< Zosua 15 >

1 Hanki Juda naga'ma nagate nofite'ma hu'za mopama refko'ma huzami'nazana, fenkamu sauti kaziga Idomu vahe mopama ometete uramino, vuvava huno sauti kaziga Sinie nehaza ka'ma kotega vu'ne.
Ugawanaji wa nchi kwa kabila la watu wa Yuda, walipewa kwa kufuatana na koo zao, kutoka upande wa kusini hadi mpaka wa Edomu, pamoja na nyika ya Sini iliyokuwa mbali sana kuelekea kusini.
2 Hanki mopazmimofo agema'amo'a fenkamu sauti kazigati'ma agafama hu'neana, fri hagerimofo ankenaregati agafa huteno,
Mpaka wao wa upande wa kusini ulianzia mwisho wa Bahari ya Chumvi, kutoka ghuba iliyokabili upande wa kusini.
3 anantetira vuno Akrabimie nehaza agonaregama mareneriza kana agatereno, kantu kaziga Sinie nehaza ka'ma kokantega vuteno, Kades Banea mopamofo sauti kazigati marerino vuno, Hezroni rankumara agatereno Ada rankumatega anagamu uhanatiteno, ananteti rukrahe huno Karka rankumate vu'ne.
Mpaka wao mwingine ulielekea upande wa kusini wa mlima wa Akrabimu na kupita kuelekea Sini, na kupanda upande wa Kadeshi Barnea, karibu na Hezroni, hadi Addari mahali ambapo ulipinda kuelekea Karika.
4 Hagi anantetira vuno Asmoni kumate uhanatiteno, Isipi mopama emete'nere'ma osi tinkraho me'nea avaririno Mediterenieni ra hagerinte uhanatine. Ana higeno Juda nagamokizmi sauti kaziga mopamo'a anante ometre'ne.
Ulipita katika Azimoni, kuelekea kijito cha Misri, na mwisho ulikuwa katika bahari. Huu ulikuwa ni mpaka wa kusini.
5 Hagi zage hanati kaziga mopamofo agema'amo'a Fri Hagerimpima Jodani timo'ma enefrerega vu'ne. Higeno noti kaziga mopamo'a Fri Hagerimpima Jodani timo'ma enefrereti agafa hu'ne.
Mpaka wa mashariki ulikuwa ni Bahari ya Chumvi, katika mdomo wa Yordani. Mpaka wa upande wa kasikazini ulianzia katika ghuba ya bahari katika mdomo wa Yordani.
6 Hanki anantetira ana mopamofo agema'amo'a marerino zage fre kaziga Bet-Hoglen uhanatiteno, vuno anagamu noti kaziga Bet-Araba Bohani Rubeni nemofo havema me'nere uhanati'ne.
Ulielekea mpaka Bethi Hogla na ulipita kaskazini mwa Bethi Araba. Kisha ulipanda hata JIwe la Bohani mwana wa Rubeni.
7 Hagi mopamofo agema'amo'a Akhori aguporegati marerino vuno Debiri uhanatiteno, rukrahe huno noti kaziga Gilgali agonamo'ma sauti kaziga Adumimi agonamofo asoparega vuteno, anantetira vuvava huno En-Semesima tima nehanatire vuno, En Rogeli ome atre'ne.
Basi mpaka ule ulienda hadi Debiri kutoka katika bonde la Akori, kuelekea upande wa kasikazini, kuendelea hadi Giligali, ambayo iko mkabala na mlima Adumimu, iliyo upande wa kusini wa bonde. Kisha mpaka uliendelea hata katika chemichemi za Eni Shemeshi na kufika Eni Rogeli.
8 Hanki anantetira marerino Ben Hinomu agupoma emetre'nerega Jerusalemi kumamofona sauti kaziga me'nea agonamofo asoparega vu'ne. Anantetira Hinomu agupomofona zage fre kazigati, ana agonamofo morusapi marerino, Refaimi agupomofo noti kazigama ometretega vu'ne.
kisha mpaka ulishuka hadi bonde la Beni Hinomu kuelekea upande wa kusini wa mji wa Wayebusi ( ambao ni Yerusalemu). Kisha ulipanda hata katika mlima ulio juu ya bonde la Hinomu, katika upande wa magharibi, ulio mwishoni mwa bonde la Refaimu katika upande wa kasikazini.
9 Hagi ana agonamofo morusapintira vuno mopamofo agema'amo'a Neftoa tinkeriramima me'nere vuteno, vuno Efroni agona tvaonte me'nea rankumatminte uhanatiteno, anantetira rukrahe huno Ba'ala rankumate vu'ne. Hagi ana kumamofo mago agi'a Kiriat Jearimie hu'za menina nehaze.
Kisha mpaka ulitanuka kutoka katika kilele cha milima hata chemichemi ya Nefutoa, na ulipanda kutoka hapo kuelekea miji ya Mlima Efroni. Kisha mpaka ulipiga kona kuelekea Baala ( ambao ndio Kiriathi Yearimu).
10 Hanki Ba'alatira zage fre kaziga rukrahe huno vuno Seiri agonare uhanatiteno, Jearimi agonamofo [e'i Kesalonie] noti kaziga asoparega vuteno vuvava huno Bet Semesi rugitagino Timna vu'ne.
Baadaye mpaka ulizunguka kuelekea magharibi mwa Baala kukabili Mlima Seiri, na kupita kufuata upande wa Mlima wa Yearimu katika upande wa kasikazini (ambao ndio Kesaloni), ulienda chini hadi Bethi Shemeshi na kuvuka hata ng'ambo ya Timna.
11 Hagi anantetira ana mopamofo agema'amo'a vuno Ekroni noti kaziga ne'one agonaramintega vuteno, rukrahe huno Sihikeroni vuteno, anantetira Ba'ara agona erigama neteno Jabneli uhanati'ne. Higeno ana mopamofo agema'amo'a Mediterenia ra hagerinte ome atre'ne.
Mpaka uliendelea karibu na mlima wa kasikazini mwa mlima wa Ekroni, na kisha ukakata kona kuzunguka Shikeroni na kupita kuelekea sambasamba na Mlima Baala, kutoka hapo uliendelea hadi Yabneeli. Mpaka ule ulikomea katika bahari.
12 Hagi Juda naga'mokizmi zage fre kaziga mopamofo agema'amo'a, Mediterenia ra hagerimofo ankenare me'ne. Hagi Juda naga'mo'za ana mopafi nagate nofite hu'za mani'naze.
Mpaka wa magharibi ulikuwa Bahari Kuu na katika ukanda wa pwani yake. Huu ndio mpaka uliozunguka kabila la Yuda, ukoo kwa ukoo.
13 Ko'ma Ra Anumzamo'ma asami'nea kante anteno, Josua'a Jefune nemofo Kalepina Juda nagamokizmi mopafinti mago mopa refko humi'neana Kiriat Arbae, e'i menina Hebroni me'ne. (Arba'a Anaki tusinasi vahe'mokizmi nezamageho'e).
Katika kulitunza agizo la Yahweh kwa Yoshua, Yoshua alimpa Kalebu mwana wa Yefune mgao wa nchi ya. miongoni mwa kabila la Yuda, alimgawia nchi Kiriathi Arba, ambayo ndio Hebroni (Arba alikuwa ni baba wa Anaki).
14 Hagi Kalepi'a Hebroniti'ma 3'a Anaki mofavrerami zamahe natitre'neana Sesaiki, Ahimaniki, Talmaima huno zamahe natitre'ne.
Kalebu aliwafukuzia mbali wana watatu wa Anaki: Sheshai, Ahimani na Talmai, wazawa wa Anaki.
15 Hanki Kalepi'a Debiri rankumapima mani'naza vahera marerino hara ome huzamante'ne. Hanki kora ana kumakura (Kiriat Sefa nehazane).
Alipanda kutoka pale kinyume cha wenyeji wa Debiri (Debiri hapo mwanzo iliitwa Kiriathi Seferi).
16 Hanki Kalepi'a amanage hu'ne, ina ne'mo'o Kiriat sefa vahe'ma ha'ma huzamagateresia nera mofani'a Aksana amisnugeno a' erintegahie.
Kalebu akasema, “Mtu atakayeishambulia Kiriathi Seferi na kuiteka, nitampa binti yangau, Akisa, awe mke wake.
17 Higeno Kalepi nefu Kenasi mofavremo Otnieli Kiriat Sefa kumara hara huzmagateregeno, Kalepi'a mofa'a Aksana amigeno ara erinte'ne.
Wakati huo Othinieli mwana wa Kenazi, kaka yake na Kalebu, aliuteka mji, na Kalebu alimpatia Akisa, binti yake awe mke wake.
18 Hagi Aksama Otnielinte'ma marea knazupa, Aksa'a nefa Kalepina mopagu ome antahigenaku Otnielina tutu hunte'ne. Hagi donki afu'mofo agumpinti'ma Aksa'ma anama takau neregeno'a, Kalepi'a antahigeno, na'a hugante'nuegu kave'nesie?
Mara baada ya hayo, Akisa alienda kwa Othinieli na alimsihi amwombe baba yake shamba. Na mara aliposhuka kutoka katika punda wake, Kalebu alimwambia Akisa, “Unataka nini?”
19 Higeno Aksa'a nefana amanage huno asmi'ne. Asomu hunantenka Kagra Negevi kaziga hagege mopa hago nami'nananki, mago'a kampu'i tinena namighane. Higeno anagamune fenkma kaziganema me'nea kampui tina Kalepi'a ami'ne.
Akisa akamjibu, “Nifanyie neema. Kwa kuwa umeshanipa nchi ya Negevu, nipe pia baadhi ya chemichemi za maji.” Na Kalebu alimpa chemichemi ya juu na chemichemi ya chini.
20 Hanki Juda naga'mo'zama rankuma'ene mopanema nagate nofite'ma hu'za erisantihare'naza kumatamimofo zamagi'a ama'ne,
Huu ulikuwa ndio urithi wa kabila la Yuda, waliopewa kufuatana na koo zao.
21 Sauti kaziga Idomu vahe mopa eme atretegama Juda naga'mokizmi rankumatmima me'neana, Kebzilima, Ederima, Jagurima.
Miji iliyo mali ya kabila la Yuda katika upande wa kusini, kuelekea mpaka wa Edomu, ilikuwa ni Kabzeeli, Eda, Yaguri,
22 Kinama, Dimonama, Adadama,
Kina, Dimona, Adada,
23 Kedesima, Hazorima, Itnanima,
Kadeshi, Hazor, Ithinani,
24 Zifima, Telemima, Bearotima,
Zifu, Telemu, Bealothi.
25 Hazor-Hadatama, Keriot-Hezronima, (e'i Hazorie hu'za nehaza kumare),
Hazori Hadata, Keriothi Hezroni (mji huu ulijulikana kama Hazori),
26 Amamuma, Semama, Moladama,
Amamu, shema, Molada,
27 Hazar-Gadama, Hesmonima, Bet-Peletima,
Hazari Gada, Heshimoni, Bethi Peleti,
28 Hazar-Sualima, Besibama Biziotiama,
Hazari Shuali, Beerisheba, Biziothia.
29 Ba'alama, Imima, Ezemima,
Baala, Limu, Ezemu,
30 Eltoladima, Kesilima, Homama,
Eltoladi, Kesili, Horma,
31 Ziklagima, Madmanama, Sansanama,
Ziklagi, Madimana, Sansana,
32 Lebaotima, Silhimima, Ainima, Rimoni kuma'enene. Hagi ana makara 29ni'a ranra kumatmi me'negeno, ne'onse kumazmia megagitere hu'ne.
Lebaothi, Shilihimu, Aini, na Rimoni. Miji hii ilikuwa ishirini na tisa kwa ujumla, kujumlisha na vijiji vyake.
33 Hanki zage fre kazigama ne'onse agonaramimofo asoparegama me'nea kumataminena Juda naga'ma zami'neana, Estaolima, Zorama, Asnama,
Katika nchi iliyo chini ya mlima upande wa magharibi, kulikuwa na miji ya Eshtaoli, Zora, Ashina,
34 Zanoama, En-Ganimima, Tapuama, Enamuma,
Zanaoa, Eni Ganimu, Tapua, Enamu,
35 Jarmutima, Adulamuma, Sokoma, Azekama,
Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka,
36 Sa'araimima, Atithaimima, Gederama, Gederotaimima huno me'ne. Ana makara 14ni'a ranra kumatmi me'negeno, ne'onse kumazmia megagitere hu'ne.
Shaaraimu, Adithaimu, na Gedera ( ambayo ndio Gederothaimu). Hesabu ya miji hii ilikuwa ni kumi na nne, pamoja na vijiji vyao.
37 Hagi mago kazigama metru hu'nea ranra kumatmimofo zamagi'a, Zenanima, Hadasama, Migdal-Gatima,
Zena, Hadasha, Migidagadi,
38 Dileanima, Mizpama, Joktelima,
Dileani, Mizipa, Yokitheeli,
39 Lakhisima, Bozkatima, Eklonima,
Lakishi, Bozikathi, Egloni.
40 Kabonima, Lamamuma, Kitlisima,
Kaboni, Lahmamu, Kitilishi,
41 Gederotima, Bet-Dagonima, Na'ama, Makeda kuma'enene. Hagi ana makara 16ni'a ranra kumatmi megeno, ne'onse kumazmia megagitere hu'ne.
Gederothi, Bethi Dagoni, Naama, Makeda. Hesabu ya miji hii ilikuwa kumi na sita, kujumlisha na vijiji vyao.
42 Hagi mago kazigama metru hu'nea ranra kumatmimofo zamagi'a, Libnama, Etama, Asanima,
Libna, Etheri, Ashani,
43 Iftama, Asnama, Nezibima,
Ifuta, Ashina, Nezibu,
44 Keilama, Akzibima, Maresa kumaki huno megeno, ana makara 9ni'a ranra kumatmi me'negeno, ne'onse kumazmia megagitere hu'ne.
Keila, Akizibu, na Maresha. Hii ilikuwa ni miji tisa, kujumlisha na vijiji vyao.
45 Hanki Ekroni ran kuma e'neri'za ne'onse kumazmima megagi'nea kuma'taminema Juda naga'mo'zama eri'nazana,
Ekroni, pamoja na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka;
46 Ekroni rankuma e'neri'za, Asdoti rankuma'ene e'neriza, vu'za hagerinkenaregama me'nea neonse kumataminena eri'naze.
kutoka Ekroni kuelekea Bahari Kuu, makazi yote ambayo yalikuwa karibu na Ashidodi, pamoja na vijiji vyake.
47 Asdotima me'nea ranra kuma'ene ne'onse kumatamine, Gaza rankuma'ene tvaoma'are'ma me'nea neonse kumatamima, fenkamu sauti kaziga Isipi mopama eme atretegema me'nea tinkagomute vigeno, Mediteterenia ra hageri ankenare ome atre'ne.
Ashidodi, na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka; Gaza na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka; hata kufika kijito cha Misri, na kuelekea Bahari Kuu pamoja na ukanda wake wa pwani.
48 Hagi agonaramimpima me'nea kumatmina, Samirima, Jatirima, Sokoma,
Katika nchi ya milima, kuna miji ya Shamiri, Yatiri, Soko,
49 Danama, Kiriat-Sana [mago agi'a Debirie].
Dana, Kiriathi Sana (ambayo ndio Debiri),
50 Hagi Anabuma, Estemoma, Animima,
Anabu, Eshitemo, Animu,
51 Gosenima, Holonima, Giloma huno megeno ana makara 11ni'a ranra kumatmi me'negeno, ne'onse kumazmia megagitere hu'ne.
Gosheni, Holoni, na Gilo. Hii ilikuwa ni miji kumi na moja, kujumuisha na vijiji vyake.
52 Hanki mago kaziga metru hu'nea ranra kumatmimofo zamagi'a, Arabuma, Dumama, Esanima,
Arabu, Duma, Ehani,
53 Janimima, Bet-tapuama, Afekama,
Yanimu, Bethi Tapua, Afeka,
54 Humtama, Kiriat-Arbama, (e'i menina Hebronie nehaze), Ziorima huno megeno, ana makara 9ni'a ranra kumatmi me'negeno ne'onse kumazmimo megagitere hu'ne.
Humta, Kiriathi Arba (ambayo ndio Hebroni), na Ziori. Hii ilikuwa miji tisa, pamoja na vijiji vyake.
55 Hanki mago kaziga metru hu'nea ranra kumatmimofo zamagi'a, Maonima, Kamelima, Zifima, Juttama,
Maoni, Karmeli, Zifu, Yuta,
56 Jezrielima, Jokdeamuma, Zanoama,
Yezreeli, Yokdeamu, Zanoa,
57 Kainima, Gibeama, Timna kumaki huno megeno, ana makara 10ni'a ranra kumatmi me'negeno, ne'onse kumazmia megagitere hu'ne.
Kaini, Gibea, na Timna. Hii ilikuwa ni miji kumi, kujumuisha na vijiji vyake.
58 Hanki mago kaziga metru hu'nea ranra kumatmimofo zamagi'a, Halhulima, Bet-Zurima, Gedorima,
Halhuli, Bethi Zuri, Gedori,
59 Ma'aratima, Bet-Anotima, Eltekonima huno megeno, ana makara 6si'a ranra kumatmi megeno, ne'onse kumazmia megagitere hu'ne.
Maarathi, Bethi Anothi, na Elitekoni. Hii ilikuwa miji sita, pamoja na vijiji vyake.
60 Hanki mago kaziga me'nea rankumatremokizni zanagi'a, Kiriat-Ba'aline, (mago agi'a Kiriat Jearimie), Raba kuma'ene me'nakeno, ne'onse kumatmimo'a megagitere hu'ne.
Kiriathi Baali (ambayo ndio Kiriathi Yearimu), na Raba. Hii ilikuwa ni miji miwili, pamoja na vijiji vyake.
61 Hagi ka'ma mopama me'nefima me'nea kumatmimofo zamagi'a, Bet Arabama, Midinima, Sekakama,
Katika nyika, kulikuwa na miji ya Bethi Araba, Midini, Sekaka,
62 Nibsaninma Hage rankuma'ma En-Gedi kumaki hu'za me'naze. Hagi ana makara 6si'a ranra kumatmi me'negeno, ne'onse kumazmia megagitere hu'ne.
Nibushani, mji wa chumvi, na Eni Gedi. Hii ilikuwa miji, pamoja na vijiji vyao.
63 Hianagi Jebusi vahe'ma Jerusalema ko'ma mani'naza vahera, Juda naga'mo'za zamahenati otre'za, zamatrazage'za zamagrane magopi Jerusalemi kumapi mani'za e'za meninena mani'naze.
Lakini kwa Wayebusi, wenyeji wa Yerusalemu, kabila la Yuda halikuweza kuwafukuza, na hivyo, Wayebusi wanaishi pamoja na kabila la Yuda hadi leo hii.

< Zosua 15 >