< Jenesis 9 >

1 Noane mofavre naga'anena Anumzamo'a asomu hunezmanteno amanage huno zamasmi'ne, Mofavrea kase zamantenke'za ama mopa ruvite'za maniho.
Ndipo Mungu akambariki Noa na wanawe, akiwaambia, “Zaeni mkaongezeke kwa idadi na mkaijaze tena dunia.
2 Zafafima nemaniza zagaramima, timpima nemaniza zagaramima, namaramima, kazakaza hu'za vano nehaza zagaramina mika kegava hihogu tami'noanki'za tamagoro nehanageta kegava hugahaze.
Wanyama wote wa duniani, ndege wote wa angani, kila kiumbe kitambaacho juu ya ardhi, na samaki wote wa baharini wamekabidhiwa mikononi mwenu, nao watawaogopa na kuwahofu.
3 Ana zagagafa nesnagu meni neramue. Kotera hagu' kamosa tami'noanki'na, menina maka'zana nesnagu neramamue.
Kila kitu chenye uhai kiendacho kitakuwa chakula chenu. Kama vile nilivyowapa mimea mbalimbali, sasa nawapa kila kitu.
4 Hianagi korama me'nea ame'a onegahaze, na'ankure korampina e'i asimu me'ne.
“Lakini kamwe msile nyama ambayo bado ina damu ya uhai wake, kwa maana damu ni uhai.
5 Tamage huankino, mago ne'mo'o, mago'a zagagafamo'zama tamahe'za tamagri korama eri fegi tesige'na, Nagranena ahena agri korana eri fegi atregahue. Mago'mo nefuma ahe frisnige'na, Ngaranena, agrira ahe frigahue.
Hakika damu ya uhai wenu nitaidai. Nitaidai kutoka kwa kila mnyama. Kutoka kwa kila mwanadamu pia nitaidai kwa ajili ya uhai wa mtu mwenzake.
6 Aza'o mago ne'ma ahe frisiana, ana nera ahe frigahaze. Na'ankure Nagra Anumzamo'na vahera Nagragna trohu zamante'noe.
“Yeyote amwagaye damu ya mwanadamu, damu yake itamwagwa na mwanadamu, kwa kuwa katika mfano wa Mungu, Mungu alimuumba mwanadamu.
7 Kagrane, kagehe'zane, vahera kase hakare huta miko'a mopafina mani viteho.
Kuhusu ninyi, zaeni mwongezeke kwa wingi, mzidi katika dunia na kuijaza.”
8 Hagi mago'ane Anumzamo'a Noanku'ene, mofavre naga'agu'enena amanage huno zamasami'ne,
Ndipo Mungu akamwambia Noa na wanawe pamoja naye:
9 Menina antahio, kagrane, nagaka'ane kagehe'zane hagerfita mani'sunegu huvempage nehue.
“Sasa mimi ninaweka Agano langu nanyi, pamoja na uzao wenu baada yenu,
10 Hagi ventefinti'ma atiramiza kagranema mani'naza zagagafane namaramine, kumate zagafaramine, trampi zagagafaraminte'ene ana huvempa kea nehue.
pia na kila kiumbe hai kilichokuwa pamoja nanyi: Ndege, wanyama wa kufugwa na wanyama wote wa porini, wale wote waliotoka katika safina pamoja nanyi, kila kiumbe hai duniani.
11 Nagra huvempa ke'ni'a huama nehue, runena kora atresanugeno zamasimu ante'za mani'naza zagaramine, mopanena tina hageno zamahe fanane osugahie.
Ninaweka Agano nanyi: Kamwe uhai hautafutwa tena kwa gharika, kamwe haitakuwepo tena gharika ya kuangamiza dunia.”
12 Anante Anumzamo'a huno, Nagrama amama nehuana huvempa ke nehue, Nagrane, tamagra'ene hakare zamasimu eneriza zagaramima tamagrane mani'nazane, henkama fore'ma hanaza vahe'ene amu'nontifi huvempa kea nehuanki'na,
Mungu akasema, “Hii ni ishara ya Agano ninalofanya kati yangu na ninyi na kila kiumbe hai kilicho pamoja nanyi, Agano kwa vizazi vyote vijavyo:
13 mago avame'zana monare furagena ante'nanena, negeta antahi vava hugahaze.
Nimeweka upinde wangu wa mvua mawinguni, nao utakuwa ishara ya Agano nifanyalo kati yangu na dunia.
14 Hampona huntesugeno mopa refinetenkeno, furagenamo'a monare fore hugahie.
Wakati wowote ninapotanda mawingu juu ya dunia na upinde wa mvua ukijitokeza mawinguni,
15 Nagrama kagri'ene maka ama mopafima zamasimu eri'za nemaniza zagagafagu'ma huvempama hu'noa ke'ni'agu nagesa nentahi'na, ete tinura tamahe fanane osugahue.
nitakumbuka Agano langu kati yangu na ninyi na viumbe vyote vilivyo hai vya kila aina. Kamwe maji hayatakuwa tena gharika ya kuangamiza uhai wote.
16 Hagi monare'ma furage'nama Nagrama negesuna, maka zamasimu'ma eri'za nemaniza zagaramina huvempa kema huzamante'noa kegu nagesa antahigahue.
Wakati wowote upinde wa mvua unapotokea mawinguni, nitauona na kukumbuka Agano la milele kati ya Mungu na viumbe vyote vilivyo hai vya kila aina duniani.”
17 Mopafi vea'ene zagagafane huhagerafinogu avame'a, e'inahu'za fore hugahie, huno furagenakura Anumzamo'a Noana asami'ne.
Hivyo Mungu akamwambia Noa, “Hii ndiyo ishara ya Agano ambalo nimelifanya kati yangu na viumbe vyote vilivyo hai duniani.”
18 Hagi ama Noa mofavre naga'ma ventefinti atirami'namokizmi zamagi'a, Semi'e, Hamu'e Jafeti'e. Hagi Hamu'a Kenani nefa'e.
Wana wa Noa waliotoka ndani ya safina ni: Shemu, Hamu na Yafethi. (Hamu ndiye alikuwa baba wa Kanaani.)
19 Noana tagufa mofavre nagapinti mopafima mani'nona vahera, forehu hakare hu'none.
Hawa ndio waliokuwa wana watatu wa Noa, kutokana nao watu walienea katika dunia.
20 Hagi tima hagetegeno henka, Noa'a hoza ne' mani'neno krepi hoza ante'ne.
Noa akawa mkulima, akawa mtu wa kwanza kupanda mizabibu.
21 Mago zupa waini tima'a neteno negineno kena omasi avufga avapa seli noma'afi mase'ne.
Alipokunywa huo mvinyo wake akalewa na akalala uchi kwenye hema lake.
22 Kenani nefa Hamu'a ome keana Noa'a avufa avapa mase'negeno keteno atiramino nempu'amokizni ome zanasmi'ne.
Hamu, baba wa Kanaani, akauona uchi wa baba yake na kuwaeleza ndugu zake wawili waliokuwa nje.
23 Hagi Semike, Jafetikea tavrave eri'ne zanafunte antetene zanamigati ana seli nompi vu'ne neznafana ome refitentena'e. Zanavugosa arugaziga hunte'ne nezanafa avufga onke'na'e.
Lakini Shemu na Yafethi wakachukua nguo wakaitanda mabegani mwao wote wawili, kisha wakaenda kinyumenyume, wakaufunika uchi wa baba yao. Nyuso zao zilielekea upande mwingine ili wasiuone uchi wa baba yao.
24 Hagi Noa'ma negineno mase'nefinti henka ruhari huno negeno Hamu'ma hunte'nea zana keno antahino huteno,
Noa alipolevuka kutoka kwenye mvinyo wake na kujua lile ambalo mwanawe mdogo kuliko wote alilokuwa amemtendea,
25 Noa'a amanage hu'ne, Kenani'a sifnafi nemanino, afuhe'mokizmi zamagafinka evuramino amane eri'za vahe'zami manigahie.
akasema, “Alaaniwe Kanaani! Atakuwa mtumwa wa chini sana kuliko watumwa wote kwa ndugu zake.”
26 Hagi mago'ane Noa'a anage hu'ne, Semi Anumzamofo ra agi nemita agi'a ahentesga hanune. Kenaniga, Semi kato vahe manigahane.
Pia akasema, “Abarikiwe Bwana, Mungu wa Shemu! Kanaani na awe mtumwa wa Shemu.
27 Anumzamo'a Jafetina, mopa'a erira huntenkeno Semi'ene tragotene mani'ne snakeno Kenani'a Jafeti eri'za vahe manigahie.
Mungu na apanue mipaka ya Yafethi; Yafethi na aishi katika mahema ya Shemu, na Kanaani na awe mtumwa wake.”
28 Timo'a tanetegeno Noa'a mago'ane 350'a Zagegafu mani'ne.
Baada ya gharika Noa aliishi miaka 350.
29 Hagi ana miko 950'a zagegafu Noa'a maniteno fri'ne.
Noa alikuwa na jumla ya miaka 950, ndipo akafa.

< Jenesis 9 >