< Yohana 3 >
1 Basi kwajhele ni Farisayo ambajhe lihina lya muene Nikodemo, mmonga wa bhajumbe wa baraza lya bhayahudi.
Basi palikuwa na mtu mmoja Farisayo, jina lake Nikodemo, mmoja wa Baraza la Wayahudi lililotawala.
2 Munu ojho andotili Bwana Yesu pakilu ni kun'jobhela, “Rabi, tumanyili kujha bhebhe mwalimu kuh'omela kwa K'yara, kwa maana ajhelepi munu jha ibhwesya kubhomba ishara ese syoha sya K'yara isipokujha pamonga ni bhebhe.”
Huyu alimjia Yesu usiku akamwambia, “Rabi, tunajua kuwa wewe ni mwalimu uliyetumwa na Mungu, kwa maana hakuna mtu awezaye kufanya miujiza hii uifanyayo wewe, kama Mungu hayuko pamoja naye.”
3 Yesu ajibili, “Aminiayi, aminiayi, munu ibhwesyalepi kujhingila mu bhufalme bhwa k'yara kama ahogiliki lepi mara jha pili.”
Yesu akamjibu, “Amin, amin nakuambia, hakuna mtu anayeweza kuuona Ufalme wa Mungu kama hajazaliwa mara ya pili.”
4 Nikodemo akajobha,” Munu ibhwesya bhuli kuh'ogoleka akajhelayi nseya? Ibhwesya lepi kujhingila mu lileme mwa nyinamunu mara ya pili ni kuhogoleka, je ibhwesya?”
Nikodemo akauliza, “Awezaje mtu kuzaliwa wakati akiwa mzee? Hakika hawezi kuingia mara ya pili kwenye tumbo la mama yake ili azaliwe!”
5 Yesu ajibili, “Aminiayi, aminiayi munu kama ahogoliki lepi kwa masi ni kwa Roho, ibhwesya lepi kujhingila mu bhufalme bhwa K'yara.
Yesu akamwambia, “Amin, amin nakuambia, hakuna mtu yeyote anayeweza kuingia Ufalme wa Mungu kama hajazaliwa kwa maji na kwa Roho.
6 Kyakihogoliki ni mb'ele ni mb'ele, na kyakihogoliki kwa Roho ni roho.
Mwili huzaa mwili, lakini Roho huzaa roho.
7 Usishangali kwa ndabha nakujobhili, 'ni lazima kuh'ogoleka mara jha pili.'
Kwa hiyo usishangae ninapokuambia huna budi ‘kuzaliwa mara ya pili.’
8 Mp'ongo ghwibhuma popoha pa wilonda ni sauti jhiake mukajhipeleka, lakini mumanyilepi kwa wihoma wala kwa wilota. Ndivyo kyajhijhele hali jha kila jhaahogoliki ni roho.
Upepo huvuma popote upendapo. Mvumo wake unausikia lakini huwezi ukafahamu utokako wala uendako. Ndivyo ilivyo kwa kila mtu aliyezaliwa na Roho.”
9 Nikodemo ajibili, kwa kujobha, “Mambo agha ghibhwessekana bhuli?”
Nikodemo akamuuliza, “Mambo haya yanawezekanaje?”
10 Yesu akan'jibu, “Bhebhe ghwa mwalimu wa Israeli, hata ughamanyi lepi mambo agha?
Yesu akamwambia, “Wewe ni mwalimu mashuhuri wa Waisraeli, nawe huelewi mambo haya?
11 Aminiayi, aminiayi, nikujobhela khela kyatukimanyili tukakishuhudila kwa khela kya tukibhuene. Lakini mwipokela lepi bhushuda bhwa tete.
Amin, amin ninakuambia, sisi tunazungumza lile tunalolijua na tunashuhudia lile tuliloliona. Lakini ninyi watu hamkubali ushuhuda wetu.
12 Kama nibhajobhili mambo agha apa pa duniani na mwiamini lepi, mubetakuamini bhuli nikabhajobhilayi mambo gha kumbinguni?
Nimewaambia mambo ya duniani, nanyi hamkuniamini, mtaniaminije basi nitakapowaambia mambo ya mbinguni?
13 Maana ajhelepi jha akwelili kunani kuhomela kumbinguni isipokujha muene jhaaselili, Mwana ghwa Adamu.
Hakuna mtu yeyote aliyekwenda mbinguni isipokuwa yeye aliyeshuka kutoka mbinguni, yaani, Mwana wa Adamu.
14 Kama vile Musa kya ajhinuili liyoka jangwani, mebhu ni Mwana ghwa Adamu lazima ajhinulibhwayi,
Kama vile Mose alivyomwinua yule nyoka kule jangwani, vivyo hivyo Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa juu.
15 ili kwamba bhoha bhabhibetakumwamini bhakabhayi uzima bhwa milele. (aiōnios )
Ili kila mtu amwaminiye awe na uzima wa milele. (aiōnios )
16 Kwa maana jinsi ejhe K'yara abhuganili bhulimwengu, kwamba akambosya mwanamunu ghwa pekee, ili kwamba munu yeyioha jhaakamwamini asijhangamili bali ajhelayi ni uzima bhwa milele. (aiōnios )
“Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa Mwanawe wa pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. (aiōnios )
17 Kwa ndabha K'yara antumilepi mwanamunu pa dunia ili kubhuhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolibhwayi kup'etela muene.
Kwa maana Mungu hakumtuma Mwanawe kuuhukumu ulimwengu, bali kupitia kwake ulimwengu upate kuokolewa.
18 Jhaibetakumwamini muene ibetalepi kuhukumulibhwa. Bhebhe jhaiamini lepi tayari amalikuhukumulibhwa kwa ndabha abelikuliamini lihina lya Mwana pekee ghwa K'yara.
Yeyote amwaminiye hahukumiwi, lakini asiyeamini amekwisha kuhukumiwa, kwa sababu hakuliamini jina la Mwana pekee wa Mungu.
19 Ejhe ndo sababu jha hukumu, jha kujha nuru ihidili ulimwengu, lakini bhanadamu bhaganili ngisi zaidi jha nuru kwandabha matendo gha bhene ghajhe maovu.
Hii ndiyo hukumu kwamba: Nuru imekuja ulimwenguni, nao watu wakapenda giza kuliko nuru kwa sababu matendo yao ni maovu.
20 kila munu jhaibhomba mabhibhi akayidadila nuru wala ihidalepi mu nuru ili matendo gha muene ghasihidi kubhakibhwa wazi.
Kwa kuwa kila atendaye maovu huchukia nuru, wala haji kwenye nuru ili matendo yake maovu yasifichuliwe.
21 Lakini, muene jha ibhomba kweli ihida mu nuru ili matendo gha muene ghabhonekanayi kujha ghabhombibhu kwa utiifu bhwa K'yara.
Lakini yule aishiye kwa ukweli huja kwenye nuru, ili ionekane wazi kwamba matendo yake yametendeka katika Mungu.”
22 Baada jha agha, Yesu pamonga ni bhanafunzi bha muene bhakalota mpaka nchi ya Yudea. Okhu atumili muda pamonga nabhu na abatisieghe.
Baada ya haya, Yesu na wanafunzi wake walikwenda katika nchi ya Uyahudi, nao wakakaa huko kwa muda na kubatiza.
23 Henu Yohana pia ajhele ibatisya okhu Ainea karibu ni Salim maana kwajhele ni masi mingi pala. Bhanu bhakajha bhihida kwa muene ni kubatisibhwa,
Yohana naye alikuwa akibatiza huko Ainoni karibu na Salimu kwa sababu huko kulikuwa na maji tele. Watu wazima wakamjia huko ili kubatizwa.
24 kwa kujha Yohana ajheasopibhulepi mu ligereza.
(Hii ilikuwa kabla Yohana hajatiwa gerezani).
25 Kisha ghatokili mabishano kati jha bhanafunzi bha Yohana ni Myahudi kuhusu sikukuu sya utakaso.
Mashindano yakazuka kati ya baadhi ya wanafunzi wa Yohana na Myahudi mmoja kuhusu suala la desturi ya kunawa kwa utakaso.
26 Bhakalota kwa Yohana bhakan'jobhela, “Rabi, muene jhaukajhenaku kwiselya ya kiholo Yorodani, muene ghwashuhudili habari sya muene, langayi, ibatisya ni bhoha bhilota bhakan'kesya.”
Wakamwendea Yohana wakamwambia, “Rabi, yule mtu aliyekuwa pamoja nawe ngʼambo ya Mto Yordani, yule uliyeshuhudia habari zake, sasa anabatiza na kila mtu anamwendea!”
27 Yohana ajibili munu ibhwesyalepi kupokela khenu kyokyoha isipokujha kama apelibhu kuh'omela kumbinguni.
Yohana akawajibu, “Hakuna mtu yeyote awezaye kupata kitu chochote isipokuwa kile tu alichopewa kutoka mbinguni.
28 Mwejhomu mwishuhudila kujha najobhili kujha, 'nene na Kristu lepi', badala jhiake najobhili, 'nitumibhu mbele jha muene.'
Ninyi wenyewe ni mashahidi wangu kwamba nilisema, ‘Mimi si Kristo, ila nimetumwa nimtangulie.’
29 Muene jha ajhe ni bibi arusi ndo bwana arusi. Henu rafiki wa bwana arusi, jhaijhema ni kup'elekesya ifurahibhwa sana kwa ndabha jha sauti jha bwana arusi. Ejhe henu ndo furaha jha nene jha jhitimiliki.
Bibi arusi ni wa bwana arusi. Lakini rafiki yake bwana arusi anayesimama karibu naye na kusikiliza kutoka kwake, hufurahi sana aisikiapo sauti ya bwana arusi. Kwa sababu hii furaha yangu imekamilika.
30 Ilondeka kuzidi, nani nilondeka kup'ongola.
Yeye hana budi kuwa mkuu zaidi na mimi nizidi kuwa mdogo.”
31 Muene jha ihoma kunani, ajhele panani pa fyoha. Muene jha ajhele ghwa ulimwengu ihomela kuulimwengu na ilongela mambo gha kiulimwengu. Muene jha ihomela kumbinguni ajhele panani pa ghoha.
“Yeye ajaye kutoka juu yu juu ya yote, yeye aliye wa duniani ni wa dunia, naye huzungumza mambo ya duniani. Yeye aliyekuja kutoka mbinguni, yu juu ya yote.
32 Muene ishuhudila ghala ghaaghabhwene ni kughap'eleka, lakini ajhelepi jhaipokela ushuhuda bhwa mwene.
Yeye hushuhudia yale aliyoyaona na kuyasikia, lakini hakuna yeyote anayekubali ushuhuda wake.
33 Muene jha apokili ushuhuda bhwa muene ahakikishi kujha K'yara ndo mkweli.
Lakini yeyote anayekubali huo ushuhuda anathibitisha kwamba, Mungu ni kweli.
34 Kwa ndabha muene jhaatumibhu ni K'yara ilongela malobhi gha K'yara. kwa kujha akampela lepi Roho kwa kip'emu.
Yeye aliyetumwa na Mungu husema maneno ya Mungu, kwa kuwa Mungu humtoa Roho pasipo kipimo.
35 Baba akan'gana Mwana na ampelili fenu fyoha mu mabhoko gha muene.
Baba anampenda Mwana, naye ametia vitu vyote mikononi mwake.
36 Muene jha akamwamini Mwana ajhenabhu uzima bhwa milele, lakini kwa muene jha abelikun'tii ibetalepi kubhubhona bhuzima, bali ghadhabu jha K'yara jhikamulana panani pa muene. (aiōnios )
Yeyote anayemwamini Mwana ana uzima wa milele, lakini yeye asiyemwamini Mwana hatauona uzima, bali ghadhabu ya Mungu itakuwa juu yake.” (aiōnios )