< Wagalatia 5 >

1 Ni kwa ndabha Kristu alupelili uhuru ili tuyelai huru. Naaa, mmyemai ngangali msinasi kabhele mulikolongo la bhatumwa.
Kristo alitupa uhuru, akataka tubaki huru. Hivyo simameni imara wala msikubali tena kulemewa na kongwa la utumwa.
2 mlangaa, nene Paulo, nikabhajobhela yakuwa ikayela mlatailibhwa, Kristu ilafaidia lepi kwanjela yioayela.
Sikilizeni! Mimi, Paulo, nawaambieni kwamba kama mkikubali kutahiriwa, basi Kristo hatawafaidia chochote.
3 Kabhele, nikan'shuhudila kila n'gosi yaatahilibhu kuwa ipasibhwa kuwajibika kisheria iyoa.
Namshuhudia tena kila mtu anayekubali kutahiriwa kwamba inampasa kushika sheria yote.
4 Mtengibhu patali ni Kristu, bhala bhoa.”Bhabhiye sabibhwa haki.” kwa sheria. mbinili patali ni neema.
Ninyi mnaotafuta kuhesabiwa haki kwa njia ya sheria mmetengwa na Kristo, mko mbali na neema ya Mungu.
5 Maana kwa njela ya kiroho, mu imani tilendela ukifu wa haki.
Kwa maana, kwa njia ya Roho kwa imani, tunangojea kwa shauku tumaini la haki.
6 Kup'etela Kristu kutailibhwa au kubeekutailibhwa iyelepi Mana iyoayela. Ndo imani iyene yayifuanya mbhombho kup'etela upendo ndo yimaanisya khenu.
Kwa maana ndani ya Kristo Yesu, kutahiriwa au kutokutahiriwa hakuleti tofauti, bali lililo muhimu ni imani itendayo kazi kwa njia ya upendo.
7 Mwayele kutobha mbio kinofu. nya yaabhazuili kubhutii bhukueli?
Mlikuwa mkipiga mbio vizuri. Ni nani aliyewazuia msiitii kweli?
8 Ushawishi wa kuketa naa wihomee kwa muene ya akabhakuta muenga.
Ushawishi wa namna hiyo haukutokana na yule anayewaita.
9 Chachu idusu yihasili lidongi lisima.
“Chachu kidogo huchachua donge zima.”
10 Niyele ni matumaini ni muenga kup'etela Bwana yandabha mlafikili lepi tofauti ni njela yhenge yioayela. Yuoayola yaakabhaposhai alapaenda hukumu ya yumuene, yuoa yhola.
Nina hakika katika Bwana kwamba hamtakuwa na msimamo mwingine. Mtu anayewachanganya anastahili adhabu, hata awe nani.
11 Ndongho, Katya mwiyendelela kutangasya tohara, kwanda yakiki bado nitesibhwa? kwa lilobhi ele kela kaki yele kizuizi Kya n'salaba kibhuesya kuhalibibhwa.
Lakini ndugu zangu, kama mimi bado ninahubiri kuhusu kutahiriwa, kwa nini bado ninateswa? Katika hiyo hali basi, kwazo la msalaba limeondolewa.
12 Ndo matakwa gha nene kwa bhala bhabhikabhalongosya kinofu lepi bhalaji hasi bhabhene.
Laiti hao wanaowavuruga wangejihasi wao wenyewe!
Ndugu zangu, ninyi mliitwa ili mwe huru, hivyo msitumie uhuru wenu kama fursa ya kufuata tamaa za mwili, bali tumikianeni ninyi kwa ninyi kwa upendo.
Kwa maana sheria yote hukamilika katika amri moja: “Mpende jirani yako kama nafsi yako.”
Kama mkiumana na kutafunana, angalieni, msije mkaangamizana.
16 Nijobha, mgendai kiroho, mlasitisya lepi tamaa sa kimbhele.
Kwa hiyo nasema, enendeni kwa Roho, wala hamtazitimiza kamwe tamaa za mwili.
17 Kwa ndabha mbhele uye ni tamaa kusidi kiroho. Ni Roho iyele ni tamaa ibhaa kuzidi mbhele, e'se sipenga na kila mmonga ni yhenge. Matokeo kuwa mwiketa lepi fhenu ya filondeka kuketa.
Kwa maana mwili hutamani yale yaliyo kinyume na Roho, naye Roho hutamani yale yaliyo kinyume na mwili. Roho na mwili hupingana na kwa sababu hiyo hamwezi kufanya mnayotaka.
18 Katya Roho kabhalongosya muenga, muyeehe pasi pa sheria.
Lakini kama mkiongozwa na Roho, hamko chini ya sheria.
19 Henu ndo matendo gha mumbhele ndo ghabhonekana. Naghu do uasherati, uchafu, ni ufisadi,
Basi matendo ya mwili ni dhahiri nayo ni haya: Uasherati, uchafu, ufisadi,
20 ibada ya lisanamu, uhabhi, uadui, ugomvi, husuda, kuya ni ligoga, kushindana, faraka, kugawanyika kimazehebu,
kuabudu sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi,
21 Bhuifu, ulefi, ulafii ndo mambo ghamana ndo kama agha. nikabhaonya muenga, katya kana malili kubhaonya kamuandi ya kuwa bhala bhabhiketai mambo katya agha bhalalisi lepi ufalume wa K'yara.
husuda, ulevi, ulafi na mambo mengine yanayofanana na hayo. Nawaonya, kama nilivyokwisha kuwaonya kabla, kwamba watu watendao mambo kama hayo, hawataurithi Ufalme wa Mungu.
22 Ndabha litunda la Roho ndoupendo, furaha, amani, kuvumilila, ukalimu, utu bhuema, imani,
Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu,
23 Upole, na kiasi. Iyele sheria kup'etela mambo katya agha.
upole na kiasi. Katika mambo kama haya hakuna sheria.
24 Bhala bhabhayele bha Kristu Yesu bha usulubishi mbhele pamonga Ni shauku ya tamaa sibaya.
Wote walio wa Kristo Yesu wameusulubisha mwili na shauku zake pamoja na tamaa zake.
25 tya katulaishi kwa Roho, kabhele tugendai kiroho.
Kwa kuwa tunaishi kwa Roho, basi, tuenende kwa Roho.
26 Tukotokuya bhakujibhona, tusikolofishani kwa kila mmonga ni njinu, Wala tusibhoneniani Bhuifu.
Tusijisifu bure, tukichokozana na kuoneana wivu.

< Wagalatia 5 >