< Jenesis 7 >

1 Hagi Ra Anumzamo'a anage huno Noana asami'ne, Maka ama mopafima menima mani'naza vahepina kagrake fatgo nera mani'nanke'na negagoe. E'igu kagrane nagaka'anena ventefi mareriho.
Ndipo Bwana akamwambia Noa, “Ingia katika safina wewe na jamaa yako yote, kwa sababu katika kizazi hiki nimeona ya kuwa wewe ni mwenye haki.
2 Kase avima hanagu avusese zagagafafintira 7ni'a aravere aravere zamavarentetere huo. Ana nehunka avusese osu zagagafafintira magoke arave zanavrentetere huo.
Uchukue wanyama saba walio safi wa kila aina, wa kiume na wa kike, na wanyama wawili wawili wa kila aina walio najisi wa kiume na wa kike.
3 Ana nehunka kase avima hanagu nama 7ni'a aravere aravere zamavarentetere huo.
Pia uchukue ndege saba walio safi wa kila aina, wa kiume na wa kike, ili kuhifadhi aina zao mbalimbali katika dunia yote.
4 Na'ankure 7ni'a zagegna manite'na Nagra ha'nenkeno kora rugahie. 40'a zagene hanine ko' nerinke'na, Nagrama mopafima trohu zamante'noa zana maka zamahe fanane hugahue.
Siku saba kuanzia sasa nitaleta mvua juu ya nchi kwa siku arobaini usiku na mchana, nami nitafutilia mbali kutoka uso wa nchi kila kiumbe hai nilichokiumba.”
5 Higeno Anumzamo'ma asmi'neaza huno Noa'a mika'zana hu'ne.
Noa akafanya yote kama Bwana alivyomwamuru.
6 Ana knafina Noa'a 600'a zagegafu mani'tegeno, timo'a mopa ahe refite'ne.
Noa alikuwa na miaka 600 gharika ilipokuja juu ya dunia.
7 Ko' runaku nehige'za, Noa'ene nenaro'ene, mofavre zaga'ane anoferahe'zane ventefi mareri'naze.
Noa na mkewe na wanawe na wake zao wakaingia katika safina ili waepuke ile gharika.
8 Hagi agru osu zagaramimpinti'ene agruma hu'naza zagaramimpinti'ene namaramimpinti'ene, mika zagaramimpintira vene a'ene taretare hu'za Anumzamo'ma kema hu'neaza hu'za Noa'ene ventefi ufre'naze.
Jozi ya wanyama walio safi na walio najisi, ndege na viumbe vitambaavyo,
9
wa kiume na wa kike, walikuja kwa Noa wakaingia katika safina kama Mungu alivyomwamuru Noa.
10 Hagi 7ni'a zagegna manitageno, kora erigafa huno rigeno, ti hageno refite'ne.
Baada ya siku saba, maji ya gharika yakaja juu ya dunia.
11 Noa'a 600'a zagegafu manitegeno 2 ikana 17tini zupa mopamo'a ruhagro higeno mopa agu'afinti tina hanatino tusi'a ti hage'ne. Tusi'a ko' ruvava huno havi avufgafinti hatihati huno tusi'a ti hage'ne.
Katika siku ya kumi na saba ya mwezi wa pili mwaka wa 600 wa kuishi kwake Noa, siku hiyo ndipo chemchemi zote hata zilizo chini sana ya ardhi zilibubujika kwa nguvu, na malango ya mafuriko ya mbinguni yakafunguliwa.
12 Ana nehuno masane, hanine 40'a knafi ruose kora ruvava huno vu'ne.
Mvua ikanyesha juu ya nchi siku arobaini usiku na mchana.
13 Noa'ma ventefi mareria zupa, mofavre naga'a Semiki, Hamuki, Jafeti'ma a'ne zamima nezmarerama hu'za mareri'naze.
Siku hiyo Noa, na mkewe, na wanawe Shemu, Hamu na Yafethi pamoja na wake zao wakaingia katika ile safina.
14 Trampi zagagafane, kumate zagagafane, namane, rumofo rumofo mopafi ne'onse zagarmina, vene a'ene Noante etere hu'za ventefi ufre'naze.
Nao walikuwa pamoja na kila mnyama wa mwituni kufuatana na aina yake, wanyama wote wafugwao kufuatana na aina zao, kila kiumbe kitambaacho juu ya ardhi kwa aina yake, na kila ndege kufuatana na aina yake, naam kila kiumbe chenye mabawa.
15 Aravere aravere zamasimu nentaza zagagafamo'za ana maka Noante e'za ventefi ufre'naze.
Viumbe vyote vyenye pumzi ya uhai ndani yake vikaja kwa Noa viwili viwili, vikaingia katika safina.
16 Anante Anumzamo'ma kema hu'neaza huno aravere aravere mika ufre varetageno, Ra Anumzamo'a kafana erigi zamante'ne.
Wanyama walioingia katika safina walikuwa wa kiume na wa kike, wa kila kiumbe chenye uhai kama Mungu alivyomwamuru Noa, ndipo Bwana akamfungia ndani.
17 Ranko'ma ru'neana zagene hanine 40'a knafi kora ruvava huno tusi'a ti hageno ana ventea mopafinti erisga huno mareri'ne.
Kwa siku arobaini mafuriko yaliendelea kujaa duniani na maji yalivyozidi kuongezeka, yaliinua safina juu sana kutoka kwenye uso wa nchi.
18 Ana nehuno timo'a reviteno marenerino mopa refitegeno, ventemo'a timofo agofetu me'ne.
Maji yakajaa na kuongezeka sana juu ya nchi, na safina ikaelea juu ya uso wa maji.
19 Hagi timo'a mago'ene hageno marerino osi agonaramine, zaza agonaraminena mika erinakri vagare'ne.
Maji yakazidi kujaa juu ya nchi, yakaifunika milima yote mirefu chini ya mbingu yote.
20 Hagi timo'a mago'ene mareri aviteno, mika mopane mareri agatere'nea agonaraminena 7ni'a mita aru agatereno refite'ne.
Maji yakaendelea kujaa yakaifunika milima kwa kina cha zaidi ya dhiraa kumi na tano.
21 E'ina higeno mopafima mani'nea zagaramine, nontega zagagafane, trampi zagagafane, namaramine, ne'onse zagarmine, vahe'ene, mopafima vanoma nehaza zagarminena zamahe fri vagare'ne.
Kila kiumbe hai kitambaacho juu ya nchi kikaangamia: Ndege, wanyama wa kufugwa, wanyama pori, viumbe vyote juu ya nchi na wanadamu wote.
22 Hagi mopafima zamasimu eri'za mani'naza zagagafa, maka fri hana hu'naze.
Kila kiumbe juu ya nchi kavu chenye pumzi ya uhai kikafa.
23 Anumzamo'a vahe'ene, ne'onse zagarmine, namaramine, zagagafanena zamahe fanane hige'za omanitfa hu'naze. Higeno Noa'ene ventefi mani'namo'za zamagrake kasefa hu'za mani'naze.
Kila kitu chenye uhai juu ya uso wa nchi kilifutiliwa mbali, watu, wanyama, viumbe vitambaavyo na ndege warukao angani wakafutiliwa mbali toka duniani. Waliobaki ni Noa peke yake na wale waliokuwa pamoja naye ndani ya safina.
24 Hagi 150'a zagegnafi timo'a mopa refite'ne.
Maji yakaifunika dunia kwa siku 150.

< Jenesis 7 >

The Great Flood
The Great Flood