< 3 Mose 2 >
1 Mago'mo'ma Ra Anumzamofonte'ma witi ofa'ma hunaku'ma erino esuno'a kaneno eri osi huteno, erino eno. Anampina masavena taginenteno frenkinsensi nehaza mnanentake'zana erinteno,
Yeyote akitoa sadaka ya nafaka kwa Bwana, sadaka yake lazima iwe unga safi, na atamwaga mafuta juu yake na kuweka ubani juu yake.
2 erino Aroni mofavreramima pristi eri'zama e'neriza vahete vino. Ana masavene frenkinsensinema eri haviama hu'nea witifintira mago aza huno, kresramana vu itare ome kresigeno Ra Anumzamo'a mana'a nentahino musena hugahie.
Atachukua sadaka kwa wana wa Haruni, makuhani na pale kuhani atachukua konzi moja ya unga safi pamoja na mafuta na ubani. Kisha kuhani atateketeza hiyo sadaka juu ya madhabahu kuwa shukrani kwa uzuri wa Bwana. Italeta harufu nzuri sana kwa Bwana, itakuwa sadaka ya Bwana iliyotolewa kwa moto.
3 Hagi mago'ama mesia witia Aronine mofavre'amokizmi su'a megahie. Anama Ra Anumzamofonte'ma kre sramana vunente'za atresazama'amo'a ruotagetfaza hu'ne.
Unga wowote uliobaki utakuwa ni wa Haruni na watoto wake. Ni takatifu sana kwa Bwana iliyotolewa sadaka kwa Bwana kwa moto.
4 Avenifima kre'nesaza bretima ofama hunaku'ma erita esazana, zisti onte breti masaventeti eri havia huno kre'ne'nia kekio, hagege bisketire masave fre'ne'nia erita eho.
Kisha utakapotoa sadaka ya unga bila chachu iliyookwa kweye kiokeo, itakuwa mkate lainiya unga safi uliochanganywa na mafuta, au mkate mgumu usiokuwa na chachu, ambao umesambazwa na mafuta.
5 Kuta fraimpenifima kre'ne'nia witireti'ma ofama hunaku'ma hanutma, kaneosi'ma hu'nesia flaua'ene olivi masavenena erihavia nehuta, anampina zistia onteho.
Kama matoleo yako ya nafaka yameokwa na kikaango cha chuma ni lazima iwe unga safi bila chachu uliochanganywa na mafuta.
6 Hagi ana bretia goli osi osi huteta, anampina masave taginteho. E'i witi ofa hugahaze.
Utagawanya katika vipande na kumwaga mafuta juu yake. Hii ni sadaka ya nafaka.
7 Kresramana vu witi ofama kre hagage hu kavofima kresazana, kaneosi osi'ma hu'nesia flauateti masavene eri havia huteta kregahaze.
Kama sadaka yako ya nafaka imepikwa katika kikaango, ni lazima iwe imetengenezwa kwa unga safi na mafuta.
8 Hagi ama ana zantetima witi ofama kreta erita Ra Anumzamofonte'ma esuta, pristi vahe ome aminkeno, erino kresramna vu itarera vino.
Utaleta matoleo ya nafaka yaliyotengenezwa kwa vitu hivi kwa Bwana, italeta kwa kuhani, ambaye ataleta mbele ya madhabahu.
9 Ana bretifintira pristi vahe'mo'za huvame hu'za mago zamaza hu'za eri'za kre manavu itare tevefi kresageno, Ra Anumzamo'a mana'a nentahino musena hugahie.
Ndipo kuhani atachukua baadhi ya sadaka ya nafaka ya shukrani ya Bwana, ataitekeza katika madhabahu. Itakuwa sadaka ya kuteketezwa kwa moto, italeta harufu nzuri kwa Bwana.
10 Hagi anama Ra Anumzamofonte'ma tevefima kresramana vunente'za atresaza bretimo'a, ruotgetfa hu'neankino Aronine mofavre'amokizmi su'a megahie.
Itakayobaki sadaka ya nafaka itakuwa ya Haruni na wanawe. Itakuwa takatifu kamili ya Bwana kutoka matoleo kwa Bwana yatolewayo kwa moto.
11 Kresramana vu witima ofama erita vanazana, zistia onteho, na'ankure zistima antege tumerima antege'ma hu'nesia witiretira tevefina kreta Ra Anumzamofona ofa huontegahaze.
Sadaka ya nafaka itolewayo kwa Bwana isiwe na chachu, hautatekeza chachu wala asali kama matoleo yatakayotekezwa kwa moto kwa ajili ya Bwana.
12 Hozafinti'ma e'sema ne'zama nenama hania ofama hanutma, zistine tumerinena amne tamagra erita Ra Anumzamofonte egahazanagi, e'i ana ofa kremnavu itarera Ra Anumzamo muse hanie huta onkregahaze.
Utayatoa kwa Bwana kama mazao ya kwanza, lakini hayatatumika kama matoleo ya harufu nzuri ya moto juu ya madhabahu.
13 Miko ofama hanaza witifina hagea antenageno, e'i ana zamo'a Anumzamo'enema huhagerafi huvempa ke'ma hu'naza kemofo huramagesa nehanigetma, tamagera okanigahazanki maka ofama hanaza witifina hagea atintegahaze.
Utaweka chumvi katika kila matoleo yako ya nafaka. Usipungukie chumvi ya agano la Bwana katika matoleo yako ya unga. Matoleo yako yote hayatapungukiwa na chumvi.
14 Ana nehuta ese'ma nena hania witi raga Ra Anumzamofonte'ma ofa huku'ma erita esutma, refuzafupeta eritma ege' tevefi kre hagage hutma erita egahaze.
Kama ukitoa matoleo ya nafaka ya mazao ya kwanza kwa Bwana, utatoa nafaka mbichi yaliyookwa kwa moto, na yaliyopondwa.
15 Ana ne'zampina olivi masavene, mnanentake'za insensi antegahazankino, e'i witi ofa hugahaze.
Lazima utaweka mafuta na ubani juu yake. Haya ni matoleo ya nafaka.
16 Ana Witima kne'za masavene mnanentake'za insensinema eri haviama hunte'nazafinti osi'a eri'za, Pristi vahe'mo'za knare manavu ofa Anumzamofontega huntegahaze.
Kuhani atatoa sehemu ya nafaka iliyopondwa na mafuta na ubani, kama sadaka ya shukrani itolewayo kwa uzuri wa Bwana. Hii ni sadaka ya Bwana inayotolewa kwa moto.