< 4 Mose 29 >

1 Hagi 7ni ikamofo ese knarera mikomota eri atru nehuta, mago'a knafima e'neri'za eri'zana ama ana knarera eorigahaze. Na'ankure e'i ufere kna me'ne.
Katika siku ya kwanza, ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumwabudu BWANA. Katika siku hiyo hamtafanya kazi zenu za kila siku. Itakuwa siku ya kupiga matarumbeta.
2 Hagi ana knarera Ra Anumzamofonte'ma tevefi kre fanenema hu ofama hazageno knare manama nentahino musema nehia ofama hanuta, mago agoho bulimakaonki, mago ve sipisipigi, 7ni'a anenta sipisipirami mago kafu hu'nenageno afuhe afahe osu'nenia avreta ofa hugahaze.
Mtatoa sadaka ya kuteketezwa ya kufanya harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa sadaka ya fahari mchanga, kondoo dume mmoja na wanakondoo dume saba wa mwaka mmoja, kila mmoja mkamilifu.
3 Hagi ana ofa witi ofane magoka erinteta hugahazankino, knare huno'ma kane osi'ma hu'nenia flaua masavene eri havia hu'nesiana, 3 kilo hu'nenia flaua'ene bulimakonena tevefina kresramna nevuta, 2 kilo hu'nesia flaua'ene ve sipisipia kresramana vugahaze.
Pamoja na hao mtatoa sadaka ya unga, unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa kwa ajili ya huyo fahari, sehemu mbili za kumi kwa ajili ya huyo kondoo mume,
4 Hagi 7ni'a sipisipi anentatamima ofama hanazana 1 kilo hu'nenia flauwa masavene eri havia hu'nenia flauateti mago mago sipisipi anenta'enena ofa hugahaze.
na sehemu ya kumi ya kila hao wanakondoo waume saba.
5 Hagi anampina mago ve meme avrenteta, tamagra'a kumite'ma nona huno kre ofa hugahaze.
Na mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
6 Hagi ama ana ofama hanazana, mago mago ikante'ma tevefima kre fanene hu ofama nehaza ofane, mago mago knare'ma nehaza ofane, witi ofane, waini ofanena Ra Anumzamofontega tevefi kremna vanageno Anumzamoma knare manama nentahino musema nehia ofa hugahaze.
Toeni hizo sadaka katika mwezi wa saba kama nyongeza ya sadaka mtakazotoa kila mwanzo wa kila mwezi: pamoja na sadaka maalumu za kuteketezwa na sadaka za unga. Hizi zitakuwa nyongeza za sadaka za kuteketezwa za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji. Utakapokuwa ukiendelea na sadaka hizi, utakuwa ukitii kile kilichoamriwa kutoa harufu nzuri, sadaka iliyotengenezwa kwa moto kwa BWANA.
7 Hagi 7ni ikamofo 10ni knarera atru huta monora nehuta, ana knafina ne'zana a'o huta mani'neta, mago'a knafima e'neri'za eri'zana ama ana knarera e'origahaze.
Siku ya kumi ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumwabudu BWANA. Mtajinyeneyekeza na hamtafanya kazi.
8 Hagi ana knarera Ra Anumzamofonte'ma tevefi kre fanenema hu ofama hazageno knare manama nentahino musema nehia ofama hanuta, mago agoho bulimakaonki, mago ve sipisipigi, 7ni'a anenta sipisipi mago kafu hu'nenageno afuhe afahe osu'nenia avreta ofa hugahaze.
Mtatoa sadaka ya kuteketezwa ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa fahari mmoja mchanga ili kutoa harufu nzuri, kondoo mmoja mume, na wanakondoo saba waume wa mwaka mmoja. Wote wakamilifu.
9 Hagi ana ofa witi ofane magoka erinteta hugahazakino, knare huno'ma kane osi'ma hu'nenia flaua masavene eri havia hu'nesia, 3'a kilo hu'nenia flaua'ene bulimakaonena tevefina kresramna nevuta, 2 kilo hu'nesia flaua'ene ve sipisipia kresramana vugahaze.
Pamoja na sadaka hizo utatoa sadaka ya unga, unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa kwa ajili ya fahari, sehemu mbili za kumi za kondoo dume mmoja,
10 Hagi 7ni'a sipisipi anentatamima ofama hanazana 1 kilo hu'nesia flaua masavene eri havia hu'nenia flauateti mago mago sipisipi anenta'enena ofa hugahaze.
na sehemu ya kumi ya efa moja kwa kila mwanakondoo wale saba.
11 Hagi maka zupama witi ofane, waini ofama hanafina, kumite nona huno apase ofa, mago ve meme afu avreta ome kre fanane hu ofa ome hugahaze.
Mtatatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya upatanisho. Hii itakuwa sadaka ya nyongeza ya upatanisho, ya sadaka ya kila siku ya kuteketezwa, pamoja na sadaka za unga, na sadaka zake za vinywaji.
12 Hagi 7ni ikamofona 14ni zupa erigafa huta atru huta monora nehuta, mago'a knafima e'neri'za eri'zana ama ana knarera e'origahaze. Hagi Ra Anumzamofonte'ma ne'za kreta neneta muse'ma hanazana 7ni'a knafi hugahaze.
Siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu lakumwabudu BWANA. Siku hiyo hamtafanya kazi za kila siku, na mtazitunza hizo sikukuu kwa muda wa siku saba kwa ajili ya BWANA.
13 Hagi tevefima kre fanenehu ofama hanazana, Ra Anumzamo'ma knare mana vanigeno nentahino musema hania ofama hanazana, 13ni'a ve bulimakaonki, tare sipisipigi, 14ni'a afuhe afahe osu'nenia ve sipisipi anentatami ofa hugahaze.
Mtatoa sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotengenezwa kwa moto ilikutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa mafahari wachanga kumi na tatu, kondoo waume wawili, na wanakondoo waume kumi na nne wa mwaka mmoja. Wote wakamilifu.
14 Hagi ana 13ni'a bulimakaoma ofama hanafima witi ofama hanaza, knare huno kaneno eri osi hu'za masavempi eri havia hu'ne'naza flauara 3 kilo erinteta mago bulimakaorera kresramna nevuta, tare ve sipisipima kresramnama vanarera, mago mago sipisipirera 2 kilo kretere hugahaze.
Pamoja na hao mtatoa sadaka ya unga, unga mwembaba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa kwa kila fahari katika hao kumi na tatu, sehemu mbili za kumi kwa kila hao kondoo dume wawili,
15 Hagi 14ni'a sipisipima ofama hanazana, mago mago sipisipirera kaneno eri osi hu'nenia flaua masavempi eri havia hu'nenia 1 kilo erinteta kresramna vugahaze.
na sehemu ya kumi ya efa ya hao wanakondoo kumi na nne.
16 Hagi maka zupama witi ofane, waini ofama hanafina, kumite nona huno apase ofa, mago ve meme afu avreta kre fanane hu ofa ome hugahaze.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi katika nyongeza ya sadaka ya kuteketezwa, sadaka yake ya unga, pamoja na sadaka za vinywaji.
17 Hagi anante knazupama ofama hanazana 12fu'a agaho bulimakaonki, tare sipisipigi, afuhe afahe osu'nenia 14ni'a ve sipisipi anentera mago kafu hu'nenia avreta egahaze.
Siku ya pili ya kusanyiko, mtatoa mafahari kumi na mbili, kondoo dume wawili na wanakondoo dume kumi na mbili wa umri wa mwaka mmoja, wote wakamilifu.
18 Hagi ana bulimakaone sipisipinema ofama hanazana, ko'ma e'ina hiho huno tra kefima hunenia avamente waini ofane, witi ofanena kresramna vugahaze.
Pamoja nao mtatoa sadaka ya unga, na sadaka ya vinywaji kwa ajili ya wale mafahari, kondoo dume, na kwa ajili ya wale wanakondoo, mkitoa sadaka nyingi kama ilvyoamriwa.
19 Hagi maka zupama witi ofane, waini ofama hanafina, kumite nona huno apase ofa, mago ve meme afu avreta kre fanane hu ofa ome hugahaze.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kuwa nyongeza ya sadaka za kila siku, sadaka yake ya unga, na sadaka zake za vinywaji.
20 Hagi nampa 3 knazupa 11ni'a bulimakaonki, tare ve sipisipigi, 14ni'a anenta sipisipi afuhe afahe osu'nesiana ofa hugahaze.
Siku ya tatu ya kusanyiko, mtatoa sadaka mafahari kumi na moja, kondoo dume wawili, na wanakondoo dume kumi na nne wa umri wa mwaka mmoja, wakamilifu.
21 Hagi ana bulimakaone sipisipinema ve sipisipima ofama hanazana, ko'ma e'ina hiho huno tra kefima hu'nenia avamente waini ofane, witi ofanena kresramna vugahaze.
Pamoja na hizo sadaka mtatoa sadaka ya unga na sdaka ya vinywaji kwa wale mafahari, kwa wale kondoo dume, na kwa wale wanakondoo, utoe sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
22 Hagi maka zupama witi ofane, waini ofama hanafina, kumite nona huno apase ofa, mago ve meme afu avreta kre fanane hu ofa ome hugahaze.
Mtatoa sadaka beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya zile sadaka za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji.
23 Hagi nampa 4 knazupama ofama hanazana, 10nia agoho bulimakaonki, tare ve sipisipigi, afuhe afahe osu'nenia 14ni'a ve sipisipi anentera mago kafu hu'nenaza avreta egahaze.
Siku ya nne ya kusanyiko, mtatoa mafahari kumi, kondoo dume wawili, na wanakondoo dume kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
24 Hagi ana bulimakaone ve sipisipine sipisipi anentatamima ofama hanazana, ko'ma e'ina hiho huno tra kefima hu'nenia avamente waini ofane, witi ofanena kresramna vugahaze.
Pamoja na sadaka hizo mtatoa sadaka za unga na sdaka za vinywaji kwa wale mafahari, na kwa wale kondoo dume na kwa wale wanakodoo, mtatoa sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
25 Hagi maka zupama witi ofane, waini ofama hanafina, kumite nona huno apase ofa, mago ve meme afu avreta kre fanane hu ofa ome hugahaze.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kuwa nyongeza ya sadaka za kuteketezwa za kila siku, sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji
26 Hagi nampa 5fu knazupa 9ni'a bulimakaonki, tare ve sipisipigi, 14ni'a anenta sipisipi afuhe afahe osu'no mago kafu hu'nesia ofa hugahaze.
Siku ya tano ya kusanyiko, mtatoa mafahari tisa, kondoo dume wawili, na wanakondoo dume kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
27 Hagi ana bulimakaone ve sipisipine, sipisipi anenta'enema ofama hanazana, ko'ma e'ina hiho huno'ma tra kefima hu'nenia avamente waini ofane, witi ofanena kresramna vugahaze.
Pamoja na sadaka hizo mtatoa sadaka za unga na sadaka ya vinywaji kwa ajili ya wale mafahari, kondoo dume, na wale wanakondoo, mkitoa sdaka nyingi kama ilivyoamriwa.
28 Hagi maka zupama witi ofane, waini ofama hanafina, kumite nona huno apase ofa, mago ve meme afu avreta kre fanane hu ofa ome hugahaze.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka za kuteketezwa za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka za vinywaji.
29 Hagi nampa 6 knazupa 8'a bulimakaonki, tare ve sipisipigi, 14ni'a anenta sipisipi afuhe afahe osu'no mago kafu hu'nenia ofa hugahaze.
Siku ya sita ya kusanyiko, mtatoa mafahari wanane, kondoo dume wawili, na wanakondoo kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
30 Hagi ana bulimakaone ve sipisipine, sipisipi anenta'enema ofama hanazana, ko'ma e'ina hiho huno tra kefima hu'nenia avamente waini ofane, witi ofanena kresramna vugahaze.
Pamoja na sadaka hizo mtatoa sadaka za unga nasadaka za vinywaji kwa wale mafahari, kondoo wa dume na wale wanakondoo, mkitoa sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
31 Hagi maka zupama witi ofane, waini ofama hanafina, kumite nona huno apase ofa, mago ve meme afu avreta kre fanane hu ofa ome hugahaze.
Mtatoa beberu kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka za kila siku za kuteketezwa, sadaka zadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji.
32 Hagi nampa 7ni knazupa 7ni'a ve bulimakaonki, tare ve sipisipigi, 14ni'a anenta sipisipi afuhe afahe osuno mago kafu hu'nesia ofa hugahaze.
Siku ya saba ya kusanyiko, mtatoa mafahari saba, kondoo dume saba, na wanakondoo dume kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
33 Hagi ana bulimakaone sipisipinema ofama hanazana, ko'ma e'ina hiho huno tra kefima hu'nenia avamente waini ofane, witi ofanena kresramna vugahaze.
Pamoja nao mtataengeneza sadaka ya unga na sadaka ya vinywaji kwa ajili ya wale mafahari, na kondoo dume, na kwa wale wanakondoo, mkitoa sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
34 Hagi maka zupama witi ofane, waini ofama hanafina, kumite nona huno apase ofa, mago ve meme afu avreta ome kre fanane hu ofa hugahaze.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka ya kuteketezwa ya kila siku, na sadaka yake ya unga, na sadaka yake ya vinywaji.
35 Hagi 8ti knazupa atru huta nemanita mago'a knafima e'neri'za eri'zana ama ana knarera e'origahaze.
Siku ya nane mtakuwa na kusanyiko lingine makini. Hamtafanya kazi zenu za kila siku.
36 Hagi ana knarera Ra Anumzamofonte'ma tevefi kre fanenema hu ofama hazageno knare manama nentahino musema nehia ofama hanuta, mago agoho bulimakaonki, mago ve sipisipigi, 7ni'a anenta sipisipi afuhe afahe osuno mago kafu hu'nenia avreta kresramna vugahaze.
Mtafanya sadaka za kuteketezwa, sadaka iliyotengenezwa kwa moto ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa fahari mmoja, kondoo mmoja dume, na wanakondoo saba dume wa umri wa mwaka mmoja, wakamilifu.
37 Hagi ana bulimakaone sipisipinema ofama hanazana, ko'ma e'ina hiho huno tra kefima hunenia avamente waini ofane, witi ofanena kresramna vugahaze.
Mtatoa sadaka zake za unga na sadaka zake za vinywaji kwa ajili ya yule fahari, kondoo dume, na kwa wale wanakondoo, mkifanya sadaka nyingi kadri ilivyoamriwa.
38 Hagi maka zupama witi ofane, waini ofama hanafina, kumite nona huno apase ofa, mago ve meme afu avreta kre fanane hu ofa ome hugahaze.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji.
39 Hagi e'i ana zantamina huhamprinte knare Ra Anumzamofontera erita eme ofa nehuta, huvempama hanare'ma hanaza ofane, musema huta nemiza ofane, kre fananehu ofane, witi ofane, waini ofane, tamarimpa fru ofanena hugahaze.
Hivi ndivyo utakavyotoa sadaka kwa BWANA katika sikukuu zenu za kila mwaka. Hivi vitakuwa nyongeza ya viapo vyenu na sadaka zenu za hiari. Mtavitoa hivi kama sadaka zenu za kuteketezwa, sadaka za unga, sadaka za vinywaji, na sadaka za amani.”
40 Higeno Ra Anumzamo'ma asamia kante anteno Mosese'a maka nanekea Israeli vahera zamasami'ne.
Musa aliwaambia wana wa Israeli kila kitu ambacho BWANA alikuwa amemwamuru kusema.

< 4 Mose 29 >