< 3 Mose 12 >

1 Hanki anantera Ra Anumzamo'a Mosesena asamino,
Bwana akamwambia Mose,
2 Amanage hunka Israeli vahera zamasamio, mago a'mo'ma ne' mofavre'ma kasentenuno'a, namunkama freneno'ma nehiaza huno 7ni'a zagegna maniteno agrua hugahie.
“Waambie Waisraeli: ‘Mwanamke ambaye atapata mimba na kuzaa mtoto wa kiume atakuwa najisi kwa kawaida ya ibada kwa siku saba, kama anavyokuwa najisi wakati wa siku zake za hedhi.
3 Hagi ne' mofavremofona 8 zagekna zupa agoza anoma'a taga hutregahaze.
Mvulana atatahiriwa siku ya nane.
4 Hagi ana a'mo'a ne' mofavrema kasente'nea zankura, 33'a zagegna agruma hanigura avega anteno manigahie. Hagi ana a'mo'a ruotage'ma huno me'neazantamina avakora nosuno, ruotagema hunefina ovuno mani'nenigeno agruma hu knamo'a egahie.
Kisha ni lazima huyo mwanamke asubiri kwa siku thelathini na tatu, ndipo atakaswe kutoka damu kwake. Hataruhusiwa kugusa kitu chochote kilicho kitakatifu au kuingia mahali patakatifu, mpaka siku za kutakaswa kwake zimetimia.
5 Hianagi mofa'ma kasentesigeno'a ana a'mo'a tare sontamofo agu'afi agrua osuno maniteno, ete mago'ane 66'agna maniteno agrua hugahie.
Kama akimzaa mtoto wa kike, mwanamke huyo atakuwa najisi kwa majuma mawili, kama wakati wake wa hedhi. Kisha atasubiri kwa siku sitini na sita, ndipo atatakaswa kutoka damu kwake.
6 Hagi ne'mofavreo, mofa mofavre'ma kasente'nesia zanku'ma azeri agruma hu knama evutenkeno'a, tevefima kresramna vu ofa mago kafu hu'nesia sipisipi nevreno, kumi ofama hu'zana maho namao kugofa nama avreno pristi vahete seli nomofo avuga egahie.
“‘Siku zake za utakaso kwa ajili ya mwana au binti zitakapotimia, mwanamke huyo atamletea kuhani kwenye ingilio la Hema la Kukutania mwana-kondoo mwenye umri wa mwaka mmoja kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, na kinda la njiwa au hua kwa ajili ya sadaka ya dhambi.
7 Hagi ana nama pristi ne'mo'a avreno, ana a'mo'ma agruma osu'nea zantera nona huno Ra Anumzamofontera ofa hina, ana a'mo'ma mofavrema kasenteteno azeri agru hugahie. Hagi ama'i a'mo'ma mofavrema kasentete'noma azeri agruma hania zamofo trake.
Atavitoa mbele za Bwana ili kufanya upatanisho kwa ajili yake, na kisha atakuwa safi kwa desturi ya ibada kutokana na kutokwa damu kwake. “‘Haya ndiyo masharti kwa ajili ya mwanamke atakayezaa mtoto wa kiume au wa kike.
8 Hianagi ana a'mo'ma sipisipima avrenoma ega'ma osanuno'a, tare maho namao, tare kugofa nama avreno e'nigeno, mago nama Ra Anumzamofonte kresramana nevuno, mago nama ana a'ma azeri agru hu ofa pristi ne'mo'a hugahie.
Kama huyo mwanamke hana uwezo wa kumpata mwana-kondoo, ataleta hua wawili au makinda mawili ya njiwa, moja kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa na mwingine kwa ajili ya sadaka ya dhambi. Kwa njia hii, kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake, naye atakuwa safi.’”

< 3 Mose 12 >