< 3 Mose 4 >

1 Hagi Ra Anumzamo'a Mosesena asamino,
Bwana alisema na Musa na kumwambi,
2 Mago vahe'mo'ma mago'azama hanifima, ana hugahuema huno ontahi'neno Ra Anumzamo'ma osihoma huno'ma hu'neazama hania kumimofonkura amanage hunka zamasamio.
“Waambie wana wa Israeli 'mtu yeyote akifanya dhambi bila kukusudia, kufanya chochote ambacho Bwana ameagiza kutofanya, na kama akifanya chochote kilichozuiliwa, yafuatayo lazima yatatendeka.
3 Ugagota pristi ne'mo'ma kumi'ma haniana, miko vahe'mokizmi zamazeri haviza hugahie. Ana hugahiankino nagra mago agaho ve bulimakao afu afuhe afahe'ma osu'nesia avreno, agrama hu'nenia kumitera kumi ofa hugahie.
Kama ni kuhani mkuu aliyetenda dhambi na kuleta hatia kwa watu, atatoa dume asiyekuwa na kasoro kwa Bwana kwa ajili ya dhambi aliyotenda kama sadaka ya dhambi.
4 Hagi ana bulimakao afura avreno atruhu seli nomofo ufre kafante Ra Anumzamofo avuga ome anteno, azana asenire anteteno, anankena akafrigahie.
Ataleta dume mbele ya mlango wa hema ya kukutania mbele ya Bwana, ataweka mikono juu ya dume, na atamchinja huyo dume mbele za Bwana.
5 Anama hutena ugagota pristi ne'mo mago'a korana erino atruhu seli nompi ufregahie.
Kuhani aliyewekewa mafuta atachukua damu ya dume na kuileta mbele ya hema ya kukutania.
6 Hagi ana korampi azankoa reteno, Ra Anumzamofo avuga hunaragintegeno ruotage'ma hu'nea tavravemofo avuga, 7ni'a zupa rutri tri hugahie.
Kuhani atazamisha kidole chake katika damu na kuinyunyiza mara saba mbele za Bwana, mbele ya pazia la mahali pa takatifu.
7 Hagi ana pristi ne'mo'a, mago'a korana tagino atrumahu seli nompi Ra Anumzamofo avuga mnanentake'za kresramana vu itamofo pazivetaminte ome frentegahie. Hagi mago'a mesia korana, atru'ma hu seli nomofo avuga me'nea kresramana vu itamofo agafi miko tagi atregahie.
Na kuhani ataweka kiasi cha damu ya huyo dume juu ya pembe za madhabahu ya kuvukizia uvumba mbele za Bwana, katika hema ya kukutania na ataimwaga yote iliyobaki chini ya madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa, iliyo mahali pa kuinglia katika hema ya kukutania.
8 Hagi kumite'ma ofama hunaku'ma hania bulimakaomofona mika afovane, arimpama eri anovazi'nea afova'ane,
Atakata mafuta yote ya dume wa sadaka ya dhambi, mafuta yanayofunika matumbo na mafuta yote yaliyo katika matumbo,
9 tarega kreso'ane, eri anoma vazi'nea afovane asumnane, ana mika kreso'anena eri tagatitregahie.
figo mbili na mafuta yaliyopo pamoja nazo, yaliyo karibu na kiuno na kitambi cha maini pamoja na hizo figo.
10 Ana huteno bulimakao afovareti'ma arimpa fru ofama kresramna neviankna huno ugagota Pristi ne'mo'a tevefi kre fanene hu ofama nehaza itare kresramna vugahie.
Ataondoa zote vile vile kama yanavyoondolewa katika dume wa sadaka ya dhabihu ya amani. Kuhani atatekeza sehemu hizo katika madhabahu ya sadaka za kuteketezwa.
11 Hianagi mika akru'agi, ame'agi amumazina'ane, azonane aseni'ane agusu'agese zama'ane,
Ngozi ya dume na mabaki yoyote ya nyama, pamoja na kichwa chake, miguu yake, matumbo yake na mavi yake,
12 maka erino kuma'mofo fegi'a agruma hu'nea kumapi tanefa'ma ome netrazafi, teve hanavazino kregahie.
mabaki yote ya dume atayachukua nje ya mji mahali palipo safi, mahali wanapomwaga majivu; watateketeza sehemu zote juu ya kuni. Watateketeza sehemu zote mahali wanapomwaga majivu.
13 Mika Israeli vahe'mo'zama Ra Anumzamofo kemo'ma i'oma huno'ma hu'nesia zama mago'azama hanaregama hantagama hu'za hanu'za kumire hu'za ontahisazanagi, zamagra kumi hugahaze.
Kama mkutano wote wa wana wa Israeli wakitenda dhambi bila kukusudia, na mkutano hawatakumbuka kwamba wametenda dhambi, na kufanya vile Bwana aliagiza wasifanye na wakajisikia hatia.
14 Zamagrama antahisazama kumi hu'nonema hanu'za, mago ve agaho bulimakao afu avre'za kumizamiguma kresramana vu'zana, Anumzanema atru'mahu seli nomofo avuga ome anteho.
Na dhambi waliyofanya ikajulikana, mkutano watatoa ng'ombe dume mchanga kuwa sadaka ya dhambi watamleta mbele ya hema ya kukutania.
15 Hagi kva vahe'zmimo'za ana bulimakao afu'mofo asenire zamazana antetenageno, Ra Anumzamofo avuga ana bulimakaona anankena akafriho.
Wazee wa mkutano wataweka mikono yao juu ya kichwa cha ng'ombe mbele za Bwana, na ng'ombe atachinjwa mbele za Bwana.
16 Hagi ana hutesageno ugagota pristi ne'mo korama'a erino atrumahu seli nompi ufreno,
Kuhani aliyetiwa mafuta ataleta damu ya ng'ombe katika hema ya kukutania,
17 azankoa ana korampi reteno, tavaravema Ra Anumzamofo avugama hantintegeno me'nerega 7ni'a zupa rutri tri hugahie.
kuhani atachovya kidole chake katika damu na kuinyunyizia mara saba mbele za Bwana mbele ya pazia.
18 Hagi ana pristi ne'mo'a, mago'a korana tagino atrumahu seli nompi Ra Anumzamofo avuga mnanentake'za kresramana vu itamofo pazivetaminte ome frentegahie. Hagi mesia korana, atrumahu seli nomofo avugama me'nea kresramna vu itamofo agafi miko tagitregahie.
Ataweka kiasi cha damu katika pembe za madhabahu mbele za Bwana iliyo katika hema ya kukutania na ataimwaga damu yote chini ya madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa, iliyo katika mlango wa kuingilia katika hema ya kukutania.
19 Hagi agra miko afova'a tagatino kresramana vu itare negreno,
Atakata mafuta yote na kuyatekeza katika madhabahu.
20 kumi'mofo ofama hu'neaza huno, ugagota pristi ne'mo ana ve bulimakao erino, mika vahe'mokizmi kumizmimofo nona huno kresramna vanigeno, Ra Anumzamo'a kumizmia atrezmantegahie.
Hivyo ndivyo atakavyomfanya huyo ng'ombe, kama alivyomfanya ng'ombe wa sadaka ya dhambi, atamfanyia vivyo hivyo huyu ng'ombe, kuhani atawafanyia upatanisho watu nao watasamehewa.
21 Anantera ana bulimakaona erino kumamofo fegi'a ese bulimakaoma hu'neaza huno ome kregahie. E'i mika vahe'mokizmi kumi atrezmante ofe huno kresramana vugahie.
Atamchukua huyo ng'ombe nje ya mji na kumteketeza kama alivyomteketeza ng, ombe wa kwanza. Hii ni sadaka ya dhambi kwa ajili ya mkutano.
22 Hagi Israeli kva vahe'mo mago'azama hanafima hantga huno Ra Anumzamo'ma osuoma hu'nea zama e'i kumire huno ontahi'nenoma hanuno'a, kumi hugahie.
Mtawala akitenda dhambi bila kukusudia kufanya moja ya yale Bwana Mungu wake ameagiza kutotenda, na anajisikia hatia
23 Hagi kumi hu'noe huno'ma antahisuno'a, kumi'aguma kresramana vu'zana ve meme afu afuhe afahe osu'nenia avreno ofama hu'zana vugahie.
na kama dhambi yake aliyotenda anaifahamu, ataleta dhabihu yake mbuzi mme asiye na kasoro.
24 Ana ve meme afu'mofo asenire azana anteteno, Ra Anumzamofo avugama me'nea kresramana vu itamofo avuga, anankena akafrigahie. E'i kumi'ma hu'nea zamofonte ofa hugahie.
Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha mbuzi na kumchinja mahali ambapo huchinja sadaka ya kuteketezwa mbele za Bwana. Hii ni sadaka ya dhambi.
25 Hagi kumite kresramana vu mememofo korana pristi ne'mo'a azankoreti reno Ra Anumzamofo avuga kresramana vu itare'ma me'nea pazivete ome frentegahie. Hagi mesia korana ana kresramna vu itamofo agafi miko tagitregahie.
Kuhani atachukua damu ya sadaka ya dhambi kwa kidole chake na kuiweka juu ya pembe za madhabahu kwa dhabihu ya kuteketezwa, na atamwaga damu chini ya madhabahu ya dhabihu ya kuteketezwa.
26 Arimpa fru ofama kresramna vu'neankna huno afova'a miko kre vagareno. E'ina'ma pristi ne'mo'ma hanuno'a, ana ne'mofo kumi'mofo nonahina kumi'a atrentegahie.
Atateketeza mafuta yote katika madhabahu, kama vile mafuta ya dhabihu ya sadaka ya amani, Kuhani atafanya upatanisho kwa ajili ya mtawala kulingana na dhambi yake, na mtawala atakuwa amesamehewa.
27 Ra Anumzamo'ma osihoma huno hu'nea ke'ma Israeli vahepinti'ma mago'mo'ma mago'azama hanafima, e'i kumire huno ontahi'neno ana ke'ma runetagreno, kumira osu'noe huno antahigahianagi agra kumi hugahie.
Kama yeyote wa watu wa kawaida akitenda dhambi bila kukusudia, kufanya vitu ambavyo Bwana ameagiza kutokufanywa na kama ana hatia,
28 Hagi agrama kumi hu'noema huno antahisuno'a, kumi'ma hu'nea zankura a' meme afuma afuhe afahe'ma osu'nesia avreno eno, kumi'arera ofa eme hugahie.
ndipo dhambi yake aliyoitenda ikajulikana kwake, ndipo ataleta mbuzi mke asiyekuwa na kasoro awe dhabihu kwa ajili ya dhambi zake alizotenda.
29 Hagi anama kumite'ma kresramna vunaku'ma hania meme afu'mofo asenire azana anteteno, kresramna vu afu'ma nehazare anankena akafrigahie.
Ataweka mikono yake juu ya sadaka ya dhambi na kuchinja sadaka ya dhambi mahali pa sadaka ya kuteketezwa.
30 Pristi vahe'mo'a azankoa ana korampi reteno, kresramana vu itare me'nea pazivetaminte ome frenenteno, mago'a mesia korana kresramana vu itamofo agafi mika tagitregahie.
Kuhani atachukua kiasi cha damu kwa kidole chake na kuweka katika pembe za madhabahu ya dhabihu ya kuteketezwa. Damu yote iliyobaki ataimwaga chini ya madhabahu.
31 Anantera arimpa fru ofama hu'neankna huno, maka afova tagatitregahie. Ana hanigeno pristi vahe'mo'za ana afova'a eri'za kresranma vu itare vu'za, Ra Anumzamofonte ome Kresramana vanageno, knare sramna nentahino muse hugahie. E'ina'ma pristi ne'mo'ma hanigeno'a, ana ne'mofo kumi'amofo nona hinkeno, Ra Anumzamo'a kumi'a atrentegahie.
Atayaondoa mafuta yote, kama alivyoondoa mafuta katika dhabihu ya amani. Kuhani ataiteketeza katika madhabahu ili kuwa harufu nzuri kwa Bwana. Kuhani atafanya upatanisho kwa mtu, na atasamehewa.
32 Hianagi kumi'mofo ofama hunaku'ma sipisipi afu'ma avreno'ma esuno'a, a' sipisipi afu'ma afuhe afahe'ma osu'nesia su'za avreno eno,
Kama mtu ataleta mwanakondoo kama dhabihu yake kwa sadaka ya dhambi, ataleta jike asiye na kasoro.
33 ana sipisipi afu'mofo asenire azana anteteno, kresramna vu ofamahu afu'ma zmanankema nekafrizare, anankena akafrigahie.
Ataweka mikono kichwani mwa sadaka ya dhambi na atamchinja kuwa sadaka ya dhambi mahali wanapochinjwa sadaka ya kuteketezwa.
34 Pristi ne'mo'a azankore mago'a korana reteno, kresramana vu itare me'nea pazivetaminte ome frenenteno, mesia korana kresramana vu itamofo agafi maka tagitregahie.
Kuhani atachukua baadhi ya damu ya sadaka ya dhambi kwa kidole chake na kuweka katika pembe za madhabahu kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa, na ataimwaga damu yote chini ya madhabahu.
35 Ana'ma hutenuno'a arimpa fru ofama hu'neankna huno, maka afova tagatitregahie. Ana hanigeno pristi vahe'mo'za ana afova eri'za kresranma vu itare vu'za, Ra Anumzamofonte ome kresramna vuntegahaze. E'ina'ma pristi ne'mo'ma hanigeno'a, anama kumi'ma hu'nea ne'mofo kumi'amofo nona huno krenkeno, Ra Anumzamo'a kumi'a atrentegahie.
Ataondoa mafuta yote, kama akatavyo mafuta ya mwanakondoo dhabihu ya sadaka ya amani na kuhani ataiteketeza juu ya madhabahu juu ya sadaka ya Bwana itolewayo kwa moto. Kuhani ataleta upatanisho kwa dhambi aliyoifanya, naye atasamehewa.

< 3 Mose 4 >