< Jenesis 2 >
1 E'inahu huno monane mopane, anampima me'nea zantamina maka trohu vagare'ne.
Kisha mbingu na nchi zilimalizika, na viumbe hai vyote vilivyo jaza mbingu na nchi.
2 Eri'za eri vagareteno, nampa 7ni knarera Anumzamo'a manigasa hu'ne.
Siku ya saba Mungu alifikia mwisho wa kazi yake ambayo aliifanya, na kwa hiyo alipumzika siku ya saba kutoka kwenye kazi yake yote.
3 Anumzamo'a nampa 7ni knarera manigasa nehuno, ana kna eri ruotge huno asomu hunte'ne. Na'ankure miko'a eri'zana eri vagarenegu huno manigasa hu'ne.
Mungu akaibarikia siku ya saba na akaitakasa, kwa sababu katika siku hiyo alipumzika kutoka kwenye kazi yake yote ambayo aliifanya katika uumbaji.
4 Ra Anumzamo'ma monane mopane eri fore'ma hunte'nea nanekea, amanahu me'ne.
Haya yalikuwa ni matukio yahusuyo mbingu na nchi, wakati vilipoumbwa, katika siku ambayo Yahwe Mungu aliumba nchi na mbingu.
5 E'i ana knafina za'ara zana fore ama mopafina osu'ne, na'ankure Ra Anumzamo'a ana knafina kora atregeno oru'ne. Ana higeno eri'za eri vahera fore huno omani'negeno,
Hapakuwa na msitu wa shambani uliokuwa katika nchi, na hapakuwa na mmea wa shambani uliokuwa umechipuka, kwa kuwa Yahwe Mungu alikuwa hajasababisha mvua kunyesha juu ya nchi, na hapakuwa na mtu wa kulima ardhi.
6 kampu'i tintamimo'za mopafinti hanati'za mika mopamofona tina ami'naze.
Lakini ukungu uliinuka juu kutoka kwenye nchi na kuutia maji uso wote wa ardhi.
7 Ra Anumzamo'a kugusopa erino regripeteno vahe tro huno agonagampi Agra'a asimu'a huhu huvazigeno, vahe efore hu'ne.
Yahwe Mungu aliumba mtu kutoka mavumbi ya ardhi, na akampulizia puani pumzi ya uhai, na mtu akawa kiumbe hai.
8 Hanki Ra Anumzamo'a mago hoza zage hanati kaziga ante'neankino, ana hozagura Ideni hoze hu'nea hozamofo agu'afi, ana nera avreno ome ante'ne.
Yahwe Mungu aliotesha bustani upande wa mashariki, katika Edeni, na pale akamuweka mtu ambaye alimuumba.
9 Ra Anumzamo'a rumofo rumofo zafa higeno, mopafinti hage'ne. Hakare zafamo'za zamuma kete'ene ne'zama ne'arera knare hu'naze. Hagi ana hoza amu'nompina tare zafa me'ne. Mago zafa ofri manivava hu zafe. Hagi mago zafa knare zanki, havizanki huno'ma antahino keno'ma hu zafe.
Kutoka ardhini Yahwe Mungu alifanya kila mti uote ambao unapendeza na ni mzuri kwa chakula. Hii ni pamoja na mti wa uzima ambao ulikuwa katikati ya bustani, na mti wa ujuzi wa mema na mabaya.
10 Hagi Ideni hozafintira mago ti hanatino enevuno, hozafina tina nemino ana timo'a refko huno 4'afi ranti evu'ne.
Mto ukatoka nje ya Edeni kuitia maji bustani. Na kutoka pale ukagawanyika na kuwa mito minne.
11 Ese'ma evu'nea timofo agi'a Pisoni tinkino, maka Havira mopafi rugagino evu'ne. Ana mopafina knare goli me'ne.
Jina la ule wa kwanza ni Pishoni. Huu ni ule ambao unatiririka kupitia nchi yote ya Havila, ambapo kuna dhahabu.
12 Ana mopafima me'neana mago'zana ruokamre knare goline, mana nentake'zane, mizama'amo mareri'nea oniksie nehaza havene me'ne.
Dhahabu ya inchi ile ni nzuri. pia kuna bedola na jiwe shohamu.
13 Anante timofo agi'a Gihoni tinkino, Kusi mopafi rugagino evu'ne.
Jina la mto wa pili ni Gihoni. Huu unatiririka kupitia nchi yote ya kushi.
14 Hagi nampa 3a Taigrisi tinkino, zage hanati kaziga Asiria mopafi evu'ne. Hagi nampa 4a Yufretis tine.
Jina la mto wa tatu ni Hidekeli, ambao unatiririka mashariki mwa Ashuru. Mto wa nne ni Frati.
15 Hanki Ra Anumzamo'a ana ne'ma avreno Ideni hozafima ante'neana, hoza eri'zama enerino kegavama hanigure huno avrente'ne.
Yahwe Mungu alimtwaa mtu na kumweka ndani ya bustani ya Edeni kuilima na kuitunza.
16 Hianagi Ra Anumzamo'a amanage huno kasegea hunagru hunte'ne, Kagra mika hozafima me'nea zafa raga amne negahane.
Yahwe Mungu alimuagiza mtu akisema, “kutoka kwenye kila mti bustanini waweza kula kwa uhuru.
17 Hianagi knare'zanki havi'zanki huno antahino keno'ma hu zafa raga onetfa huo. Hanki kagrama ana zafa ragama nesnanana, tamage hunka anazupa frigahane.
Lakini kutoka kwenye mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa kuwa siku utakayo kula kutoka katika mti huo, utakufa hakika.”
18 Hagi anante Ra Anumzamo'a anage hu'ne, Vemo'ma agrake maniazamo'a knare osianki'na, azahu vahera tro hanugeno knare hu'ne tragote'ne manigaha'e.
Kisha Yahwe Mungu akasema, “siyo jambo jema kwamba mtu huyu lazima awe pekeyake. Nitamfanyia msaidizi anaye mfaa.”
19 Nehuno mopa kateno mika zagagafane, namaramine, ne'one zagagafaraminena tro huzmanteteno zamavareno zamagi antezamisie huno ana nete vigeno, zamagi'a ante'zamigeno ana zamagima ante'nere me'ne.
Kutoka ardhini Yahwe Mungu akafanya kila mnyama wa kondeni na kila ndege wa angani. Kisha akawaleta kwa mtu huyu aone angewapatia majina gani. Jina ambalo mtu huyu alimwita kila kiumbe hai, hili ndilo lilikuwa jina lake.
20 Higeno ana ne'mo'a mika nontegama nemaniza zagagafagi, monafima hare'za vanoma nehaza nama'zagagi, mopafima nemaniza maka afi zagagafagi huno zamagi zami'neanagi, agri'ma azahu knampa'a omani'ne.
Mtu huyu akawapatia majina wanyama wote, ndege wote wa angani, na kila mnyama wa mwitu. Lakini kwa mtu mwenyewe hapakuwa na msaidizi wa kumfaa yeye.
21 Ana higeno Ra Anumzamo'a ve mofona azeri avukoko higeno mase himre'negeno, magoke omete asoza'a avazu huteno, avufanu renkanirente'ne.
Yahwe Mungu akaleta usingizi mzito kwa mtu huyu, kwa hiyo mtu huyu akalala. Yahwe Mungu akatwaa moja ya mbavu za mtu huyu na akapafunika pale alipo chukua ubavu.
22 Ra Anumzamo'a ana ne'mofo asoza'ama eri'nereti a' trohuno avreno egeno,
Kwa ubavu ambao Yahwe Mungu alichukua toka kwa mtu huyu, akafanya mwanamke na akamleta kwa mtu huyu.
23 ana ne'mo'a huno, Ha e'ine! Nagri zaferinareti zaferina'a tro nehuno, nagri navufareti avufga'a tro hu'neanki'na, are hu'na agi antemue. Na'ankure e'i ve'mofo avufafinti erino trohu'negu hu'ne.
Mwanaume akasema, “kwa sasa, huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu. ataitwa 'mwanamke,' kwa sababu ametwaliwa katika mwanaume.
24 E'i ana agafare vemo'a nererane, nefanena atreno, a'ane hagerafino eri mago huke nemani'e.
Kwa hiyo mwanaume atawaacha baba yake na mama yake, ataungamanika na mke wake, na watakuwa mwili mmoja.
25 Zanagra arave huke kena omasi zanavufga zanavapa manina'anagi, zanagazea osu'ne.
Wote wawili walikuwa uchi, mwanaume na mke wake, lakini hawakuona aibu.