< Filipi 4 >
1 Pu lieno vanghane vango, yumwe nikhuvakuveila, yumwe luhekhelo nuludeingh'uleilo lwango, mweime khikangafu mwa Nkuludeva. Umwe mweivamanyani vango mweivanghane.
Kwa hiyo wapendwa wangu, ambao nawatamani, ambao ni furaha na taji yangu. Simameni imara katika Bwana, enyi rafiki wapendwa.
2 Nikhukhusimeileincha uve Evudiya, nikhukhusimeileincha na yuve Sintike, mukilivule ulweideihano lwa lunonchehencho mundyumwe, ulwakhuva umwe mweivaveilei mwale paninie nu Nkuludeva.
Ninakusihi wewe Eudia, pia ninakusihi wewe Sintike, mrejeshe mahusiano ya amani kati yenu, kwa sababu ninyi, nyote wawili mliungana na Bwana.
3 Lweli, nikhuvasiima hange na yumwe mweivavomba mbombo vayango, muvatanganghe avadala ava ulwakhuva vavombangha paninie nune pakhupuleisya eilivangeili lya Nkuludeva vutulei Kelementi navange avalanghilangha pa mbombo uvu avo amatavwa nghavo nghalei mukata ya vwumi.
Kwa kweli, niwasihi pia ninyi watenda kazi wenzangu, muwasaidie hawa wanawake kwa kuwa walitumika pamoja na mimi katika kueneza injili ya Bwana tukiwa na Kelementi pamoja na watumishi wengine wa Bwana, ambao majina yao yameandikwa katika kitabu cha uzima.
4 Muhekhelanghe mwa Nkuludeva isikhu nchooni hange niita muhekhelanghe.
katika Bwana siku zote. tena nitasema, furahini.
5 Uvudekhedekhe vwinyo vumanyeikheikhe khuvanu vooni. Unkuludeva aleipipi.
Upole wenu na ujulikane kwa watu wote. Bwana yuko karibu.
6 Muleingatanchangha kumbombo eiyavenchangha. Pu lieno, muvombanghe imbombo nchienyo nchooni munyeisayo, nukhudova paninie nukhuleimya. Nifyumwinonghwa fimanyeikheikhe khwa Nguluve.
Msijisumbue kwa jambo lolote. Badala yake, fanyeni mambo yenu yote kwa njia ya kusali, kuomba na kushukuru. Na mahitaji yenu yajulikane kwa Mungu.
7 Pu leino ulunoncehencho lwa Nguluve ululuteilile khumanyi vyooni, yeivalolele inumbula ncheinyo na ncheinyo na masanghe ngheinyo nghooni, munumbula ngheili wa Yeisu Keileisite.
Basi amani ya Bwana iliyo kuu kuliko ufahamu wote, italinda mioyo na mawazo yenu kwa msaad Kristo Yesu.
8 Pu lieno, valukolo lwango; mweisangheilage fincho imbombo nchooni inchinyayeilweli, ulwadwado, uvulweli, nuvunonu, ulunghano nangala anghanghinchova ikhulongu einonu, anghaluhala, paninie nanghala anghilonda ukhwimekhiwa.
Hatimaye, ndugu zangu; yatakafarini sana mambo yote yenye ukweli, heshima, haki, usafi, upendo, na yale yenye taarifa njema, yenye busara, pamoja na yale yanayohitaji kusifiwa.
9 Munghavumbelelanghe nghala nghoni unghumumanyile, unghumunghambeilile nunghumupulikhe na nghala ungumunghavwene khulyune, pa na vope uDada yeiyo uvalunonchehencho ive nchangha numwe.
Yatekelezeni mambo yale mliojifunza, mliyopokea mliyoyasikia na yale mliyoyaona kwangu naye Baba yetu wa amani atakuwa nanyi.
10 Neilei nuluhekhelo uluvaha fincho palyumwe mwa Nkuludeva ulwakhuva umwe muvonisye khange uvunongwe weinyo uvwakhunghendelela kweinyo pafila ifyu nilonda, ndaveimungave samwave nu seikhi unghwa khunanga.
Ninayo furaha kubwa sana juu yenu katika Bwana kwa kuwa ninyi mmeonyesha tena nia ya kujihusisha kwenu juu ya mahitaji yangu. Kwa kweli, hapo awali mlitamani kunijali kwa mahitaji yangu japo hamkupata fursa ya kunisaidia.
11 Saniita ewo ukhuta neikave ifyuninonghwa fininie mbunonghwe vwango. Ulwakhuva neimanyile pa njeila nchoni khukweilamila.
Sisemi hivyo ili kujipatia kitu kwa ajili ya mahitaji yangu. Kwani nimejifunza kuridhika katika hali zote.
12 Neikhimanyile ukhutama pakhusita khukweilanila na pakhuva nafyo fyu fingi. Mumivele nghyoni einghi neimanyila ukhuveikha munumbula mumileile pa seikhi unghwa nyinghute nu mwakhuleila paseikhi unghwa njala, khukhuta pakhuva nafyo na pakhusita ukhuvuka nafyo.
Nafahamu kuishi katika hali ya kupungukiwa na pia katika hali ya kuwa na vingi. Katika mazingira yote haya mimi nimejifunza siri ya namna ya kula wakati wa shibe na jinsi ya kula wakati wa njaa, yaani vingi na kuwa mhihtaji.
13 Neileinamakha nghakhuvomba angha mumakha ngha Mwene uvei ikhuma amakha.
Ninaweza kufanya haya kwa kuwezeshwa na Yeye anitiaye nguvu.
14 Pope mwanghahile vunonu ukhuva paninie nunu mumbunkuvilwa vwanjala yango.
Hata hivyo, mlifanya vyema kushiriki nami katika dhiki zangu.
15 Umwe mwei va Filipi mulumanyile ukhuta uvutenghuleilo vwa livangeili vuneihenghile ukhuhuma khu Makedoniya, sakhwale nupelela nupelela unghwa tangeilangha ukhukongana nukhwihumya nu khupeila pu umwe mwei vene.
Ninyi wafilipi mnafahamu kwamba mwanzo wa injili nilipoondoka Makedonia, hakuna Kanisa lililoniwezesha katika mambo yanayohusu utoaji na kupokea isipokuwa ninyi pekee yenu.
16 Nu pala upuniale khu Tesalonikhe, umwe mwasuhile uvulangeili vwa finu sa yale khamo pumwaluleilile na pakyanya savuli ya fila ifyuneileikhufilonda une.
Hata nilipokuwa Thesaslonika, ninyi mlinitumia msaada zaidi ya mara moja kwa ajili ya mahitaji yangu.
17 Saniita nilonda ukhulangheiliwa. Puniita ewo ukhuta punchivonekhe isekhe khulyumwe inchiluteilile nchincho nchinghengha uvukavi khulyumwe mumbaleilo yeinyo.
Simaanishi kwamba natafuta msaada. Bali nasema ili mpate matunda yaletayo faida kwenu.
18 Nwupelile ifinu fyoni, pu lieno neideinghile ifinu fingi. Nwupelile ifinu fyeinyo ukhuhuma khwa Epafradito. Finu finonu fifyo finuheileila wita mono, ifyufikhweideikhiwa fifyo fyoni fyeipelile nekhelo yeiyo Unguluve ayeinghanile.
Nimepokea vitu vyote, na sasa nimejazwa na vitu vingi. Nimepokea vitu vyenu kutoka kwa Epafradito. Ni vitu vizuri vyenye kunukia mithiri ya manukato, vyenye kukubalika ambavyo vyote ni sadaka inayompendeza Mungu.
19 Savuli ya eiyo, Unguluve vango ikhuvonghelenchangha nukhudeincha ifyavunonghwe weinyo mu mbukavi vwa wimeikhiwavwa mwene mwa Yeisu Keileisite.
Kwa ajili hiyo, Mungu wangu atawajazeni mahitaji yenu kwa utajiri wa utukufu wake katikaYesu Kristo.
20 Leino khwa Nguluve uDaada yeito luve lweimeikho ulwa sikhu nchoni. Ameni. (aiōn )
Sasa kwa Mungu na Baba yetu uwe utukufu milele na milele. Amina. (aiōn )
21 Muvaponianghe voni avavalanche aveideikhi mwa Yeisu uKeileisite. Avanghane uvuneile navo apa vikhuvaponia.
Salamu zangu zimfikie kila muumini katika Kristo Yesu. Wapendwa nilio nao hapa wanawasalimieni.
22 Hange naveideikhi voni apa vikhuvaponia findo vala ava munyumba ya Kesali.
Pia waumini wote hapa wanawasalimieni, hususani wale wa familia ya Kaisari.
23 Pu leino uluhungu lwa Nkuludeva veito uYeisu Keileisite luvenchanghe mumwanya ngweinyo.
Na sasa neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe na roho zenu.