika imani.
26 Na e'le libeleta furaha j'ha muenga ibhaha mwa kristu Yesu, kwa ndabha j'ha kuj'ha kwa nene yibekuyongeseka, kwa ndabha kuj'ha kwa nene kabhele pamonja namu.
Ili kwamba furaha yenu iwe nyingi katika Kristo Yesu kwa ajili yangu kwa kule kuja kwangu kwenu tena.
27 Mwilondeka kutama maisha gha muenga mu mwenendo unofu ghwaghukayilonda injili j'lia Kristu. Mkhetayi mebhu ili nikahialayi kubhalanga au nikabelayi kuhiola, nip'helekai kuj'ha my'emili kinofu mu Roho yimonga. Natamani kup'eleka kuj'ha myele ni Roho yimonga, mkayikhomanela imani j'ha injili kwa pamonga.
Lakini lolote litakalotukia, mwenende kama ipasavyo Injili ya Kristo, ili kwamba nikija na kuwaona au ikiwa sipo, nipate kusikia haya juu yenu: Kuwa mnasimama imara katika roho moja, mkiishindania imani ya Injili kwa umoja,
28 msitisibhu ni k'henu kyokyok'hula kyakifwanyibhwa ni maadui bha muenga. Ey'e kwa bhene n'do ishara j'ha uharibifu. Bali kwa muenga n'do ishara j'ha bhwokovu kuh'oma kwa K'yara. kwa maana muenga mpelibhu kwa
wala msitishwe na wale wanaowapinga. Hii ni ishara kwao kuwa wataangamia, lakini ninyi mtaokolewa, na hii ni kazi ya Mungu.
29 ndabha j'ha Kristu, sio kumwamini tu, bali ni kutesibhwa pia kwa muene.
Kwa maana mmepewa kwa ajili ya Kristo, si kumwamini tu, bali pia kuteswa kwa ajili yake,
30 kwa maana muye ni ngondo y'elay'ela Kama kyamkayibhwene kwa nenga na mwip'eleka kuj'ha niyenabhu hata h'enu.
kwa kuwa mnashiriki mashindano yale yale mliyoyaona nikiwa nayo na ambayo hata sasa mnasikia kuwa bado ninayo.