< Sams-Zgame 131 >
1 Ra Anumzamoka navufga atahara nosuna, nagra namimiza runafagera nosue. Nagra ranra zanku'ene, nagrama osuga zankura nagesa antahintahia nosue.
Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi. Moyo wangu hauna kiburi, Ee Bwana, macho yangu hayajivuni; sijishughulishi na mambo makuu kunizidi wala mambo ya ajabu mno kwangu.
2 Osi mofavremo'ma zavima ote'noma nerera azampima akoheno maseaza hu'na, akohe'na narimpa frune nemanue. Ana zanke huno nagu'amo'enena fru huno nemane.
Lakini nimetuliza na kunyamazisha nafsi yangu; kama mtoto aliyeachishwa kunyonya na mama yake, kama mtoto aliyeachishwa kunyonya ndivyo ilivyo nafsi iliyoko ndani yangu.
3 Tamagra Israeli vahe'mota meninteti'ma agafama huno vaniana Ra Anumzamofonte amuhara huvava huta viho.
Ee Israeli, mtumaini Bwana tangu sasa na hata milele.