< 4 Mose 3 >
1 Ama'i Mosesene, Aronikizni naga'mokizmi naneke, Ra Anumzamo Sainai agonafi Mosese asamigeno krente'nea naneke.
Hii ni hesabu ya jamaa ya Aroni na Mose kwa wakati ambao Bwana alizungumza na Mose katika Mlima Sinai.
2 Ama Aroni ne'mofavre'mokizmi zamagi'e, Agonesa'a Nadabuki, Abihuki, Eliesaki, Itamari'e.
Majina ya wana wa Aroni yalikuwa: Nadabu mzaliwa wa kwanza na Abihu, Eleazari na Ithamari.
3 Anantera Aroni ne'mofavre zamagi eri otage huno huhampri zamantege'za, Ra Anumzamofo avufi veamokizmire te vugote'za mani'ne'za pristi eri'za eri'naze.
Hayo yalikuwa majina ya wana wa Aroni, makuhani wapakwa mafuta, waliokuwa wamesimikwa kuhudumu kama makuhani.
4 Hianagi Nadabu'ene Abihukea Ra Anumzamofo avuga agra ragisa teve i'o hu'nea teve hegre amiteke, Sainai hagage mopafi zanagra mofavrea onte'neke Ra Anumzamofo avuga fri'na'e. Hakeno Eliesa'ene Itamarikea, Aroni pristia mani'negene neznafa azahuke maka zupa pristi eri'zana eri'na'e.
Hata hivyo Nadabu na Abihu walikufa mbele za Bwana walipotoa sadaka kwa moto usioruhusiwa mbele zake katika Jangwa la Sinai. Hawakuwa na wana; kwa hiyo Eleazari na Ithamari walihudumu peke yao kama makuhani wakati wote wa maisha ya Aroni baba yao.
5 Ra Anumzamo Mosesena amanage huno asami'ne,
Bwana akamwambia Mose,
6 Livae nagara zamavarenka pristi ne' Aroninte egofa huge'za, aza hu'za mono eri'zana eriho.
“Walete watu wa kabila la Lawi mbele ya Aroni kuhani ili wamsaidie.
7 Zamagra eri'zama hantagi zami'nere Aroni eri'zane, veamokizmi eri'zane eneri'za, seli mono nomofo fegi'a eri'zanena erigahaze.
Watafanya huduma kwa ajili yake na kwa jumuiya yote katika Hema la Kukutania kwa kufanya kazi za Maskani.
8 Seli mono nomofo agu'afima me'nea maka'zana kegava nehu'za, Israeli vahe'mokizmi eri'za eri nezmante'za, seli mono nompima hantagi zami'nea eri'zana erigahaze.
Watatunza samani zote za Hema la Kukutania, wakitimiza wajibu wa kuhudumia Waisraeli kwa kufanya kazi ya Maskani.
9 Hanki kagra Livae nagara Aronine amohe'ine zami vagarenka Israeli vahepintira zamige'za eri'zana eriho.
Wakabidhi Walawi kwa Aroni na wanawe; hao ndio Waisraeli ambao wanakabidhiwa kwake kabisa.
10 Hagi kagra Aronine ne'mofavre naga'anena huhampri zamantege'za pristi eri'zana eriho. Hagi huhampri onte'nesia vahe'ma seli mono nonte eravao hanazana zamahe frigahaze.
Waweke Aroni na wanawe kuhudumu kama makuhani; mtu mwingine yeyote atakayesogea mahali patakatifu ni lazima auawe.”
11 Ra Anumzamo mago'ene Mosesena anage huno asami'ne,
Bwana akamwambia Mose,
12 Menina ko, Nagra Israeli vahepinti Livae nagara agonesa ne'mofavre'gna hu'na zamavarena Nagrarega zamantoge'za nagri vahe fatgo mani'naze.
“Nimewatwaa Walawi kutoka miongoni mwa Waisraeli badala ya mzaliwa wa kwanza wa kiume wa kila mwanamke wa Mwisraeli. Walawi ni wangu,
13 Na'ankure maka'a pusa ne'mofavrea Nagri zane, Isipi mopafi pusa ne'mofavre zamahe fri'noa zupa, Nagra su'zane hu'na pusa ne'mofavre Israeli vahepi fore haniane, zagagafanena huhampri'noe. Maka Nagri zane, Nagra Ra Anumzamo'na nehue.
kwa kuwa wazaliwa wote wa kwanza ni wangu. Nilipowaua wazaliwa wa kwanza huko Misri, nilimtenga kila mzaliwa wa kwanza katika Israeli awe wangu, akiwa mwanadamu au mnyama. Watakuwa wangu. Mimi ndimi Bwana.”
14 Anante Ra Anumzamo Sainai ka'ma mopafi Mosesena anage huno asami'ne,
Bwana akamwambia Mose katika Jangwa la Sinai,
15 Levai ne'mofavre nagara nagate famote, maka venene mago ikanteti marerinesima'a hamprinka zamagia krento.
“Wahesabu Walawi kwa jamaa zao na koo zao. Mhesabu kila mwanaume mwenye umri wa mwezi mmoja au zaidi.”
16 Higeno Ra Anumzamo asmia kante anteno Mosese'a venene'a zamagia kreno eri fatgo hu'ne.
Kwa hiyo Mose akawahesabu, kama alivyoamriwa na neno la Bwana.
17 Ama'i Livae ne'mofavre naga zamagie, Gersoni'e, Kohati'e, Merari'e.
Haya yalikuwa majina ya wana wa Lawi: Gershoni, Kohathi na Merari.
18 Ama'i Gersoni ne'mofavre naga nofipintira Libnike, Simeike,
Haya ndiyo yaliyokuwa majina ya koo za Wagershoni: Libni na Shimei.
19 Kohati ne'mofavre naga'nofipintira Amramu'e, Izhari'e, Hebroni'e, Usieli'e.
Koo za Wakohathi zilikuwa ni: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.
20 Merari naga nofipintira Malike, Musike. Livae nofipinti fore hu'naza naga nofi mani'naze.
Koo za Wamerari zilikuwa ni: Mahli na Mushi. Hizi ndizo zilizokuwa koo za Walawi, kufuatana na jamaa zao.
21 Hagi Gersonimpinti fore hu'naza nagara Libni naga'ene, Simei naga'enemo'za, zamagra Gersoni vahere hu'za mani'naze.
Kulikuwa na koo za Walibni na Washimei kwa Gershoni; hizi ndizo zilizokuwa koo za Wagershoni.
22 Makama hampri'nazana venenema, mago ikanteti mreri anagate'neana, maka seven tausen 500'a vene'ne.
Idadi ya waume wote waliokuwa na mwezi mmoja au zaidi waliohesabiwa walikuwa 7,500.
23 Gersoni vahe'mo'za zamagra seli mono nomofo amefiga'a zage fre kaziga seli nonkumara ante'za manigahaze.
Ukoo wa Wagershoni walitakiwa kuweka kambi zao upande wa magharibi, nyuma ya Maskani.
24 Hagi Gersoni naga'mokizmi kvazamia Laeli ne'mofo Eleasafi manigahie.
Kiongozi wa jamaa za Wagershoni alikuwa Eliasafu mwana wa Laeli.
25 Hagi Gersoni ne'mofavremokizmi eri'za kankamuna amana hu'ne, seli nomofo agu'afine, seli noma refimate'zane, kafa zafare refite'nea tvaravene, kegava hu'neza erigahaze.
Katika Hema la Kukutania, Wagershoni walikuwa na wajibu wa kutunza Maskani na hema, vifuniko vyake, pazia katika mlango wa kuingilia ndani ya Hema la Kukutania,
26 Vahe atru hu kumapi, megi'a ruvanre'naza tvaravene, kahante seli nompi renentaza tvaravene, kresramna vu itare avuga me'nea tvaravene, nofitamine, agima hentea zama'a zamagrake kegava hu'neza erigahaze.
mapazia ya ua, pazia katika ingilio la ua unaozunguka Maskani na madhabahu, pamoja na kamba, na kila kinachohusika kwa matumizi yake.
27 Hagi Kohati naga nofipintira, Amramu nagaki, Ishara nagaki, Hebroni nagaki, Usiel nagaki,
Kwa Kohathi kulikuwepo koo za Waamramu, Waishari, Wahebroni na Wauzieli; hizi ndizo zilizokuwa koo za Wakohathi.
28 ana maka vene'ne mago ikanteti mareri anagate'nea hampri'nazana, 8tausen 600'a vahe'mo'za hunagru hunte tva'oma'arera kegava hu'neza eri'zana erigahaze.
Hesabu ya waume wote wenye mwezi mmoja au zaidi ilikuwa watu 8,600. Wakohathi waliwajibika kutunza mahali patakatifu.
29 Kohati nagapinti fore hu'naza naga'mo'za, seli mono nomofo sauti kaziga seli nonkumara ante'za manigahaze.
Koo za Wakohathi zilitakiwa kuweka kambi zao upande wa kusini wa Maskani.
30 Hagi Kohati nagapintima kvaza erino kegava huzmante'neana, Uzieli nemofo Elizafani'e.
Kiongozi wa jamaa za koo za Wakohathi alikuwa Elisafani mwana wa Uzieli.
31 Eri'zama erisazana amanahu hu'za erigahaze, huhagerafi huvempage vogisine, teboline, tevi rekru hunte zotane, Kresramana vu itaramine, kresramna vu eri'za zantamima kazima, kavoma, sipunima, foku'ma, zompama (utensils), nagru hu'nea agu'afi me'nea zantamine, tvaravene kema huntea zama'a kegava hugahaze.
Waliwajibika kutunza Sanduku la Agano, meza, kinara cha taa, madhabahu, na vile vyombo vya mahali patakatifu vinavyotumika kuhudumu, pazia, na kila kitu kinachohusika na matumizi yake.
32 Hagi Pristi ne' Aroni nemofo Eleasa vugoteno Levai nagate kva mani'neno, seli mono nomofo agu'afi eri'zana kegava huzmante'ne.
Kiongozi mkuu wa Walawi alikuwa Eleazari mwana wa kuhani, Aroni. Aliwekwa juu ya wale waliowajibika kutunza mahali patakatifu.
33 Merari naga'ene Musa naga'enena, zamagra Merari nagare hu'za mani'naze.
Kwa Merari kulikuwa na koo za Wamahli na Wamushi; hizi zilikuwa koo za Merari.
34 Hagi hampri'ma zamante'nazana, mago ikanteti mreri anagate'nea vene'nea 6 tausen 200ti'e.
Hesabu ya waume wote wenye umri wa mwaka mmoja au zaidi waliohesabiwa walikuwa 6,200.
35 Merari nagama kegava huzmante'neana, Abihail nemofo Zulieli'e. Zamagra seli mono nomofona noti kaziga kuma ante'za manigahaze.
Kiongozi wa jamaa za koo za Wamerari alikuwa Surieli mwana wa Abihaili; hawa walitakiwa kuweka kambi zao upande wa kaskazini mwa Maskani.
36 Hagi Merari naga'mokizmi eri'zana, seli mono nomofo reharere zafarmine, arunkre hu zafagi, antani kantugma hu' zafarmine, azeri hanaveti zafane, eriza'zane kegava hu'neza eri'zama zami'nare eri'naze.
Wamerari waliwekwa kutunza miimo ya Maskani, mataruma yake, nguzo, vitako na vifaa vyake vyote na kila kitu kilichohusika na matumizi yake,
37 Hagi agu'afinka megagi'nea posi zafarmine, no azeri hanaveti zafarmine, seli no avazu huno nofi ome rentere hania azotaramine, nofi'ma rente'zantamine kegava hugahaze.
na pia nguzo za ua unaozunguka pamoja na vitako vyake, vigingi vya hema na kamba zake.
38 Hanki zage hanati kaziga seli mono nomofo avuga'a kuma ante'za mani'naza nagara, Moseseki, Aroniki, ne'mofavre naga'zniane mani'neza, hunagruma hu'nea nomofo agu'afina Israeli vahe'mokizmigu hu'za eri'zana eri nezmante'za mani'naze. Hagi huhampri ozmante vahe'ma ana tva'onte esnimofona ahe frigahaze.
Mose, na Aroni na wanawe walitakiwa kuweka kambi zao mashariki mwa Maskani, kuelekea mawio ya jua, mbele ya Hema la Kukutania. Wao walihusika na utunzaji wa mahali patakatifu kwa niaba ya Waisraeli. Mtu mwingine yeyote aliyepasogelea mahali patakatifu angeuawa.
39 Livae naga'ma Ra Anumzamo Mosese'ne Aronigizni znasmi'nea kasegere amage ante'ne, mago ikanteti mareri anagate'nea naganofiteti, ese agonesa mofavre nona huke hamprina'ana maka 22 tauseni'a vene'ne.
Jumla ya hesabu ya Walawi waliohesabiwa na Mose na Aroni kwa amri ya Bwana, kufuatana na koo, pamoja na kila mume mwenye umri wa mwezi mmoja au zaidi, walikuwa 22,000.
40 Hagi Ra Anumzamo Mosesena amanage huno asami'ne, Israeli vahepi pusa ne'mofavre fore hanigeno mago ikanteti mareri anagate'nesiana, erigafa hunka zamagi'a krento.
Bwana akamwambia Mose, “Wahesabu wazaliwa wa kwanza wa kiume wote wa Waisraeli wenye umri wa mwezi mmoja au zaidi na uorodheshe majina yao.
41 Israeli vahe'mofo ese agonesa mofavrema avregazana netrenka Livae nagara zamavare namio, Nagra Ra Anumzane, Livae vahe'mofo bulimakao afuzmimo'ma pusama antesia anentara, Israeli nagamokizmi pusa bulimakamofo nona hugahie.
Nitwalie Walawi badala ya wazaliwa wa kwanza wa Waisraeli, nayo mifugo ya Walawi badala ya wazaliwa wa mifugo ya Waisraeli. Mimi ndimi Bwana.”
42 Ana higeno Israeli vahe'mokizmi maka pusa ne'mofavre'a Ra Anumzamo asmi'nea kante anteno Mosese'a hampri'ne.
Hivyo Mose akawahesabu wazaliwa wa kwanza wote wa Waisraeli, kama Bwana alivyomwamuru.
43 Pusa ne'mofavre mago ika agatereno mareri anaga te'nea naga zamagi eri'neana, 22 tausen, 273'a vene'ne.
Jumla ya hesabu ya wazaliwa wa kwanza waume wenye umri wa mwezi mmoja au zaidi, walioorodheshwa kwa majina, walikuwa 22,273.
44 Anante Ra Anumzamo'a Mosesena anage huno asami'ne,
Bwana akamwambia Mose,
45 Israeli vahepintira pusa ne' mofavre'mokizmi nona hunka, Livae vahera nezmavrenka, Israeli vahe agonesa bilimakao nona hunka Livae naga bulimakaone erio. Huge'za Livae vahera zamagra Nagri naga manigahaze. Nagra Ra Anumzane.
“Watwae Walawi badala ya wazaliwa wa kwanza wote wa Israeli, nayo mifugo ya Walawi badala ya mifugo yao. Walawi watakuwa wangu. Mimi ndimi Bwana.
46 Hagi 273'a Israeli vahe'mokizmi pusa ne'mofavre'moza, Livae naga'ma zamagtere'nare miza segahaze.
Ili kukomboa wazao wa kwanza 273 wa Waisraeli ambao wamezidi hesabu ya Walawi,
47 Seli mono nomofo zagomofo kna'a avamente kagra 5fu'a silva zago magoke magoke vahetera eritere hugahane.
kusanya shekeli tano kwa kila mmoja, kufuatana na shekeli ya mahali patakatifu, ambayo ina uzito wa gera ishirini.
48 Livae naga zamagtere'naza nona huta miza sezmante zago, Aronine ne'mofavre'ane zamio.
Mpe Aroni na wanawe hizo fedha kwa ajili ya ukombozi wa idadi ya Waisraeli waliozidi.”
49 Higeno Mosese'a zagoa zogino Israeli vahe'mokizmi pusa ne'mofavre'mokizmi nona huno Livae naga nona huno miza sezmante'ne.
Kwa hiyo Mose akakusanya fedha za ukombozi kutoka kwa wale ambao hesabu yao ilizidi wale waliokombolewa na Walawi.
50 Pusa ne'mofavre Israeli vahepinti fore'ma hu'naza nagapintira Mosese'a 1tausen, 365'a silva zagoa erino, hunagru hu'nea seli mono nomofo kna'amo hu'nea avamente ana zago'a zogite'no
Kutokana na wazaliwa wa kwanza wa Waisraeli alikusanya fedha yenye uzito wa shekeli 1,365 kufuatana na shekeli ya mahali patakatifu.
51 Mosese'a ana zagoma mizama sezmantesia zagoa erino Aroni'ne, ne'mofavre naga'a Ra Anumzamo'ma asami'nea kante erino zamazampi ome ante'ne.
Mose akampa Aroni na wanawe ile fedha ya ukombozi, kama alivyoamriwa na neno la Bwana.