< Matiu 28 >

1 Hagi mani fruhu kna vagaregeno ese knazupa ame nanterampi, Makdala kumateti Maria ene Mariake matimati havega kenaku e'na'e.
Baada ya Sabato, karibu na mapambazuko ya siku ile ya Jumapili, Maria Magdalene na yule Maria mwingine walikwenda kutazama lile kaburi.
2 Ame huno tusi'a imikrefa erine, na'ankure Ramofo ankeromo monafinti eramino matite runkani re'naza have eme revahe hugantu atreno ana agofetu manine.
Ghafla kutatokea tetemeko kubwa la nchi; malaika wa Bwana alishuka kutoka mbinguni, akalivingirisha lile jiwe, akalikalia.
3 Ana ankeromofo masa'amo'a kopsinamoma hiaza nehigeno, kukena'amo'a efeke hampomo'ma hiaza hu'ne.
Alionekana kama umeme na mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji.
4 Matite kva hu'naza vahe'mo'za ana ne'ku tusi agoro hunente'za zmahiritege'za fri vahe kna hu'naze.
Walinzi wa lile kaburi wakatetemeka kwa hofu kubwa, hata wakawa kama wamekufa.
5 Hianagi ankeromo'a ana a'trena zanismino korora osi'o, na'ankure nagra antahinue, Jisasima rugeka zafare ahe'zama hantinaza neku eme nehaka'e.
Lakini yule malaika akawaambia wale wanawake, “Ninyi msiogope! Najua kwamba mnamtafuta Yesu aliyesulubiwa.
6 Agra amafina omanine, na'ankure koma hu'nea kante oti'ne. Amare eta avifama ante'nazafina eme ke'o.
Hayupo hapa maana amefufuka kama alivyosema. Njoni mkaone mahali alipokuwa amelala.
7 Ame' hutna amage nentaza disaipol nagara, Agra ko fripintira otine huta ome smasami'o, Galili vugotegahianki Agrira anantega ome kegahaze. Nagrama tanasamua nanekea antahi ankere'o.
Basi, nendeni upesi mkawaambie wanafunzi wake kwamba amefufuka kutoka wafu, na sasa anawatangulieni kule Galilaya; huko mtamwona. Haya, mimi nimekwisha waambieni.”
8 Higeke ana keria atreke kore nehune tusi musezampi zanagareke amage nentaza nagatega ananke zamasminaku vu'na'e.
Wakiwa wenye hofu na furaha kubwa, hao wanawake walitoka upesi kaburini, wakakimbia kwenda kuwaambia wanafunzi wake.
9 Antari ha'aza huno Jisasi'a tutagiha huznenteno, Nanterane huznantegeke, zanagra Agrite eke agiare eme azeri hanavetineke mono hunte'na'e.
Mara, Yesu akakutana nao, akawasalimu: “Salamu.” Hao wanawake wakamwendea, wakapiga magoti mbele yake, wakashika miguu yake.
10 Anante Jisasi'a zanasmino, Korora osio, vutna nafuhe'ina Galili viho hutna ome zamismi'o. Anantega Nagrira nagegahaze.
Kisha Yesu akawaambia, “Msiogope! Nendeni mkawaambie ndugu zangu waende Galilaya, na huko wataniona.”
11 Hagi ana a'trema nevake'za matite'ma kva hu'naza sondia vahepinti, mago'amo'za rankuma agu'afi ufre'za, fore'ma hu'nea zama'a maka ugagota pristi vahetaminte huama hu'naze.
Wale wanawake walipokuwa wanakwenda zao, baadhi ya walinzi wa lile kaburi walikwenda mjini kutoa taarifa kwa makuhani wakuu juu ya mambo yote yaliyotukia.
12 Hagi vugota pristi vahe'mo'za mono kva vahe enema atru hu'za kema retro hute'za, ana sondia vahe'mokizamia rama'a zago nezamiza,
Basi, wakakutana pamoja na wazee, na baada ya kushauriana, wakawapa wale askari kiasi kikubwa cha fedha
13 anage hu'za zamasmi'naze, Amanahu ke tamagra hugahaze. Amage'ma nentaza disaipol naga'mo'za ana nera kenage'afi tavu mase'nonke'za kerfa'a musufa emeriza fre'naze, hutma hiho.
wakisema, “Ninyi mtasema hivi: Wanafunzi wake walikuja usiku, wakamwiba sisi tukiwa tumelala.
14 Ama kemo'ma rankuma kva (Gavana) ne'mofo agesare hanigeta, tagra kaziga avrenenteta, hazenkefima ufreku hanazana tamaza hugahune.
Na kama mkuu wa mkoa akijua jambo hili, sisi tutasema naye na kuhakikisha kuwa ninyi hamtapata matatizo.”
15 Hazage'za sondia vahe'mo'za ana zago eneri'za, zamisminaza kante kea Jiu vahepina huganti kama hazage'za ana kemo'a meninena meno ne-e.
Wale walinzi wakazichukua zile fedha, wakafanya kama walivyofundishwa. Habari hiyo imeenea kati ya Wayahudi mpaka leo.
16 Ananteti 11ni'a Jisasi amage nentaza disaipol naga'moza Galili vu'za, Jisasi'ma zmasamino vihoma hu'nea agonare.
Wale wanafunzi kumi na mmoja walikwenda Galilaya kwenye ule mlima aliowaagiza Yesu.
17 Agri'ma ome nege'za mono hunte'naze. Hianagi mago'amo'za tare antahintahi hu'naze.
Walipomwona, wakamwabudu, ingawa wengine walikuwa na mashaka.
18 Anante Jisasi zmagrite eno amanage hu'ne, Maka monafine mopafinema kegavahu hihamu'a, Anumzamo'a ko Nagri namine.
Yesu akaja karibu, akawaambia, “Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.
19 E'ina hunegu kokankoka vutma, namage ante disaipol naga zamazeri retro hunezmanteta, Nefa agifine, Mofavre'amofo agifine, Ruotge Avamumofo agifi mono tina frenezamanteta,
Nendeni basi, mkawafanye watu wa mataifa yote wawe wanafunzi wangu; mkiwabatiza kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu.
20 Nagrama huramantoa kasege rempi huzaminke'za ana miko vahe'mo'za avaririho. Hagi kama antahiho, Hakare zupa tamagra ne manina nevanenkeno makaza vagaregahie. (aiōn g165)
Wafundisheni kushika maagizo yote niliyowapeni. Nami nipo pamoja nanyi siku zote; naam, mpaka mwisho wa nyakati.” (aiōn g165)

< Matiu 28 >