< Jenesis 6 >

1 Veamo'za ama mopafina vahera kase hakare hazageno, knare'nare mofa'nerami fore hu'naze.
Ikawa wakati watu walipoanza kuongezeka juu ya uso wa nchi na wana wa kike wakazaliwa kwao,
2 Hanki vahe'mo'za rama'a mofane zaga kasezmantage'za, Anumzamofo mofavre naga'mo'za ke zamasane nehu'za zamavesia a'ne eri'naze.
wana wa Mungu walipoona kuwa mabinti wa wanadamu ni wenye kuvutia. waliwachukua kuwa wake zao, kila waliye mchagua.
3 Ana hianagi Ra Anumzamo'a amanage hu'ne, Avamunimo'a vahe'mofompina mani'neno zamasimura zami vava osugahie. Na'ankure vahera fri'zaga mani'nazanki'za, 120'a zagegafua agateore'neza frigahaze.
Yahwe akaema, “roho yangu haitasalia kwa mwanadamu milele, kwa kuwa wao ni nyama. Wataishi miaka 120.”
4 Ana knafine henka'anena tusinasi vahe'mo'za ama mopafina mani'nazankino, Anumzamofo mofavremo'za e'za vahe'mokizmi mofane zagane emasageno mofavrea kasezmante'naze. Hanki'za fore'ma hazana korapa knafina hankavenentake hu'za hihamu'ane vahe fore hu'naze.
Majitu makubwa yalikuwa juu ya uso wa nchi nyakati hizo, na hata baada ya hapo. Hii ilitokea wakati wana wa Mungu walipowaoa binti za wanadamu, na kupata watoto pamoja nao. Hawa walikuwa watu hodari zamani, watu wenye sifa.
5 Hianagi Ra Anumzamo'ma vahe'mokizmima zamage'neana, mika kna havi avu'avazamo ama mopafina ra huno vahe'mofo antahi antahifina, havi avu ava'zamo aviteno meno vu'ne.
Yahwe akaona kwamba uovu wa watu umezidi katika nchi, na kwamba mawazo ya mioyo yao daima inaelekea tu katika uovu.
6 E'ina nehazageno Anumzamo'a nezamageno rimpa haviza higeno muse osuno, nahige'na vahera trohu'noe huno asunke nehuno,
Yahwe akajuta kuwa amemuumba mwanadamu juu ya nchi, na ikamuhuzunisha moyo wake.
7 Ra Anumzamo'a amanage hu'ne, Vahe'ene, zagagafane, namaramine, mopafi ne'onse zagarami'nena zamahe fanane hugahue. Nagrama tro'ma huzmante'noa zankura nasunku hue hu'ne.
Kwa hiyo Yahwe akasema, “Nitamfutilia mbali mwanadamu ambaye nimemuumba katika uso wa nchi; mwanadamu na wanyama wakubwa, na vitambaavyo na ndege wa angani, kwa kuwa nimehuzunika kuwa nimeviumba.”
8 Hianagi Noa'a agrake Ra Anumzamofo avurera fatgo nera mani'negeno muse hunte'ne.
Lakini Nuhu akapata neema ya upendeleo machoni pa Yahwe.
9 Hagi Noa nagamofo nanekea amanahu me'ne. Ana knafima mani'naza vahepina Noa'a fatgo huno hazenke'zama'a omanegeno Anumzane tragoteno mani'neno amage anteno vu'ne.
Kulikuwa na matukio kumuhusu Nuhu. Nuhu alikuwa mtu mwenye haki, na asiye na lawama miongoni mwa watu wa kipindi chake. Nuhu alitembea na Mungu.
10 Noa'a ne' mofavre tagufa zamanteno zamagi'a Semi'e, Hamu'e, Jafeti'e huno antezmi'ne.
Nuhu akafanyika baba wa wana watatu wa kiume: Shem, Ham na Yafeti.
11 Ama mopamo'a Anumzamofo avurera haviza hu'ne, ha' zamo'ene, kefo avu'avazamo enena avite'ne.
Nchi iliharibika mbele za Mungu, na ikajaa ghasia.
12 Anumzamo'ma ama mopafima ke'neana, tamage huno makazamo'a haviza hu'ne, ama mopafima me'neazama keana kumike'za huvagare'naze.
Mungu akaiona nchi; tazama, ilikuwa imeharibika, kwa kuwa wote wenye mwili walikuwa wameharibu njia zao juu ya nchi.
13 Hagi Anumzamo'a anage huno Noana asmi'ne, Ke ontahizageno kefo avu'ava zamo'a aviteankina zamagri'ene mopazimine zamahe fanane huku Nagra nagesa nentahue.
Mungu akamwambia Nuhu, “Nimeona kuwa sasa niwakati wa mwisho kwa wote wenye mwili, kwa kuwa inchi imejaa ghasia kutokana na wao. Hakika, nitawaharibu wao pamoja na nchi.
14 Hagi kagra hanave zafareti ra ventea tro nehunka, asa hutanenka hunaraginto. Timo'ma ufre'zankura agu'ane megi'anena fukinu renkaniro.
Tengeneza safina ya mti wa mvinje kwa ajili yako. Tengeneza vyumba katika safina, na vifunike kwa lami ndani na nje.
15 Ana ventema kisanana, zanra'a 150'a mitagi, kahesa'a 25 mitagi, atrure'a 15 mitagi hunka neginka,
Hivi ndivyo utakavyofanya: urefu wa safina dhiraa miatatu, upana wake dhiraa hamsini, kwenda juu kwake dhiraa thelathini.
16 anagamu no amumpa tvaonte mago mitamofona agema'a hafu'a mita zasikana hagento. Magokaziga kaha hagentenka, ana ventemofo agu'afina ese nonki, anante nonki, agofetu nonki hunka kio.
Tengeneza paa la safina, na ulimalize kwa kipimo cha dhiraa kutoka juu ubavuni. Weka mlango katika ubavu wa safina na utengeneze dari ya chini, ya pili na ya tatu.
17 Hagi Nagra ha'nenkeno tusi'a ti hageno mopa refitena mani'ne'za zamasimu nentaza zane, maka'zanena zamahe fanane hugahue.
Sikiliza, nimekaribia kuleta gharika ya maji juu ya nchi, kuharibu wenye mwili wote wakaao ndani ya nchi wenye pumzi ya uhai chini ya mbingu. Kila kitu kilichopo juu ya nchi kitakufa.
18 Hu'neanagi kagrane huhagerafinugu huvempa hu'na negasamue. Kagrane a'mofavre ka'ane knoferahe'zane tamagra maka ventefi marerigahaze.
Lakini nitalifanya thabiti agano langu na wewe. Utaingia ndani ya safina, wewe, na wana wako wa kiume, na mke wako, pamoja na wake za wanao.
19 Hagi rumofo rumofo zagagafama mani'nazafintira vene, a'ene zamavaretere huge'za kahefa hu'za mani'sagu ventefi mareriho.
Kwa kila kiumbe hai chenye mwili, viwili vya kila aina utavileta ndani ya safina, ili visalie hai pamoja nawe, vya kike na vya kiume.
20 Zgagafama nama, rumofo rumofo kumate zagane, mopafi ne'onse zagarmine, vene a'ene kasefa hu'za manisnagu kagrite egahaze.
Katika ndege kwa jinsi yake, na wanyama wakubwa kwa jinsi yake, kila kitambaacho ardhini kwa jinsi yake, viwili viwili vya kila aina vitakuja kwako ili viwe salama.
21 Ana nehunka aru ne'za aru ne'zana, tamagrane maka zagagafanema nesazazana erinka eme eritru huo.
Kusanya kila aina ya chakula kinacholiwa kwa ajili yako na ukitunze, ili kwamba viwe chakula chako na chao.”
22 Higeno Anumzamo'ma asmi'neaza huno Noa'a maka'zana tro hu'ne.
Kwa hiyo Nuhu akafanya hivi. kulingana na yote ambayo Mungu alimuagiza, ndivyo alifanya.

< Jenesis 6 >

The World is Destroyed by Water
The World is Destroyed by Water