< Yakobo 4 >

1 Ngondo ni migogoro miongoni mwa muenga fihomela ndaku? Fijhinuka lepi kuhoma mu tamaa sya muenga sibhibhi sya sileta ngondo mugati mwa bhashirika bha jhomu?
Mapigano na magombano yote kati yenu yanatoka wapi? Hutoka katika tamaa zenu mbaya ambazo hupigana daima ndani yenu.
2 Mwinoghela khela kya mubelili kujha naku. Mwikoma na mwijumbisya khela kyamwibhwe syalepi kujha nakhu. Mwikomana ni kujhwangana na mwakona mwikabhalepi kwandabha jha kutokun's'oka K'yara.
Mnatamani vitu na kwa vile hamvipati mko tayari kuua; mwatamani sana kupata vitu, lakini hamvipati, hivyo mnagombana na kupigana. Hampati kile mnachotaka kwa sababu hamkiombi kwa Mungu.
3 Mwis'oka na mwijhambelelalepi kwa ndabha mwis'oka, kwa ndabha jha mambo mabhibhi, ili kwamba mubhwesiajhi kufitumila kwa tamaa sya muenga sibhibhi.
Tena, mnapoomba hampati kwa sababu mnaomba kwa nia mbaya; mnaomba ili mpate kutosheleza tamaa zenu.
4 Muenga bhazinzi mumanyililepi kujha urafiki ni ulimwengu ndo bhuadui dhidi jha K'yara? Henu jhejhioha jhaiamula kujha rafiki ghwa ulimwengu ikwibheka muene adui ghwa K'yara.
Ninyi ni watu msio na uaminifu kama wazinzi. Je, hamjui kwamba kuwa rafiki wa ulimwengu ni kuwa adui wa Mungu? Yeyote anayetaka kuwa rafiki wa ulimwengu anajifanya adui wa Mungu.
5 Au mwifikilila majhandiku ghajhelepi ni maana paghijobha kujha Roho jhaabhekhili mugati mwa tete ajhe ni bhuifu nesu kwandabha jha tete?
Msifikiri kwamba Maandiko Matakatifu yamesema maneno ya bure, yanaposema: “Roho ambaye Mungu amemweka ndani yetu ana wivu mkubwa.”
6 Lakini K'yara ihomesya neema nesu, ndo maana majhandiku ghijobha,”K'yara akampinga jha ajhe ni kiburi, lakini akampela neema mnyenyekevu.”
Lakini, neema tunayopewa na Mungu ina nguvu zaidi; kama yasemavyo Maandiko: “Mungu huwapinga wenye majivuno lakini huwapa neema wanyenyekevu.”
7 Efyo, mukihomessiajhi kwa K'yara. Mumpengajhi ibilisi ni muene ibetakujumba kuhoma kwa muenga.
Basi, jiwekeni chini ya Mungu; mpingeni Ibilisi naye atawakimbieni.
8 Muhengelekayi palubhafu ni K'yara ni muene ibetakuhengelela palubhafu lwa muenga, musambajhi mabhoko gha muenga, muengajha mujhele ni dhambi, na mutakasiajhi mioyo ghya muenga, muenga jha mujhe ni nia sibhele.
Mkaribieni Mungu, naye atakuja karibu nanyi. Osheni mikono yenu enyi wakosefu! Safisheni mioyo yenu enyi wanafiki!
9 Mukilombosiajhi, muombolesiajhi ni kulela! Musanusiajhi luhekhu lwa muenga kujha huzuni ni furaha jha muenga kujha maombolesu.
Oneni huzuni, lieni na kuomboleza; kicheko chenu na kiwe kilio; na furaha yenu iwe huzuni kubwa.
10 Mukitengolelayi mwebhene palongolo pa K'yara Bwana, na ibetakubhajhinula panani.
Nyenyekeeni mbele ya Bwana, naye atawainueni.
11 Musijobhani kinyume muenga jhomu kwa jhomu, mwebhalukholo. Munu jhaijobha kinyume ni ndongo munu, au kun'hukumula ndongomunu ikheta kinyume ni sheria ni kujhukumu sheria jha K'yara. Mukajhihukumulayi sheria, mukajhijiula sheria, bali mkajhihukumu.
Ndugu, msilaumiane ninyi kwa ninyi. Anayemlaumu ndugu yake na kumhukumu, huyo huilaumu na kuihukumu Sheria. Kama ukiihukumu Sheria, basi, wewe huitii Sheria, bali waihukumu.
12 Mmonga tu ambajhe jha ihomesya sheria na hakimu, K'yara muene jha ajhe ni bhuweso bhwa kuokola ni kujhangamisya. Bhabhe ghwe niani jha ukan'hukumu jirani ghwa jhobhi?
Mungu peke yake ndiye mwenye kuweka Sheria na kuhukumu. Ni yeye peke yake anayeweza kuokoa na kuangamiza. Basi, wewe ni nani hata umhukumu binadamu mwenzako?
13 Mup'elekesiajhi muenga jha mwijobha, “Lelu au kilabhu twibetakulota mu mji obhu, ni kutama miaka okhu, ni kubhomba biashara ni kutengenesya faida.”
Basi, sasa sikilizeni ninyi mnaosema: “Leo au kesho tutakwenda katika mji fulani na kukaa huko mwaka mzima tukifanya biashara na kupata faida.”
14 Niani jha amanyili kiki kyakybeta kuhomela kilabhu, ni maisha gha muene ndo kiki nesu? kwa kujha mwiwaningana kama liluka lya lihomela kwa muda bhudebe ni kisha kujhagha.
Ninyi hamjui hata maisha yenu yatakavyokuwa kesho! Ninyi ni kama ukungu unaotokea kwa muda mfupi tu na kutoweka tena.
15 Badala jhiake ngamujobhili, “Kama ndo mapenzi gha Bwana, twibetakuishi ni tubeta kukhela ekhe au khela.”
Mngalipaswa kusema: “Bwana akitujalia tutaishi na tutafanya hiki au kile.”
16 Lakini henu mwikifuna panani pa mipango ghenu. Majivuno ghoha aghu ndo bhuovu.
Lakini sasa mwajivuna na kujigamba; majivuno ya namna hiyo ni mabaya.
17 Henu, kwa muene jha amanyili kukheta manofu lakini ikheta lepi kwa muene ojhu ndo dhambi.
Basi, mtu ambaye hafanyi lile jambo jema analojua kwamba anapaswa kulifanya, anatenda dhambi.

< Yakobo 4 >