< Abhagalatia 1 >

1 Nanye Paulo intumwa. Anye nitali ntumwa okusoka ku bhanu nolwo kulabha ku bhanu, Nawe ni kulabha ku Yesu Kristo na Nyamuanga Lata unu amusuluye okusoka mu bhafuye.
Mimi ni Paulo mtume. Mimi sio mtume kutoka kwa wanadamu wala kupitia kwa mwanadamu, lakini kupitia kwa Yesu Kristo na Mungu Baba aliyemfufua kutoka kwa wafu.
2 Amwi na bhaili bhone nanye, enigandikila amakanisa Galatia.
Pamoja na ndugu wote na mimi, ninayaandikia makanisa ya Galatia.
3 Echigongo chibhe amwi nemwe no mulembe gunu gusokele ku Nyamuanga Lata weswe no Mukama Yesu Kristo,
Neema iwe kwenu na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo,
4 unu esosishe omwene kulwe bhibhibhi bhyeswe koleleki achigululule mu katungu kanu ako bhuyabhi, okusokana ne lyenda lya Nyamuanga weswe na Lata. (aiōn g165)
aliyejitoa mwenyewe kwa ajili ya dhambi zetu ili kwamba atukomboe na nyakati hizi za uovu, kutokana na mapenzi ya Mungu wetu na Baba. (aiōn g165)
5 Ku mwene libhe likusho lya kajanende na kajanende. (aiōn g165)
Kwake uwe utukufu milele na milele. (aiōn g165)
6 Enilugula okubha mwaindukie iinjili indi bhwangu. Enilugula ati omuindukila alela okusoka ku mwene unu abhabhilikie kulwe chigongo cha Kristo.
Ninashangaa kwamba mnageukia haraka kwenye injili nyingine. Ninashangaa kwamba mnageukia mbali kutoka kwake yeye aliyewaita kwa neema ya Kristo.
7 Italio iinjili indi, mbe nawe bhalio abhanu bhalebhe bhanu abhabhaletelesha jinyako no kwenda okuindula iinjili ya Kristo.
Hakuna injili nyingine, lakini kuna baadhi ya watu wanao wasababishieni nyinyi matatizo na kutaka kubadilisha injili ya Kristo.
8 Mbe nawe nolwo eswe amwi bhamalaika okusoka mu lwile nalasha kwemwe iinjili indi tali inu chabhalasishe ewemwe, afumilisibhwe.
Lakini hata kama ni sisi au malaika kutoka mbinguni atatangaza kwenu injili tofauti na ile tuliyoitangaza kwenu, na alaaniwe.
9 Lwa kutyo chaikile kubhwambilo, olyanu enaika lindi, “Akabha alio munu nabhalasisha emwe iinjili indi kukila inu mwalamiye, afumilisibhwe.”
Kama tulivyo sema mwanzoni, na sasa nasema tena, “Kama kuna mtu atawatangazia kwenu injili tofauti na mliyoipokea, na alaaniwe.”
10 Angu wolyanu eniyenja echibhalikisho cha bhanu amwi cha Nyamuanga? Eniyenja okubhakondelesha abhanu? Labha enigendelela okubhakondelesha abhanu anye nitali mukosi wa Kristo.
Kwani sasa hivi ninatafuta uthibitisho wa watu au Mungu? Ninatafuta kuwafurahisha wanadamu? Kama ninaendelea kujaribu kuwafurahisha wanadamu, mimi sio mtumishi wa Kristo.
11 Bhaili, enenda mumenye ati iinjili inu nabhalasisishe itali yo kusoka ku bhanu.
Ndugu, ninataka ninyi mjue kwamba injili niliyoitangaza haitokani na wanadamu.
12 Nitailamie okusoka ku munu amwi okwiigisibhwa. Nawe yaliga ibhonesibhwe okusoka ku Kristo okuja kwanye.
Sikuipokea kutoka kwa mtu, wala sikufundishwa. Badala yake, ilikuwa ni kwa ufunuo wa Yesu Kristo kwangu.
13 Mwamalile okungwa ingulu ya kalibhatie kani ka inyuma okusoka mu dini ye Chiyaudi, lwa kutyo naliga ninyasha kulwo bhululu ikanisa ya Nyamuanga okukila muno no kuisingalisha.
Mmekwisha sikia juu ya maisha yangu ya nyuma katika dini ya Kiyahudi, jinsi nilivyokuwa nikilitesa kwa ukali kanisa la Mungu zaidi ya kipimo na kuliteketeza.
14 Naliga nigendelee mu dini ye Chiyaudi kukila abhaili bhani bhanfu Abhayaudi. Naliga no bhubhasi muno muntungwa ja balata bhani.
Nilikuwa nimeendelea katika Dini ya Kiyahudi zaidi ya ndugu zangu wengi Wayahudi. Nilikuwa na bidii sana katika tamaduni za baba zangu.
15 Mbe nawe Nyamuanga jamukondee okunsola anye kusoka munda ya mai. Ambilikiye anye okulubhana ne chigongo chae
Lakini Mungu alipendezwa kunichagua mimi kutoka tumboni mwa mama. Aliniita mimi kupitia neema yake
16 okumubhonesha Omwana wae mwanye, koleleki nimulashe ku bhanu bha maanga. Nolwo nitalondele bhwitondo bhwo mubhili no bhwa manyinga
kumdhihirisha Mwanawe ndani yangu, ili kwamba nimtangaze yeye miongoni mwa watu wa mataifa. Wala sikutafuta ushauri wa mwili na damu
17 nitagendele Yerusalemu kubhanu bhaliga jintumwa bhanu bha ntangatie. Mbe nawe nagendele Uarabuni nimala ninsubha Damesiki.
na sikupanda kwenda Yerusalem kwa wale waliokuwa mitume kabla yangu. Badala yake nilienda Uarabuni na baadae kurudi Damesiki.
18 Jejile jawa myaka esatu ningenda Yerusalemu okulibhatila Kefa, niniyanja nage nsiku ekumi ne tanu.
Kisha baada ya miaka mitatu nilipanda kwenda Yerusalemu kumtembelea Kefa, nikakaa naye kwa siku kumi na tano.
19 Mbe nawe nitalolele jintumwa indi tali Yakobo enyele, omuili wabho Omukama.
Lakini sikuona mitume wengine isipokuwa Yakobo, ndungu yake na Bwana.
20 Lola, imbele ya Nyamuanga, nitakujiga mujinu enandika kwemwe.
Tazama, mbele za Mungu, sidanganyi kwa kile niandikacho kwenu.
21 Neishe ningenda mu mikoa ja Shamu na Kilikia.
Kisha nilikwenda mikoa ya Shamu na Kilikia.
22 Naliga ntakumenyekana mu meso ku makanisa ga Bhuyaudi ganu galiga mu Kristo,
Sikuwa najulikana kwa macho kwa makanisa ya Uyahudi yale yaliyokuwa katika Kristo,
23 mbe nawe bhaliga nibhongwa ala, “Unu aliga nachinyasha olyanu kalasha elikilisha linu aliga nalinyamula.”
lakini walikuwa wakisikia tu, “Yeye aliyekuwa akitutesa sasa anatangaza imani aliyokuwa akiiharibu.”
24 Bhaliga nibhamukusha Nyamuanga ingulu yani.
Walikuwa wakimtukuza Mungu kwa ajili yangu.

< Abhagalatia 1 >