< Ebhikolwa bhya Jintumwa 3 >

1 Wori Petro na Yohana bhaliga mbagenda mwi hekalu omwanya gwo kusabhwa, saa mwenda.
Sasa Peter na Yohana walikuwa wanaelekea katika hekalu wakati wa maombi, saa tisa.
2 Omunu kutya, omurema okusoka okwibhurwa, aliga nayekwa bhuli siku na aliga namamibhwa ku muryango gwa lihekalu ogwo ogubhilikirwa omukonde, korereki ature okusabha e bhiyanwa okusoka ku bhanu bhaliga mbagenda mwi hekalu.
Mtu fulani, kiwete tangu kuzaliwa, alikuwa akibebwa kila siku na alikuwa akilazwa katika mlango wa hekalu uitwao mzuri, ili aweze kuomba sadaka kutoka kwa watu waliokuwa wakielekea hekaluni.
3 Ejire abharora Petro na Yohana mbarebherera okwingira mwi hekalu, nasabhwa ebhiyanwa.
Alipowaona Petro na Yohana wanakaribia kuingia hekaluni, aliomba sadaka.
4 Petro, amukajisishe ameso, amwi na Yohana, aikile, “nuchirore eswe.”
Petro, akimkazia macho, pamoja na Yohana, alisema,”tutazame sisi.”
5 Omurema nabharora, netogera okubhona echinu kutya okusoka kubhene.
Kiwete akawatazama, akitazamia kupokea kitu fulani kutoka kwao.
6 Nawe Petro naika, “jiyera na jidhaabu anye ntanajo, nawe echo ninacho enisosha kwawe. Kwa lisina lya Yesu Kristo wa Nazareth, libhata.”
Lakini Petro akasema, “fedha na dhahabu mimi sina, lakini kile nilichonacho nitatoa kwako. Katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth, tembea.”
7 Petro namugega kwo kubhoko kwaye kwe bhuryo, namwimusha inguru: amaguru gaye ne bhikongochwa bhya mawa gaye mbijira amanaga.
Petro akamchukua kwa mkono wake wa kulia, na akamwinua juu: mara moja miguu yake na vifundo vya mifupa yake vikapata nguvu.
8 Nachuma inguru, omunu omurema nemereguru namba okulibhata; nengira mwi hekalu amwi na Petro na Yohana, nalibhata, nachuma, namukuya Nyamuanga.
Akiruka juu, mtu kiwete alisimama na akaanza kutembea; akaingia hekaluni pamoja na Petro na Yohana, akitembea, akiruka, na kumsifu Mungu.
9 Abhanu bhone bhamurorere nalibhata no kumukuya Nyamuanga.
Watu wote walimwona akitembea na akimsifu Mungu.
10 Nibhamenya ati liga ali munu uliya oyo aliga neyanja nasabhwa ebhiyanwa ku muryango omukonde gwa lihekalu; nibhejurwa ne chiruguro no kutang'ang'ara kunjuno yecho chasokereye ku mwene.
Wakatambua kwamba alikuwa ni yule mtu ambaye alikuwa akikaa akiomba sadaka kwenye mlango mzuri wa hekalu; walijawa na mshangao na kustaajabu kwa sababu ya kile kilichotokea kwake.
11 Kutyo aliga abhagwatirie Petro na Yohana, abhanu bhona amwi nibhabhilimira mu chisunya echo ehibhirikirwa cha Sulemani, nibharugura muno.
Namna alivyokuwa amewashikilia Petro na Yohana, watu wote kwa pamoja wakakimbilia kwenye ukumbi uitwao wa Sulemani, wakishangaa sana.
12 Petro ejile alirora linu, omwene nabhasubhya abhanu, “Emwe abhanu bha Israeli, okubhaki omurugura? Okubhaki omurosha ameso gemwe kweswe, korere ati chamkora unu alibhate kwa managa geswe abhene?”
Petro alipoliona hili, yeye akawajibu watu, “Enyi watu wa Israel, kwa nini mnashangaa? Kwa nini mnayaelekeza macho yenu kwetu, kama kwamba tumemfanya huyu atembee kwa nguvu zetu wenyewe au uchaji wetu?”
13 Nyamuanga wa Ibrahimu, no wa Isaka, no wa Yakobo, Nyamuanga wa bhalata bheswe, amukusishe omukosi waye Yesu. Unu niwe oyo emwe mwananire no kumurema imbele yo bhusu bhwa Pilato, nawe omwene aliga aramuye okumutatira obhweru.
Mungu wa Ibrahimu, na wa Isaka, na wa Yakobo, Mungu wa Baba zetu, amemtukuza mtumishi wake Yesu. Huyu ndiye ambaye ninyi mlimkabidhi na kumkataa mbele ya uso wa Pilato, japo yeye alikuwa ameamua kumwachia huru.
14 Mwamuremere Mmweru no mulegeresi, na badala yo mwene nimwenda omwiti atatirwe.
Mlimkataa Mtakatifu na Mwenye Haki, na badala yake mkataka muuaji aachwe huru.
15 Emwe mwamwitile Omukama wo bhujima, oyo Nyamuanga amwiruye okusoka mubhafuye eswe ni bhabhambasi bha linu.
Ninyi mlimuua Mfalme wa uzima, ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu - Sisi ni mashahidi wa hili.
16 Mbe oli, kwo kwikirisha mwi sina lyaye, omunu unu oyo omumurora no kumenya, akorerwe kubha na managa. Elikirisha eryo elirabha ku Yesu limuyanire omwene obhuanga bhunu bhugumile, imbele yemwe emwe bhona.
Sasa, kwa imani katika jina lake, mtu huyu ambaye mnamwona na kujua, alifanywa kuwa na nguvu. Imani ambayo inapitia kwa Yesu imempa yeye afya hii kamilifu, mbele yenu ninyi nyote.
17 Mbe oli, Bhaili, enimenya ati mwakorere kutyo kwo bhumumu, nikwo kutyo bhakorere abhabhemberesi bhemwe.
Sasa, Ndugu, najua kwamba mlitenda katika ujinga, ndivyo pia walivyofanya viongozi wenu.
18 Nawe amagambo ago Nyamuanga abhabhwiliye bhwangu kwe minwa ja bharagi bhona, ati unu Kristo kajonyaka, oli agamalire.
Lakini mambo ambayo Mungu aliwaambia mapema kwa vinywa vya manabii wote, kwamba huyu Kristo atateseka, sasa ameyatimiza.
19 Mbe oli, mwigambe muinduke, korereki ati ebhiyeno bhyemwe bhisosibhweko chimwi, kunsonga gwije omwanya gwo kukondererwa okusokana no kubhao kwo Mukama;
Kwa hiyo, tubuni na mgeuke, ili kwamba dhambi zenu ziweze kuondolewa kabisa, kusudi zije nyakati za kuburudika kutokana na uwepo wa Bwana;
20 na ati ature okumuragirira Kristo oyo asorerwe kwemwe, Yesu.
na kwamba aweze kumtuma Kristo ambaye ameshateuliwa kwa ajili yenu, Yesu.
21 Omwene niwe oyo orwire lumuramire mpaka omwanya gwo kusubhya ebhinu bhyona, ebhyo Nyamuanga alomere kara kwe minwa ja bharagi bheru. (aiōn g165)
Yeye ndiye ambaye lazima mbingu zimpokee mpaka wakati wa kurejeshwa kwa vitu vyote, ambavyo Mungu alizungumzia zamani za kale kwa vinywa vya manabii watakatifu. (aiōn g165)
22 Ka chimwi Musa aikile, 'Omukama Nyamuanga kemusha omuragi lwanye okusoka mu bhaili bhemwe. Mumutegereshe bhuli chinu echo kabhabhwira emwe.
Hakika Musa alisema, 'Bwana Mungu atainua nabii kama mimi kutoka katika ndugu zenu. Mtamsikiliza kila kitu ambacho atawaambia ninyi.
23 Eisokerera ati bhuli munu oyo atakutegeresha ku muragi oyo ketibhwa chimwi asoke ku bhanu.'
Itatokea kwamba kila mtu ambaye hasikilizi kwa nabii huyo ataangamizwa kabisa atoke kati ya watu.'
24 Yee, na bharagi bhona okusokerera Samweli na bhaliya bharubhile ku mwene, bharomere no kusimura jinsiku jinu.
Ndiyo, na manabii wote tokea Samweli na wale waliofuata baada yake, walizungumza na walitangaza siku hizi.
25 Emwe muri bhana bha bharagi na bha liagano eryo Nyamuanga akorere amwi na bhakaruka, lwa kutyo aikire kwa Abrahamu, 'Mu mbegu yao jinganda jona eja kuchalo ejibharikiwa.'
Ninyi ni wana wa manabii na wa agano ambalo Mungu alilifanya pamoja na mababu, kama alivyosema kwa Abrahamu, 'Katika mbegu yako familia zote za dunia zitabarikiwa.'
26 Baada ya Nyamuanga okumukusha omukosi waye, amutumile kwemwe kwamba, korereki abhabariki emwe kwo kuinduka okusoka ku bhiyeno bhyemwe.
Baada ya Mungu kumwinua mtumishi wake, alimtuma kwenu kwanza, ili awabariki ninyi kwa kugeuka kutoka katika uovu wenu.”

< Ebhikolwa bhya Jintumwa 3 >