< Yakobo 1 >

1 U Yakobo ukungwa va Nguluve nu gwa Ntwa Yesu Klisite, ku makabila ekinchigo na kuvili avayaganighe nikuponja.
Mimi Yakobo, mtumishi wa Mungu na wa Bwana Yesu Kristo, nawaandikia ninyi, makabila kumi na mawili, yaliyotawanyika ulimwenguni! Salaam!
2 Mvalage uluhekelo fincho, valukolo lwangu, wumgenda mbukuvilwa wingi,
Ndugu zangu, muwe na furaha mnapopatwa na majaribu mbalimbali,
3 Mgalumanye uhugeliwa kulwedeko lwenyo khukhupata ukwiyumilincha.
kwani mwajua kwamba imani yenu ikisha stahimili, itawapatieni uvumilivu.
4 Muleghe ukwiyumilincha, mmale imbombo ya mwene, ukhuta mudulughe vunono, pasita khupungukiwa khulilyoni.
Muwe na hakika kwamba uvumilivu wenu utawategemeza mpaka mwisho, mpate kuwa wakamilifu na watimilifu, bila kupungukiwa chochote.
5 Igava umunu pagati paliyumu ilonda ulugano, adovage ukhuma kwa Nguluve, uvihumya khukisa ulwa uhuva ihumya ghinchila khuhovela kuvidova, euhuvapa ulugano.
Lakini kama mmoja wenu ametindikiwa hekima, basi, anapaswa kumwomba Mungu ambaye atampatia; kwani Mungu huwapa wote kwa wingi na kwa ukarimu.
6 Mdovaghe kulwidiko, pasita uvudwanchi, ulwa kuva uvudwanchi vuhwanine nde mepo eyelimunyanja, yitoliwa ne mepu nu khutagiwa khona nukhwo.
Lakini anapaswa kuomba kwa imani bila mashaka yoyote. Mtu aliye na mashaka ni kama mawimbi ya bahari ambayo husukumwa na kutupwatupwa na upepo.
7 Ulwakhuva umunu uyo alekhe ukusaga ukhuta akwambililiwa inogwa ncha mwene nu Nguluve;
Mtu wa namna hiyo, mwenye nia mbili na asiye na msimamo katika mwenendo wake wote,
8 Umunu uyo alinamasage gavili, inchila lwidiko mnchila ncha mwene nchoni.
asidhani ya kwamba atapata chochote kile kutoka kwa Bwana.
9 Ulukolo uganchu inogiwa ukhiwnye ukhwima khukyanya,
Ndugu aliye maskini anapaswa kufurahi wakati Mungu anapomkweza,
10 usikhi gugugwa utayari mumbudwanchi wa mwene, ulwakhuva iyaga ndili vuva elyakukihulu mkhiyalo ekheegenda.
naye tajiri anapaswa kufurahi anaposhushwa na Mungu. Maana tajiri atatoweka kama ua la porini.
11 Elinchuva likhuma amafughe ghinyanya emibeki, amavuva khikwuma khiyancha uvunonu waghene, wifwa. vule vule avanu avatajiri viva vaghanchu kumbombo nchavene.
Jua huchomoza na kwa joto lake kali hukausha mimea, nayo maua yake huanguka, na uzuri wake wote huharibika. Vivyo hivyo, tajiri ataangamizwa katika shughuli zake.
12 Isayiwa umunu uvikwumilila mugelo, ulwakhuva aghalesye engelo incho, inkwambilila etaji ya wumi, yevikhiwe kuvala avagholofu wa Nguluve.
Heri mtu anayebaki mwaminifu katika majaribu, kwani akisha stahimili atapewa tuzo la uzima ambalo Mungu aliwaahidia wale wanaompenda.
13 Umunu uviavencha siwesya ukhunchova upwu egeliwa, “Egelo encho nchihuma khwa Nguluve,” ulwakuva uNguluve sigeliwa ni mbivi, nu Nguluve yuywa sikhugela umunu.
Kama mtu akijaribiwa, asiseme: “Ninajaribiwa na Mungu.” Maana Mungu hawezi kujaribiwa na uovu, wala yeye hamjaribu mtu yeyote.
14 Khila munu egeliwa nu vunogwe wa mwene uvuvivi inchikusonga ukhukwega khuvutali.
Lakini mtu hujaribiwa anapovutwa na kunaswa na tamaa zake mbaya.
15 Ulwakhuva uvunogwe wa mbivi wigega unchigo, uvutulanongwa vuholiwa, imbimbi yegadulughe vunonu sisilila khuvufwe.
Tamaa ikiiva huzaa dhambi; nayo dhambi ikikomaa huzaa kifo.
16 Vagane valukolo lwango msite ukhusyovegha.
Ndugu zangu wapenzi, msidanganyike!
17 Unkwohela khunonu, nukhwohela khwihuma khukyanya, khukwigha pasi, ukhuma khwa Dada va lumuri. Lusiku sikhwanduka ndu mwinchinchi umwukhukwadukhila.
Kila kipaji chema na kila zawadi kamilifu hutoka mbinguni; hutoka kwa Baba, Muumba wa mianga, ambaye habadiliki wala hana alama yoyote ya ugeugeu.
18 UNguluve atukhali ufwe ukhutupa uwumi wa limyu lya lweli, tuve ukhuhwanana ndavaholiwa avakhanda avavikhwani fya mwene.
Kwa kupenda kwake mwenyewe alituzaa kwa neno lake la ukweli, ili tuwe namna ya matunda ya kwanza miongoni mwa viumbe vyake.
19 Mlemanyile eli, vagane valukololwagwa, kila munu yinogiwa avinchaghe epepe va khupulika, asitaghe ukhuva epepe vakhunchova nukhukalala,
Ndugu zangu wapenzi, kumbukeni jambo hili! Kila mtu na awe mwepesi wa kusikia lakini asiwe mwepesi wa kusema wala mwepesi wa kukasirika.
20 Ulwa kuva iliyoyo lya munu salilivomba uluhungu lwa Nguluve.
Mwenye hasira hawezi kutimiza matakwa ya Mungu yaliyo ya haki.
21 Lino muvinchage kuvuvtali uvulami wa mbivi ni nogwa nchoni, nulwinyisyo mwupelilaghe ilimenyu elivyaliwe ngati yeno, iliwisya ukupoka inumbula nchiyo.
Kwa hiyo, tupilieni mbali mwenendo mchafu na tabia zote mbovu; jiwekeni chini ya Mungu na kupokea ule ujumbe uliopandwa mioyoni mwenu, ambao waweza kuziokoa nafsi zenu.
22 Litiini neno, msilisikie tu, mkijidanganya nafsi zenu wenyewe.
Msijidanganye wenyewe kwa kusikiliza tu neno lake, bali litekelezeni kwa vitendo.
23 Uviavenchaga uviepulika elimenyu sikulivombela imbombo avile nde munu uviekilola kumiho nkyovo.
Yeyote anayesikiliza hilo neno lakini halitekelezi, huyo ni kama mtu anayejiangalia sura yake mwenyewe katika kioo.
24 Ukwilola kumincho, usenki usupi isamwa ikihwani kya mwene umwavelile.
Hujiangalia mwenyewe, kisha huenda zake, na mara husahau jinsi alivyo.
25 Umunu uvielola vunonu endangilo nchoni, endagilo eya vudekedeke mbologolo ukwidika endagilo ulwakhuva umwene epulihencha sisamwa, umunu uyu esayiwa wivomba.
Lakini mtu anayeangalia kwa makini sheria kamilifu ambayo huwapa watu uhuru, mtu anayeendelea kuizingatia, na si kuisikia tu na kuisahau baadaye, bali anaitekeleza, mtu huyo atabarikiwa katika kila kitu anachofanya.
26 Engave umunu uviavinchaga esaga yuywa ukhuta munu va lwidiko, elemwa ukwulemilila ululimi lwa mwene ekuyesyova enumbula ya mwene na Lwediko lwa mwene.
Kama mtu akijiona kuwa ni mtu mwenye dini, lakini hawezi kuutawala ulimi wake, dini yake haifai kitu, na anajidanganya mwenyewe.
27 Ulwidiko ulunonu salunaghike mbologolo mwa Nguluve vitu, ukuvatanga avapina, na vafwele mbugatale wa vene, ukwilolela vavo uvuliasi wa nkilunga.
Dini iliyo safi na isiyo na hitilafu mbele ya Mungu Baba ni hii: Kuwasaidia yatima na wajane katika shida zao, na kujilinda mwenyewe usichafuliwe na ulimwengu huu.

< Yakobo 1 >