< Izikeli 15 >

1 Hagi Ra Anumzamo'a amanage huno nasmi'ne,
Neno la Bwana likanijia kusema:
2 Vahe'mofo mofavremoka, hagagema hu'nea waini rampa'amo'a zafafi zafaramimofo rampa'a agaterenefi?
“Mwanadamu, je, ni vipi mti wa mzabibu unaweza kuwa bora zaidi kuliko tawi la mti mwingine wowote ndani ya msitu?
3 Hagi ana waini nofimofo ramparetira eri'za mago'a knare'zana tro nehu'za, mago'a eri'za kavoma hantinte'zana trora nehazafi?
Je, mti wake kamwe huchukuliwa na kutengeneza chochote cha manufaa? Je, watu hutengeneza vigingi vya kuningʼinizia vitu kutokana na huo mti wake?
4 Hagi ana waini rampama tevefima kresageno'ma urefa erefa'ama nereno amunoma'ama tegege vazintesiama'a eri'za mago'azana trora hugahazafi?
Nao baada ya kutiwa motoni kama nishati na moto ukateketeza ncha zote mbili na kuunguza sehemu ya kati, je, unafaa kwa lolote?
5 Hagi tevema ore'nere'ma eri'za mago'a zama tro huga'ma osu'nea waini rampa, inankna hu'za tevemo'ma tegege vazinte'nesiama'a eri'za mago'azana trora hugahaze?
Kama haukufaa kitu chochote ulipokuwa mzima, je, si zaidi sana sasa ambapo hauwezekani kufanyishwa chochote cha kufaa baada ya moto kuuchoma na kuuunguza?
6 E'ina hu'negu Anumzana Mikozama Kegavama Hu'nea Ra Anumzamo'a amanage hu'ne, Waini teve rampama zafafi tevenema eri haviama hu'na tevema kroaza hu'na Jerusalemi kumapi vahera namefi huzamigahue.
“Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Kama nilivyoutoa mti wa mzabibu miongoni mwa miti ya msituni kuwa nishati kwa ajili ya moto, hivyo ndivyo nitakavyowatendea watu waishio Yerusalemu.
7 Hagi namefi huzminenkeno tevefinti atre'za atiramigahazanagi, ete tevefinke kasagegahaze. E'ina hanugeta Nagrikura Ra Anumza mani'ne huta keta antahita hugahaze.
Nitaukaza uso wangu dhidi yao. Ingawa watakuwa wameokoka kwenye moto, bado moto utawateketeza. Nami nitakapoukaza uso wangu dhidi yao, ninyi mtajua kwamba Mimi ndimi Bwana.
8 Nagra mopazmia eri havizantfa hugahue. Na'ankure zamagra Nagrira tamage hu'za namagera onte'naze huno Ra Anumzana Mikozama Kegava Hu'nea Anumzamo'a hu'ne.
Nitaifanya nchi kuwa ukiwa kwa sababu wamekuwa si waaminifu, asema Bwana Mwenyezi.”

< Izikeli 15 >