< Matiu 27 >

1 Ko'matigeno nanterama'a maka ugagota mono kva vahe'ene, ranra kva vahe'mo'za atru huza Jisasi ahefrisnaza naneke hunaki'naze.
Muda wa asubuhi ulipofika, wakuu wote wa makuhani na wazee wa watu walikula njama dhidi ya Yesu wapate kumuua.
2 Ana hute'za Jisasina azeri'za nofi kite'za, rankumamofo kagota kva ne' (Gavana) Paeroti avare'za omemi'naze.
Walimfunga, walimwongoza, na kumfikisha kwa Liwali Pilato.
3 Hagi komoru huno avare zami'nea ne' Judasi'a antahiama Jisasi frigahie kema nentahino'a, rama'a asuza e'nerino, 30'a silva zago ami'naza zago'a erino ugagota mono kava vahete'ene ranra vahete vuno,
Kisha wakati Yuda, ambaye alikuwa amemsaliti, aliona kwamba Yesu amekwisha kuhukumiwa, alijuta na kurudisha vipande thelathini vya fedha kwa mkuu wa makuhani na wazee,
4 amanage hu'ne, Hazenke'a omane ne'ma komoru hu'na avare tamuana, nagra kumi hue huno hige'za zamagra anage hu'naze, tagri zana omane'neanki kagri'zane hu'naze.
na akasema, “Nimefanya dhambi kwa kuisaliti damu isiyo na hatia.” Lakini wakajibu, “Inatuhusu nini sisi? Yaangalie hayo mwenyewe.”
5 Judasi'a ana zago'a mate'vuno ra mono nomofo agu'afi netreno, vuno kana ome he'ne.
Kisha alivirusha chini vile vipande vya fedha katika hekalu, na kuondoka zake na kujinyonga mwenyewe.
6 Ugagota mono kva vahe'mo'za ana zago eneriza anage hu'naze, Trakemo'a i'o hu'negu vahe'ma zamahe frikuma mizama ase'naza zago'a mono nomofo zago tafempina ontegahune.
Mkuu wa makuhani alivichukua vile vipande vya fedha na kusema, “Si halali kuiweka fedha hii katika hazina, kwa sababu ni gharama ya damu.”
7 Anante kehuge antahige hute'za, ana zagonuti mopa kavo tro nehia ne'mofo mopa, ru kazigati emani vahe fri hanageta asezamantesuna mope hu'za mizase'naze.
Walijadiliana kwa pamoja na fedha ikatumika kununulia shamba la mfinyazi la kuzika wageni.
8 Amana kegafare, ana mopagura kora mope hu'za meninena nehaze.
Kwa sababu hii shamba hilo limekuwa likiitwa, “Shamba la damu” hadi leo hii.
9 Anante kasnampa ke Jeremaia hunte'nea kemo avufga'a fore hu'ne. Israeli vahe'mo'za agri avufgare huhamprinte'naza 30'a silva zagoa zamagra eri'naze,
Kisha lile neno lililokuwa limenenwa na nabii Yeremia lilitimia, kusema, “Walitwaa vipande thelathini vya fedha, gharama iliyopangwa na watu wa Israel kwa ajili yake,
10 nehu'za ana zagoa eri'za, Ramo nasmi'nea kante mopa kavo tro' nehia ne'mofo mopa miza senaze.
na waliitumia kwa shamba la mfinyanzi, kama Bwana alivyokuwa amenielekeza.”
11 Jisasi'a anante rankumamofo kva (Gavana) ne' avuga uotigeno agenoka huno, Kagra Jiu vahe'mokizmi Kini mani'nano? Izo e'ima kagra nehanane, huno Jisasi'a ke'nona hu'ne.
Sasa Yesu alisimama mbele ya liwali, na liwali akamwuliza, “Je! Wewe ni mfalme wa Wayahudi?” Yesu alimjibu, “Wewe wasema hivyo.”
12 Hagi ra mono kva vahe'mo'zane, ranra kva vahe'mo'za naneke humanentageno'a Jisasi'a kenona huozmante'ne.
Lakini wakati aliposhitakiwa na wakuu wa makuhani na wazee, hakujibu chochote.
13 Anante Paeroti'a amanage hu'ne, Hakare hazenkema hu'nana zanku'ma naneke'ma huma negantazana nentahimpi?
Kisha Pilato alimwambia, “Hujayasikia mashitaka yote dhidi yako?”
14 Hianagi Jisasi'a magore huno, keagama huntea kerera, kenona'a osutfa higeno, Paeroti'a tusi'a antri hu'ne.
Lakini hakumjibu hata neno moja, hivyo liwali alijawa na mshangao.
15 Hagi rankumate kva ne'mo'a agri'a avu'avakino mika kafurera kinafinti zamavare'nea knare muse hu'za kave'ma nenaza zupa (pasova) kinafinti zamesimofonku hazageno avare fegu'a netreane.
Sasa katika sikukuu ilikuwa desturi ya liwali kumfungua mfungwa mmoja anayechaguliwa na umati.
16 Hagi ana knafina mago nera agi'a Barabasi'e tusi hazenketi'nea ne' kina nompi mani'ne.
Wakati huo walikuwa na mfungwa sugu jina lake Baraba.
17 Maka veama atru hutageno'a, Paeroti'a zamantahigeno, azanku tamenesi'a katufe tamisue? Barabasipi, Jisasinku Kraisi'ema nehaza nere?
Hivyo wakati walipokuwa wamekusanyika pamoja, Pilato aliwauliza, “Ni nani mnataka tumfungue kwa ajili yenu?” Baraba au Yesu anayeitwa Kristo?”
18 Krunonkema Jisasi hunte'za avare'za eme ami'nazana agra antahinokeno hu'ne.
Kwa sababu alijua kwamba wamekwisha kumkamata kwa sababu ya chuki.
19 Paeroti'a ke refakohu tra'are'ma mani'negeno'a, nenaro'a ke atregeno vu'ne. Meni kenagera mase'ne'na Agrite'ma ke'noa avanamo'a tusi nagogofe'ne. E'i Nera fatgo ne' mani'neanki, mago zana huonto.
Wakati alipokuwa akiketi kwenye kiti chake cha hukumu, mke wake alimtumia neno na kusema, “Usitende jambo lolote kwa mtu huyo asiye na hatia. Kwani nimeteswa mno hata leo katika ndoto kwa sababu yake.”
20 Hianagi ra mono kva vahe'mo'zane, ranra kva vahe'mo'za, Barabasi tamiho nehutma Jisasina ahefrio hutma hiho, hu'za mika atru hunaza veara masave ke zmasami'naze.
Ndipo wakuu wa makuhani na wazee waliwashawishi makutano wamwombe Baraba, na Yesu auawe.
21 Hagi rankuma kva ne'mo'a, ama tare netrempitira inamofonku tamenesigu nagra katufe tamisue? Higeza zamagra Barabasie hu'naze.
Liwali aliwauliza, “Ni yupi kati ya wawili mnataka mimi nimwachie kwenu?” Walisema, “Baraba.”
22 Paeroti'a zmasamino, Jisasinku tazahu ne' Kraisi'ema nehaza nera na'a huntesuegu tamenesi'e? Hige'za ana mika veamo'za, Rugeka zafare aho, hu'za kezatiza hazageno,
Pilato akawaambia, “Nimtendee nini Yesu anayeitwa Kristo?” Wote wakajibu, “Msulibishe”
23 Paeroti'a kenona huzmanteno, naza havizana hu'negeta neheze? huno hige'za, mago'ene kezati'za, Rugeka'zafare ahegeno frino.
Naye akasema, “Kwa nini, ni kosa gani ametenda?” Lakini walizidi kupaza sauti hata juu mno, “Msulibishe.”
24 Hazageno Paeroti'a keana maka veamo'za rankege hazageno, mago'za huga nosuno tifino hakare vea zamufi aza sese nehuno, ama ne'mofo kora kumira nagripina omanegahianki, tamagri zane.
Hivyo wakati Pilato alipoona hawezi kufanya lolote, lakini badala yake vurugu zilikuwa zimeanza, alitwaa maji akanawa mikono yake mbele ya umati, na kusema, “Mimi sina hatia juu ya damu ya mtu huyu asiye na hatia. Yaangalieni haya wenyewe.”
25 Hige'za hakare veamo'za kenona'a hu'za, atregeno agri kora kumimo'a, tagripine mofavretifine meno hu'naze.
Watu wote wakasema, “Damu yake iwe juu yetu na watoto wetu.”
26 Anante Paeroti'a Barabasina atregeno vigeno, Jisasina sefu amite'za rugeka zafare hesnazegu avare'zmine.
Kisha akamfungulia Baraba kwao, lakini alimpiga mijeredi Yesu na kumkabidhi kwao kwenda kusulibiwa.
27 Rankumate kva ne'mofo sondia vahe'mo'za Jisasi avare'za ana nemofo kumapi mika sondia vahe nemaniza kumate ufrageno regaginte'naze.
Kisha askari wa liwali wakamchukua Yesu mpaka Praitorio na kundi kubwa la maaskari wote wakamkusanyika.
28 Anante Jisasina kukena'a eri'hate netre'za koranke kukena hunente'za,
Wakamvua nguo zake na kumvika kanzu ya rangi nyekundu.
29 ave'ave nofite kini vahe'mokizmi fetorikna huza tro hu'za asenire antaninte'za, azota tmaga azampi erinte'naze. Hagi avuga kaziga zamarena renamagi'za revatga nehu'za, Jiu vahe'mokizmi kini nera ama'ne, hu'za hu'naze.
Kisha wakatengeneza taji ya miiba na kuiweka juu ya kichwa chake, na walimwekea mwanzi katika mkono wake wa kuume. Walipiga magoti mbele yake na kumkejeri, wakisema, “Salamu, Mfalme wa Wayahudi?”
30 Zametu ahenente'za azampinti azota hanare'za anumpi amasagi'naze.
Na walimtemea mate, na walitwaa mwanzi na kumpiga kichwani.
31 Ana hu'za huhaviza huntete'za, ana koranke kukena hatenetre'za, agri kukena ete erihuntete'za, rugeka zafare ahe'za hantinaku avare'za vu'naze.
Wakati walipokuwa wakimkejeri, walimvua ile kanzu na kumvika nguo zake, na kumwongoza kwenda kumsulibisha.
32 Anama atinerami'za mago nera Sairini kazigati Saimoni'e hu'za nehaza ne' eme nege'za, Jisasi rugeka zafa eri kofino vinogu tutu hunte'naze.
Walipotoka nje, walimwona mtu kutoka Krene jina lake Simeoni, ambaye walimlazimisha kwenda nao ili apate kuubeba msalaba wake.
33 Mago kumara aseni zaferine nehazare (Golgota) uhanati'naze.
Walipofika mahali paitwapo Galigotha, maana yake, “Eneo la fuvu la Kichwa.”
34 Anante waini timpi akaza erihava hute'za, Jisasina amizageno neno keana higeno, one'ne.
Walimpa siki iliyochanganywa na nyongo anywe. Lakini alipoionja, hakuweza kuinywa.
35 Rugeka zafare azerinte'za hanto'ma ahete'za kukena refako huku kasi zokago (tais) re'naze.
Wakati walipokuwa wamemsulibisha, waligawana mavazi yake kwa kupiga kura.
36 Anante Jisasinte kvagri'za mani'naze.
Na waliketi na kumwangalia.
37 Hagi anuntega avoma kre'za ahente'nazana, ama nera Jisasi'e. Jiu vahe'mokizmi kini nere hu'naze.
Juu ya kichwa chake waliweka mashitaka dhidi yake yakisomeka, “Huyu ni Yesu, mfalme wa Wayahudi.”
38 Anante ruga raga asopare kumzafa netrena rugeka zafare zanahe'za magoka hanti'naze.
Wanyang'anyi wawili walisulibiwa pamoja naye, mmoja upande wa kulia wake na mwingine wa kushoto.
39 Hagi ana kante agatere'za vu'za e'za haza vahe'mo'za, azanva ke nehu'za zmagena ru'za,
Wale waliokuwa wakipita walimdhihaki, wakitikisa vichwa vyao
40 amanage hu'naze, Kagra ra mono nona tapage hunka tagufa knafina ete kivaga'regahue hu'nane, hagi Anumzamofo Mofavre mani'nesnunka kagraka'a kaza hunka rugeka zafaretira eramio.
na kusema, “Wewe uliyekuwa unataka kuliharibu hekalu na kulijenga katika siku tatu, jiokoe mwenyewe! Kama ni Mwana wa Mungu, shuka chini utoke msalabani!”
41 Anahu kante anteza ugagota pristi vahe'mo'zane, kasegere ugagota hunaza vahe'mo'zane, ranra vahe'mo'za azanva ke nehu'za amanage hu'naze.
Katika hali ile ile wakuu wa makuhani walikuwa wakimkashifu, pamoja na waandishi na wazee, na kusema,
42 Ru vahe'mokizmi zamagu vazineanagi Agra'a agura novazie. Israeli vahe'mokizmi Kinima maninesuno'a! Atregeno rugeka zafaretira menina eraminketa, tagra Agrite tamentinti hamaneno.
“Aliokoa wengine, lakini hawezi kujiokoa mwenyewe. Yeye ni Mfalme wa Wayahudi. Na ashuke chini toka msalabani, ndipo tutakapomwamini.
43 Anumzanku amentinti nehie. Atregeno Anumzamo avesima antesuno'a menina aguvazino, na'ankure Anumzamofo Mofavre mani'noe huno hu'ne.
Alimtumaini Mungu. Acha Mungu amwokoe sasa kama anataka, kwa sababu alisema, 'Mimi ni Mwana wa Mungu.'”
44 Hagi tare kumzafa netre Agri'ene znahe'za hantinaza netremokea, ana zanke huke huhaviza hunte'na'e. (Sam-Zga 22:7-8.)
Na wale wanyang'anyi waliokuwa wamesulibiwa pamoja naye pia walisema maneno ya kumdhihaki.
45 Hagi zagemo anuntupi me'negeno mika mopafina haninkino kinaga 3 kiloki uhaniti'ne.
Sasa kutoka saa sita kulikuwa na giza katika nchi yote hadi saa tisa.
46 Jisasi'a ranke huno, Eloi eloi lema sabaktani, Hibru kefina Anumzanimoke, Anumzanimoke, nahigenka kamagena hune'namine huno hu'ne. (Sam-Zga 22:1)
Ilipofika saa tisa, Yesu akalia kwa sauti kuu, “Eloi, Eloi, lama thabakithan?” akimaanisha, “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”
47 Anage hige'za anante mago'a oti'za mani'namo'za nentahiza, Ilaijanku ke nehie hu'naze.
Wakati huo baadhi yao waliokuwa wamesimama pale walisikia, wakasema, “Anamwita Eliya.”
48 Ame huno mago'zimimo agareno kapuku (Spans) urino aka waini timpi areteno zotare antenagamu teno Jisasi nesiegu ami'ne.
Mara moja mmoja wao alikimbia kuchukua sifongo na kuijaza kinywaji kichungu, akaiweka juu ya mti na kumpa apate kunywa.
49 Ruga'amo'za anage hu'naze. Elaija eme agu vazigahifi atre'nenketa kamaneno, hu'za hu'naze.
Nao waliosalia wakasema, “Mwacheni peke yake, acheni tuone kama Eliya atakuja kumwokoa.”
50 Jisasi'a mago'ene kezatino ra krafa nehuno, asimu'a atreno fri'ne.
Kisha Yesu akalia tena kwa sauti kuu na akaitoa roho yake.
51 Anama nehigeno'a, ra mono nomofo kasante tfi'nea tavravemo amu'nompinti sgane huno nagamuti tami'ne. Ana nehigeno imi enerigeno, ranra haveramimo rutane herafine.
Tazama, Pazia la hekalu lilipasuka sehemu mbili kutokea juu hadi chini. Na ardhi ikatetemeka na miamba ikapasuka vipande.
52 Ana nehigeno fri vahe'mofo keriramimo, hagro nehige'za korapa'ma rama'a fatgo veama fri'namo'za oti'naze.
Makaburi yalifunguka, na miili ya watakatifu wengi waliokuwa wamelala usingizi walifufuliwa.
53 Jisasima otitege'za, matipinti otite'za Jerusalemi ruotage hu'nea rankumapi ufre'za hakare vahete eama hu'naze.
Walitoka kwenye makaburi baada ya ufufuo wake, waliingia mji mtakatifu, na wakaonekana na wengi.
54 Anante 100'a sondia vahe'mokizmi kva ne'ene, mago'ama Jisasinte kvagri'naza sondia vahe'mo'za imima enerigeno fore hiaza nege'za tusi kore nehu'za, Tamage ama Nera Anumzamofo Mofavre! hu'naze.
Basi yule akida na wale ambao walikuwa wakimtazama Yesu waliona tetemeko na mambo yaliyokuwa yakitokea, walijawa na woga sana na kusema, “Kweli huyu alikuwa Mwana wa Mungu.”
55 Galili kazigati hakare a'nenemo'za, aza nehu'za magoka vano nehazamo'za anampi ogamu'a mani'ne'za ke'naze.
Wanawake wengi waliokuwa wakimfuata Yesu kutoka Galilaya ili kumhudumia walikuwa pale wakitazama kutoka kwa mbali.
56 Ana a'nefina, mago a'ra Maria'e Makdala kazigatire. Hagi mago a'ra Jemisine Josefegizni neznerera Maria'e. Hagi mago a'ra Zeveti mofavre'mokizini neznera'e.
Miongini mwao walikuwa Mariamu Magdarena, Mariamu mama yake Yakobo na Joseph, na mama wa watoto wa Zebedayo
57 Kinaga segeno mago afufenone nera agi'a Josefe, Jisasi amage nentea ne' Arimatia kazigati e'ne.
Ilipofika jioni, alikuja mtu tajiri kutoka Arimathayo, aliyeitwa Yusufu, ambaye pia alikuwa mwanafunzi wa Yesu.
58 Paerotinte vuno Jisasi avufga amisiegu ome antahige'ne. Paeroti'a Jisasi avufga eriamiho higeno, sondia vahe'mo'za eri ami'naze.
Alimwendea Pilato na kuuomba mwili wa Yesu. Kisha Pilato aliagiza apate kupewa.
59 Josefe'a kahefa tavaravefi erinteno ano vazino,
Yusufu aliuchukua mwili akaufunga na nguo ya sufi safi,
60 agri'a keri havefi kasefa asente'nazafi ome asenteno, ra have retufeno ana have kana runkni reteno vu'ne.
na akaulaza katika kaburi jipya lake alilokuwa amelichonga mwambani. Kisha akavingirisha jiwe kubwa likafunika mlango wa kaburi na akaenda zake.
61 Hagi ana kerimofo tva'onte kanti kaziga, mago ara Maria Makdala kazigati a'ene, Mariake anantera mani'nene ke'na'e.
Mariamu Magdalena na Mariamu mwingine walikuwa pale, wamekaa kuelekea kaburi.
62 Trotra huknamo vagaregeno mani fruhu knamofo amefi zupa ra mono kva vahe'mo'zane, Farisi mono vahe mo'zane Paerotinte vu'za,
Siku iliyofuata ambayo ilikuwa siku baada ya maandalio, wakuu wa makuhani na Mafarisayo walikusanyika pamoja kwa Pilato.
63 amanage hu'naze. Ra nemoke ana havige ne'mo ofri mani'neno amanage hu'ne. Frite'na tagufa kna manitena, ete otigahue hu'nea kegu nentahune.
Wakamwambia, “Bwana, tunakumbuka kuwa wakati yule mdanganyifu alipokuwa hai, alisema, 'Baada ya siku tatu atafufuka tena.'
64 Ana hu'negu huzmantege'za, vu'za ana kerire tagufa knafina ome kva hiho. Ru agri'ma amage'ma nentaza disaipol vahe'mo'za e'za avufga'a musufa emeneriza, vahe'mokzimi zmasamiza Jisasi'a frinefinti otine hanaza kemo'a, kote krunage zmia agatereno, rankrunage fore hugahie.
Kwahiyo, agiza kwamba kaburi lilindwe salama mpaka siku ya tatu. Vinginevyo, wanafunzi wake wanaweza kuja kumwiba na kusema kwa watu, 'Amefufuka kutoka wafu.' Na udanganyifu wa mwisho utakuwa mbaya kuliko ule wa kwanza.”
65 Paeroti'a amanage huno zamasmi'ne, Sondia vahe ome zamavareta tamagrama antahizaza huta ome kva hiho.
Pilato akawaambia, “Chukueni walinzi. Nendeni mkafanye hali ya usalama kama muwezavyo.”
66 Hagi zamagra sondia vahe'ene vu'za, ana have rezahe hutre'zanku kase ome hunente'za sondia vahe'mo'za kegava hu'naze.
Hivyo walikwenda na kufanya kaburi kuwa salama, jiwe liligongwa mhuri na kuweka walinzi.

< Matiu 27 >