< Jenesis 13 >

1 Abramu'a Isipi mopareti hakare afufenoma'a enerino nenarone, Lotine neznavreno Negev vu'naku mareri'ne.
Kwa hiyo Abram akaondoka akatoka Misri na akaenda Negebu, Yeye, mke wake, na vyote alivyokuwa navyo. Lutu pia akaenda pamoja naye.
2 Menina Abramu'a afu'zagama, golima, silvama huno rama'a ante'nea ne'kino tusi'a feno ne' mani'ne.
Na sasa Abram alikuwa tajiri wa mifugo, fedha na dhahabu.
3 Hagi masetere hume nevuno, Negev mopare vuno ko'ma mani'neno'ma hu'nere uhanati'ne. Mago kaziga Beteli kuma me'negeno, mago kaziga Ai kuma me'nere uhanati'ne.
Aliendelea na safari yake kutoka Negebu hadi Betheli, mahali ambapo hema yake ilikuwa tangu mwanzo, kati ya Betheli na mji wa Ai.
4 Abramu'a ko'ma have itama tro hunte'nere anante uhanatino, Ra Anumzamofona mono hunte'ne.
Akaenda mahali ambapo madhabahu ilikuwa imejengwa mwanzoni. Hapa akaliitia jina la Yahwe.
5 Abramu'ene vu'nea ne' Lotina sipisipi afu'zaga'ane, bulimakao afuzaga'ane seli noma'araminena me'nea ne' mani'ne.
aliyekuwa anasafiri na Abram, alikuwa pia na ngo'mbe, makundi ya mifugo, na mahema.
6 Hianagi anama mani'a mopamo'a knarera huozanante'ne. Maka afuzaga zani'amo'a titipa huno ne'zama ne'zamo'a atupa higeno, magopi manigara osu'na'e.
Nchi haikuwatosha wote kukaa pamoja karibu kwa sababu mali zao zilikuwa nyingi sana, kiasi kwamba hawakuweza kukaa pamoja.
7 Ana nehigeno Abramune, Lotikizni afu kva vahe'mo'za fra vazi'naze. Ana knafina Kenani vahe'ene, Perisi vahe'mo'za ana mopafina mani titipa hu'naze.
Pia, kulikuwa na ugomvi kati ya wachunga wanyama wa Abram na wachunga wanyama wa Lutu. Wakanaani pamoja na Waperizi walikuwa wakiishi katika nchi ile wakati huo.
8 Abramu'a amanage huno Lotina asami'ne, Tagra mago kora mani'noku fra ovazisnue, bulimakao afuti'are kegavama nehaza vahe'mo'zanena fra ovazisazanki,
Kwa hiyo Abram akamwambia Lutu, “Pasiwe na ugomvi kati yako na mimi, na kati ya wachunga wanyama wako na wachunga wanyama wangu; licha ya hayo sisi ni familia.
9 rama'a mopa me'neanki kagra kavesite vanuema hanana kaziga vuo. Kagrama hoga kaziga vugahue hananke'na, nagra tamaga kaziga vugahue. Hanki kagrama tamaga kaziga vugahue hananke'na, nagra hoga kaziga vugahue.
Je nchi hii yote haiko mbele yako? Nenda na ujitenge na mi. Ikiwa utakwenda kushoto, mimi nitakwenda kulia. au ikiwa utakwenda kulia, mimi nitakwenda kushoto.”
10 Loti'ma kesga huno kegantugama nehuno Zoari kazigama keana, Jodani kokamo'a hakare kaziga masavenke huno Ra Anumzamofo Edeni hozagna nehuno, Isipi mopagna hu'negeno ke'ne. Anama hu'neana Sodomune, Gomoranema Ra Anumzamo'ma ahe fananema osu'nea knafi anara hu'ne.
Kwa hiyo Lutu akatazama, na akaona kuwa nchi yote tambarare ya Yorodani ilikuwa na maji kila mahali hadi Zoari, kama vile bustani ya Yahwe, na kama nchi ya Misri. Hii ilikuwa ni kabla Yahwe hajaiangamiza Sodoma na Gomora.
11 Anante Loti'a mika Jodani agupoma hunehamprino'a zage hanatitega vu'ne. Ananteti naga'ane otre atre hu'na'e.
Kwa hiyo Lutu akajichagulia yeye mwenyewe nchi tambarare ya Yorodani na akasafiri mashariki, na ndugu hawa wakatengana wao kwa wao.
12 Abramu'a Kenani mopare manigeno, Loti'a ranku'ma zaga me'nefi Jodani agupofi Sodomu tva'onte seli noma'a omegino mani'ne.
Abram akaishi katika nchi ya Kanaani, na Lutu akaishi katika miji ya tambarare. Akatandaza hema zake hadi Sodoma.
13 Sodomu vahe'mo'za havi avu'ava nehu'za kumi huhakare hu'za, Ra Anumzamofo ha' rente'naze.
Na sasa watu wa Sodoma walikuwa waovu na wenye dhambi nyingi dhidi ya Yahwe.
14 Loti'ma, Abramu'ma atreno vutegeno, Ra Anumzamo'a amanage huno Abramuna asami'ne, Kesga hunka zage hanatitegane, zage fretegane keganti kegama hunka ko.
Yahwe akamwambia Abram baada ya Lutu kuondoka kwake, “Angalia kuanzia mahali ulipo simama hadi kaskazini, kusini, mashariki, na magharibi.
15 Hagi mika kagri'ene, kagehe'ine tami vaganeroe.
Nchi yote hii uionayo, nitakupatia wewe pamoja na uzao wako milele.
16 Nagra kagehe'ina zamazeri hakare ha'nena, ama mopafina kugusopagna hanage'za, vahe'mo'zahamprigara osugahaze.
Nitawafanya uzao wako kuwa wengi kama mavumbi ya nchi, kiasi kwamba kama kuna mtu anaweza kuhesabu mavumbi ya nchi, ndipo na uzao wako pia utahesabika.
17 Hagi otinka vunka enka nehunka, kamisua mopamofo agema'a ko.
Inuka, tembea katika urefu na upana wa nchi hii, kwa kuwa nitakupatia.”
18 Higeno Abramu'a otino seli noma'a tagna vazino erino vuno Mamre me'nea oki zafa tavaonte Hebroni kumate, Ra Anumzamofo ita ome tro hu'ne.
Kwa hiyo Abram akachukua hema yake, akaja na kukaa katika mwaloni wa Mamre, ambao uko Hebroni, na pale akajenga Madhabahu ya Yahwe.

< Jenesis 13 >