< 3 Mose 13 >

1 Ra Anumzamo'a amanage huno Mosesene Aroninena zanasami'ne,
Yahweh akazungumza na Musa na Aroni, akasema,
2 Mago'mofo avufare'ma zorege, zuke namurege, ahehema fore'ma hanigeno, anazamo'ma fugo namuma rege'ma hanige'za avre'za pristi ne' Aroninte vuge, mofavre zaga'are avre'za viho.
Mtu yeyote anayeonekana na uvimbe au pele au doa ling'aalo juu ya ngozi ya mwili wake, na likawa limeambukizwa ugonjwa wa ngozi mwilini mwake, ni lazima aletwe kwa Aroni kuhani mkuu au kwa mmoja wa wanawe makuhani.
3 Hagi Pristi vahe'mo'za ana namuna rezagane'za kesageno'ma, namuma me'nenifima azokamo'ma efeke'ma huno ana namumo'ma hanagatino ufre'nesigeno, pristi ne'mo'ma reprosi namune hanigeno'a, ana vahe'mo'a agru osugahie.
Naye kuhanai atachunguza ugonjwa huo kwenye ngozi ya mwili wake. Iwapo malaika zilizopo eneo lenye ugonjwa zimegeuka kuwa nyeupe, na iwapo ugonjwa umejitokeza juu ya ngozi, huo ni ugonjwa wa kuambukiza. Baada cha kuhani kumchunguza, atamtangaza kuwa ni najisi.
4 Hagi ana namumo'ma efeke huno avufgare'ma fore'ma nehuno, rama huno agu'a uofrenkeno namuma re'nere'ma me'nea azokamo'ma efeke'ma osu'nena pristi vahe'mo'za ana nera 7ni'a zagegna azeri frakiza antegahaze.
Iwapo lile doa ling'aalo katika ngozi yake ni jeupe, na kuonekana kwake halikwenda chini zaidi ya ngozi, na iwapo malaika za eneo lenye ugonjwa hazijabadilika kuwa nyeupe, naye kuhani atamtenga mgonjwa kwa siku saba.
5 Hagi 7ni zupama pristi vahe'mo'ma kesigeno ana namumo tera osuge, te osi osugema hu'nenkeno'a, ete mago'ane 7ni'a zagegna azeri frakigahie.
Katika siku ya saba, huyo kuhani itambidi kumchunguza tena ili kuona kama katika maamzi yake huo ugonjwa siyo mbaya, na kama haujaenea kwenye ngozi. Iwapo haujaenea, basi, kuhani atamtenga kwa siku saba zaidi.
6 Hagi 7ni zupama kesigeno'ma ana namumo'ma tera osuno teganinkeno'a, pristi ne'mo'a amne namune nehuno huntenkeno, kukena'a ome sese nehuno, agra'a azeri agru hugahie.
Naye kuhani atamchunga tena katika siku ya saba ili kuona kama ugonjwa ubepona na haujasambaa zaidi kwenye ngozi. kama haujasambaa, basi, kuhani atamtangaza kuwa yeye ni safi. Ni upele tu. Naye atafua nguo zake, na kisha yeye yu safi.
7 Hianagi pristi vahe'mo'ma ana namuma te onasima hanigeno agru hune huno huntesige'noma umani'nenigeno, ana namumo tera hanigeno'a eteno pristi vahete vino.
Lakini endapo ule upele utakuwa umishasambaa kwenye ngozi baada ya kuwa amejionyesha kwa kuhani kwa ajili kusafishwa kwake, itambidi kujionyesha tena kwa kuhani.
8 Hagi pristi vahe'mo'ma avonta huno rezaganeno keteno, ana namumo'ma terama hu'nenkeno'a, agru osu'neankino fugo krie huno hugahie.
Naye kuhani atamchunguza ilikuona kama huo upele umsambaa zaidi ndani ya ngozi. Na endapo utakuwa umesambaa, kisha kuhani atamtangaza kuwa najisi. Huo ni ugonjwa wa kuambukiza.
9 Hagi mago vahe'ma avufafima fugo namuma me'nenke'za, ko pristi vahete avre'za viho.
Iwapo ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza umo kwa mtu fulani, naye mtu huyo yapasa aletwe kwa kuhan.
10 Hagi ana namuma pristi vahe'mo'za kesagenoma efeke hanigeno, azokamo'enema efeke'ma nehanigeno, avo timo'ma herafineramina,
Kuhani atamchunguza ili kuona kama kunauvimbe mweupe katika ngozi yake, endapo malaika zitakuwa zimebadilika kuwa nyeupe, au kumekuwa na nyama mbichi kwenye uvimbe.
11 e'i zazate meno vania fugo namunkino, pristi vahe'mo'a agra agru osune huno huama nehuno azeri fore hugahie.
Kama ipo, basi, huo ni ugonjwa sugu wa ngozi, naye kuhani atamtangaza kuwa najisi. Hatamtenga kwa kuwa yeye tayari ni najisi.
12 Hagi pristi vahe'mo ana fugo ri'ma kesigeno tera huno asenireti agiare'ma uhanatisigeno'a,
Iwapo huo ugonjwa unajitokeza na kupanuka zaidi kwenye ngozi, na kuifunika ngozi ya mtu kwa ugonjwa tangu kichwani pake hata miguuni, maadamu anajitokeza kwa kuhani,
13 pristi vahe'mo'a rezagane so'e huno kesigenoma ana fugo namumo'ma mika avufare'ma tenenkeno, avufamo'ma efeke hanigeno'a, agra agru hu'ne huno huntegahie.
naye kuhani atamchunguza ili kuona kama huo ugonjwa umeshaenea mwili wake wote. Ikiwa imetokeo hivyo, kuhani atamtangaza mtu huyo aliye na ugonjwa kuwa ni safi. Ikiwa amebadilika kuwa mweupe, huyo ni safi.
14 Hianagi kesigeno kasefa namuma avufafima fore'ma hanigeno'a, agra agru osugahie.
Lakini ikiwa nyama mbichi imeonekana juu yake, atakuwa najisi.
15 Hagi pristi vahe'mo'ma kesigeno avo'mo rupro hanigeno, agu'afinti ame'amo'ma etiramisigeno kesuno'a, agru osu'neankino fugo namune huno huntegahie.
Kuhani ataiangalia hiyo nyama mbichi na kumtanga kuwa najisi kwa sababu hiyo nyama mbichi ni najisi. Huo ni ugonjwa wa kuambukiza.
16 Hianagi ana namumo'ma fananema huno efeke'ma hanigeno'a, ete pristi vahete vino.
Lakini endapo hiyo nyama mbichi inageuka kuwa nyeupe tena, naye huyo mtu hana budi kwenda kwa kuhani.
17 Hagi pristi vahe'mo'a kesigeno'ma, namumo'ma efeke hu'nenkeno'a, namuma re'nesia vahekura agru hu'nane huno hunteno.
Kuhani atamchunguza ili kuona kama hiyo nyama imebadilika kuwa nyeupe. Kama imekuwa hivyo naye kuhani atatangaza kwamba mtu huyo kuwa ni safi.
18 Usagema ahenesia vahe'ma vagamarentesigeno'a,
Mtu anapokuwa na jipu juu yangozi yake na limishapona,
19 ana namumo efeke huge koranke huge, zomaoresigeno'a, agra'a avufa pristi vahete eme averi hino.
na mahali pa jipu pamekuwa na uvimbe au doa lenye kung'aa, wekundu unaochanganyikana na weupe, yapasa kuonyeshwa kwa kuhani.
20 Hagi pristi vahe'mo'ma kesageno'ma ana namumo hanagatino fre'neno, ana namumpima me'nenia azokamo'ma efeke hu'nenigeno kesuno'a, ana namunkura usagempinti fore hu'nea fugo namune nehuno, agru osu'nane huno hugahie.
Naye kuhani atalichunguza ili kuona kama linaonekana limekwenda chini ya ngozi, na kama hizo malaika zimebadilika kuwa nyeupe, kama ni hivyo, kuhani atamtangaza kuwa najisi. Huo ni ugonjwa wa kuambukiza, endapo utakuwa umezalishwa mahali lilipokuwa jipu hilo.
21 Hianagi pristi vahe'mo'ma kesigeno, ana namumo efeke osuno hanagatino ofreno terama osanigeno'a, 7ni'a zagegna azeri frakinkeno manigahie.
Lakini endapo kuhani atakuwa amelichunguza na haoni malaika nyeupe ndani yake, na kwamba iliko chini ya ngozi bali limefifia, kisha kuhani atamtenga kwa siku saba.
22 Hagi ana 7ni'a knama evutenkeno'ma ana namumo'ma rura huno avufafima vuno enoma hanigeno'a, pristi vahe'mo'a ana nekura agru osu'nane huno hugahie.
Kama linaenea kwa kupanuka kwenye ngozi, kisha kuhani atamtangaza kuwa najisi. Huo ni ugonjwa wa kuambukiza.
23 Hianagi ana namumo rura osuno me'nena, pristi vahe'mo'a amane usagemo ana hu'neanki agru hu'nane huno huntegahie.
Lakini kama hilo doa lenye kung'ara linabaki mahali pake na halijasambaa, basi hilo ni kovu la jipu, naye kuhani atamtangaza kuwa safi.
24 Hagi tevemo'ma mago'mofo avufgama terasgene'nigeno, namumo'ma avoke huno efeke'ma nehuno koranke'ma hu'nena,
Ngozi inapoungua na nyama mbichi ya inamekuwa na wekundu uliochanganyika na weupe au doa jeupe,
25 pristi vahe'mo'ma ana namumpima me'nenia azokama kesigeno'ma efeke hanigeno, namumo'ma ra huno hanagatino agu'ama ufre'nenkeno'a, agrua osu'nane huno pristi vahe'mo'a hugahie.
kisha kuhani ataichunguza kuona kama malaika zilizoko kwenye doa hilo zimebadilika na kuwa nyeupe, na kama limeonekana kwenda chini zaidi ya ngozi, kama limekuwa hivyo, basi huo ni ugonjwa wa kuambukiza. Umejitokeza kwenye jeraha la moto, naye kuhani atamtangaza kuwa najisi. Huo ni ugonjwa wa kuambukiza.
26 Hianagi pristi vahe'mo'ma kesigeno'ma, ana namumpima me'nenia azokamo'ma efeke'ma osanigeno, ana namumo'ma hanagatino uofreno, teganizama nehanigeno'a, 7ni'a zagegna azeri frakisigeno manigahie.
Lakini endapo kuahani analichunguza na naona kwamba hakuna malaika nyeupe kwenye doa, na kwamba halikuenda chini ya ngozi bali linafifia, basi, kuhani atamtenga mtu huyo kwa siku saba.
27 Hagi 7ni kna zupa pristi vahe'mo'ma kesigeno'ma ana ne'mofo namumo'ma avufafima terama hanigeno'a, ana nekura agru osu'nane huno huntegahie.
Kisha yapasa kuahani kumchunguza tena katika siku ya saba. Iwapo litakuwa limesambaa kwa upana kwenye ngozi, naye kuhani atamtangaza kuwa najisi. Huo ni ugojwa wa kuambukiza.
28 Hianagi ana namumo'ma tera huno avufafima vuno enoma osanigeno'ma, pristi vahe'mo'ma kenuno'a, amane tevemo te'neazamo'e nehuno, agru hu'ne huno huntegahie.
Iwapo hilo doa lisalia mahali pake na halitakuwa limesambaa kwenye ngozi bali limefifia, ni uvimbe tu kutokana na kuungua moto, naye kuhani atamtangaza kuwa safi, kwa kuwa siyo zaidi ya jeraha la kuungua.
29 Hagi mago vemofono a'mofoma, zuke namuma asenifi rege, ameragempima rege'ma hu'nenigeno'a,
Iwapo mwanaume au mwanamke ana ugonjwa wa kuambukiza kichwani au kidevuni pake,
30 ana zuke namuma pristi vahe'mo kesigeno'ma terama huno hanagatino ufrenigeno, azokamo'ma kaninkruke hu'nena pristi vahe'mo'a ana vahekura, agru osu'nane huno huntegahie.
kisha kuhani atamchunguza mtu huyo kwa ajili ya ugonjwa wa kuambukiza ili kuona kama unakwenda ndani zaidi ya ngozi, na kama kuna nywele za manjano, nyembamba ndani yake. endapo zinaonekana, kisha kuhani atamtangaza kuwa najisi. Huo ni mwasho, ugonjwa wa kuambukiza kichwani au kidevuni.
31 Hianagi ana zuke namuma pristi vahe'mo'ma kesigeno'ma ana namumo'ma terama huno hanagatino uofrenigeno, haninke azokama anampima omanena, pristi vahe'mo'a ana nera 7ni'a zagegna avre frakisigeno manigahie.
Iwapo kuhani anachunguza ugonjwa wa mwasho na anagundu kuwa hauko chini ya ngozi, na kama hakuna nywele nyeusi ndani yake, kisha kuhani atamtenga mtu huyo mwenye ugonjwa wa mwasho kwa siku saba.
32 Hagi 7ni knare'ma pristi vahe'mo'ma kesigeno ana zuke namumo'ma tera osanigeno, azokamo'ma kaninkruke'ma osanigeno, ana namumo hanagatino uofre'nenkeno'a,
Katika siku ya saba kuhani atauchunguza tena huo ugonjwa ili kuona kama umesambaa, Endapo hakuna malaika za manjano, na iwapo ugonjwa uko usawa ngozi tu,
33 anantera azokara haregahianagi, namuma re'neniama'a ohareno atrenenkeno, pristi vahe'mo'a mago'ane 7ni'a kna avre frakinkeno ana vahe'mo'a manigahie.
basi, yapasa mtu huyo kunyolewa., lakini sehemu yenye ugonjwa haitanyolewa, naye kuhani atamtenga mtu huyo mwenye ugonjwa wa mwasho kwa siku saba.
34 Hagi 7ni kna zupa pristi vahe'mo'a keteno, namumo'ma terama huno hanagatino'ma uofre'nenkeno'a, agru hu'ne huno ana vahera huntenkeno, kukena'a sese nehuno agru hugahie.
Katika siku ya saba kuhani atauchunguza tena ugonjwa ili kuona kama umacha kusambaa ndani ya ngozi. Iwapo unaonekana kuwa hukwenda chini zaidi ya ngozi, kisha kuhani atamtangaza kuwa safi. Mtu huyo yapasa kufua nguo zake, na kisha atakuwa safi.
35 Hianagi agru hu'nane huno'ma huntetesigeno, umani'nenigeno ana zuke namumo'ma terama hanigeno'a,
Lakini ikiwa ugonjwa wa mwasho umeenea kwa sehemu kubwa kwenye ngozi baada ya kuhani kutangaza kuwa alikuwa safi,
36 pristi vahe'mo'ma anamofoma kesigeno'ma, ana zuka namumo'ma tera huno vuno enoma hanigeno, hago tera hu'neankino pristi ne'mo'a kanikruke azokakura onkeno, agru osu'nane huno ana ne'kura huntegahie.
naye kuhani itabidi amchunguze tena. Iwapo ugonjwa utakuwa umesambaa katika ngozi, kuhani hahitajiki kutafuta nywele za manjano. Mtu huyo ni najisi.
37 Hianagi pristi vahe'mo'ma kesigeno ana zuke namumo'ma tera osanigeno, haninke azokama anampima me'nena pristi vahe'mo'a agru hu'ne huno hugahie.
Lakini iwapo katika mtazamo wa kuhani inaonekana kuwa huo ugonjwa wa mwasho umekoma kusambaa, basi huo ugonjwa umekwisha pona. Yeye ni safi, naye kuhani atamtangaza kuwa safi.
38 Hagi mago ne'mofono a'mofoma efeke kiraremo'ma avufaregama hu'nesigeno'a,
Iwapo mwanume au mwanamke ana madoa juu ya ngozi,
39 pristi vahe'mo'ma ana kirarema re'nea avufafima kesigeno efekema hu'nea zamo'ma amanema hanigeno'a, amne namunkino, agru hu'ne huno huntaghie.
kisha kuhani atamchunguza mtu huyo ili kuona kama hayo madoa ni meupe kwa kufiifia, ambalo ni kovu tu lililojitokeza kwenye ngozi. Yeye yu safi.
40 Hagi mago ne'mofoma anumpi azamoma erisiana, agra agru hu'ne.
Iwapo nywele za mtu zimenyonyoka kichwani, yeye ni kipara lakini yu safi.
41 Hagi mago ne'ma tinke azokama pupusenigeno azokamo'ma omanesiana, agra agru hu'ne.
Na iwapo nywele zake zimenyonyoka upande wa mbele wa kichwa chake, na iwapo paji lake la uso lina kipara, yeye yu safi.
42 Hianagi azamompima namumo'ma efeke nehuno koranke'ma hu'neniana, e'i fugo namune.
Lakini endapo kuna kidonda chenye wekundu uliochanganyika na weupe, juu ya kipara chake au paji lake la uso, huo ni ugonjwa wa kuambukiza uliojitokeza.
43 Hagi pristi vahe'mo'ma kesigeno'ma azamompino, kokovipima namumo'ma efeke huge, koranke huge huno'ma fugo namunknama haniana,
Naye kuhani atamchunguza ili kuona iwapo uvimbe wa eneo linaugua juu ya upara wake au paji lake la uso lina wekundu uliochanganyika na weupe, kama kuonekana kwa ugonjwa wa kuambukiza kwenye ngozi.
44 ana ne'mofona fugo namu re'neankino, agru osu'ne. Hagi pristi vahe'mo'a agru osu'ne huno huntegahie. Na'ankure asenifina namu re'ne.
Ikionekana hivyo, basi huyo ana ugonjwa wa kuambukiza naye ni najisi. Hakika kuhani atamtangaza kuwa najisi kwa sababu ya ugonjwa wake kichwani pake.
45 Hagi e'inahu fugo namuma re'nesia vahe'mo'a, tagato'ma hu'nesnia kukena nehuno, azokara refiraoteno, avugosa refiteno avugama'age netreno kezatino, nagra agru osu'noe nagra agru osu'noe huno hino.
Mtu aliye na ugojwa wa kuambukiza atavaa nguo zilizochanika, ni lazima nywele zake ziachwe wazi, na yampasa kufunika uso wake mpaka puani na kupiga kelele, 'Najisi, najisi.'
46 Hagi ana fugo namuma avufare'ma me'nenigeno'a ana ne'mo'a agru osu'neakino, agraku kumamofo fegi'a manigahie.
Naye atakuwa najisi siku zote za ugonjwa wake wa kuambukiza. Kwa sababu anao ugonjwa unaosambaa, yapasa kuishi peke yake nje ya kambi.
47 Hagi sipisipi azokateti tro hu'nesia kukenarero, efeke kukenarero,
Kuna wakati fulani vazi la mtu hupata ukungu juu yake. Laweza kuwa vazi, ama la sufu au kitani,
48 sipisipi azoka zagino haneno tro hu'nenia kukenarero, efeke kukenama hanenifino, bulimakao akrutema tro'ma hu'nesaza kukenare'ma,
au kitu chochote kilichosukwa au kufumwa kutokana na sufu au kitani, au ngozi au kitu chochote kilichotengenezwa kwa ngozi.
49 zafa sinage huge koranke avame'zama efore'ma ana kukenare'ma hu'nena, e'i tontore zamofo avame'zanki, pristi vahe averi hugahie.
Iwapo sehemu iliyochafuliwa ina rangi ya kijani au nyekundu katika vazi, ngozi, kifaa kilichosukwa au kufumwa, basi huo ni ukungu uanasambaa, ni lazima uonyeshwe kwa kuhani.
50 Hagi ana kukena pristi vahe'mo'a keteno, erino frakino ante'nenkeno 7ni'a zagegna megahie.
Yapasa kuhani akichunguze hicho kifaa kwa ajili ya ukungu; ni lazima akitenge kitu chochote kilicho na ukungu kwa siku saba.
51 Hagi ana kukenaramimo'ma meno vuno 7ni zupama uhanatinigeno pristi vahe'mo'ma kesigeno'ma sipisipi azoka zagino hanenenifino, efeke kukenama hanenenifino, bulimakao akrutema tro'ma hu'nea kukenare'ma tontomo'ma ra huno vuno eno'ma hu'nenkeno'a, agru osu'ne huno hugahie.
Naye atauchunguza tena huo ukungu katika siku ya saba. Endapo utakuwa umesambaa katika kifaa hicho, basi ni wazi kwamba huo ni ukungu wenye kuangamiza, na hicho kifaa ni najisi.
52 Hianagi sipisipi azokate tro hu'nesia kukeno, bulimakao akrute tro hu'nesia kukeno, kukenare'ma ana avame'zama fore'ma hanigeno'a, tevefi krenkeno tevareno.
Na mwenye kukimiliki atalazimika kukichoma na kukiteketeza kabisa hicho kifaa kilichoonekana na ukungu ndani yake, haijalishi kiwe ni kifaa cha aina gani, kwani huo ukungu unaweza kusababisha ugonjwa.
53 Hianagi pristi vahe'mo'ma kesigeno kukenare'ma anazamo'ma rama osu'nena,
Iwapo kuhani anakichunguza hicho kifaa na kuona kwamba ukungu haujaenea kwenye vazi au chombo kilichosukwa au kusokotwa kutokana na sufu, kitani au ngozi,
54 pristi vahe'mo'a ana vahera zamasaminige'za ana kukena sese hute'za, 7ni'a zagegna mago'ane fraki'za antesageno megahie.
basi atawaagiza wakisafishe hicho kifaa kilichopatikana na ukungu, naye yampasa kukitenga kwa siku saba zaidi.
55 Hagi ana avame'zama sesema hutesageno'a ete mago'ane kesigenoma ana kukenamofo tontomo'ma vaga'orenigeno rura ana avamezamo osu'nenianagi, agru osu'neanki amegao agu'afima tontoma re'nena tevefi kre vagaregahie.
Kisha kuhani atakichunguza tena hicho kifaa chenye ukungu baada ya kuwa kimesafinshwa. Kama ukungu haukubadilika rangi yake, hata kama haukusambaa, kifaa hicho ni najisi. Yapasa kichomwe, haijalishi ni wapi ukungu huo utakuwa umekichafua.
56 Hagi ana kukena sese'ma hanigeno, ana zamo'ma sipisipi azokate kukenaretiro, efeke kukenaretiro, bulimakao akrute kukenaretima fananema haniana, anama havizama hu'nema'a tagato hutreno.
Iwapo kuhani anakichunguza hicho kifaa, na kama ukungu umefifia baada ya kuwa umeoshwa, basi atakirarua kile kipande kilichochaufuliwa kutoka kwenye vazi au kutoka kwenye ngozi, au kutoka kwenye chombo kilichosukwa au kusokotwa.
57 Hagi henkama ana tonto fore'ma hina, ana kukenamofo nefa'a tevefi krenkeno, te fanane hino.
Ikiwa ukungu unazidi kuonekana katika vazi, ama katika chombo kilichosukwa au kufumwa, au katika kitu chochote kilichotengenezwa kwa ngozi, basi, ukungu utakuwa unasambaa. Kifaa chochote kilicho na ukungu ni lazima kichomwe.
58 Hagi henka'ama anazama fore'ma osanigeno'a, ete mago'ane sese hina agrua hugahie.
Vazi au kitu chochote kilichosukwa au kufumwa kutokana na sufu, au kitani, au ngozi au kitu chochote kilichotengenezwa kwa ngozi—iwapo unakisafisha kifaa nao ukungu ukawa umetoka, nacho kifaa lazima kisafishwe mara ya pili, kisha kitakuwa safi.
59 Ama'i tra kea sipisipi azokateti zagino hane'ne'nia kukenama, efeke kukena hane'za tro hu'ne'nazano, bulimakao akruteti hane'za tro hu'nenaza zama tontomo'ma eri havizama hu'nenia kukenamofoma pristi vahe'mo'ma agru hu'ne, agru osu'nema huno'ma hania trake.
Hii ndiyo sheria ihusuyo ukungu katika vazi la sufu au kitani, au kwenye kitu chochote kilichosukwa au kufumwa kutokana na sufu, au kitani, au kitu chochote kilichotengenewa kwa ngozi, ili kwamba mweze kuvitangaza kuwa safi au najisi.

< 3 Mose 13 >