< 4 Mose 15 >
1 Ra Anumzamo'a amanage huno Mosesena asmi'ne,
Kisha BWANA akanena na Musa, akasema,
2 Israeli vahera zamasmige'za taminaku'ma nehua mopafima umanisu'za avaririsaza kasegea ama'ne.
“Sema na wana wa Israeli uwaambie, 'Mtakapoingia katka nchi ambayo mtaishi, ambayo BWANA atawapa,
3 Hagi tamagratami tamavesite kresramna vu ofa hugahazo, huvempa hunesare hu ofo, ranra knare'ma hu ofa hanazana, tamagra'a afu kevufinti bulimakaone, sipisipine, memene aheta kresramna tevefima nevazage'nama mna'ama nentahina Ra Anumzamo'na musema nehua ofa hugahaze.
mtatakiwa kuandaa sadaka kwa moto kwa BWANA, sadaka ya kuteketezwa au sadaka ya kukamilisha kiapo au sadaka ya hiari, au sadaka katika sikukuu zenu, ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA ya ng'ombe au ya kondoo.
4 Hagi mago'mo'ma sipisipio memema ofama erinoma Ra Anumzamo'narema esuno'a mago kilo hu'nesia witia 1lita olivi masavene eri havia huno herunesia witi ofama hu'zana erino egahie.
Utamtolea BWANA sadaka ya kuteketezwa pamoja na sehemu ya kumi ya efa ya sadaka ya unga mwembamba uliochanganywa na robo ya hini ya mafuta.
5 Hagi kresramna vu ofama hanazana, mago sipisipine 1lita wainine kresramna vugahaze.
Na tena mtatoa pamoja na sadaka ya kuteketezwa, au kwa sadaka ya divai robo ya hini ya sadaka ya vinywaji kwa kila mwanakondoo.
6 Hagi ve sipisipima kresramna vunaku'ma hanuta, 2kilo hu'nesia witine 1litagi hafu'a lita olive masavene herugahaze.
Kama unatoa sadaka ya kondoo dume, utaandaa sadaka ya unga ya sehemu za kumi mbili za efa ya unga mwembamba uliochanganywa na sehemu ya tatu ya hini ya divai.
7 Hagi waini ofama hanuta, 1litagi hafu'a lita waininu sipisipinena ofa hanage'na mna'a nentahina musena hugahue.
Kwa sadaka ya kinywaji, mtatoa sehemu ya tatu ya hini ya divai ambayo itatoa harufu nzuri kwa BWANA.
8 Hagi agaho bulimakaoma aheta kre fanenema hu ofama hunakuma hanuto, huvempama hunesarema ofama hunaku'ma hanuto, rimpa fru ofama hunaku'ma hanuta,
Utakapoandaa fahari kwa ajiliy a sadaka ya kuteketezwa au sadaka ya kutimiza kiapo, au sadaka ya amani kwa BWANA,
9 witia 3'a kilo hu'nesia herafinteta, 2'a lita hu'nesia olivi masavene herugahaze.
Ndipo utakapotoa sadaka ya fahari pamoja na sadaka ya unga ya sehemu za kumi tatu za unga mwembamba uliochanganywa na nusu ya hini ya mafuta.
10 Hagi 2 lita waini enerita mago ve bulimakaone erita eho. Nagra Ra Anumzamo'na e'ina hu ofamofo mna'a nentahina musena hugahue.
Mtatoa sadaka ya kinywaji nusu ya hini ya divai, sadaka iloyotengenezwa kwa moto ili kufanya harufu nzuri kwa BWANA.
11 E'ina huta witima, olivi masavema, waini ofanena mago'mago ve bulimakaone, ve sipisipine, sipisipi anenta'ene meme anenta'ene ofa Nagritega hugahaze.
Itafanyika hivi kwa kila fahari, kwa kila kondoo dume, na kila mwanakondoo dume au mbuzi mchanga.
12 Hagi e'inahukna huta maka ofa hugahaze.
Kila sdaka utakayoindaa na kuitoa itafanyika kama ilivyoanishwa hapa.
13 Maka Israeli vahepima kasezmantesaza vahe'mo'za kresramna vanage'na mana'ama nentahina musema hanua ofama hanuza anahukna hugahaze.
Wazawa wote wa Israeli watafanya mambo haya kwa utaratibu huu, yeyote atakayeleta sadaka iliyotengenezwa kwa moto, ili kufanya harufu nzuri kwa BWANA.
14 Hagi tamagranema emani'naza vahe' mo'za kremna vanagena mna'ama nentahina musema hanua ofama hanuza, ana zanke' hu'za ama kasegea avaririho.
Na kama kuna mgeni anayeishi kati yenu, au yeyote atakayeishi na watu wa vizazi vyenu vyote, lazima atengeneze sadaka iliytoengenezwa kwa moto, ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA. Atafanya kama mnavyofanya.
15 Hagi magoke tra ke me'nena rurega vahe'ene Israeli vahe'motanena avaririgahaze. Ama'i ana tra kemo'a mevava huno vugahie. Na'ankure Nagra Ra Anumzamo'na Israeli vahe'ma tamagoana magoke avamenteke vahe mani'naze.
Kutakuwa na sheria hiyo hiyo kwa watu wote na kwa mgeni anayeishi kati yenu, sheria ya kudumu kwa watu wote wa uzao wako. Ninyi mlivyo, ndivyo atakavyokuwa mgeni aliyeishi kati yenu. Atafanya kama mnavyofanya mbele ya BWANA.
16 Hagi ama magoke tra ke me'nena rurega vahe'ma tamagranema emani'nenaza vahe'mo'za avaririgahaze.
Sheria na amri hiyohiyo ndiyo itakayotumika kwa mgeni anayeishi kati yenu.”
17 Ra Anumzamo'a anage huno Mosesena asami'ne,
Tena BWANA akanena na Musa, akasema,
18 ama nanekea Israeli vahera zamasamio, nagrama taminaku'ma nehua mopafima uhanatita,
“Nena wana wa Israeli uwaambie, 'mtakapofika katika nchi ninayowapeleka,
19 mopafima hozama ome antesageno ne'zamo'ma nenama hina, ese ne'zana refko huta ofa eme namiho.
mtakapokula chakula kinachozalishwa katika nchi hiyo, mtatoa sadaka ya kunipendeza mimi.
20 Hagi witi hozama antesageno ese'ma nenama hania witia erita witima refuzafunepaza kumapi ome refuzafupeteta, kekia kreta eme namiho.
Kutoka kwenye mikate yenu ya kwanza mtatoa mkate wa kuinuliwa kama sadaka iliyoinuliwa kutoka mahali pa kupuria nafaka. Mtaiinua kwa jinsi hii.
21 Hagi henkama fore hu anante anantema hu'za vanaza vahe'mo'za, ama ana tra ke avariri'za bretia kre'za ofa hugahaze.
Watu wa uzao wako wote wtanitolea sadaka ya kuinuliwa kutoka kwenye unga wenu wa kwanza.
22 Hagi Ra Anumzamo'nama Mosesema asami'noa tra kema mago vahe'mo'ma mago'azama hanirega hantga huno runetragenigeno,
Wakati mwingine mtafanya dhambi pasipo kukusudia, Kama hamtatii amri zote hizi ambazo nimemwambia Musa
23 henkama fore hu anante anantema hanaza vahe'mo'za Ra Anumzamo'na Mosesesema asami'noa tra kema mago'a zama haniregama hantga huno runetragenigeno,
-kila kitu ambacho nimewaamuru kupitia Musa kuanzia siku ambayo nilianza kuwaamuru na kuendelea kwa watu wote wa uzao wako.
24 ana mikamotama mago'azama hanaregama hantga huta tra ke'nima ruhantagisuta, mago ve bulimakao afu kre fanene hu ofa nehinkena mna'a nentahina musena haneno. Hagi ana ofama hanazana witine, wainine nehuta mago ve memena aheta kumima apasente ofa kresramna vugahaze.
Kwa swala la dhambi isiyokusudiwa ambayo watu wote hawaijui, basi watu wote watatoa fahari mchanga sadaka ya kuteketezwa ili kufanya harufu nzuri kwa BWANA. Pamoja na haya yote, lazima itengenezwe sadaka ya unga na sadaka ya kinywaji, kama ilivyoagaizwa katika amri, na beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
25 Hagi pristi vahe'mo ama ana ofa nehanige'na, Israeli vahe'mokizmi kumizmia apasenezmantena kumizmia atrezmantegahue. Na'ankure zamagra kumi hugahune hu'za ontahi'neza hu'naza kumite Ra Anumzamonare'ma eme hanaza ofa hugahaze.
Kuhani atafanya sadaka upatanisho kwa watu wote wa Israeli. Watasemehewa kwa sababu dhambi haikukusudiwa. Wametoa sadaka yao, sadaka iliyotengenezwa kwa moto kwa ajili yangu. Wameleta sadaka yao kwangu iliyotengenezwa kwa moto. Wameleta sadaka yao ya uovu mbele yangu kwa ajili ya kosa lao.
26 Ana hanagena mika Israeli vahe'ene ruregati tamagranema enemaniza vahe'mofo kumi'zmima apasezamantenu'a ofa hugahaze.
Ndipo watu wote wa Israeli watasamehewa, pia wageni wote wanaoishi kati yao, kwa sababu watu wote walitenda dhambi pasipo kukusudia.
27 Hagi mago'moma kumi hugahuema huno ontahineno mago'azama hanirega hantaga huno'ma hania kumitera, magoke ve meme anenta aheta kresramna vanageno,
Kama mtu atatenda dhambi bila kukusudia, atatoa mbuzi jike wa umri wa mwaka mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
28 pristi ne'mo'a kumi'ma hu'nesia nemofonteku huno krenkena, kumi'a apasentegahue.
Naye kuhani atafanya upatanisho kwa BWANA kwa ajili ya mtu yule aliyefanya dhambi pasipo kukusudia. Yule mtu atasamehewa baada ya upatanisho kufanyika.
29 Hagi ama'i tra kea maka Israeli vahe'motane rurega vahe'ma tamagranema enemaniza vahemo'zanena avaririgahaze.
Mtakuwa na sheria hiyohiyo kwa mtu yeyote anayefanya dhambi hiyo pasipo kukusudia, sheria hiyohiyo hata kwa mzawa wa Isreli na kwa wageni wanaoishi kati yao.
30 Hagi Israeli vahe'mo'o, rurega vahe'ma tamagranema emani'nenaza vahe'mo'za kumi'ma hanamo'za, Anumzamofo huhaviza hunteankna hugahazanki'za, Israeli vahepintira zamahe'natregahaze.
Lakini mtu afanyaye chochote kwa KUkusudia, awe mzawa au mgeni, ananikufuru mimi. Huyo mtu ataondolewa kati ya watu wake.
31 Na'ankure anamo'a amefi hunamino agra'a avesite tra keni'a rufutagi'ne. Ana hu'negu Sabati tra ke rufutaginea kumimo'a agrite megahianki, anamofona ahe frigahaze.
Kwa sababu atakuwa amedharau neno langu na amevunja neno amri yangu, mtu huyo ataondolewa kabisa. Dhambi yake itakuwa juu yake.'”
32 Israeli vahe'mo'za mago Sabati knarera ka'ma hagege kokampi mani'nazageno mago ne'mo'a teve'za nehige'za ke'naze.
Wakati wana wa Israeli walipokuwa katika jangwa, wakamuona mwanamume akikusanya kuni sikiu ya Sabato.
33 Ana nera azeri'za Mosesene Aronikiznire'ene mika Israeli vahete vu'naze.
Wale waliomwona wakamleta kwa Musa, Haruni na kwa watu wote.
34 Hagi ana ne'mofona nankna hazenke amigahaze ontahinazanki'za ana nera atrageno ovu'neanki kina huntazageno man'ine.
Wakamweka kifungoni kwa sababu ilikuwa haijaamuliwa atakachotendewa.
35 Hagi Ra Anumzamo'a amanage huno Mosesena asmi'ne, mika veara zamasmige'za kuma'mofona fegi'a avre'za vu'za have knonu ome ahe friho.
Kisha BWANA akanena na Musa, “Yule mwanamume lazima auawe. Watu wote lazima wampige kwa mawe nje ya kambi.”
36 Ra Anumzamo'ma Mosesema asmia kante ante'za, ana nera avare'za seli no kumofona fegia vu'za haveknonu ome ahe fri'naze. Nofima kukenarema renentaza kasege.
Kwa hiyo watu wote wakamtoa nje ya kambi nao wakampiga kwa mawe mpaka akafa kama vile BWANA alivyokuwa amemwamuru Musa.
37 Ra Anumzamo'a Mosesena amanage huno' asmi'ne,
BWANA akanena na Musa tena, akasema,
38 Israeli vahera zamasmige'za kenazmimofo agentega nofira rente'za eviho. Hagi kukenamofo agentega haninke nofi rente'za evugahazanki anazana mika knafima henkama fore hu anante anante'ma hu'za vanaza vahe'mo'za kukenazmimofo atuparega rente'za evugahaze.
“Waambie wana wa Israeli na uwaamuru wajifanyie vishada wavining'inize katika mapindo ya mavazi yao, wavining'ineze katika ncha zote kwa nyuzi za rangi ya samawi. Watu wote watafanya hivi kwa watu wote wa kizazi chote.
39 Hagi ana nofi'ma negesuta Ra Anumzamo'nama tami'noa mika kasegegu tamagesa antahita nevaririta, tamagra'a tamavesizana avaririta havi tamavutamavara osugahaze.
Huu utakuwa ukumbusho maalumu kwenu, kila mtakapovitazama, mtakumbuka amri zangu, na kuzishika ili kwamba msije mkatangatanga katika mioyo na macho yenu na kuwa waasherati wa hayo.
40 Hagi ana nofi'ma negesageno huramagesa nehina kasege'ni'ane naneke'ni'anena avaririta mani ruotge huta manigahaze.
Fanyeni hivi ili kwamba mweze kukumbuka na kutii amri zangu zote, na ili kwamba mpate kuwa watakatifu, waliotunzwa kwa ajili yangu, Mungu wenu.
41 Nagra Ra Anumzamo'nama Isipiti'ma tamavre'na e'noana, tamagri Anumza maniku tamavre'na e'noa Anumza mani'noe.
Mimi ndimi BWANA Mungu wenu niliyekutoa toka nchi ya Misri, ili niwe Mungu wenu. Mimi ndimi BWANA Mungu wenu.”