< Okuswelulwa 17 >
1 Oumwi wa bhamalaika musanju unu aliga ali ne bhikeneko musanju ejile no kubhwila ati, “I'ja, enijo kukwelesha indamu ya Malaya omukulu unu enyanjile ingulu ya maji mafu,
Mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na bakuli akaja, akaniambia, “Njoo, mimi nitakuonyesha adhabu aliyopewa yule mzinzi mkuu, mji ule uliojengwa juu ya maji mengi.
2 unu abhakama bhe chalo bhakolele amasango go bhulomesi nage ingulu ya malwa go bhulomesi bhwaye bhanu bhekaye mu chalo bhatamisibhwe.”
Wafalme wa dunia wamefanya uzinzi pamoja naye; na wakazi wa dunia wamelewa divai ya uzinzi wake.”
3 Malaika nangega mu Mwoyo kukinga mwibhala, nimulola omugasi enyanjile ku ntyanyi imutuku inu yaliga ijuye masina ago kufuma. Intyanyi eyo yaliga ili na mitwe musanju na mayembe ekumi.
Kisha, Roho akanikumba, akaniongoza mpaka jangwani. Huko nikamwona mwanamke ameketi juu ya mnyama mwekundu. Mnyama huyo alikuwa ameandikwa kila mahali majina ya makufuru; alikuwa na vichwa saba na pembe kumi.
4 Omugasi oyo nafwafibhwa omwenda go luyoyo na gumutuku na bhamunanikile kutamya kwa jijaabhu, kwa mabhui go bhubhasi bhulabhu, na jilulu. Aliga ajigwatiliye mu kubhoko kwaye ne chikombe cha ijaabhu chinu chijuye ebhinu bhya mafululusho go bhujabhi bhwo bhulomesi bhwaye.
Mwanamke huyo alikuwa amevaa vazi la rangi ya zambarau na nyekundu; alikuwa amejipamba kwa dhahabu, mawe ya thamani na lulu. Mkononi mwake alishika kikombe cha dhahabu ambacho kilikuwa kimejaa machukizo na mambo machafu yanayoonyesha uzinzi wake.
5 Ingulu ye chisusu cho bhusu bhwaye lyandikilweko lisina lya imbisike: “BHABHEL MUKULU, MAI WA BHAMALAYA NO WEBHINU BHYA MAFULULUSHO GE CHALO.”
Alikuwa ameandikwa juu ya paji la uso wake jina la fumbo “Babuloni mkuu, mama wa wazinzi na wa mambo yote ya kuchukiza sana duniani.”
6 Nindola ati omugasi oyo aliga atamilile kwa Insagama ya bhekilisha na Insagama ya bhanu bhafuye okulubhana na Yesu. Mumwanya gunu namulolele, mwabhee ne chitang'ang'alo chinene.
Nikamwona huyo mwanamke amelewa damu ya watu wa Mungu, na damu ya watu waliouawa kwa sababu ya kumtangaza Yesu. Nilipomwona nilishangaa mno.
7 Mbe nawe Malaika nambwila ati, “Kulwaki outang'ang'ala? Enijo kukwelesha insonga yo mugasi unu na intyanyi inu imugegele (intyanyi eyo eye mitwe musanju na galya amayembe ekumi).
Lakini malaika akaniambia, “Kwa nini unashangaa? Mimi nitakuambia maana iliyofichika ya mwanamke huyu na mnyama huyo amchukuaye ambaye ana vichwa saba na pembe kumi.
8 Intyanyi inu walolele yaliga ilio, italio lindi woli, mbe nawe ili bhwangu okulinya okusoka mu lyobho linu litana bhutelo. Okumala kagendelela no bhunyamuke. Bhalya bhanu bhekaye mu chalo, bhalya bhanu amasina gebhwe gatandikilemo mu chitabho cho bhuanga kusoka kutelwako olufuka lwe chalo-bhalilugula bhakailola intyanyi inu yaliga ilio, ati italio woli, mbe nawe ili ayei okuja. (Abyssos )
Huyo mnyama uliyemwona alikuwa hai hapo awali, lakini sasa amekufa. Hata hivyo, karibu sana atapanda kutoka shimoni kuzimu, lakini ataangamizwa. Wanaoishi duniani watashangaa; naam, watu wote ambao majina yao hayakupata kuandikwa katika kitabu cha uzima tangu mwanzo wa ulimwengu, watashangaa kumwona huyo mnyama ambaye hapo awali, aliishi, kisha akafa na sasa anatokea tena! (Abyssos )
9 Okubhilikilwa kunu ni ingulu yo bhwenge bhunu bhulio no bhwengeso. Mitwe musanju ni mabhanga musanju anu omugasi oyo enyanjile ingulu yaye.
“Hapa panahitaji akili na hekima! Hivyo vichwa saba ni vilima saba, na huyo mwanamke anaketi juu yake. Vichwa hivyo pia ni wafalme saba.
10 Nebhyo one ni bhakama musanju. Abhakama bhatanu bhaguye, no oumwi alio, no oundi achali kuja; Omwanya ogwo akaja, kenyanja kwo mwanya mufui- la.
Kati ya hao wafalme saba, watano wamekwisha angamia, mmoja anatawala bado, na yule mwingine bado hajafika; na atakapofika atabaki kwa muda mfupi.
11 Intyanyi eyo yaliga ilio, mbe nawe woli italio, oyo one ni mukama wa munana; mbe nawe ni umwi wa bhalya bhakama musanju, nawe kagenda mu bhunyamuke.
Huyo mnyama ambaye alikuwa anaishi hapo awali lakini sasa haishi tena ni mfalme wa nane, naye pia ni miongoni mwa hao saba, na anakwenda zake kuharibiwa.
12 Amayembe ekumi galiya ganu walolele ni bhakama ekumi bhanu bhachali kubhona obhulaka, mbe nawe abhabhona obhulaka kuti bhakama kwa mwanya gwe saa limwi amwi na liyanyi elyo.
“Zile pembe kumi ulizoziona ni wafalme ambao bado hawajaanza kutawala. Lakini watapewa mamlaka ya kutawala kwa muda wa saa moja pamoja na yule mnyama.
13 Bhanu abhaloma gumwi, na abhaliyana amanaga gebhwe no bhutulo ga lityanyi elyo.
Shabaha ya hawa kumi ni moja, na watampa yule mnyama nguvu na mamlaka yao yote.
14 Bhalikola lilemo no mwana wa inama na kabhaiga kulwo kubha ni Latabhugenyi wa Bhalatabhugenyi no nikaja wa Bhakama- na mu mwene chabhilikiwe, chasolelwe, abheikanyibhwa.”
Watapigana na Mwanakondoo, lakini Mwanakondoo pamoja na wale aliowaita na kuwachagua, ambao ni waaminifu, atawashinda kwa sababu yeye ni Bwana wa mabwana na Mfalme wa wafalme.”
15 Malaika nambwila ati, “Amaji galya ganu walolele, Anu aliga enyanjile Malaya ulya hi bhanu, ni bhise, Amaanga na jinyako.
Malaika akaniambia pia, “Yale maji uliyoyaona pale alipokaa yule mzinzi, ni mataifa, watu wa kila rangi na lugha.
16 Amayembe ekumi galya ganu walolele - ago ni lityanyi abho bhalimusoka Malaya ulya. Na bhene abhamusiga enyele na ali tuyu, na bhalilya omubhili gwaye, na nibhagulungusha mu mulilo.
Pembe zile kumi ulizoziona na yule mnyama watamchukia huyo mzinzi. Watachukua kila kitu alicho nacho na kumwacha uchi; watakula nyama yake na kumteketeza kwa moto.
17 Kulwo kubha Nyamuanga ateemo mu myoyo jebhwe bhinu kulwo kwenda kwaye kwo kwikilishanya no kuliyana lityanyi elyo amanaga gebhwe okumutunga kukinga lunu emisango ja Nyamuanga jilikumila.
Maana Mungu ametia mioyoni mwao nia ya kutekeleza shabaha yake, yaani kwa kukubaliana wao kwa wao na kumpa huyo mnyama mamlaka yao ya kutawala, mpaka hapo neno la Mungu litakapotimia.
18 Omugasi ulya unu wabhwene ni musi gulya omunene gunu gutungule ingulu ya bhakama bhe Chalo.”
“Na yule mwanamke uliyemwona ndio ule mji mkuu unaowatawala wafalme wa dunia.”