< Wagalatia 2 >
1 Badala ya miaka kumi na nne nalotili kabhele Yerusalem pamonga ni Barnaba. Kabhele nan'tolili ni Tito pamonga ni nene.
Baada ya miaka kumi na nne nilienda tena Yerusalemu pamoja na Barnaba. Pia nilimchukua Tito pamoja nami.
2 Nalotili ndabha ya K'yara ajidhihirishi kwa nene ya kuwa ni paswa kulota. Nabhekili palongolo pa bhene injili yanatangasi kwa bhanu bha mataifa. (Lakini nalongilili kwa kufigha kwa bhabhisemekana fiongozi bhamana). Naketili naa ili kuhakikisya ndabha nakembhelai hee, au nakembili mebhwa.
Nilienda kwa sababu Mungu alijidhihirisha kwangu kwamba nilipaswa kwenda. Niliweka mbele yao Injili ambayo niliitangaza kwa watu wa mataifa. (Lakini niliongea kwa siri kwa waliosemekana kuwa viongozi muhimu). Nilifanya hivi ili kuhakikisha kwamba nilikuwa sikimbii, au nilikimbia bure.
3 Ni kabhele Tito, yaayele pamonga ni nene, yaayele Myunani, alasimisibhu kutailibhwa.
Lakini hata Tito, aliyekuwa pamoja nami, aliyekuwa Myunani, alilazimishwa kutahiriwa.
4 Lijambo ele lahomili kwa ndabha ya bhalongo bhaudesi bhabhahidili kwa siri kupeleleza uhuru wa tuyenabhu kup'etela Kristu Yesu. Bhatamene kutuketa tete tuyelai bhatumwa bha Sheria.
Jambo hili lilitokea kwa sababu ya ndugu wa uongo waliokuja kwa siri kupeleleza uhuru tuliokuwa nao katika Kristo Yesu. Walitamani kutufanya sisi kuwa watumwa wa sheria.
5 Tajipisili lepi kubhatii hata kwa lisaa limonga, ya ndabha injili ya ukueli ibakilai bila kubadilisya kwa muenga.
Hatukujitoa kuwatii hata kwa saa moja, ili kwamba injili ya kweli ibaki bila kubadilika kwenu.
6 Ila bhala bhabhajobhibhu ya kuwa ndo fiongozi bhachangili lepi kyoa kela kwa nene. Kyoakela kayayele bhakifu ketai kayelepi kya. maana kwa nene. K'yara hakubali upendeleo wa bhanadamu.
Lakini wale waliosemwa kuwa walikuwa viongozi hawakuchangia chochote kwangu. Chochote walichokuwa wakikifanya hakikuwa na maana kwangu. Mungu hakubali upendeleo wa wanadamu.
7 Badala yaki, bhabhuene ya kuwa niaminibhu kutangasya injili kwa bhala bhabhatailibhu lepi. Yayele Katya Petro atangasyai injili kwa bhabhatailibhu.
Badala yake, waliniona kwamba nimeaminiwa kuitangaza injili kwa wale ambao hawakutahiriwa. Ilikuwa kama Petro atangaze injili kwa waliotahiriwa.
8 Kwa ndabha K'yara, yaafwanyili mbhombho mugati mwa Petro kwajia ya utume kwa bhala bhabhatailibhu, kabhele aketili mbhombho mugati mwa nene kwa bhanu bha mataifa.
Kwa maana Mungu, aliyefanya kazi ndani ya Petro kwa ajili ya utume kwa wale waliotahiriwa, pia alifanya kazi ndani yangu kwa watu wa mataifa.
9 Wati Yakobo, kefa, ni Yohana, ndo bhatambuliki ya kuwa bhajengili likanisa, bhamanyili neema ya napelibhu nene bhatupokili kup'etela ushirika nene ni Baketili naa ili ya ndabha tubhoki kwa bhanu bha mataifa, ni kabhele bha bhwesyai kulota kwa bhala bhabhatailibhu.
Wakati Yakobo, Kefa, na Yohana, waliotambulika kuwa waliojenga Kanisa, walifahamu neema niliyopewa mimi, walitupokea katika ushirika mimi na Barnaba. Walifanya hivi ili kwamba twende kwa watu wa mataifa, na ili kwamba waweze kwenda kwa wale waliotahiriwa.
10 Kabhele bhatulondai tete kubhakombhoka masikini. Nene kabhele nayele natamaniayi kuketa lijambo ele.
Pia walitutaka sisi kuwakumbuka masikini. Mimi pia nilikuwa natamani kufanya jambo hili.
11 Wakati kefa paahidili Antiokia, na mphengili bhuasi bhuasi yandabha ayele akosili.
Wakati Kefa alipokuja Antiokia, nilimpinga waziwazi kwa sababu alikuwa amekosea.
12 Kabula ya bhanu kuzaa kuhida kuhomela kwa Yakobo, kefa ayele kulya pamonga ni bhanu bhamataifa. Ila bhanu abha bhabhahidili, alekili ni kubhoka kuhomela kwa bhanu bha mataifa. Ayele atilai bhanu bha bhilonda tohara.
Kabla ya watu kadhaa kuja kutoka kwa Yakobo, Kefa alikuwa akila pamoja na watu wa mataifa. Lakini hawa watu walipokuja, aliacha na kuondoka kutoka kwa watu wa mataifa. Alikuwa anaogopa watu ambao walihitaji tohara.
13 Vilevile bhayahudi bhamana bhauengene ni unafiki obho pamonga ni kefa. Matokeo ghaki ghayele ni Barnaba atolibhu ni unafiki wa bhene.
Vilevile Wayahudi wengine waliungana na unafiki huu pamoja na Kefa. Matokeo yake yalikuwa kwamba hata Barnaba alichukuliwa na unafiki wao.
14 Panabhona yakuwa bhayelelepi kufuata injili ya ukueli, namjobhili kefa palongolo pa bhoa, “Katya muenga ndo bhayaudi ila mwiishi ni tabia sa bhanu bha mataifa badala ya tabia sa kiyaudi, kwa ndayakiki mkabhalasimisya bhanu bhamataifa kuishi katya bhayaudi?”
Lakini nilipoona kwamba walikuwa hawafuati injili ya kweli, nilimwambia Kefa mbele yao wote, “Kama ninyi ni Wayahudi lakini mnaishi tabia za watu wa mataifa badala ya tabia za Kiyahudi, kwa nini mnawalazimisha watu wa mataifa kuishi kama Wayahudi?”
15 Tete ambabho ndo bhayaudi bhakuhogoleka na siyo “Bhanu bhamataifa bhenye thambi”
Sisi ambao ni Wayahudi kwa kuzaliwa na siyo “Watu wa mataifa wenye dhambi “
16 Manyai kujo ayelepi yaihesabibhwa haki kwa matendo gha Sheria. Badala yaki, bhihesabhwa haki kwa imani mugati mwa Yesu Kristu. Twahidili kwa imani mugati mwa Kristu Yesu ili yandabha tihesabibwa haki kwa imani mugati mwa Kristu na lepi kwa matendo gha Sheria. Kwa matendo ya sheria uyelepi mbhele waubhwanili kuhesabibhwa katya haki.
fahamu kwamba hakuna anayehesabiwa haki kwa matendo ya sheria. Badala yake, wanahesabiwa haki kwa imani ndani ya Yesu Kristo. Tulikuja kwa imani ndani ya Kristo Yesu ili kwamba tunahesabiwa haki kwa imani ndani ya Kristo na siyo kwa matendo ya sheria. Kwa matendo ya sheria hakuna mwili utakao hesabiwa haki.
17 Katya tukandonda K'yara wa kutuhesabila haki mugati mwa Kristu, tukajikolela tayhoto kabhele ndo bhenye thambi, je Kristu aketibhu n'tumwa wa thambi? Wala naa hee!
Lakini kama tunapomtafuta Mungu kwa kutuhesabia haki ndani ya Kristo, tunajikuta wenyewe pia kuwa wenye dhambi, je Kristo alifanywa mtumwa wa dhambi? Siyo hivyo!
18 Maana katya ni kajengai tegemeo la nene juu ya kutunza sheria, litegemelo ambalo namalili kulibhosya, nikajilasya nayhoni Kujo mvunja sheria.
Maana kama nikijenga tegemeo langu juu ya kutunza sheria, tegemeo ambalo nilikwisha liondoa, najionesha mwenyewe kuwa mvunja sheria.
19 Kup'etela sheria nafuili mu sheria, kwa ele nipaswa kuishi kwajia ya K'yara.
Kupitia sheria nilikufa kwa sheria, kwa hiyo napaswa kuishi kwa ajili ya Mungu.
20 Nisulubibhu pamonga ni Kristu. So nene kabhele yakaniishi, Bali Kristu aaiishi mugati mwa nene. Maisha ghaniishi kup'etela mbhele niishi kwa imani mugati mwa muana wa K'yara yaa niganili ni kujitolela kwajia ya nene.
Nimesulubiwa pamoja na Kristo. Si mimi tena ninayeishi, bali Kristo anaishi ndani yangu. Maisha ninayoishi katika mwili ninaishi kwa imani ndani ya Mwana wa Mungu, ambaye alinipenda na akajitoa kwa ajili yangu.
21 Nikaikana hee neema ya K'yara, maana katya haki yayayele kup'etela sheria, basi Kristu ngaayele afuili mebhwa.
Siikani neema ya Mungu, maana kama haki ilikuwepo kupitia sheria, basi Kristo angekuwa amekufa bure.