< Yoana 12 >

1 Olusiku lwa katanu na imwi ichali ipasaka, Yesu agendele Bethania, anualiga Lazaro, unu asuluye okusoka mu bhafuye.
Siku sita kabla ya Pasaka, Yesu alienda Bethania, alipokuwapo Lazaro, yeye ambaye alimfufua kutoka katika wafu.
2 Mbe nibhamutekelayo ebyilo bya kegolo eyo na Martha nakeleketa, omwanya ogwo Lazaro aliga ali umwi ku bhaliya bheyanjile kubyilo amwi na Yesu.
Basi wakamwandalia chakula cha jioni huko, na Martha akamtumikia, wakati huo Lazaro alikuwa mmoja wapo wa wale walioketi chakulani pamoja na Yesu.
3 Mbe Mariamu nagega ratli ya malange ago gakonjelwe kwa nardo inkonde eyobhulambu muno, namubhambaga Yesu ebhigele, na mukubhula ebhigele kwa jifwili jaye; inyumba yona niijula obhulange bha mafuta.
Kisha Mariamu akachukua ratli ya manukato yaliyotengenezwa kwa nardo safi, yenye thamani kubwa, akampaka Yesu miguuni, na kumfuta miguu kwa nywele zake; nyumba yote ilijaa harufu ya manukato.
4 Yuda Iskariote, umwi wa bhaliya abheigisibwa bhaye, unu aliga nenda okumulomela inuku Yesu, naika ati,
Yuda Iskariote, mmoja wa wale wanafunzi wake, ambaye ndiye atakayemsaliti Yesu, akasema,
5 “Kubhaki amafuta ganu gatakakanibwe kwa dinali magana gasatu ni bhabhana abhataka?
“Kwanini manukato haya yasingeuzwa kwa dinari mia tatu na wakapewa maskini?”
6 Nawe aikile kutyo atali kubhafyila echigongo abhataka, kwokubha aliga mwifi: niwe omugumya wa isagwa gwa impilya aliga nagegamoga ebyo bhatulamoga okubha byaye wenyele.
Naye aliyasema hayo, si kwa kuwahurumia maskini, bali kwa sababu alikuwa mwizi: yeye ndiye aliyeshika mfuko wa fedha na alikuwa anachukua baadhi ya vilivyowekwa humo kwa ajili yake mwenyewe.
7 Yesu anaika ati,”Mumusige atuleo echo alinacho kulwejo okulusi lwo kusikwa lwani.
Yesu alisema, “Mwache aweke alicho nacho kwa ajili ya siku ya maziko yangu.
8 Omutaka mulinabho siku jona; nawe mutakubha nanye siku jona.”
Maskini mtakuwa nao siku zote; lakini hamtakuwa nami siku zote.”
9 Mbe echise chinene cha Bhayaudi bhamenyele ati Yesu aliyo, nibhaja, atali kulwa, Yesu ela nawe bhamulole na Lazaro unu Yesu asuluye okusoka mu bhafuye.
Basi umati mkubwa wa Wayahudi walipata kujua ya kuwa Yesu yuko huko, nao wakaja, si kwa ajili ya Yesu tu, ila wamwone na Lazaro ambaye Yesu alimfufua kutoka katika wafu.
10 Nawe abhakulu bha bhagabhisi nibhakola imbisike okumwita Lazaro;
Nao wakuu wa makuhani wakafanya shauri ili wamue Lazaro;
11 Kubha kubwaye bhafu Abhayaudi nibhagenda jebwe nibhamwikilisha Yesu.
maana kwa ajili yake wengi katika Wayahudi walienda zao na wakamwamini Yesu.
12 Olusiku lwa kabhili echise chinene bhaliga bhejile kumalwa. bhejile bhongwa ati Yesu kaja Yerusalemu,
Na siku ya pili yake umati mkubwa walikuja kwenye sikukuu. Waliposikia ya kuwa Yesu anakuja Yerusalemu,
13 Bhagegele amatabhi gamakinda no kusoka anja nokugenda okumulamila nibhabhuma chikelele,”Hosana! ana libhando unu kaja kwa lisina lya Lata bhugenyi, Omukama wa Israeli.”
walichukua matawi ya miti ya mitende na kutoka nje kwenda kumlaki na wakapiga kelele, “Hosana! Amebarikiwa yeye ajaye kwa jina la Bwana, Mfalme wa Israeli.”
14 Yesu nabhona omwana wa isikili nakalinyako lwa kutyo jandikilwe,
Yesu alimpata mwana-punda akampanda; kama vile ilivyoandikwa,
15 “Utobhaya, muyala wa Sayuni; lola, Omukama wao kaja, alinyile omwana wa isikili
“Usiogope, binti Sayuni; tazama, Mfalme wako anakuja, amepanda mwana-punda.”
16 Abheigisibwa bhaye bhatasombokewe emisango ja kubwambilo; Nawe Yesu nakusibwa, niwo nibhechuka okubha emisango jinu andikiwe ati bhakola emisango jinu kumwene.
Wanafunzi wake hawakuyaelewa mambo haya hapo kwanza; lakini Yesu alipotukuzwa, ndipo walipokumbuka ya kuwa mambo haya aliandikiwa yeye na ya kwamba wametenda mambo haya kwake.
17 Mbe liijo lya bhanu abhobhaliga aamwi na Yesu omwanya nibhamubhilkila Lazaro okusoka mufwa, nibhamubhambalila ku bhandi.
Basi lile kundi la watu waliokuwepo pamoja na Yesu wakati alipomwita Lazaro kutoka kaburini, wakashuhudia kwa wengine.
18 Okubha liijo lya bhanu bhagendele okumulamila kwo kubha bhonguwe ati akolele echibhalikilsho echo.
Na ilikuwa kwa sababu hii pia kwamba kundi la watu walikwenda kumlaki kwasababu walisikia ya kwamba ameifanya ishara hiyo.
19 Abhafalisayo nibhaikana abhene kwa bhene, Lola, woli mutakutula kukola lyona; lola isi yagenda mumwene.”
Mafarisayo wakasemezana wao kwa wao, “Tazama, sasa hamwezi kufanya lolote; tazama, ulimwengu umekwenda kwake.”
20 Woli bhalio Abhayunani bhaliga amwi mwa bhaliya abhobhagendaga okulamya kumalya.
Sasa baadhi ya Wayunani walikuwa miongoni mwa wale waliokuwa wakienda kuabudu kwenye sikukuu.
21 Bhanu nibhamulubha Filipo, unu asokaga Bethsaida ya Galilaya, nibhamusabwa nibhaika ati,” Lata bhugenyi, ewse echenda okumulola Yesu;
Hawa walimwendea Filipo, ambaye alitoka Bethsaida ya Galilaya, wakamwomba wakisema, “Bwana, sisi tunatamani kumwona Yesu.”
22 Filipo nagenda namubwila ati Andrea; Andrea na Filipo nibhagenda nibhamubwila Yesu.
Filipo akaenda akamwambia Andrea; Andrea na Filipo wakaenda na kumwambia Yesu.
23 Yesu nabhasubya naika ati,”Omwanya gwakinga kulwejo omwana wa Adamu akusibwe.
Yesu akawajibu akasema, “Saa imefika kwa ajili ya Mwana wa Adamu kutukuzwa.
24 Ni chimali, chimali, nabhabwila ati, injuma ya ingano ikalema okugwa ku si nifwa, eiyanja awo yenyele; nawe ikafwa, eibhula amatwasho mafu.
Amini, amini, nawaambia, chembe ya ngano isipoanguka katika nchi ikafa, hukaa hali iyo hiyo peke yake; bali ikifa, itazaa matunda mengi.
25 Unu kenda obhuanga bwaye alibhubhusha; nawe unu katamaganwa obhuanga bwaye mu si munu alibhuonya nolwo obhuanga bwa kajanende. (aiōnios g166)
Yeye apendaye uhai wake ataupoteza; bali yeye auchukiaye uhai wake katika ulimemngu huu atausalimisha hata uzima wa milele. (aiōnios g166)
26 Omunu woona akankolela anye, nandubhe; anye nili eyo omukosi wani labhaga. Omunu woone alankolela, Lata alimuyana echibhalo.
Mtu yeyote akinitumikia mimi, na anifuate; nami nilipo, ndipo na mtumishi wangu atakapokuwapo. Mtu yeyote akinitumikia, Baba atamheshimu.
27 Wolyanu omwoyo gwani gwasulumbala: anye enaikaki?'Lata, nuukishe omwanya gunu'? Nawe kulwejo nikingila mumwanya gunu.
Sasa roho yangu imefadhaika: nami nisemeje? 'Baba, uniokoe katika saa hii'? Lakini ni kwa kusudi hii nimeifikia saa hii.
28 Lata, ulikushe lisina lyao.”Mbe lilaka nilija okusoka mulwile niyaika ati,”Nalikusha anye enilikusha lindi.”
Baba, ulitukuze jina lako.” Kisha sauti ikaja kutoka mbinguni na kusema, “Nimelitukuza nami nitalitukuza tena.”
29 Mbe ebhise byaliga bhimeleguyu yeyi nage nibhogwa nibhaika ati, kugwajuma. Abhandi nibhaika ati,”Malaika aika nage.”
Basi mkutano uliosimama karibu naye wakasikia, wakasema ya kwamba kumekuwa ngurumo. Wengine walisema, “Malaika amesema naye.”
30 Yesu nasubya naika ati,”Lilaka linu litejile kulwanye nawe ni kubwemwe.
Yesu akajibu na kusema, “Sauti hii haikuja kwa ajili yangu, bali kwa ajili yenu.
31 Wolyanu okulamula kwa isi inu ilio: Wolyanu omukulu wa isi inu kesibwa anja.
Sasa hukumu ya ulimwengu huu ipo: Sasa mkuu wa ulimwngu huu atatupwa nje.
32 Anye nakayanikwa ingulu ya isi, ndifutila bhona kwanye.”
Nami nikiinuliwa juu ya nchi, nitawavuta wote kwangu.”
33 Aikile kutyo nolesha okufwa kunu kajokufwa.
Aliyanena hayo akionesha ni mauti gani atakayokufa.
34 Elikofyanya nibhamusubya ati,”eswe chonguwe mubhilagilo ati Kristo kabhalio kajanende. Kawe owaikaki,' Omwana wa Adamu ayanikwe ingulu'? Onu omwana wo munu niga?” (aiōn g165)
Mkutano wakamjibu, “Sisi tumesikia katika sheria ya kwamba Kristo atadumu hata milele. Nawe wasemaje, 'Mwana Adamu lazima ainuliwe juu'? Huyu Mwana wa Mtu ni nani?” (aiōn g165)
35 Mbe Yesu nabhabwila ati, “Obwelu bhuchalio amwi nemwe mwanya mutoto Nimulibhate muchali no bwelu, echisute chisige okubhagwatila. Oyo kalibhatila muchisute atakumenya enukaja.
Basi Yesu akawaambia, “Nuru ingalipo pamoja nanyi muda kidogo. Enendeni maadamu mnayo nuru, ili kwamba giza lisije likawaweza. Yeye aendaye gizani hajui aendako.
36 Woli muchali no bwelu, mwikilishe obwelu mubhe bhana bho bwelu.”Yesu ejile amala okwaika nagenda jae niibhisa bhasiga kumulola.
Mngali mnayo nuru, iaminini nuru hiyo ili mpate kuwa wana wa nuru.” Yesu aliyasema haya na kisha akaenda zake akajificha wasimwone.
37 Yesu akolele ebhibhalikisho byafu imbele yebwe, bhatamwikilisishe.
Ingawa Yesu alifanya ishara nyingi namna hiyo mbele yao, bado hawakumwamini
38 Gukumila omusango gwo mulagi Isaya, aikile ati Lata bhugenyi niga ekilisishe emisango jebwe? No kubhoko kwa Lata bhugenyi kwa sululiwe ga?”
ili litimie neno la nabii Isaya, alilosema: “Bwana, ni nani aliyezisadiki habari zetu? Na mkono wa Bwana amefunuliwa nani?”
39 Nikwo bhatekilisishe, kubha Isaya aikile lindi,
Ndio sababu wao hawakuamini, maana Isaya alisema tena,
40 “Abhaofushe ameso, nakola emitima jebwe bhasige kulola kwa meso gebwe no kumenyegesha ne mitima jebwe nibhekilisha anye nikebheulisha
“Amewapofusha macho, na ameifanya migumu mioyo yao; wasije wakaona kwa macho yao na wakafahamu kwa mioyo yao, na wakaongoka nami nikawaponya.”
41 Isaya aikile ati emisango jinu kwokubha alolele likusho la Yesu naika emisango jaye.
Isaya alisema maneno hayo kwa kuwa aliuona utukufu wa Yesu na akanena habari zake.
42 Nawe, nolwo mubhakulu bhafu bhamwikilisishe Yesu; Nawe kwokubha Abhafarisayo bhatekilisishe bhataja kuilisibwa na sinagogi.
Walakini, hata wakuu wengi walimwamini Yesu; lakini kwa sababu ya Mafarisayo, hawakukiri ili wasije wakatengwa na sinagogi.
43 Bhendaga echibhalo cha bhanu kukila echibhalo cha Nyamuanga.
Walipenda sifa za wanadamu kuliko sifa zitokazo kwa Mungu.
44 Yesu naikila ingulu naika ati,”Unu kanyikilisha naye, atakwikilisha anye tali unu antumile anye,
Yesu akapaza sauti na kusema, “Yeye aniaminiye mimi, haniamini mimi tu bali na yeye aliyenituma mimi,
45 Unu kandola anye kamulola unu antumile.
naye anionaye mimi anamuona yeye aliyenituma.
46 Anye nejile kubha bwelu bwa isi bhuli munu unu kanyikilisha anye atakwikala muchisute.
Mimi nimekuja kama nuru ulimwenguni ili kila mtu aniaminiye mimi asikae gizani.
47 Akabha omunu woona atakugwata emisango jani nawe atakujigwata, anye nitakumulamila; okubha nitejile okulamula isi nawe nikishe isi.
Ikiwa mtu yeyote atayasikia maneno yangu lakini asiyashike, mimi simhukumu; maana sikuja ili niuhukumu ulimwengu, bali niuokoe ulimwengu.
48 Unu kalema anye atakwikilisha emisango jani, unu kamulamula: Omusango gunu naika nigwo gulimulamula ku lusiku lwo bhutelo.
Yeye anikataye mimi na asiyeyakubali maneno yangu, anaye amhukumuye: neno hilo nililolinena ndilo litakalomhukumu siku ya mwisho.
49 Okubha anye nitaikile kwo mutima gwani Nawe ni Lata unu antumile, nawe omwene andagiliye jinu ndaika na jinu ndaika.
Maana mimi sikunena kwa nafsi yangu tu. Bali ni Baba aliyenipeleka, yeye mwenyewe ameniagiza nitakayonena na nitakayosema.
50 Anye nimenyele echilagilo chaye ni bhuanga bwa kajanende nawe jinu enaika anye, lwa kutyo Lata ambwiliye, nikwo enaika kwebwe.” (aiōnios g166)
Nami najua ya kuwa agizo lake ni uzima wa milele; basi hayo ninenayo mimi - kama Baba alivyoniambia, ndivyo ninenavyo kwao.” (aiōnios g166)

< Yoana 12 >