< 4 Mose 2 >

1 Ra Anumzamo'a Mosesene Aroninena anage huno zanasami'ne,
BWANA akasema na Musa na Haruni tena. Akamwambia,
2 Israeli vahe'mo'za nagate nagate rure rure hu'za nona negi'za, nezmageho krauefa (flag) avame'za zamente rentetere nehu'za, atrumahu Seli mono noni'amofona ante ogantute'za seli no kumazmia antegahaze.
Kila mtu atapanga kulingana na mahali pake, pamoja na mabango ya baba zao. Watapanga kuzunguka hema ya kukutania kila upande.
3 Hanki zage hanati kaziga Juda naga kuma menigeno, sondia vahe'zmine Juda ne'mofavre nagapinti Aminadab nemofo Nasoni kegava huzamantegahie.
Wale watakaopanga mashariki mwa hema ya kukutania, mahali ambapo juu huonekana wakati wa jua kuchomoza, ni makambi ya Yuda nao watakuwa katika kundi lao. Nashoni mwana wa Aminadabu ni kiongozi wa watu wa Yuda.
4 Hagi sondia kevu'ane, ana miko zamagima kre tru'ma hu'nazana 74 tausen, 600'a vahere.
Idadi ya watu wa Yuda ni 74, 600.
5 Agri asoparema kisazana Isaka agehe'ze, Isaka nagate'ma kegava hu'neana, Zuar nemofo Netanieli'e.
Kabila la Isakari litapanga mbele ya Yuda. Nethaneli mwana wa Zuari ataliongoza jeshi la Isakari.
6 Hagi sondia kevu'ane, ana miko zamagima kre tru hu'nazana 54 tausen 400'a vahere.
Idadi ya kikosi chake ni wanaume 54, 000.
7 Anantera Zebuluni agehe'ze, Zebuluni ne'mofavrefinti Heloni nemofo Eliabu kva mani'ne.
Kabila la Zabuloni litapanga mbele ya Isakari. Eliabu mwana wa Heloni ndiye atakayeliongoza jeshi la Zabuloni.
8 Hagi sondia vahe'ane, ana miko zamagima kre tru hu'nazana 57 tausen, 400'a vahere.
Idadi ya kikosi chake ni 57, 400.
9 Juda nagapima agrane mani'nazana ana mika 186 tausen, 400'a sondia vahere. Kama vunaku'ma hnageno'a, zamagra vugota hugahaze.
Idadi yote ya kambi y a Yuda ni 186, 400. Watakuwa wa kwanza kuondoka.
10 Henkamu sauti kaziga Ruben naga'mo'za krauefazamia ante'za kumara ante'za manigahaze. Rubeni nagama kvama huzmantesiana Sedeur nemofo Elizuri'e.
Upande wa kusini kutakuwa na kambi ya Reubeni katika kundi lao. Kiongozi wa kundi la Reubeni ni Elizuri mwana wa Shedeuri.
11 Hagi sondia vahe'ane ana miko zamagima kre tru hu'nazana 46 tausen, 500'a vahere.
Idadi ya kikosi chake ni 46, 500.
12 Hanki asoparegama mani'nazana Simeon agehe'ze, Simeon naga'ma kegava huzmantesiana, Surisadai nemofo Selumieli'e.
Simeoni atapanga mbele ya Reubeni. Kiongozi wa watu wa Simeoni ni Shelumieli mwana wa Zurishadai.
13 Hagi sondia kevu'ane ana miko zamagima kre tru hu'nazana 59 tausen 300'a vahere.
Waliohesabiwa kwenye kikosi chake ni 59, 300.
14 Anantera Gati agehe'ze, Gati nagama kegava huzmantesiana, Deuel nemofo Eleasafi'e.
Kabila la Gadi litafuatia. Kiongozi wa watu wa Gadi ni Eliasafu mwana wa Deuli.
15 Hagi sondia kevu'ane ana miko zamagima kre tru hu'nazana 45 tausen, 650'a vahere.
Idadi ya kikosi chake ni 45, 650.
16 Rubeni agorga kuma ante'za agrane mani'nazana ana maka'a 151 tausen, 450'a sondia vahere. Juda naga'mokizmi zamefi zamagra vugahaze.
Wote waliohesabiwa kwenye kambi ya Reubeni, kulingana na kikosi chake, ni 151, 450. Watakuwa wa pili kuondoka.
17 Hanki Livae vahe'mo'za kuma ante'za mani'nare atruhu seli mono nona amu'nompi kofi'za vugahaze, kuma ante'za mani'naza avamente avamente nevu'za mago mago'mo'za kumazmimofo krauefa amefiga eri'za vutere hugahaze.
Kifuatacho, ni hema la kukutania kuondoka kambini pamoja na Walawi likiwa katikati ya kambi zote. Lazima waondoke hapo kambini kwa mpangilio huo kama walivyoingia kwenye kambi. Kila mwanamume lazima awe mahali pake kwa kufuata bango lake.
18 Zage fre kaziga Efraemi krauefane, sondia vahe'zmine, kuma megahie. Ana agu'afi Efraemi ne'mofavremo Amihuti nemofo Elisama kvazmia manigahie.
Migawanyiko ya kambi y Efraimu kufuata mahali pake. Kiongozi wa watu wa Efraimu ni Elishama mwana wa Amihudi.
19 Hagi sondia kevu'ane ana miko zamagima kre tru hu'nazana 40 tausen, 500'a vahere.
Hesabu ya kikosi hiki ni 40, 500.
20 Efraemi naga asoparema kuma ante'sazana, Manase agehe'ze. Manase nagama kegava huzmantesiana, Pedasuri nemofo Gamalieli'e.
Baada ya hao lilifuata kabila la Manase. Kiongozi wa Manase ni Gamaliel mwana wa Pedazuri.
21 Hagi ana miko sondia vahe zamagima kre tru hu'nazana 32 tausen, 200'a vahere.
Hesabu ya kikosi hiki ni 32, 200.
22 Anante'ma esnazana Benjamen agehe'ze, Benjamen nagama kegavama huzmantesiana, Gideoni nemofo Abidani'e.
Kabila litakalofuata ni la Benjamini. Kiongozi wa Benjamini n Abidani mwana wa Gidioni.
23 Hagi ana miko sondia vahe zamagima kre tru hu'nazana 35tausen, 400'a vahere.
Hesabu ya kikosi hiki ni 35, 000
24 Hagi anante'ma esnazana Efraemi nagare. Hagi ana miko sondia vahe zamagima kre'nazana 108tausen, 100'a vahere. Ama ana naga'mo'za nampa trire kevu hu'za vugahaze.
Wote waliohesabiwa katika kambi ya Efraimu ni 108, 100. Watakuwa wa tatu kuondoka.
25 Anagamu noti kazigama kumama ante'za krauefa zaminema manisazana, Dani naga sondia vahe'mo'za kumara ante'za manigahaze. Dani nagatema kegava haniana, Amisadai nemofo Ahieza kvazmia manigahie.
Upande wa kaskazini kutakuwa na kambi ya kikosi cha Dani. Kiongozi wa watu wa Dani ni Ahiezeri mwana wa Amishadai.
26 Hagi ana mika sondia vahe zamagima kre tru hu'nazana 62tausen, 700'a vahere.
Hesabu ya kikosi hiki ni 62, 700.
27 Dani asopare kumama antesazana Aseli agehe'ze, Aseli nagama kegava huzmantesiana, Okran nemofo Pagieli'e.
Watu wa kabila ya Asheri watapanga mbele ya Dani. Kiongozi wa Asheri ni Pagieli mwana wa Okirani.
28 Hagi sondia vahe ana miko zamagima kre tru hu'nazana 41 tausen, 500'a vahere.
Hesabu ya Kikosi hiki ni 41, 500.
29 Anante'ma esazana Naftali agehe'ze. Naftali nagama kegava huzmantesiana, Enan nemofo Ahira'e.
Kabila la Naftali ndilo litakalofuatia. Kiongozi wa Naftali ni Ahira mwana wa Enani.
30 Hagi ana maka sondia vahe zamagima kre tru hu'nazana 53 tausen, 400'a vahere.
Hesabu ya kikosi hiki ni 53, 400.
31 Dani naga'ma mani'neregama kumama ante'za mani'naza vahe'ma zamagima kre'neana, ana maka 157tausen, 600'a vahere. Zamagra atuparega henka krauefa zamine vugahaze.
Wote waliohesabiwa kwenye kambi ya Dani ni 157, 600. Hawa watakuwa wa mwisho kuondoka kambini, wakifuata bango lao.
32 Ama'i Israeli vahe'ma nagate nagate, kumate kumate eri magoma hu'za hampri'nazana, ana maka vahera 603 tausen, 550'a vahere.
Hawa ndio Waisraeli, waliohesabiwa kufuata familia zao. Wote waliohesabiwa kwenye kambi zao, kwa kufuata vikosi vyao ni 603, 550.
33 Ana hianagi, Ra Anumzamo Mosesema asmi'nea kasegere amage ante'za, Livae nagara Israeli vahepina eri mago hu'za ohampri'naze.
Lakini Musa na Haruni hawakujumuisha Walawi kwenye Hesabu ya Waisrael. Ilikuwa kama BWANA alivyokuwa amemwagiza Musa.
34 Israeli vahe'mo'za Ra Anumzamo Mosesema asmi'nea maka kasegere amage ante'za, kevure kevure krauefana (flag) nezamageho avame'za renente'za, seli nonkuma antetere hu'za nagate nagate eri zogiza vutere hu'naze.
Watu wa Israel walifanya yote ambayo BWANA alimwagiza Musa. Walipanga kwa kufuata mabango yao. Walisafiri kutoka kambini kwa kufuata jamaa zao, kwa mpangilio wa familia za koo zao.

< 4 Mose 2 >