< 1 Petro 4 >
1 Ulwa kuva uYesu agatantsiwe mu mbili, mufwale ifilwilo ifya mbili. Umwene agatanshiwe nu mbili ahegile ni mbivi.
Kwa hiyo, kwa kuwa Kristo aliteswa katika mwili wake, ninyi nanyi jivikeni nia iyo hiyo kwa maana mtu aliyekwisha kuteswa katika mwili ameachana na dhambi.
2 Umunu uyu sidumuka ukutama mumbunogwe we mbili, hange uwigane Nguluve, kuvutamo lwa mwene uvusigile.
Kwa hivyo, haishi maisha yake yaliyobaki ya kuishi hapa duniani kwa tamaa mbaya za wanadamu, bali anaishi kwa mapenzi ya Mungu.
3 Ulwa kuva usikhi ugulutile gukwilile ukuvomba imbombo avakilunga vinogwa ukuvomba insakilunga nu vunogwe uvuvivi, uvugansti, ulya va panji, ni nekelo insta intsa kumbipintsa.
Maana wakati uliopita mmekwisha kutumia muda wa kutosha katika maisha yenu mkifanya yale ambayo wapagani hupenda kutenda: wakiishi katika uasherati, tamaa mbaya, ulevi, karamu za ulafi, vileo, ngoma mbaya, na ibada chukizo za sanamu.
4 Visaga ni ustha kudega vutukipoka ukuvomba, imbombo icho paninye na vene uvuvivi.
Wao hushangaa kwamba ninyi hamjiingizi pamoja nao katika huo wingi wa maisha ya ufisadi, nao huwatukana ninyi.
5 Valahumya imbalilo vala avavidike avumi na vafwe.
Lakini itawapasa wao kutoa hesabu mbele zake yeye aliye tayari kuwahukumu walio hai na waliokufa.
6 Uvufumbwe uva livangili lilumbiliwe kuvala avamalile ukufwa, vamalile ukuhigiwa kombombo nshevene uwa mbombo ntsoni, wikwitsa tuve nu vumanye tuve nu vumanyi uvunogwe nu vufumbwe ku mbombo entsa klwisayo kwenyo.
Kwa kuwa hii ndiyo sababu Injili ilihubiriwa hata kwa wale waliokufa, ili wahukumiwe sawasawa na wanadamu wengine katika mwili, lakini katika roho waishi kulingana na Mungu aishivyo.
7 Kuvumalilo uwa uogwa nsoni wikwe, kwa hiyo, mwe na ufahamu ulio sahihi, na iweni na nia njema kwa ajili ya maombi yenu.
Mwisho wa mambo yote umekaribia. Kwa hiyo kuweni na akili tulivu na kiasi, mkikesha katika kuomba.
8 Ukuhuma kumbombo utsoni tuve nulugano lintsa nu lugano, kumunu nu munu, ulwakuva ulugano lulonda ukugula uvutula nongwa va vange.
Zaidi ya yote, dumuni katika upendo kwa maana upendo husitiri wingi wa dhambi.
9 Vunesye uvudekedekhe kwa kila munu nukusila ukwililisya.
Kuweni wakarimu kila mtu na mwenzake pasipo manungʼuniko.
10 Ndu kila munu apokile ikikungilwa kuvombage ukutangana na avimilinsi.
Kila mmoja na atumie kipawa chochote alichopewa kuwahudumia wengine, kama mawakili waaminifu wa neema mbalimbali za Mungu.
11 Umunu anga utsove nsive ukuta mavungu uNguluve nu munu angavombe ave ndumunu uvyapevilwa amaka nu Nguluve ile ave ntsage ni mbombo Nguluve, ulwakuva uNguluve aginiwage nu kugendea kwa Yesu Klisite. Ulugano na maka galinumwe isiku nsoni ni isiku nsoni. Amina. (aiōn )
Yeyote asemaye hana budi kusema kama mtu asemaye maneno ya Mungu mwenyewe. Yeyote ahudumuye hana budi kuhudumu kwa nguvu zile anazopewa na Mungu, ili Mungu apate kutukuzwa katika mambo yote kwa njia ya Yesu Kristo. Utukufu na uweza una yeye milele na milele. Amen. (aiōn )
12 Vayango mulavalilaga ukugela ilyulikwi ntsa kukuvagela, ulwakuva ikhinu ikyo kigeni, ulwakuva kuli ifinu ikyavahesya ifi fya humilaga kulyumwe.
Wapenzi, msione ajabu kwa yale mateso yanayotukia miongoni mwenu, kana kwamba ni kitu kigeni kinachowapata.
13 Ulwakhuva vutukwendelela ukusovela nu uvukuvilwa wa Klisite, tuhekelage nu kuhekela ulwakuva tudinduliwe.
Bali furahini kuwa mnashiriki katika mateso ya Kristo, ili mpate kufurahi zaidi wakati utukufu wake utakapofunuliwa.
14 Mungave mdukhiwe ni limenyu lyango, kulitawa lya Klisite, nu msanyiwe ulwakuva umepo umbola utse uva Nguluve itama pakyanya pa lyumwe.
Kama mkitukanwa kwa ajili ya jina la Kristo, mmebarikiwa, kwa sababu Roho wa utukufu na wa Mungu anakaa juu yenu.
15 Umunu igata alekhe ukuvepo unyakhugatawi ustiwa ubudaji, undasi, umbombo mbivi, nu vihangaika ni mbombo imbivi uvivomba imbombo injitava ntse mwene.
Lakini asiwepo mtu yeyote miongoni mwenu anayeteswa kwa kuwa ni muuaji, au mwizi, au mhalifu wa aina yoyote, au anayejishughulisha na mambo ya watu wengine.
16 Umunu uvwungiwa ni mbombo insa nklisite, alekhage ukuvona isoni, aginye uNguluve kulitawa ilyu.
Lakini kama ukiteseka kwa kuwa Mkristo, usihesabu jambo hilo kuwa ni aibu, bali mtukuze Mungu kwa sababu umeitwa kwa jina hilo.
17 Ulwa khuva isikhi jifikhe lutsa vuhigi ukheu ugwa vuhigi kutengulila tengula munyumba ya Nguluve. Yingave yitengulila khilyufwe, yiva ndeti khu vala untsela avasavidike wa yilweli ilimenyu lya Nguluve?
Kwa maana wakati umewadia wa hukumu kuanzia katika nyumba ya Mungu. Basi kama ikianzia kwetu sisi, mwisho wa hao wasiotii Injili ya Mungu utakuwaje?
18 Nukuva uva yilweli ipokiwa ukuhumila uvukuvilwa yuyiva ndakhikhiuntsila lweli nu nyambivi?”
Basi, “Ikiwa ni vigumu kwa mwenye haki kuokoka, itakuwaje kwa mtu asiyemcha Mungu na mwenye dhambi?”
19 Ulwakuva vuni avigata ntsiwa ukuhuma nuvunogwe wa Nguluve vagotole inumbula ntsavo kupeli ugolofu nu kuvomba imbombo inonu.
Kwa hiyo, wale wanaoteswa kulingana na mapenzi ya Mungu, wajikabidhi kwa Muumba wao aliye mwaminifu, huku wakizidi kutenda mema.