< Yohana 16 >
1 Nibhajobhili mambo agha ili msibhwesi kukwazibhwa.
“Nimewaambia mambo haya yote ili msije mkaiacha imani.
2 Bhibeta kubhapisya kwibhala mu masinagogi; hakika saa jhihida ambajho khila jha ibetakubhakhoma ibetakufikiri ibhomba mbombo jhinofu kwa ndabah jha K'yara.
Watawatenga na masinagogi. Naam, saa yaja ambayo mtu yeyote atakayewaua atadhani kwa kufanya hivyo anamtumikia Mungu.
3 Bhibetakubhabhombela mambo agha kwa ndabha bhammanyilepi Dadi wala bhanimanyilepi nene.
Nao watawatenda haya kwa sababu hawamjui Baba wala mimi.
4 Nibhajobhili mambo agha ili kwamba wakati ukafikayi ghwa agha kutokela, mwibhwesya kughakhomboka na jinsi kyanibhajobhili mubhwesiajhi bhene. Nabhajobhilepi kuhusu mambo agha kuh'omela kubhwandelu kwa ndabha najhele pamonga namu.
Lakini nimewaambia ninyi mambo haya, ili saa hiyo ikiwadia mpate kukumbuka ya kuwa nilikuwa nimewaambia. Sikuwaambia mambo haya tangu mwanzo kwa sababu nilikuwa pamoja nanyi.
5 Japokujha, henu nilota kwa jhola jhaanilaghisi; lakini ajhelepi kati jha muenga jha akanikota, “Wilotandakhu?”
“Sasa mimi ninakwenda kwake yeye aliyenituma, lakini hakuna hata aniulizaye, ‘Unakwenda wapi?’
6 Kwa ndabha nijobhili malobhi agha kwa muenga, huzuni imemili mu mioyo jha jhomu.
Kwa sababu nimewaambia mambo haya, mioyo yenu imejawa na huzuni.
7 Hata naha, nikabhajobhela ukweli: ni vyema kwa muenga nikabhokayi; kwa ndabha nikabelakubhoka, mfariji ibetalepi kuhida kwa muenga; lakini nikalotayi nibetakundaghisya kwa muenga.
Lakini nawaambia kweli, yafaa mimi niondoke, kwa kuwa nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu, lakini nikienda nitamtuma kwenu.
8 Akahidayi, mfariji ojhu ibetakuubitisha ulimwengu kuhusiana ni dhambi, kuhusiana ni haki na kuhusiana ni hukumu.
Naye atakapokuja, atauthibitishia ulimwengu kuhusu dhambi, haki na hukumu.
9 Kuhusiana ni dhambi, kwa ndabha bhabelikunikiera nene,
Kwa habari ya dhambi, kwa sababu hawaniamini mimi,
10 kuhusiana ni haki, kwa ndabha nilota kwa dadi, na mwibetalepi kunibhona kabhele'
kwa habari ya haki, kwa sababu ninakwenda kwa Baba, nanyi hamtaniona tena,
11 ni kuhusiana ni hukumu kwa ndabha mbaha ghwa ulimwengu obho ahukumibhu.
kwa habari ya hukumu, kwa sababu yule mkuu wa ulimwengu huu amekwisha kuhukumiwa.
12 Nijhenaku mingi gha kubhajobhela, lakini mwibetalepi kughatekelesya henu.
“Bado ninayo mambo mengi ya kuwaambia, lakini hamwezi kuyastahimili sasa.
13 Lakini, muene, Roho ghwa kweli, akahidayi, ibetakubhalongosya mu bhukweli ghoha; kwa kujha ibetalepi kulongela kwa ndabha jha muene; lakini ghoha ghaibetakughap'eleka, ibetakughajobha mambo aghu; na ibetakughadhihirisha kwa jhomu mambo agha ghaghibetakuhida.
Atakapokuja huyo Roho wa kweli atawaongoza awatie katika kweli yote. Yeye hatanena kwa ajili yake mwenyewe, bali atanena yale yote atakayosikia, naye atawaonyesha mambo yajayo.
14 Muene jha ibetakunitukusya nene, kwa ndabha ibetakughatola mambo ghangu ni kughatangasya kwa muenga.
Atanitukuza mimi, kwa maana atayachukua yaliyo yangu na kuwajulisha ninyi.
15 Fenu fyoha fya ajhenafu Dadi ndo fya nene; henu, nijobhili kujha Roho ibetakutola mambo ghangu ni kughadhihirisha kwa muenga.
Vyote alivyo navyo Baba ni vyangu. Ndiyo maana nimesema Roho atachukua yaliyo yangu na kuwajulisha ninyi.
16 Bado muda bhufupi, mwibetalepi kunibhona kabhele; ni baada jha muda bhufupi kabhele, mwibetakunibhona.”
“Bado kitambo kidogo nanyi hamtaniona na tena bado kitambo kidogo nanyi mtaniona.”
17 Baadhi jha bhanafunzi bha muene bhakajobhesana, “Kiki yaakatujobhela, “muda bhufupi, na mwibetalepi kunibhona kabhele,' na, kisha, mda bhufupi mkanibhona,' na, 'kwandabha nilota kwa Dadi?”
Baadhi ya wanafunzi wakaulizana, “Ana maana gani asemapo, ‘Bado kitambo kidogo nanyi hamtaniona na tena bado kitambo kidogo nanyi mtaniona’? Naye ana maana gani asemapo, ‘Kwa sababu ninakwenda kwa Baba’?”
18 Henu, bhakajobha, 'Khenu kheleku kyaijobha, 'Bado mda mfupi'? Tumanyilepi kyaijobha.
Wakaendelea kuulizana, “Ana maana gani asemapo, ‘Kitambo kidogo’? Hatuelewi hilo analosema.”
19 Yesu abhuene bhinoghela kun'kota, ni muene akabhajobhela, “Mwikikota, mwe bhene kuhusu e'le, kyanijobhili, 'Bado mda mfupi, mwibetalepi kunibhona kabhele; na baada jha muda mfupi mwibetakunibhona'?
Yesu akatambua kuwa walitaka kumuuliza juu ya hilo, hivyo akawaambia, “Je, mnaulizana nina maana gani niliposema, ‘Bado kitambo kidogo nanyi hamtaniona na tena bado kitambo kidogo nanyi mtaniona’?
20 Aminiayi, aminiayi, nikabhajobhela, mwibetakulela ni kuombolesya, lakini ulimwengu wibetakushangilila, mwibetakujha ni huzuni lakini huzuni jha muenga ibetakugeuka kujha furaha.
Amin, amin nawaambia, ninyi mtalia na kuomboleza, lakini ulimwengu utafurahi. Ninyi mtahuzunika, lakini huzuni yenu itageuka kuwa furaha.
21 N'dala ijha ni huzuni wakati paijha ni uchungu kwandabha wakati ghwa kwifungula ufikili; lakini paikifungula muana, ikhomboka lepi kabhele maumivu kwandabha jha furaha jha muene kwamba muana ahogoliki pa duniani.
Mwanamke anapokuwa na utungu wa kuzaa huwa na maumivu kwa sababu saa yake imewadia. Lakini mtoto akiisha kuzaliwa, yule mwanamke husahau maumivu hayo kwa sababu ya furaha ya kuzaliwa mtoto ulimwenguni.
22 Muenga mujheni huzuni henu, lakini nibetakubhabhona kabhele; ni mioyo jha jhomu ibetakuhobhoka na ajhelepi jhaibeta kubhwesya kujhibhosya furaha jha muenga.
Hivyo ninyi mna maumivu sasa, lakini nitawaona tena, nayo mioyo yenu itafurahi na furaha yenu hakuna awaondoleaye.
23 Ligono e'le mwibetata lepi kunikota maswali. Aminiayi, Aminiayi, nikabhajobhela,
Katika siku hiyo hamtaniuliza neno lolote. Amin, amin nawaambia, kama mkimwomba Baba jambo lolote kwa jina langu, yeye atawapa.
24 Mkas'okayi kyokyoha kwa Dadi, ibetakubhap'ela kwa lihina lya nene; musokayi, namu mwibetakupokela ili kwamba furaha jha muenga ikamilikayi.
Mpaka sasa hamjaomba jambo lolote kwa Jina langu. Ombeni nanyi mtapewa, ili furaha yenu ipate kuwa kamili.
25 Nilongilili ni muenga kwa lugha jha jhibelikujhelebhweka, lakini saa jhihida ambapo nibetalepi kulongela kwa lugha jhajhiyeleweka lepi, lakini badala jhiake nibetakubhajobhela waziwazi kuhusu Dadi.
“Nimewaambia mambo haya kwa mafumbo. Saa yaja ambapo sitazungumza nanyi tena kwa mafumbo bali nitawaeleza waziwazi kuhusu Baba.
26 Ligono e'lu mwibetakus'oka kwa lihina lya nene, na nikabhajobhela lepi kujha nibetakus'oka kwa Dadi kwa ndabha jha muenga;
Siku hiyo mtaomba kwa Jina langu. Wala sitawaambia kwamba nitamwomba Baba kwa ajili yenu,
27 Kwa kujha Dadi muene abhaganili kwandabha mniganili nene na kwandabha muniamini kujha nihomili kwa Dadi.
kwa maana Baba mwenyewe anawapenda, kwa sababu mmenipenda mimi na mmeamini kwamba nimetoka kwa Mungu.
28 Nah'omili kwa Dadi na nahidili ku ulimwengu; kabhele, nibhoka ulimwenguni na nilota kwa Dadi”.
Nilitoka kwa Baba na kuja ulimwenguni, sasa naondoka ulimwenguni na kurudi kwa Baba.”
29 Bhanafunzi bha muene bhakan'jobhela, “Ghwilola, henu ghwilongela wazi wazi na witumila lepi mafumbo.
Ndipo wanafunzi wake wakasema, “Sasa unazungumza waziwazi, wala si kwa mafumbo.
30 Henu, tumanyili kujha umanyili mambo ghoha, na wilonda lepi munu jhejhioha akukotayi maswali. Kwandabha ejhe twikiera kujha ghwihomela kwa K'yara.
Sasa tumejua kwamba wewe unajua mambo yote, wala hakuna haja ya mtu kukuuliza maswali. Kwa jambo hili tunaamini kwamba ulitoka kwa Mungu.”
31 Yesu akabhajibu, “Henu muamini?”
Yesu akawajibu, “Je, sasa mnaamini?
32 Langayi, saa jhihida, ena na hakika jhifikili, ambapo mwibetakutabhwanyika khila mmonga ni kwa bhene mwibetakunileka najhoni. Lakini nijhelepi ne muene kwandabha Dadi ajhele nani.
Saa inakuja, naam, imekwisha kuwadia, mtakapotawanyika kila mmoja kwenda nyumbani kwake na kuniacha peke yangu. Lakini mimi siko peke yangu kwa sababu Baba yu pamoja nami.
33 Nikabhajobhela mambo agha ili kwamba mugati mwa nene mujhelayi ni amani. Duniani mujhe ni matatizo, lakini mukipelayi muoyo, nibhushindili ulimwengu.
Nimewaambia mambo haya, ili mpate kuwa na amani mkiwa ndani yangu. Ulimwenguni mtapata dhiki. Lakini jipeni moyo, kwa maana mimi nimeushinda ulimwengu.”