< 3 Mose 27 >

1 Mago'ane Ra Anumzamo'a Mosesena amanage huno asami'ne,
Yahweh akazungumza na Musa na akasema,
2 Israeli vahera zamasamige'za Anumzamofoma huvempa hu'za ami'nesaza vahe'ma mizama senaku'ma hanu'za, vahe'mofo avamente nege'za mizasegahaze.
“Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, 'Iwapo mtu yeyote anatoa kiapo maalum cha kuwa mnathiri kwa Yahweh, tumieni tathmini zifuatazo:
3 Mono nompima erinte'zama refkoma nehaza kante anteta, kafuzamimo'ma 20tireti'ma vuno, 60re'ma ometre'nenia veneneramintera 50'a silva zago mizaseho.
Viwango vyenu vya thamani kwa mwanaume aliye na umri kati ya miaka ishirini na miaka sitini yaweza kuwa shekeli hamsini za fedha, kulingana na vipimo vya shekeli ya mahali pa patakatifu.
4 Hagi kafuzmimo'ma 20reti'ma vuno 60re'ma vu'nesia a'mofara, 30'a silva zagoreti mizasegahaze.
Kwa mwanamke wa umri uleule viwango vyenu vya thamani yapasa viwe shekeli thelathini vya fedha.
5 Hagi 5fu'a kafuretima vuno 20'a kafuma hu'nenia venene'a, 20'a silva zago mizase nezamanteta, 5fu'a kafuretima vuno 20'a kafuma hu'nenia mofane zagarera 10ni'a silva zagoreti mizasegahaze.
Tangu wenye umri wa miaka mitano mpaka wa miaka ishirini viwango vyenu vya thamani kwa mwananume vitakuwa shekeli ishirini za fedha, na kwa mwanamke ni shekeli kumi za fedha,
6 Hagi mago ikama hu'neniretima vuno 5fu'a kafuma hu'nenia ne mofavrerera, 5'a silva zago mizaneseta, mago ikama hu'neniretima vuno 5fu'a kafuma hu'nenia mofanerera 3'a silva zago mizasegahaze.
Kwa wenye umri wa tangu mwezi mmoja mpaka miaka mitano viwango vyenu vya thamani kwa mawanaume vitakuwa shekeli tano za fedha na kwa mwanamke shekeli tatu za fedha.
7 Hagi 6'a kafuma agaterenenia venenerera, 15tini'a silva zago miza nehuta, 60'a kafuma agatere'nenia anerera 10ni'a silva zago mizasegahaze.
Tangu wenye umri wa miaka sitini na zaidi kwa mwanaume viwango vyenu vya thamani vitakuwa shekeli kumi na tano, na kwa mwanamke ni shekeli kumi.
8 Hagi zamunte omane vahe'mo'zama huvempa hu'nenuzama zamagrama mizasega avamente zagoma e'ori'nesu'za, pristi vahete vanageno pristi vahe'mo zamagrama mizamasega avamente zago agi ahezamantesige'za mizasegahaze.
Lakini kama mtu atoaye kiapo cha mnadhiri hawezi kulipa kiwango hicho cha thamani, kisha huyo mtu anayetolewa lazima atapelekwa kwa kuhani, naye kuhani atamthamanisha huyo atolewaye kwa kiasi anachoweza kutoa yule anayetoa kiapo cha mnadhiri.
9 Hagi mago'mo'ma agruma hu'nenia zagagafafinti'ma Ra Anumzamonare'ma huvempa huno ofama hu'naku'ma hania zagagafamo'a ruotage hu'ne.
Iwapo mtu anataka kutoa sadaka ya mnyama kwa Yahweh, na iwapo Yahweh ataikubali, kisha huyo mnyama atatengwa kwake.
10 Hagi ana ruotage'ma hu'nea zagagafa haviza hu'neanki, knare hu'neanki nehuta ru zagagafa avreonteho. Hianagi anama hanageno'a, ana tarega zagagafamokea ruotage hugaha'e.
Mtu huyo hataruhusiwa kumtoa madhabahuni au kumbadilisha huyo mnyama, mzuri kwa mbaya au mbaya kwa mzuri. endapo atatoa mnyama badala ya mwingine, kisha wanyama hao wawili; yule anayetolewa na yule anayebadilishwa wanakuwa watakatifu.
11 Hianagi agruma osu'nenia zagagafama Ra Anumzamona'ma antahimina e'orisua ofama huvempama hanuta, ana zagagafa erita pristi vahete viho.
Hata hivyo, iwapo kile mtu amishaapa kumtolea Yahweh kwa uhalisia siyo kisafi, kwa hiyo, Yahweh hatakikubali, naye huyo mtu atalazimika kumleta huyo mnyama kwa kuhani.
12 Ana hanage'za knare hu'neo, haviza hu'neo pristi vahe'mo'za refako hu'za nege'za, mizama'amo'a e'inahu avamente me'ne hu'za tamasamigahaze.
Kuhani atamthamanisha, kwa thamani ya soko la mnyama. Thamani yoyote kuhani atakayoiweka juu ya mnyama, hiyo ndiyo itakuwa thamani yake.
13 Hagi ana zagama ete nona huta miza huku'ma hanuta, pristi vahe'mo'ma tamasamisia mizante 5fu'a kevurera mago kevune ante agofetu hutma mizana asegahaze.
Na kama mmiliki anapenda kumkomboa, kisha tano ya thamani yake itaongezwa kwenye gharama yake ya ukombozi.
14 Hagi mago ne'mo'ma noma'ama ruotage hu'ne huno Ra Anumzamo'na nazampima ante'nigeno'a, pristi vahe'mo'zage nege'za knare hu'ne huge, haviza hu'ne hu'za miza agia ahentegahaze.
Mtu aitengapo nyumba yake iwe zawadi takatifu kwa Yahweh, kisha kuhani ataweka thamani yake ama iwe ni nzuri au mbaya. Thamani yoyote itakayowekwa na kuhani juu yake, ndiyo itakuwa thamani yake.
15 Hagi ana noma Ra Anumzamo'na nazampima antesia ne'mo'ma eteno mizama senaku hanuno'a, pristi vahe'mo'zama ahentesaza 5fu'a kevua ante'neno, mago kevunena ante agofetu huno mizasegahie.
Lakini kama mmiliki wake anayeitenga nyumba yake anapenda kuikomboa, atalazimika kuongeza sehemu ya tano ya thamani yake kwenye gharama ya ukombozi wake, nayo nyumba itakuwa yake.
16 Hagi mago'mo'ma mopa'ama Ra Anumzamo'na nami'nenia mopamofo mizama'amo'a, bali avimzama ana mopafima negria avimzama 100'a kiloma hu'nenirera 50tia silva zago miza hutere hugahie.
Iwapo mtu anatenga sehemu ya ardhi yake mwenye, kisha tathmini yake itakuwa katika uwiano kwa kiwango cha kiasi cha mbegu inayotakiwa kuipanda katika ardhi hiyo—homeri moja ya mbegu za shairi ambayo itathamanishwa kwa shekeli hamsini za fedha.
17 Hagi erinesiazama eteno ami kafumofo agu'afima huvempa huno mopa'ama Ra Anumzamofoma amisiana, anama agima ahente'naza kante ana mopa miza hugahie.
Na kama analitenga shamba lake katika mwaka wa Yubile, tathmini yake ya awali itabaki kuwa ileile.
18 Hianagi eri'nenia zama eteno ami kafumo'ma vagareno evanigeno'a, Nagri'ma nami'nenia mopamo'ma nana kafu agri'enena me'nenigeno eteno eri'nenia zama ami kafua egahie, ana avamente pristi vahe'mo'a refko huno miza agi erinteramino ahentegahie.
Lakini endapo atalitenga shamba hilo baada ya mwaka wa Yubile, kisha kuhani atalazimika kukokotoa thamani yake kwa idadi ya miaka inayobaki mpaka mwaka wa Yubile, na thamani yake lazima ishushwe.
19 Hagi agrama ana mopa'ama eteno miza huku'ma hanuno'a, pristi vahe'mo'ma ahentesia mizantera 5fu'a zagofintira mago zago ante agofetu huno ana mizantera mizana asenigeno, ana mopamo'a eteno agri mopa megahie.
Iwapo mtu anayelitenga shamba lake anapenda kuliko, mboa, naye atalazimika kuongeza sehemu ya tano kwenye thamani, nalo shamba litakuwa lake tena.
20 Hagi anama Ra Anumzamofo ami'nenia mopa'ama eteno mizama osu'neno, ru vahetema atrenigeno mizama hu'nena, eteno ana mopa'a mizana osugahie.
Iwapo halikomboi shamba, au iwapo amishaliuza shamba kwa mtu mwingine, haliwezi kukombolewa tena.
21 Hagi eri'nesia zama ami kafuma esigeno'a, ana mopamo'a ruotage huno Nagri'za segahie. E'igu ana mopamo'a pristi vahe mopa megahie.
Badala yake, shamba hilo litakapoachwa huru katika mwaka wa Yubile, litakuwa zawadi takatifu kwa Yahweh, kama lilivyo shamba lililotolewa kabisa kwa Yahweh. Nalo litakuwa mali ya kuhani.
22 Hagi mago vahe'mo'ma mizama hu'nesia mopama agri mopa omanene'nianagi, Ra Anumzamo'na namiku'ma hanige'za,
Iwapo mtu anatenga shamba alilolinunua, lakini hilo shamba siyo sehemu ya ardhi ya familia yake,
23 pristi vahe'mo'za refko hu'za kete'za, nama'a kafu me'nenigeno eri'nesia zama eteno ami kafua egahie, miza agima ahentesia kante mizasenigeno, ana zagomo'a ruotge huno Ra Anumzamo'na zago megahie.
kuhani atafanya tathmini yake mpaka mwaka wa Yubile, na mtu huyo lazima atalipa thamani yake katika siku hiyo hiyo kuwa zawadi takatifu kwa Yahweh.
24 Hagi eri'neniazama eteno ami kafuma esigeno'a, ana mopamo'a, mopa agafa ne'mofo azampi eteno vugahie.
Katika mwaka wa Yubile, shamba litarejeshwa kwa mtu yule ambaye lilikuwa limenunuliwa, kwa mmiliki wa ardhi.
25 Hagi mika'a zamofo miza agima ahentesazana, mono nompima refko hu'za mizama nesaza avamente fatgo hu'za mizana hugahaze.
Tathmani yote lazima ifanywe kwa uzani wa shekeli ya mahali pa patakatifu. Gera ishirini kwa shekeli moja.
26 Mika'a zagagafa tamimofo agonesa anentara Ra Anumzamo'na su'za me'ne. E'igu' agonesa bulimakao anentaro, sipisipi anentara ko Nagri su'a me'neanki huhampri onantegahaze.
Asiwepo mtu atakayetenga mzaliwa wa kwanza miongoni mwa wanyama, kwa kuwa wazaliwa wote wa kwanza wa wanyama tayari ni mali ya Yahweh; iwe ni maksai au kondoo, ni wa Yahweh.
27 Hianagi agruma osu'nesaza afuka'amofo agonesa anentara pristi vahe'mo'ma ahentesia mizantera 5fu'a zagofintira mago zago ante agofetu hunka, ana afura ete miza segahane. Hagi kagrama miza osenankeno'a, ru vahe'mo ana miza fatgore mizasegahie.
Na kama ni mnyama aliye najisi, kisha mmiliki wake anaweza kumnunua tena sawasawa na thamani yake, na sehemu ya tano lazima itaongezwa kwenye thamani hiyo. Na kama mnyama hakombolewi, naye atauzwa kwa thamani iliyowekwa.
28 Hianagi vahero, zagagafao, mopao, maka'zama Ra Anumzamona'ma huvempa hunka nami'nenana zana, zagoreti mizasenka e'orige, ete zagorera atregera osugahane. Hagi ana mika'zama eri ruotage'ma hunka huvempa hunana zamo'a, ruotage huno Nagrike'za megahie.
Hakutakuwa na kitu amabacho mtu anakitoa kwa Yahweh, kutoka katika vyote alivyonavyo, iwe ni mwanadamu au mnyama, au ardhi ya familia yake, ambacho chaweza kuuzwa au kukombolewa. Kila kitu kitolewacho ni kitakatifu sana kwa Yahweh.
29 Mago vahe'ma Ra Anumzamo'ma ahe frihoma hu'nesia vahera, ete mizaseta ovregahazanki ahe friho.
Hakuna fidia inayoweza kulipwa kwa ajili ya mtu aliyetolewa ili kuangamizwa. Mtu huyo sharti auawe
30 Hagi hoza tamifinti'ma witio, zafa rgama tagita eri atruma hinkeno 10ni'a kevuma huterema hina, 10ni kevua ruotage hu'negu Ra Anumzamo'na namigahaze.
Zaka yote iliyo ya ardhini, iwe nafaka ichipukayo juu ya ardhi au tunda kutoka kwenye miti, ni mali ya Yahweh. Ni takatifu kwa Yahweh.
31 Hagi ama ana ne'zama ete kagrama miza hunaku'ma hanunka, pristi vahe'mo'ma miza agima ahentesire mizanesenka 5fu'a zagofintira mago zago ante agofetu hunka miza hugahane.
Iwapo mtu anakomboa chochote cha zaka yake, atalazimika kuongeza sehemu ya tano kwenye thamani yake.
32 Hagi bulimakao afu'ene, sipisipi afu'ene, meme afu ka'ama nehampri' nankeno'ma 10nima huterema hanimofona ruotage hu'negu, e'i Nagri su'za megahie.
Na kwa kila mnyama wa kumi wa kundi la ng'ombe au la kondoo, yeyote anayepita chini ya fimbo ya mchungaji, atatengwa kwa ajili ya Yahweh.
33 Hagi haviza hu'ne knare hu'ne hunka ru su'zana nona hunka avre onto. Hagi nonama hunka ru su'zama avrentesankeno'a, ana taregamokea ruotage hugaha'ankinka, ete mizasenka ovregahane.
Mchungaji hatatafuta wanyma waliobora au wabaya kabisa, na haruhusiwi kubadili mnyama mmoja kwa mnyama mwingine. Iwapo anambadilisha kwa namna yoyote ile, kisha wote wawili yule wa kwanza na huyo aliyebadiliwa watakuwa watakatifu. Mnyama huyo atolewaye hawezi kukombolewa.'”
34 Ra Anumzamo'a amana kasegene tra kenena Mosese'ma Sainai agonafi mani'negeno amigeno erino Israeli vahe'ma ome zmasami'nea naneke.
Hizi ndizo amri ambazo Yahweh alimpa Musa kwenye mlima Sinai kwa ajili ya watu wa Israeli.

< 3 Mose 27 >