< Abhagalatia 1 >
1 Nanye Paulo intumwa. Anye nitali ntumwa okusoka ku bhanu nolwo kulabha ku bhanu, Nawe ni kulabha ku Yesu Kristo na Nyamuanga Lata unu amusuluye okusoka mu bhafuye.
Mimi Paulo mtume,
2 Amwi na bhaili bhone nanye, enigandikila amakanisa Galatia.
na ndugu wote walio pamoja nami, tunayaandikia makanisa yaliyoko Galatia. Mimi nimepata kuwa mtume si kutokana na mamlaka ya binadamu, wala si kwa nguvu ya mtu, bali kwa uwezo wa Yesu Kristo na wa Mungu Baba aliyemfufua Yesu kutoka wafu.
3 Echigongo chibhe amwi nemwe no mulembe gunu gusokele ku Nyamuanga Lata weswe no Mukama Yesu Kristo,
Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na kutoka kwa Bwana Yesu Kristo.
4 unu esosishe omwene kulwe bhibhibhi bhyeswe koleleki achigululule mu katungu kanu ako bhuyabhi, okusokana ne lyenda lya Nyamuanga weswe na Lata. (aiōn )
Kristo alijitoa mwenyewe kwa ajili ya dhambi zetu kufuatana na mapenzi ya Mungu wetu na Baba, ili apate kutuokoa katika ulimwengu huu mbaya wa sasa. (aiōn )
5 Ku mwene libhe likusho lya kajanende na kajanende. (aiōn )
Kwake yeye uwe utukufu milele! Amina. (aiōn )
6 Enilugula okubha mwaindukie iinjili indi bhwangu. Enilugula ati omuindukila alela okusoka ku mwene unu abhabhilikie kulwe chigongo cha Kristo.
Nashangaa kwamba muda mfupi tu umepita, nanyi mnamwasi yule aliyewaita kwa neema ya Kristo, mkafuata Habari Njema ya namna nyingine.
7 Italio iinjili indi, mbe nawe bhalio abhanu bhalebhe bhanu abhabhaletelesha jinyako no kwenda okuindula iinjili ya Kristo.
Lakini hakuna “Habari Njema” nyingine. Ukweli ni kwamba wako watu wanaowavurugeni, watu wanaotaka kuipotosha Habari Njema ya Kristo.
8 Mbe nawe nolwo eswe amwi bhamalaika okusoka mu lwile nalasha kwemwe iinjili indi tali inu chabhalasishe ewemwe, afumilisibhwe.
Lakini, hata kama mmoja wetu au malaika kutoka mbinguni, atawahubirieni Habari Njema tofauti na ile tuliyowahubirieni sisi, basi huyo na alaaniwe!
9 Lwa kutyo chaikile kubhwambilo, olyanu enaika lindi, “Akabha alio munu nabhalasisha emwe iinjili indi kukila inu mwalamiye, afumilisibhwe.”
Tulikwisha sema, na sasa nasema tena: kama mtu yeyote anawahubirieni Habari Njema ya aina nyingine, tofauti na ile mliyokwisha pokea, huyo na alaaniwe!
10 Angu wolyanu eniyenja echibhalikisho cha bhanu amwi cha Nyamuanga? Eniyenja okubhakondelesha abhanu? Labha enigendelela okubhakondelesha abhanu anye nitali mukosi wa Kristo.
Sasa nataka kibali cha nani: cha binadamu, ama cha Mungu? Au je, nataka kuwapendeza watu? Kama ningefanya hivyo, mimi singekuwa kamwe mtumishi wa Kristo.
11 Bhaili, enenda mumenye ati iinjili inu nabhalasisishe itali yo kusoka ku bhanu.
Ndugu, napenda mfahamu kwamba ile Habari Njema niliyoihubiri si ujumbe wa kibinadamu.
12 Nitailamie okusoka ku munu amwi okwiigisibhwa. Nawe yaliga ibhonesibhwe okusoka ku Kristo okuja kwanye.
Wala mimi sikuipokea kutoka kwa binadamu, wala sikufundishwa na mtu. Yesu Kristo mwenyewe ndiye aliyenifunulia.
13 Mwamalile okungwa ingulu ya kalibhatie kani ka inyuma okusoka mu dini ye Chiyaudi, lwa kutyo naliga ninyasha kulwo bhululu ikanisa ya Nyamuanga okukila muno no kuisingalisha.
Bila shaka mlikwisha sikia jinsi nilivyokuwa ninaishi zamani kwa kuzingatia dini ya Kiyahudi, na jinsi nilivyolitesa kanisa la Mungu kupita kiasi na kutaka kuliharibu kabisa.
14 Naliga nigendelee mu dini ye Chiyaudi kukila abhaili bhani bhanfu Abhayaudi. Naliga no bhubhasi muno muntungwa ja balata bhani.
Naam, mimi niliwashinda wengi wa wananchi wenzangu wa rika langu katika kuizingatia dini ya Kiyahudi, nikajitahidi sana kuyashika mapokeo ya wazee wetu.
15 Mbe nawe Nyamuanga jamukondee okunsola anye kusoka munda ya mai. Ambilikiye anye okulubhana ne chigongo chae
Lakini Mungu, kwa neema yake, alikuwa ameniteua hata kabla sijazaliwa, akaniita nimtumikie.
16 okumubhonesha Omwana wae mwanye, koleleki nimulashe ku bhanu bha maanga. Nolwo nitalondele bhwitondo bhwo mubhili no bhwa manyinga
Mara tu alipoamua kunifunulia Mwanae kusudi niihubiri Habari Njema yake kwa watu wa mataifa mengine, bila kutafuta maoni ya binadamu,
17 nitagendele Yerusalemu kubhanu bhaliga jintumwa bhanu bha ntangatie. Mbe nawe nagendele Uarabuni nimala ninsubha Damesiki.
na bila kwenda kwanza Yerusalemu kwa wale waliopata kuwa mitume kabla yangu, nilikwenda kwanza Arabia, kisha nikarudi tena Damasko.
18 Jejile jawa myaka esatu ningenda Yerusalemu okulibhatila Kefa, niniyanja nage nsiku ekumi ne tanu.
Ilikuwa tu baada ya miaka mitatu, ndipo nilipokwenda Yerusalemu kuonana na Kefa; nilikaa kwake siku kumi na tano.
19 Mbe nawe nitalolele jintumwa indi tali Yakobo enyele, omuili wabho Omukama.
Lakini sikuwaona mitume wengine isipokuwa Yakobo, ndugu yake Bwana.
20 Lola, imbele ya Nyamuanga, nitakujiga mujinu enandika kwemwe.
Haya ninayowaandikieni, Mungu anajua; sisemi uongo.
21 Neishe ningenda mu mikoa ja Shamu na Kilikia.
Baadaye nilikwenda katika tarafa za Siria na Kilikia.
22 Naliga ntakumenyekana mu meso ku makanisa ga Bhuyaudi ganu galiga mu Kristo,
Wakati huo, mimi binafsi sikujulikana kwa jumuiya za Wakristo kule Yudea.
23 mbe nawe bhaliga nibhongwa ala, “Unu aliga nachinyasha olyanu kalasha elikilisha linu aliga nalinyamula.”
Walichokuwa wanajua ni kile tu walichosikia: “Mtu yule aliyekuwa akitutesa hapo awali, sasa anaihubiri imani ileile aliyokuwa anajaribu kuiangamiza.”
24 Bhaliga nibhamukusha Nyamuanga ingulu yani.
Basi, wakamtukuza Mungu kwa sababu yangu.