< 4 Mose 5 >

1 Anante Ra Anumzamo amanage huno Mosesena asmi'ne,
BWANA alinena na Musa. Akasema,
2 Israeli vahe'ma fugo namu kri eri'nesazane, avo' herafineramisiane, korankri eri'nesiane, fri' vahe avufgare avako hu'nesaza vahera, huzmantege'za kumamofo fegi'a umaniho.
“Waamuru wana wa Israel wawatoe watu wote wenye magonjwa ya ngozi yanayoambukiza, na kila mwenye mwenye vidonda vinavyotoa harufu, na ambaye amenajisika kwa kugusa maiti.
3 Vene, a'nene huzmante'gahane, Nagra kumazmimofona amu'nozmifi nemanuankino, zamagra ana kuma eri kasri'zankura huzmante'geza fegi'a umaniho.
Awe mme au mke, umtoa kambini. Ili wasije wakaitia unajisi kambi, kwa sababu Mimi huishi ndani yake,”
4 Israeli vahe'mo'za Ra Anumzamo'ma Mosesema asmia kante ante'za kri eri'naza vahera huzmantage'za kumamofo fegi'a umani'naze.
Watu wa Israeli walifanya hivyo. Waliwatoa kambini, Kama BWANA alivyomwagiza Musa. Watu wa Israeli walimtii BWANA.
5 Anante Ra Anumzamo anage huno Mosesena asmi'ne,
Tena BWANA akanena na Musa. Akasema,
6 Israeli vahera zamasamige'za vemo'o, a'mo'o vahe'mo nehiaza huno Ra Anumzamofo antahi omino rumofoma azeri haviza huno kumi hanimo'a, haviza hugahie.
“Nena na wana wa Israeli. mtu mume na mtu mke akifanya dhambi yeyote ambayo watu hufanyiana wao kwa wao, na mtu huyo akamwasi BWANA, mtu huyo atakuwa na hatia.
7 Hagi vemo'a inazano hu'nesia kumira hufore nehuno, kumi'amofo mizana kna'amo nankna hu'nesio miza sevaga nereno, mago nazatigati mago kevu ruguheno ana agofetu kumi huntene'snimofona amigahie.
Ndipo huyo mtu ataungama hiyo dhambi aliyoifanya. Mtu huyo atarudisha malipo ya hatia yake na kuongeza kwenye malipo hayo sehemu ya tano zaidi. Atamlipa huyo aliyemtendea makosa
8 Hianagi kumi hunte'nea ne'mofo afu'agnama fri hana hu'nesigeno'a, miza senaku hu'nesia mizane, kumi atrente ve rama afura avreno Ra Anumzamofo aminkeno pristi ne'mo erigahie.
Lakini kama huyo mtu huyu aliyetendewa kosa hana ndugu wa kupokea hayo malipo, basi atalipa hayo malipo ya hatia kwangu kupitia kuhani pamoja na kondoo dume kwa ajili ya sadaka yake mwenyewe.
9 Israeli vahe'mo'za ruotge hu'nenia ofa hu'zama pristi nete eri'za esazana, ana miko pristi ne'mo erigahie.
Kila sadaka ya wana wa Israeli, vitu ambavyo vimetengwa na vikaletwa kwa kuhani na watu wa Israeli, vitakuwa vyake.
10 Maka ofama vahe'mo'ma hanageno pristi ne'mo'ma erisiana agriza segahie. Hagi mago a'mo'ma ru venema savri hania zamofo kasege.
Sadaka ya kila mtu itakuwa ya kuhani; kama mtu yeyote atatoa kitu chochote kwa kuhani, kitakuwa chake.”
11 Anantera Ra Anumzamo'a anage huno Mosesena asami'ne,
Tena BWANA akanena na Musa. Akasema,
12 Israeli vahera ke hunka zamasmio, mago ne'mofo a'mo nevenku ontahi havi avu'ava nehuno,
“Nena na wana wa Israel. Uwaambie, 'kama mke wa mtu ataasi na kufanya dhambi dhidi ya mume wake.
13 mago ve'ne ana a'mo monko'za hu'nesigeno, neve keno erifore osanigeno vahe'mo'enena kefore huno eri ama osnianagi, ana a'mo'a agra'a agu'a eri haviza hugahie.
Halafu mtu mwingine akalala naye. Kwa sababu, hiyo atakuwa amenajisika. Na hata kama mume wake hakuona na hajui, hata kama hakuna mtu aliyemkamta akiwa katika tendo na hakuna mtu wa kushuhudia dhidi yake; hata hivyo ile roho ya wivu itaendele kumjulisha yule mume kuwa mke wake amenajisika.
14 Hagi neve'ma ana a'mofoma hugofinte antahi antahimo agateresigeno nenaro havi avu'ava hu'nesia zanku, hu'neo osu'neo agenoka huno antahi anke'renaku, nenaroma antahi havizama huntesuno'a,
Ingawa, roho ya wivu inaweza kumdanganya yule mwanamume wakati mke wake hajanajisika.
15 ana ne'mo nenarona avreno pristi nete vuno, ofama hu'za witi flaua mago kilo erino, olivi masvene, kremna vu pauranena ana agofetura onteno, hugofinte ofamofo witigino kumi' hu'neazamo agekni zanku, antahi antahi hugeke hu'mofo ofe.
Kwa mazingira hayo, yule mwanamume anapaswa kumpeleka mke wake kwa kuhani. Yule mwanamume anapaswa kutoa sadaka ya divai kwa ajili yake. Atapaswa kuleta sehemu ya kumi ya efa ya unga wa shayiri. Asitie mafuta juu yake wala asitie ubani juu yake maana ni sadaka ya unga ya wivu, ni sadaka ya unga ya ukumbusho wa uovu.
16 Anante pristi ne'mo ana ara avreno eno Ra Anumzamo'na navuga eme azeri otinteno.
Ndipo kuhani atasogeza karibu na kumweka mbele ya BWANA.
17 Hagi pristi ne'mo ruotge hu'nea tine, mopare kavone erino, seli mono nomofo agu'afinti kugusopa kateno ana timpina atregahie.
Kuhani atachukua kikombe cha maji matakatifu na atachukua mavumbi ya kwenye masikani. Ataweka yale mavumbi kwenye maji.
18 Hagi pristi ne'mo'a ana ara Ra Anumzamo'na navuga azeri otineno, hanigeno azokara vasane netreno, antahi antahi hu'mofo witi ofa azampi erinenteno, nazinkere'ma hu ofa witi pristi ne'mo'a akake ti tusi hunte tina azampina erigahie.
Kisha kuhani atamweka huyo mwanamke mbele za BWANA na atazifungua nywele kichwani kwa huyo mwanamke. Atamwekea mikononi mwake hiyo sadaka ya unga kwa ajili ya ukumbusho, ambayo ni sadaka ya unga kwa ajili ya wivu.
19 Pristi ne'mo'a ana ara antahigeno, tamagema nehanunka huama huo, mago ne'mo kagrane omse'nena havi avu'ava osu'nesunka, negave kemofo amage antenka mani'nesnunka, ama akake timo tusi hugantenaku hniana agateregahane.
Kuhani atashikilia mikononi mwake maji machungu yanayoweza kuleta laana. Kuhani atamweka huyo mwanamke chini ya kiapo na kumwambia. 'Kama haujafanya uzinzi na mwanaume mwingine, na kama hajakengeuka na kufanya uovu, basi utakuwa huru na maji haya yanayoweza kuleta laana.
20 Hagi kagrama savri ka nentenka, negave amage antenka omaninka, negave'ene hugaza ru vene monko'zama hunesunka, kagra kagu'a azeri haviza hu'nanankino Anumzamo kazeri haviza hugahie.
Lakini kama wewe, mwanamke uliye chini ya mume wako, umekengeuka, na kama umenajisika, na kama mwanamume mwingina amelala nawe,
21 Pristi ne'mo'a ana ara huvempa hunteno anage hugahie, vahetamimo'ma keno antahinoma haniana, Ra Anumzamo'a kazusi hunteno mofavregura erigigeno amu'mo'a zore hu'za hugahaze.
ndipo, (kuhani atamtaka huyo mwanamke aape kiapo kinachoweza kuleta laana kwake, na kwamba ataendelea kumwambia yule mwanamke) 'BWANA atakufanya wewe kuwa laana itakayooneshwa kuwa hivyo kwa watu wako. Hii itatokea pale BWANA atakapoyafanya mapaja yako kuoza na tumbo lako kuvimba.
22 Hankino ama timo tusi huganteno kagupafi ufreno, ana timo eri'za erinkeno kamumo zonerena, kamo'ma osasi hugahie hanigeno, ana a'mo'a huno, ana hugahie. Ana hugahie.
Haya maji ambayo huleta laana yataingia tumboni mwako na kulifanya tumbo lako kuvimba na mapaja yako kuoza,' mwanamke alitakiwa kujibu, 'Ndiyo, hayo yanipate kama mimi ni mwenye hatia.'
23 Hagi pristi ne'mo'a anama kazusima huntesia kea avompi krenteteno sese hinkeno ana timo'a akake timpi tagi ramigahie.
Naye kuhani ataziandika laana hizi kwenye kitabu, na kisha kuzifuta laana zilizoandikwa kwa maji ya uchungu.
24 Anante pristi ne'mo'a tusi hunte'nea akake tina ana a'ra ami'nigeno, tusi huntenea akake tina nenkeno agu'afi aka hugahie.
Naye kuhani atamwelekeza yule mwanamke kunywa yale maji machungu yaletayo laana. Yale maji yaletayo laana yataingia na kuwa machungu.
25 Pristi ne'mo ana a'moma azampima eri'nea ofa erino, ana ofa Ra Anumzamo'na navure marerino amira amira nehuno, erino kresramna vu itare (alta) vugahie.
Kuhani ataitwaa ile sadaka ya unga ya wivu mikononi mwa yule mwanamke. Atailekeza ile sadaka ya unga mbele ya BWANA na kuileta madhabahuni.
26 Anama hute'na pristi ne'mo ana ofahu witia, mago aza eri viteno antahi antahihu ofa Kresramana vu itare (alta) krenkeno kumpi marerino. Ana huteno henka ana a'mofo aminkeno ana tina negahie.
Kuhani atachukua konzi ya sadaka ya unga mkononi mwake kama sadaka ya kuwakilisha, na kuiteketeza madhabahuni. Ndipo atakapompatia mwanamke yale maji machungu ili ayanywe.
27 Ana tima aminkeno netena, ana a'mo monkoza huteno neve revatga hu'nesigeno'a, ana tusi hunte'nea (kes) tima nesnia timo'a akake agu'afina nehinkeno, amu'mo'a zorenkeno, amo'mo'a osasi hanigeno, ana a'mo'a vahe'amokizmi zamufina kefo a' manigahie.
Wakati wa kumpa yale maji ili anywe, kama amenajisika kwa sababu alifanya uovu dhidi ya mume wake, ndipo yale maji yaletayo laana yatamwingia na kuwa machungu. Tumbo lake litavimba na paja lake litaoza. Yule mwanamke atalaaniwa kati ya watu wake.
28 Hianagi a'mo'ma agu'a eri pehena osu mani fatgo hu'nesnigeno'a, ana tusi (kes) hu'nenia kemo'a agaterenkeno, mago zamo avate osnigeno mofavre kasentegahie.
Lakini kama yule mwanake hajanajisika na kama ni msafi, basi atakuwa huru. Tena ataweza kubeba uja uzito.
29 Ama'i nazinkemofo kasege, vere a'mo neve'ene mani fatgo osuno atreno vuno ru vene ome savri haniano,
Hii ndiyo sheria ya wivu. Ni sheria ya mwanamke anayekengeuka kwa mumewe na kunajisika.
30 neve'ma nenaro antahi haviza hunteno nazinke huntesuno'a, Ra Anumzamofo avure neve'a ana ara avreno vinkeno pristi ne'mo ana maka kasegea a'mofona hantagi amigahie.
Ni sheria ya mwanamume mwenye roho ya wivu kwa mkewe. Atamleta mwanamke mbele ya BWANA, na kuhani atamfanyia huyo mwanamke kila kitu ambacho sheria ya wivu inamtaka kufanya.
31 Hagi vemo'a hzenke osugahianki, a'mo agra'a ana kumi'mofo knazana erigahie.
Yule mwanamume atakuwa hana hatia kwa kumleta mke wake kwa kuhani. Na yule mwanmke atauchukua uovu wake.”

< 4 Mose 5 >