< 3 Mose 9 >
1 Anazama huvaretageno 8ti knazupa Mosese'a Aronine mofavre naga'ane Israeli kva vahetaminena ke hutru huteno,
Katika siku ya nane, Mose akawaita Aroni na wanawe, na wazee wa Israeli.
2 amanage huno Aronina asami'ne, Kumite'ma ofama hu'zana mago afuhe afahe osu'nesia agaho ve bulimakao afu nevrenka, kre fananehu ofama hu'zana mago ve sipisipia afuhe afahe osu'nesia avrenka Ra Anumzamofona avuga ofa ome huntegahane.
Akamwambia Aroni, “Chukua ndama dume kwa ajili ya sadaka yako ya dhambi, na kondoo dume kwa sadaka yako ya kuteketezwa, wote wawili wasiwe na dosari, nao uwalete mbele za Bwana.
3 Hagi Israeli vahe'mokizmia kagra anage hunka zamasamio, kumizmigu'ma kresramna vunakura, ve meme afu nevreta, tevefima kre fananehu ofama hu'zana mago kafu huno afuhe afahe osu'nesia agaho bulimakaone, mago sipisipi afuteti kresramna nevuta,
Kisha waambie Waisraeli: ‘Chukueni mbuzi dume kwa ajili ya sadaka ya dhambi, na ndama na mwana-kondoo, wote wawili wawe wa umri wa mwaka mmoja, na wasio na dosari, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa,
4 mago ve bulimakaone mago ve sipisipireti arimpa fru ofa kresramana Ra Anumzamofo avuga nehuta, masavenu'ma eri havia hu flauateti witi ofa hugahaze. Na'ankure menina Ra Anumzamo'a tamagrite efore hugahie.
na pia maksai na kondoo dume kwa ajili ya sadaka ya amani, ili kutoa dhabihu mbele za Bwana, pamoja na sadaka ya nafaka iliyochanganywa na mafuta. Kwa kuwa leo Bwana atawatokea.’”
5 Hagi Mosese'ma hu'nea zantamina Israeli vahe'mo'za eri'za atruhu seli nomofo avuga Ra Anumzamofo avure eme oti'naze.
Wakavileta vile vitu Mose alivyowaagiza mbele ya Hema la Kukutania, nalo kusanyiko lote likakaribia na kusimama mbele za Bwana.
6 Anante Mosese'a amanage hu'ne, Ra Anumzamo'a huno amanahu'za hanageno Ra Anumzamofo masazamo'a tamagritera efore hugahie hu'ne.
Ndipo Mose akasema, “Hili ndilo Bwana alilowaagiza mlifanye, ili utukufu wa Bwana upate kuonekana kwenu.”
7 Anante Mosese'a anage huno Aronina asami'ne, Kumite'ma nona huno kresramna vu ofaka'ane tevefima kre fanane hu ofaka'a erinka enka kagra'a kumitera nona hunka ofa nehunka, Anumzamo'ma hu'nea kante antenka ruga'amokizmi kumi'zamirera nona hunka kresramna vuzamantegahane.
Mose akamwambia Aroni, “Njoo madhabahuni ili utoe dhabihu yako ya sadaka ya dhambi na sadaka yako ya kuteketezwa, ufanye upatanisho kwa ajili yako mwenyewe na kwa ajili ya watu. Kisha utoe sadaka ya upatanisho kwa ajili ya watu, kama vile Bwana alivyoagiza.”
8 Hagi Aroni'a kresramna vu itare vurava'o huno kumi'agu kresramna vanigu agaho bulimakao anankena akafri'ne.
Hivyo Aroni akaja madhabahuni na kumchinja yule ndama kuwa sadaka ya dhambi kwa ajili yake mwenyewe.
9 Hagi anante mofavrezaga'amo'za korama'a eri'za ageno, azanko ana korampi reteno, kresramna vu itare'ma me'nea pazivetaminte frenenteno, mago'ama meama'a kresramna vu itamofo agafi tagitre'ne.
Wanawe wakamletea damu, naye akachovya kidole chake katika hiyo damu, akaitia kwenye pembe za madhabahu, nayo damu iliyobaki akaimwaga chini ya madhabahu.
10 Hagi Ra Anumzamo'ma Mosesema asami'nea kante anteno afova'agi, tarega kresoagi, asumanama erinovazi'nea afova'a kresramna vu itare kumi'mofo nona huno tevefi kresramna vu'ne.
Juu ya madhabahu akateketeza mafuta, figo na mafuta yanayofunika ini kutoka kwenye hiyo sadaka ya dhambi, kama Bwana alivyomwagiza Mose.
11 Ame'ane ukri'anena kumamofo fegi'a ome kre'ne.
Akateketeza nyama na ngozi nje ya kambi.
12 Anantera Aroni'a kresramna vu sipisipi afura ananke akafritege'za, mofavre'amo'za ana korana eri amizageno, kresramna vu itamofo asoparega rutritri hugagi'ne.
Kisha Aroni akachinja sadaka ya kuteketezwa. Wanawe wakamletea damu, naye akainyunyiza pande zote za madhabahu.
13 Hagi kresramna vu afu'ma tagahu osi osi'ma hunte'nefinti magoke magoke erinemi'za asenianena erimizageno kresramna vu itarera kre'ne.
Wakamletea sadaka ya kuteketezwa kipande kwa kipande, pamoja na kichwa, naye akaviteketeza juu ya madhabahu.
14 Hagi agusu agese zama'ane agazama'anena tinu sese huteno kresramna vu itare kre'ne.
Akasafisha sehemu za ndani na miguu, akaviteketeza juu ya sadaka ya kuteketezwa juu ya madhabahu.
15 Hagi anantera Aroni'a veamokizmi ofa kresramna vu afura erino ome kresramna nevuno, agra veamokizmi kumite'ma kresramna vu meme afu avreno ananke akafrino ese'ma hu'neaza huno kresramna vu'ne.
Kisha Aroni akaleta sadaka ile iliyokuwa kwa ajili ya watu. Akachukua yule mbuzi wa sadaka ya dhambi kwa ajili ya watu, akamchinja na kumtoa kwa ajili ya sadaka ya dhambi, kama alivyofanya kwa ile ya kwanza.
16 Hagi kresramna vu'zana erino eno kresramna vu trake'mo'ma hu'nea kante anteno kresramna vu'ne.
Aroni akaleta sadaka ya kuteketezwa na kuitoa kama ilivyoelekezwa.
17 Hagi mago'a witia azampina eriviteno eno, kre mna vu itare nanterana eme kremna vu'ne.
Pia akaleta sadaka ya nafaka, akachukua konzi moja na kuiteketeza juu ya madhabahu, pamoja na sadaka ya kuteketezwa ya asubuhi.
18 Hagi agra veamozama Anumzanema mago zamarimpa hanaza ofa bulimakaone, sipisipi afu'enena anankena akafri'ne. Hagi Aronina mofavre naga'amo'za korama'a erimizageno, kresramna vu itamofo asoparega rutri tri hu'ne.
Akachinja maksai na kondoo dume kama sadaka ya amani kwa ajili ya watu. Wanawe Aroni wakampa ile damu, naye akainyunyiza kwenye madhabahu pande zote.
19 Hianagi bulimakaomofo afova'ane, sipisipimofo risonarega me'nea agusa'ane, tarega kreso'ane asumanama eri novazi'nea afovane,
Lakini sehemu zile za mafuta ya yule maksai na kondoo dume, yaani mafuta ya mkia, mafuta yaliyofunika tumbo, ya figo na yaliyofunika ini,
20 ana afu'mofo amimizafi eri antageno Aroni'a kresramana vu itare kre'ne.
hivi vyote wakaviweka juu ya vidari, kisha Aroni akayateketeza hayo mafuta ya wanyama juu ya madhabahu.
21 Aroni'a Mosese'ma hu'nea kante anteno amimiza'ane tamaga kaziga amumazinanena erino Ra Anumzamofo avuga eriverave hu ofa hu'ne.
Aroni akaviinua vile vidari na paja la kulia mbele za Bwana ili viwe sadaka ya kuinuliwa, kama Mose alivyoagiza.
22 Hagi Aroni'a kumite'ma kresramna vu ofane, kre fanane hu ofane, rimpa fru ofama huteno'a, veamokizmirega ana azana rusuteno asomu ke huzmanteteno, anantetira atreno erami'ne.
Kisha Aroni akainua mikono yake kuwaelekea watu na kuwabariki. Naye baada ya kutoa dhabihu ya sadaka ya dhambi, sadaka ya kuteketezwa, na sadaka ya amani, akashuka chini.
23 Mosese'ene Aronikea atruma nehaza seli nompi mareriteke atiramike eke veamokizmia asomu ke eme hunezmantakeno, Ra Anumzamofo masamo'a veamokizmire e'ama hu'ne.
Kisha Mose na Aroni wakaingia kwenye Hema la Kukutania. Walipotoka nje, wakawabariki watu. Nao utukufu wa Bwana ukawatokea watu wote.
24 Ra Anumzamo'a tevea atregeno eramino ana kresramna vu'zane, afova'a kresramana vu itaretira tefanane hu'ne. E'i anazama vahe'mo'za nege'za muse hu'za kezaneti'za, zamavugo saregati mopafi mase'za mono hunte'naze.
Moto ukaja kutoka uwepo wa Bwana, ukairamba ile sadaka ya kuteketezwa, pamoja na sehemu ya mafuta yaliyokuwa juu ya madhabahu. Watu wote walipoona jambo hili, wakapiga kelele kwa furaha na kusujudu.