< Okuswelulwa 3 >
1 Ku Malaika wa Likanisa Lya Sardi yandika: 'Emisango ja uliya unu agwatiliye jilya emyoyo musanju eja Nyamuanga na jinjota musanju. “Enimenya chinu oukola. uli no lususo lwo kubha muanga mbe nawe, uli mufuye.
“Kwa malaika wa kanisa la Sarde andika hivi: “Huu ndio ujumbe kutoka kwake yeye aliye na roho saba za Mungu na nyota saba. Nayajua mambo yako yote; najua unajulikana kuwa na uhai kumbe umekufa!
2 Imuka na ukomeshe ganu gasagile, mbe nawe gali yei okufwa, kunsonga nitabhibwene ebhikolwa bhyao bhikumiye mu meso ga Nyamuanga wani.
Amka! Imarisha chochote chema kilichokubakia kabla nacho hakijatoweka kabisa. Maana, mpaka sasa, sijayaona matendo yako kuwa ni makamilifu mbele ya Mungu wangu.
3 Kulwejo, nuwichuke, jiliya jinu walamiye no kungwa. Nuwolobhe no kuta. Mbe nawe ukalema okwimuka, enija lwo mwifi, na utakumenya ni mwanya ki gunu enikujako.
Kumbuka, basi, yale uliyofundishwa na jinsi ulivyoyasikia, uyatii na ubadili nia yako mbaya. Usipokesha nitakujia ghafla kama mwizi, na wala hutaijua saa nitakapokujia.
4 Mbe nawe galio amasina matoto aga bhanu bhanu bhali Sardi bhanu bhatajijabhishe emyenda jebhwe. Abho nibho abhalibhata amwi nanye, bhafwaye emyenda jimwela kobho, kunsonga bhejile.
Lakini wako wachache huko Sarde ambao hawakuyachafua mavazi yao. Hao wanastahili kutembea pamoja nami wakiwa wamevaa mavazi meupe.
5 Mbe unu kaiga kafwafibhwa ebhifwalo bhimwela kobho, na koto nitakulisimya Lisina lyaye okusoka mu chitabho cho bhuanga, na enilibhilikila lisina lyaye imbele ya Lata wani, na imbele ya Bhamalaika.
“Wale wanaoshinda, watavikwa mavazi meupe kama hao. Nami sitayafuta majina yao kutoka katika kitabu cha uzima; tena nitawakiri kwamba ni wangu mbele ya Baba yangu na mbele ya malaika wake.
6 Alabha uli no kutwi, tegelesha jinu Mwoyo kutyo kagabhwila amakanisa.”
“Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!
7 “Ku Malaika owa Likanisa elya Philadefia yandika: Emisango ja unu ali mulengelesi na ali we chimali-unu ali na jifungulujo ja Daudi, na kegula na atalio unu kegala, kegala na atalio unu katula okwigula.
“Kwa malaika wa kanisa la Filadelfia andika hivi: “Huu ndio ujumbe kutoka kwake yeye aliye mtakatifu na wa kweli, ambaye anao ule ufunguo wa Daudi, na ambaye hufungua na hakuna mtu awezaye kufungua.
8 Enimenya chinu ukolele. Lola, nikuteleyeo imbele yao omulyango gunu gwigukile gunu atalio unu katula ogugwigala. Nimenyele ati uli na managa matoto mbe nawe ugwolobhee omusango gwani na utakulilema lisina lyani.
Nayajua mambo yako yote! Sasa, nimefungua mbele yako mlango ambao hakuna mtu awezaye kuufunga; najua kwamba ingawa huna nguvu sana, hata hivyo, umezishika amri zangu, umelitii neno langu wala hukulikana jina langu.
9 Lola! bhona bhanu bhali mulikofyanyisho lya Shetani, bhanu abhaika ati bhenene ni Bhayaudi Kasi tikwo kutyo, kukila ejo abhajiga-jiga. Enibhakola bhaje no kulamya imbele ya magulu gao, na mbamenya ati naliga nikwendele.
Sikiliza! Nitawapeleka kwako watu wa kundi lake Shetani, watu ambao hujisema kuwa ni Wayahudi, kumbe ni wadanganyifu. Naam, nitawapeleka kwako na kuwafanya wapige magoti mbele yako wapate kujua kwamba kweli nakupenda wewe.
10 Kulwo kubha ubhibhikile ebhilagilo bhyani kwo bhwigumilisha kwe chimali, enikulinda one mu mwanya gwao ogwo kulegejibhwa gunu oguja mu Chalo chona, okubhalegeja bhaliya bhona bhanu bhekaye mu chalo.
Kwa kuwa wewe umezingatia agizo langu la kuwa na uvumilivu, nami pia nitakutegemeza salama wakati ule wa dhiki inayoujia ulimwengu mzima kuwajaribu wote wanaoishi duniani.
11 Enija bhwangu. Nugwatilile muno chinu uli nacho koleleki asiga kubhao munu owo kugega olutenga lwao.
Naja kwako upesi! Linda, basi, ulicho nacho sasa, ili usije ukanyang'anywa na mtu yeyote taji yako ya ushindi.
12 Enimukola unu kaiga kubha ing'ingi mu Yekalu ya Nyamuanga wani, na atakusokamo koto. Enilyandika ku mwene lisina Lya Nyamuanga wani, lisina lyo musi gwa Nyamuanga wani (Yelusalemu nyaya, gunu ogwika okusoka mu lwile ku Nyamuanga wani), ne Sina lyani eyaya.
“Wale wanaoshinda nitawafanya wawe minara katika Hekalu la Mungu wangu, na hawatatoka humo kamwe. Pia nitaandika juu yao jina la Mungu wangu na jina la mji wa Mungu wangu, yaani Yerusalemu mpya, mji ambao utashuka kutoka juu mbinguni kwa Mungu wangu. Tena nitaandika juu yao jina langu jipya.
13 Omwene unu ali no kutwi, nongwe chinu Mwoyo kaika ku MaKanisa.'
“Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!
14 “Ku Malaika wa Likanisa elya Laodikia yandika: 'Emisango jaye unu ali Amina, unu ali wo kwimako no mubhambasi Mwiikanyibhwa, mutungi ingulu yo bhumogi bhwa Nyamuanga.
“Kwa malaika wa kanisa la Laodikea andika hivi: “Huu ndio ujumbe kutoka kwake yeye aitwaye Amina. Yeye ni shahidi mwaminifu na wa kweli, ambaye ni chanzo cha viumbe vyote alivyoumba Mungu.
15 Enimenya chinu ukolele, na ati awe utanyiliye nolwo utanebhila, niligiye ati akili wakabhee munyiliye amwi mubhila!
Nayajua mambo yako yote! Najua kwamba wewe si baridi wala si moto. Afadhali ungekuwa kimojawapo: baridi au moto.
16 Kwibhyo, ku nsonga awe uli ne bhila bhila, utane bhila nolwo kunyilila, mbe enija okukutanaka usoke mu munwa gwani.
Basi, kwa kuwa hali yako ni vuguvugu, si baridi wala si moto, nitakutapika!
17 Kulwa kubha owaika, “Anye nili munibhi, nabhee na bhinu bhyafu, na nitakenele chinu chona chona.” Mbe nawe atakumenya ati awe uli mutaka na munu we mwalo muno, no owo kusulumbalilwa, mutaka, muofu na tuyu.
Wewe unajisema, Mimi ni tajiri; ninajitosheleza, sina haja ya kitu chochote. Kumbe, hujui kwamba wewe ni mnyonge, unahitaji kuhurumiwa, maskini, kipofu tena uko uchi!
18 Tegelesha inyaika yani: nugule kwanye ijaabhu inu ilabhile mu mulilo koleleki ubhone kubha munibhi, na jingubho jimwela jinu ejilabhyangila koleleki ujifwale omwene na wasiga kwelesha jinswalo ja bhutuyu bhwao, na amafuta go kubhambaga ku meso gao koleleki ulole.
Nakushauri ununue kwangu dhahabu iliyosafishwa kwa moto upate kuwa tajiri kweli. Tena afadhali ununue pia vazi jeupe, uvae na kufunika aibu ya uchi wako. Nunua pia mafuta ukapake machoni pako upate kuona.
19 Bhuli unu enenda, enimwelesha no kumwiigisha lwa kutyo jiile okulama; kulwejo, nubhe we chimali na ute.
Mimi ndiye mwenye kumwonya na kumrudi yeyote ninayempenda. Kwa hiyo kaza moyo, achana na dhambi zako.
20 Lola enimelegulu ku mulyango ne nikonona. Wone wone unu kongwa obhulaka bhwani no kwingula omulyango, enija no kwingila muju yaye, no kulya ebhilyo nage no mwene amwi nanye.
Sikiliza! Mimi nasimama mlangoni na kubisha hodi. Mtu akisikia sauti yangu na kufungua mlango, nitaingia nyumbani kwake na kula chakula pamoja naye, naye atakula pamoja nami.
21 Unu kaiga, enimuyana echimali cho kwinyanja amwi nanye ingulu ye chitebhe chani cha ingoma, lwa kutyo anye naigile no kwinyanja amwi na Lata wani ingulu ye chitebhe chaye echa ingoma.
“Wale wanaoshinda nitawaketisha pamoja nami juu ya kiti changu cha enzi, kama vile mimi mwenyewe nilivyoshinda nikaketi pamoja na Baba yangu juu ya kiti chake cha enzi.
22 Unu ali no kutwi, kwo kungwa mbe nongwe jinu Mwoyo kabhwila amakanisa.”
“Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!”