< 4 Mose 20 >

1 Hagi ese ikantera miko Israeli vahe'mo'za Zini hagege kokampi ehanati'za Kades kumate emani'nazageno, Miriamu'a frige'za anante asente'naze.
Kwa hiyo wana wa Israeli, na jamii yote ya watu, wakaenda katika jangwa la Sini katika mwezi wa kwanza; wakaa Kadeshi. Hapo ndipo Miriamu alipofia na kuzikwa.
2 Anampina tima ne'naza zana omanege'za, Israeli vahe'mo'za eritru hu'za Mosesene Aronikiznia kehakare huznante'naze.
Huko hapakuwa na maji kwa ajili ya watu, kwa hiyo wakakusanyika kinyume na Musa na Haruni huko.
3 Ana vahe'mo'za Mosesena ke ha'rente'za anage hu'naze, tagrira tatranketa Ra Anumzamofo avuga tafuhe'zane fruntesina knare hisine!
Watu wakamlalamikia Musa. Wakasema, “Ilikuwa ni bora kama tungelikufa wakati Waisraeli wenzetu walipokufa mbele za BWANA.
4 Hagi nahigenka Ra Anumzamofo vahe'mota tavrenka hagege ka'ma kokampina anketa, tagrane zagagafatinena fri'zana nehune?
Kwa nini umewaleta watu wa BWANA kufia katika jangwa hili, sisi na wanyama wetu?
5 Hagi nagafare Isipitira tavrenka ama havizama hu'nea kokampina e'nane? Fikima, wainima witi ragama, pomigreneti zafa ragama, tima nesunazanena amafina omane mopafina tavrenka e'nane.
Kwa nini ulitutoa Misri na kutuleta katika eneo hili baya? Hapa hakuna nafaka, wala mitini, wala mizabibu, wala makomamanga. Na hakuna maji ya kunywa.”
6 Mosese'ene Aronikea seli nomofo avuga zanavugosaregati mopafi umaseke, Ra Anumzamofontega nunamu hakeno, Ra Anumzamofo hanavenentake msamo'a efore hu'ne.
Basi Musa na Haruni wakatoweka mbele ya mkutano huo. Wakaenda kwenye hema ya kukutania wakalala kifudifudi. Ndipo pale utukufu wa Busara wa BWANA ukaonekana kwao.
7 Anante Ra Anumzamo'a Mosesena amanage huno asami'ne.
BWANA akanena na Musa, akamwambia,
8 Azompaka'a enerinka mika vahera kehuge'za atru hanagenka negafu Aroni'enena ana vahe zamavuga havemofona nanekea asamigeno, ana havefinti tina herafiramino e'na, miko vahe'mo'zane zagagafa zmimozanena tina negahaze.
“Chukua fimbo yako na uwakusanye watu, wewe na Haruni ndugu yako. Uumbie huu mwamba mbele ya macho yao, na uumuru utoe maji. Nawe utawapa maji kutoka kwenye huu mwamba, nawe utawapa maji ya kunywa hao watu na wanyama wao.”
9 Anage higeno Mosese'a Ra Anumzamofo avugama Aroni azompama me'neana erino, Ra Anumzamo'ma huoma huno hunteaza hu'ne.
Musa akachukua hiyo fimbo mbele ya BWANA, kama vile BWANA alivyokuwa amemwamuru kufanya.
10 Hagi anante Mosese'ene Aronikea havemofo avuga Israeli vahera zamazeri atru nehuke, Mosese'a anage huno hu'ne, kehakare'ma hu vahe'mota kama antahiho, ama havefinti tina erifore huramigahupi?
Kisha Musa na Haruni wakawakusanya watu pamoja mbele ya ule mwamba. Ndipo Musa akawaambia, “Sasa sikilizeni, enyi wapinzani. Lazima tuwape maji kutoka kwenye huu mwamba?”
11 Anante Mosese'a azana erintesaga huno ana havere tare zupa azompa'aretira amasagigeno ana havefintira tina herafino ege'za vahe'mo'zane zagagafazaminena ne'naze.
Ndipo Musa akanyosha mkono wake na kuupiga ule mwamba mara mbili kwa fimbo yake, na maji mengi yakatoka. Wale watu wakanywa pamoja na wanyama wao.
12 Anante Ra Anumzamo'a Mosesene Aronikiznia zanasamino, Nagrikura antahionamitna, ruotge hu'ne huta Israeli vahe zmavufina osu'naku, Nagrama tami'noa mopafina ama vahera zamavareta uofregaha'e.
Kisha BWANA akamwambia Musa na Haruni, “Kwa kuwa hamkuniheshimu mimi na kuniamini mbele ya watu wa Israeli, hamtawaingiza hawa watu katika nchi niliyowaahidi.
13 E'ina tinkura Meribe hu'za nehaze. Na'ankure Israeli vahe'mo'za, tinkura kehakare hazageno Ra Anumzamo'a Agra'a ruotage hu'noe huno zamaveri hu'ne.
Mahali hapa paliitwa maji ya Meriba kwa sababu wana wa Israeli walitofautiana na BWANA pale, na akajionyesha kwao kuwa mtakatifu.
14 Hagi Mosese'a Kadesi kumate mani'neno Idomu kini ne'tega ke erino vu vahera huzmantege'za amanage hu'za ome asami'naze. Kafuhe'za Israeli vahe'mo'za kea hu'za, Knazama tagrite'ma e'neana, hago kenka antahinka hu'nane hu'za hu'naze.
Musa akatuma wajumbe kutoka Kadeshi kwa mfalme wa Edom: Ndugu yako Israeli anasema hivi: “Wewe unajua magumu yote ambayo yametupata.
15 Hagi neragehoza Isipi mopare urami'za rama'a kafu umani'naze. Anantega umani'nonke'za Isipi vahe'mo'zama tafahe'ine tagri'enena tazeri haviza hu'naze.
Na unajua kuwa babu zetu walienda Misri na waliishi Misri kwa muda mrefu. Wamisri walitutendea vibaya pamoja na babu zetu.
16 Hianagi tagrama Ra Anumzamofontega krafa huntonkeno ana krafama huna ketia nentahino, ankero vahe'a huntegeno, Isipitira tavreno atirami'ne. Hagi antahio, menina kagri mopamofo agentega me'nea kumate Kadesi emani'none.
Tulipomlilia BWANA, akatusikia na kututumia malaika ambaye alitutoa toka Misri. Tazama, sasa tuko Kadeshi, mji unaopakana na nchi yako.
17 Hagi muse hugantoanki tatregeta mopakafina ufreta vamaneno. Hagi tagrama vanuta hozatamifine waini hozatamifinena ovugahune. Anahukna huta tinkeri tamifintira tina onegosune. Hagi kini vahe kanema nehaza karanka nevuta, rukrahe huganti hugama osugahunanki, karanka fatgo huta nevuta mopatamia ome agatereta vugahune.
Tunakuomba uturuhusu kupita katika nchi yako. Hatutapita mashambani wala kwenye mashamba ya mizabibu, wala hatutakunywa maji ya visima vyako. Tutapita kwenye njia kuu ya mfalme. Hatutageuka upande wa kulia wala upande wa kushoto mpaka tutakapopita mpaka wako.”
18 Hianagi Idomu kini ne'mo'a kenona huzamanteno, tamagra mopatifina eovugahaze. Hagi anama hanageta, kazinteti hara eme huramantegahune.
Lakini mfalme wa Edomu akamjibu, “Msipite hapa. Kama mtafanya hivyo, Nitakuja na upanga kukuvamia.”
19 Ete Israeli vahe'mo'za mago'ane kenona hunte'za, tagra rankama avaririta nevanunkeno zagagafatimo'zo, mago vahe'mo'ma tamagri tinkerifinti'ma tima nesigeta, tagra miza hugahune. Hagi tatrenketa mopatamifi rankamofo avariri fatgo huta nevuta mago'zana avakora osugahune.
Ndipo wana wa Israeli wakamwambia,”tutapitia njia kuu. Kama sisi au wanyama wetu watakunywa maji yako, basi tutalipa. Tunaomba uturuhusu tupite tukitembea kwa miguu yetu, bila kufanya jambo lolote lile.”
20 Hianagi Idomu kini ne'mo'a kenona huno, amafina eovugahaze, huno nehuno hanavenentake sondia vahe zamavreno ha' eme huzmante'naku e'ne.
Lakini mfalme wa Edomu akajibu, “Usipite hapa.” Kwa hiyo nfalme wa Edomu akawa kinyume cha Israeli kwa mkono wenye nguvu pamoja na jeshi kubwa sana.
21 Hagi Idomu kini ne'mo'ma mopanifima e'ovugahazema huno hiazanku, Israeli vahe'mo'za atre'za, ru kampi vu'naze.
Mfame wa Edomu akawazuia wana wa Israeli kupita kwenye mipaka yake. Kwa sababu ya hili, Israeli akageuka kuiacha nchi ya Edomu.
22 Hagi miko Israeli vahe'mo'zama Kadesi kumara atre'za Hori agonarega vu'naze.
Kwa hiyo watu wakasafiri kutoka Kadeshi. Wana wa Israeli, watu wote, wakafika Mlima Hori.
23 Hagi Idomu mopa atuparega Hori agonare Ra Anumzamo'a Mosesene Aronikiznia zanasamino,
BWANA akanena na Musa na Haruni hapo kwenye Mlima Hori, kwenye mpaka wa Edomu. Akasema,
24 Aroniga Nagrama Israeli vahe'ma zaminaku'ma hu'noa mopafina uofregahananki, kafu kafahe'zama nehazaza hunka frigahane. Na'ankure e'ina hi'o hu'na tanagri'ma huranantoa kerera Meriba tintera avariri fatgo osu'na'e.
“Sasa ni wakati wa Haruni kukusanyika na watu wake, hataingia katika nchi ile niliyowaahidi wana wa Israeli. Hii ni kwa sababu ninyi wawili hamkuitii sauti yangu pale kwenye maji ya Meriba.
25 Hagi Aronine ne' mofavre'a Elieasanena zanavrenka Hori agonare mareri'o.
Mchukue Haruni na Eliazari mwanaye, na uwalete juu ya Mlima Hori.
26 Hagi ana agonare Aronima antani'neno pristi eri'zama eneria kukena'a, hatenka ne'mofo Elieasana antanintegahane. Hanankeno Aroni'a anante frigahie.
Umvulishi HarunI yale mavazi ya kikuhani na umvalishe Eliazari mwanaye. Haruni atakufa na kulazwa pamoja na watu wake.”
27 Hagi Ra Anumzamo'ma hunteaza huno Mosese'a ana famotrena miko vahe'mo'za nezamageno agonarega zanavreno mareri'ne.
Musa akafanya kama BWANA alivyomwamuru. Wakaenda juu y a Mlima Hori na watu wote wakiona.
28 Hagi Mosese'a Aroni'ma antani'neno pristi eri'zama eneria kukena'a hateno nemofo Elieasa antaninte'ne. Ana higeno Aroni'a ana agonare frigeke, Moseseke Elieasakea ana agonaregati erami'na'e.
Musa akamvulisha Haruni yale mavazi ya kikuhani na kumvalisha Mwanaye Eliazari. Haruni akafa pale juu ya Mlima Hori. Kisha Musa na Eliazari wakashuka.
29 Hagi Aroni'ma fri'nea zamofoma maka Israeli vahe'mo'zama ke'za antahi'zama nehu'za, 30'a zage knafi zamasunkura hu'za zavira ate'naze.
Watu walipoona kuwa Haruni amekufa, taifa lote wakamlilia Haruni kwa siku arobaini.

< 4 Mose 20 >