< Malekha 12 >

1 Pu u Yesu akhatengula ukhuva manyisya khufihwani. Akhata, “Umunu avyalile ugunda gwa misabibu, nu khunchungusya uluvigo, nu khuyava eilifuli lya khivekhila ei togwa (umfinyo) akhanchenga unala akhali hemin'chanche nu gunda gwa misabibu khuva limi va misabibu. Pu akhasafili eisafyali ya pauutali.
Yesu akaanza kusema nao kwa mifano, akawaambia: “Mtu mmoja alipanda shamba la mizabibu. Akajenga ukuta kulizunguka, akachimba shimo ndani yake kwa ajili ya shinikizo la kusindika divai, na akajenga mnara wa ulinzi. Kisha akalikodisha shamba hilo la mizabibu kwa wakulima fulani, kisha akasafiri kwenda nchi nyingine.
2 Usikhie vugufikhe akhasuha umbombi vavalimi va misabibu ukyopila ukhuhuma khumwene isekhe n'cha gunda gwa misabibu.
Wakati wa mavuno ulipofika, mwenye shamba akamtuma mtumishi wake kwa hao wapangaji ili kuchukua sehemu yake ya mavuno ya shamba la mizabibu kutoka kwa hao wapangaji.
3 Vakhibata, vakhatola, va khambun'cha bila kheinu.
Lakini wale wakulima walimkamata yule mtumishi, wakampiga, wakamfukuza mikono mitupu.
4 Akhasuha umbombi uyunge vupe vakha vomba vule vule vakhabuda, vakhavavombela vingi imbombo ndin'cho vakha va buda.
Kisha yule mwenye shamba akamtuma mtumishi mwingine kwao; nao wale wakulima wakampiga kichwani na kumfanyia mambo ya aibu.
5 Badu akhasuha uyunge yope vakha buda vakhataga.
Kisha akamtuma mtumishi mwingine, naye huyo wakamuua. Akawatuma wengine wengi; baadhi yao wakawapiga, na wengine wakawaua.
6 Ale nu munu uyunge uvakhusuha, umwana va mwene. Ugane uyu ale va muisyo ukhusuha khuvene. Akhata, “Vinchii khuudwada umwana vango.”
“Mwenye shamba alikuwa bado na mmoja wa kumtuma, mwanawe aliyempenda. Hatimaye akamtuma akisema, ‘Watamheshimu mwanangu.’
7 Pu avapangaji vakha nchova na vavo khwa vavo, “Vakhata tumuibate. Tubude, uvuhale wiwa weito.”
“Lakini wale wapangaji wakasemezana pamoja, ‘Huyu ndiye mrithi. Njooni tumuue, nao urithi utakuwa wetu.’
8 Vakha muuibata, vakhabuda vakhataga khunji khukhialo kya misabibu.
Hivyo wakamchukua na kumuua, wakamtupa nje ya lile shamba la mizabibu.
9 Pu apo, womba! Kheikhii unyakyalo kya misabibu? Ikhuiincha nukhuvabuda voni avalemi va misabibu nukhuvapa avange avalimi va gunda gwa misabibu.
“Sasa basi yule mwenye shamba atafanya nini? Atakuja na kuwaua hao wapangaji, kisha atawapa wapangaji wengine hilo shamba la mizabibu.
10 Samuumbile uvuvigi wa imenyu lilei? Eiluwe lilyo vabelile avanchengi livile liwe livaha lya khulukanji.
Je, hamjasoma Andiko hili: “‘Jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni;
11 Eeli lya humile khwa akada na lya khusuiga pamiho ga vanu.”
Bwana ndiye alitenda jambo hili, nalo ni ajabu machoni petu’?”
12 Valikhulonda ukhumuubata u Yesu, pa khuva valikhudwada ululundamano, lwee vanu valumanyile ukhuta anchovile ei vene. Pvakhandekha vakhanda ukhuluta.
Walipotambua kuwa amesema mfano huo kwa ajili yao, wakataka kumkamata, lakini wakaogopa ule umati wa watu. Wakamwacha, wakaondoka, wakaenda zao.
13 Puvakhavasuha vaninie avafalisayo namaherodia vategele khumamenyu.
Baadaye wakawatuma baadhi ya Mafarisayo na Maherode ili kwenda kumtega Yesu katika yale anayosema.
14 Vuvafikhe, vakhambula, “Imanyisi, tulumanyile ukhuta savujali eikheinu kyoni. Oasavuvonesya uvupendelelo khu vanu ila vumanyeisya einjila ya Nguluve khuvu yii luleli. Niwa yiluleli ukhuhomba eisongo khwa Kaisalia yee? Tuwesya ukhuhomba ewo ate?
Wakamjia, wakamwambia, “Mwalimu, tunajua kwamba wewe ni mtu mwadilifu. Wewe huyumbishwi na wanadamu, kwa kuwa huna upendeleo. Lakini wewe huifundisha njia ya Mungu katika kweli. Je, ni halali kulipa kodi kwa Kaisari, au la?
15 U Yesu avumanyile uvudesi wa vene, '“Nukhovavula kheikhii mukhungela? Mume ei ulutalama neilole.”
Je, tulipe kodi au tusilipe?” Lakini Yesu alijua unafiki wao. Akawauliza “Mbona mnajaribu kunitega? Nileteeni hiyo dinariniione.”
16 Vakhagega yimo khwa Yesu, akhavavula, “Eisula! Ei Yee yani nuvusimbe uvuwani va khata, “Fya Kesali.”
Wakamletea hiyo sarafu. Naye akawauliza, “Sura hii ni ya nani? Na maandishi haya ni ya nani?” Wakamjibu, “Ni vya Kaisari.”
17 UYesu akhata, “Mumpe u Kesali ikya Kesalia na mumpe Unguluve.” Vakhawiga.
Ndipo Yesu akawaambia, “Mpeni Kaisari kilicho cha Kaisari, naye Mungu mpeni kilicho cha Mungu.” Nao wakamstaajabia sana.
18 Pu amasadukayo, avavita vasikhuli uvunchukha vakha nchutila nu khumbuncha vakhata,
Kisha Masadukayo, wale wasemao kuwa hakuna ufufuo wa wafu, wakamjia Yesu,
19 “Imanyisi, u Mose atusimbile ukhuta ulukololwe va munu angave ifya ikhundekha udala kheisita vana udala uyu iwesya ukhuhalwa nuyonge nukhu ngolela avana khunjila ya lukololwe.'
wakasema, “Mwalimu, Mose alituandikia kuwa kama ndugu wa mtu akifa na kumwacha mkewe bila mtoto, basi huyo mtu inampasa amwoe huyo mjane ili amzalie ndugu yake watoto.
20 Khuuale nava lukolo saba, uvakhwanja (uvalutanchi) akhafya kha mwana.
Basi palikuwepo ndugu saba. Yule wa kwanza akaoa mke, naye akafa pasipo kuwa na mtoto yeyote.
21 Nayuvavile vupe akhafywa sakhandekha umwana na yuvadatu vule vule.
Wa pili akamwoa yule mjane, lakini naye akafa bila kuacha mtoto yeyote. Ikawa vivyo hivyo kwa yule wa tatu.
22 Nuva saba akhafya bila khundekha umwana. Khuvumalilo nayunchala akhafya.
Hakuna hata mmojawapo wa hao ndugu wote saba aliyeacha mtoto. Hatimaye yule mwanamke naye akafa.
23 Usikhegwa vanchukha udala uyu iva vani vuvanchukhilevoni? Khuvalukolo vala saba avavale vagosinva mwene.”
Kwa hiyo wakati wa ufufuo, yeye atakuwa mke wa nani, maana aliolewa na ndugu wote saba?”
24 U Yesu akhavavula, “Ei! ye njila ya khuvanchana pakhuva samulumanyile, eili vangeli lya Nguluve?”
Yesu akawajibu, “Je, hampotoki kwa sababu hamfahamu Maandiko wala uweza wa Mungu?
25 Usikhei gwa vunchkha wa wafulile, savale tola nu khuingila khavile mumbutegulane viva ndava sahwa khwa khukianya.
Wafu watakapofufuka, hawataoa wala kuolewa, bali watakuwa kama malaika wa mbinguni.
26 Pu lino, ukhuhumana nuvunchukha, wa! Vanu avinchusiwa samuimbile mukhitabu kya Mose, ululagilo lwa khei nchakha, 'Unguluve vuanchovile une neneNguluve va Abrahamu, mu Isaka, nu Yakobo?'
Basi kuhusu wafu kufufuliwa, je hamjasoma katika Kitabu cha Mose jinsi Mungu alivyosema na Mose kutoka kile kichaka akisema, ‘Mimi ni Mungu wa Abrahamu, na Mungu wa Isaki, na Mungu wa Yakobo?’
27 Umwene sio Nguluve vave fuile Nguluve vumi. Luleli muyagilwe.”
Yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa walio hai. Kwa hiyo mmekosea kabisa.”
28 Yumo mugati muvandisyii akhincha mukhu pulehencha einchovele ya vene; akhavona u Yesu avajibile luleli. Akhambuncha lulagilo lulikhu ulunogiwa khulikho nchoni?”
Mwalimu mmoja wa sheria akaja, akawasikia wakijadiliana. Akiona kwamba Yesu amewajibu vyema, naye akamuuliza, “Katika amri zote, ni ipi iliyo kuu?”
29 U Yesu akhajibu, “Akhata uye yinogwa y eiyei, “Puleheencha uve Islaeli, Unguluve vito, ali yumo.
Yesu akajibu, “Amri iliyo kuu ndiyo hii: ‘Sikia ee Israeli. Bwana Mungu wetu, Bwana ndiye mmoja.
30 Pu yinogwa ukhukonga Unguluve vakho nee numbula yakho yoni namasage gakho goni, nuluhala lwakho lwoni namakha gakho goni.'
Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa akili zako zote, na kwa nguvu zako zote.’
31 Ululagilo ulwa khauile, 'Luuulu unganage ujirani nduvu vukhei gana uve.' Lusikhuli ululagilo ulunge uluvaha pa nchii.”
Ya pili ndiyo hii: ‘Mpende jirani yako kama nafsi yako.’ Hakuna amri nyingine iliyo kuu kuliko hizi.”
32 Usimbi akhata, “Lunonu mumanyisi! Unchovile luleli ukhuta Unguluve ali yumo, nu khuta asikhuli uyunge khumwene.
Yule mwalimu wa sheria akamwambia Yesu, “Mwalimu, umejibu vyema kwamba Mungu ni mmoja, wala hakuna mwingine ila yeye.
33 Ukhugana umwene ne numbula yoni, nuluhala luunono, namakha goni, nukhugana ujirani nchuu wiganile lunonu vincho khulikho isadakha ncha khunyanya.”
Kumpenda Mungu kwa moyo wote na kwa akili zote na kwa nguvu zote, na kumpenda jirani kama mtu anavyojipenda mwenyewe ni bora zaidi kuliko kutoa sadaka za kuteketezwa na dhabihu zote.”
34 Vu u Yesu ahuminche alijibu lya luhala, akhavavula, “Uve sulie khutali nuludeva lwa Nguluve.” Ukhwanjila apo asipali uviambunchinche u Yesu ama swali.
Yesu alipoona kwamba amejibu kwa busara, akamwambia, “Wewe hauko mbali na Ufalme wa Mungu.” Tangu wakati huo, hakuna mtu yeyote aliyethubutu kumuuliza maswali tena.
35 Nu Yesu avajibile, vuimani sya mutembile, akhata, “Ava! Simbi vila u Yesu mwana va Davudi?
Yesu alipokuwa akifundisha Hekaluni, akauliza, “Imekuwaje walimu wa sheria wanasema kwamba Kristoni Mwana wa Daudi?
36 UDavudi yoywa khu mepo umbalanche, akhata, 'Udaada achovile khwadaada vango utame eikhivokho kyango eikyandwo, ei mpakhaneva vekhe avavini vakho pasi pamalunde gakho.'
Kwa maana Daudi mwenyewe, akinena kwa kuongozwa na Roho Mtakatifu, alisema: “‘Bwana alimwambia Bwana wangu: “Keti mkono wangu wa kuume, hadi nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako.”’
37 Udavudi yuywa ikhumwela nga Ukristi, 'Daada' Pu! Mwana va Davudi khunjila?” Yelekhu nululundamano uluvaha lukha pulehencha nuluhekhelo.
Kwa hiyo Daudi mwenyewe anamwita ‘Bwana.’ Awezaje basi yeye kuwa mwanawe?” Ule umati wote wa watu wakamsikiliza kwa furaha.
38 Mulumanyisyo lwa Yesu akhata, “Muakyoli na vasimbi, avavinongwa ukhuluala emienda emitali nu khuponiwa mu sokhoni.
Alipokuwa akifundisha, Yesu alisema, “Jihadharini na walimu wa sheria. Wao hupenda kutembea wakiwa wamevaa mavazi marefu, na kusalimiwa kwa heshima masokoni.
39 Nu khutama mufigoda fya vavaha muma sinagogi mu sikukuu (muselehe) Khumamenyu ga vavaha.
Pia wao hupenda kukaa kwenye viti vya mbele katika masinagogi, na kupewa nafasi za heshima katika karamu.
40 Vilya munyumba ncha va fyela nu khwieisaya intesaya inali vavavone avanu. Avanu ava vipokhela uvuhegi uvuvaha.”
Wao hula nyumba za wajane, na ili waonekane kuwa wema wanasali sala ndefu. Watu kama hawa watapata hukumu iliyo kuu sana.”
41 Pu u Yesu akhatama pasi pipi neli sadukha lya sadakhamugati mu tembile; alikhulola avanu vuvigenda nu khulaha ihela muli sandukha lya sadakha. Vingi avanu avatajili vakhalaha ihela nchuu nyingi.
Kisha Yesu akaketi mkabala na sehemu ambapo sadaka zilikuwa zinawekwa na kuangalia umati wa watu wakiweka fedha zao kwenye sanduku la hazina ya Hekalu. Matajiri wengi wakaweka kiasi kikubwa cha fedha.
42 Pu udala yumo ufwele uganchu akhincha khuilaha ifipande vivile fya sendi.
Lakini mjane mmoja maskini akaja na kuweka sarafu mbili ndogo za shaba zenye thamani ya senti mbili.
43 Pu akha vilanga avakongi ya mwene nukhuvavula, “Luleli nukhuvavula, udala uyu ufwile alahile nchu nyingi khulikho voni auatalile ukhulaha mulisandukha lya hela.
Yesu akawaita wanafunzi wake, akawaambia, “Amin, nawaambia, huyu mjane maskini ameweka katika sanduku la hazina zaidi ya watu wengine wote.
44 Pakhuva vingi vahuminche ukhu humana nu wingiwa vibanafya vene. Udala ufyile uyu, ukhuhuma khuganchu wa mulene ahuminche ihela nchooni inchinchi khale ncha khuntanga mbwumi wa mwene.”
Wengine wote wametoa kutokana na ziada ya mali zao. Lakini huyu mjane ametoa kutokana na umaskini wake, akaweka kila kitu alichokuwa nacho, hata kile alichohitaji ili kuishi.”

< Malekha 12 >