< 3 Mose 1 >

1 Ra Anumzamo'a atruhu seli nompinti Mosesenkura ke huno anage hu'ne,
Bwana akamwita Mose na kusema naye kutoka kwenye Hema la Kukutania, akamwambia,
2 Israeli vahe'mokizmia zamasamige'za Ra Anumzamo'nare'ma ofama kresramana vunante'naku hanu'za, kegavama nehania sipisipio meme afu kevufinti avreno kresramana vunanteno.
“Sema na Waisraeli na uwaambie, ‘Yeyote miongoni mwenu aletapo sadaka ya mnyama kwa Bwana, alete mnyama kama sadaka yake kutoka kundi lake la ngʼombe au la kondoo na mbuzi.
3 Kre fanane hu ofama hu'zama bulimakao afu'zamifinti'ma avre'za esu'za, ve bulimakao afu afuhe afahe osu'nesia su'za avre'za atru'ma nehaza seli mono nomofo kafante omentesageno, Ra Anumzamo'a antahimigahie.
“‘Kama sadaka hiyo ni ya kuteketezwa kutoka kwenye kundi la ngʼombe, atamtoa ngʼombe dume asiye na dosari. Ni lazima amlete kwenye ingilio la Hema la Kukutania ili aweze kukubalika kwa Bwana.
4 Agra ana ofama hania bulimakao afu'mofo asenire kumi'amofo nonama hanigu azana antenkeno, Ra Anumzamo'a antahinemino kumi'a atrentegahie.
Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha sadaka ya kuteketezwa, nayo itakubaliwa kwa niaba yake ili kufanya upatanisho kwa ajili yake.
5 Hagi ana ve bulimakao anenta afura Ra Anumzamofo avuga ananke akafritesigeno, Aroni mofavremo'za pristi eri'zama e'nerizamo'za korama'a tagi'za vu'za seli mono nomofo avugama me'nea kresramana vu itare ome rutri rutri hugagiho.
Atamchinja yule fahali mchanga mbele za Bwana, kisha wana wa Aroni walio makuhani wataleta damu na kuinyunyiza pande zote za madhabahu yaliyo penye ingilio la Hema la Kukutania.
6 Hagi anamo'a ana bulimakaomofona akru'a kararu vaziteno, avufga'a tagahu osi osi hutesigeno,
Ataichuna hiyo sadaka ya kuteketezwa na kuikata vipande vipande.
7 Aroni mofavre naga pristi eri'zama e'nerizamo'za kresramana vu itarera tevea erise hu'za agofetura ante fatgo hugahaze.
Wana wa Aroni kuhani wataweka moto juu ya madhabahu na kupanga kuni juu ya huo moto.
8 Anantera Aroni mofavreramima pristi eri'zama e'nerizamo'za kresramana vu itare'ma tevema hanavazisare, tagahu osi osi'ma hanaza ame'ane, aseni'ane, afova'anena, eri antefatgo hugahaze.
Kisha wana wa Aroni walio makuhani watapanga vile vipande vya nyama, pamoja na kichwa na mafuta ya huyo mnyama juu ya zile kuni zinazowaka juu ya madhabahu.
9 Agazama'ane agusu'agesezama'a timpi sese hutesigeno, pristi vahe'mo'a kre sramana vu itarera ome kresageno mana'amo'a marerinkeno, Ra Anumzamo'a knare mana nentahino muse hugahie.
Ataziosha sehemu za ndani na miguu yake kwa maji, naye kuhani atavichoma vyote juu ya madhabahu. Hii ni sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotolewa kwa moto, yenye harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
10 Hagi sipisipio meme afu kevu'afinti'ma kresramana vunaku'ma hanimo'a, afuhe afahe'ma osu'nesia ve afu avregahie.
“‘Kama sadaka ni ya kuteketezwa kutoka kwenye kundi la kondoo au mbuzi, atamtoa mnyama dume asiye na dosari.
11 Kresramana vu itamofona noti kaziga Ra Anumzamofo avuga ana afura anankena akafrisigeno, Aroni mofavreramima pristi eri'zama e'nerizamo'za korama'a tagi'za kresramna vu itamofona rutri tri hugagigahaze.
Atamchinjia upande wa kaskazini wa madhabahu mbele za Bwana, nao wana wa Aroni walio makuhani watanyunyizia damu yake pande zote za madhabahu.
12 Agra tagahu osi osi hutenkeno, pristi vahe'mo'a erino kresramana vu itamofona agofetu tevema nerea trate omerintese huteno, anazanke huno aseni'ane afova'anena erino kresramana vu itare ome kregahie.
Atamkata vipande vipande, naye kuhani atavipanga, pamoja na kichwa na mafuta ya mnyama juu ya zile kuni zinazowaka juu ya madhabahu.
13 Agiazama'ane agusu agese'zama'a timpi sese hutesigeno, pristi vahe'mo'a kresramana vu itarera mika ome kresageno, manamo'a marerinkeno, Ra Anumzamo'a knare mana nentahino musena hugahie.
Ataosha sehemu za ndani na miguu kwa maji, naye kuhani atavileta vyote na kuvichoma juu ya madhabahu. Hii ni sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotolewa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
14 Hagi Ra Anumzamofonte'ma kre fanene hu ofama hu'zama namaramima avreno'ma esuno'a, maho namao kugofa kna namafinti, mago avreno kresramana vu itarera egahie.
“‘Kama sadaka ya kuteketezwa inayotolewa kwa Bwana ni ndege, atamtoa hua au kinda la njiwa.
15 Hagi pristi vahe'mo'a kresramna vu itare ana nama avreno vuteno, ananke eri vamagino eri akafriteno kresramana vu itare kresramana nevuno, korama'a erino kresramana vu itamofo asoparega tagitregahie.
Kuhani atamleta kwenye madhabahu, naye atamvunja shingo na kumnyofoa kichwa na kumchoma juu ya madhabahu. Damu yake itachuruzishwa ubavuni mwa madhabahu.
16 Ana namamofona azoka'ane, azanku'anena kresramana vu itamofona zage hanati kaziga tanefama katenetrazafi atregahaze.
Ataondoa kifuko cha chakula pamoja na uchafu wake na kuvitupa upande wa mashariki wa madhabahu, mahali pale penye majivu.
17 Hagi pristi ne'mo'a ana namamofona agekonare azeri'neno eri taganavazino erizuzu huteno, kresramana vu itare'ma tevema nerefi mika, ome kresigeno mana'a marerinkeno, Ra Anumzamo'a knare mana nentahino musena hugahiankino, e'i ana ofa tevefi kre fanene hu ofe.
Atampasua na kumweka wazi katika mabawa yake, lakini asimwachanishe kabisa, kisha kuhani ataichoma juu ya zile kuni zinazowaka juu ya madhabahu. Hii ni sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotolewa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.

< 3 Mose 1 >