< Zmavarene 26 >
1 Hagi Seli mono noma kisazana knare huno zmana zmanama hu'nesia hokonke nofiki, fitunke nofiki, koranke nofi avazu huno zagi'nesia osi nofiteti 10ni'a tavrave trohutenke'za, ana zama trohu antahi'zama eri'naza eri'za vahe'mo'za, Serabimi ankeroramimofo zamema'a ana tavraveramintera hati'za tro hanageno,
Lazima ufanye hiyo maskani iwe na mapazia kumi ifanye ya nguo ya kitani nzuri ya kusokota, pamoja na nyuzi za rangi ya buluu, zambarau na nyekundu, pamoja na makerubi. Kazi ya fundi stadi.
2 ana maka tavaravea mago avamenteke nevuna, za'za amo'a 12fu'a mita hanigeno, atupa'amo'a tare mita hutere hino.
Urefu wa kila pazia utakuwa dhiraa ishirini na nane, na upana wa kila pazia utakuwa dhiraa nne. Mapazia yote yatakuwa ya kipimo kimoja.
3 5fu'a erimagopinteta nehatita ruga'a 5fu'amofona anahutma magopi erintetma rehatiho,
Mapazia matano yataungwa pamoja, na mapazia matano mengine yataungwa pamoja.
4 ana 5fu'a tavravea erintetma rehatisaza kevumofo atupa'arega, hokonke tavravereti erihagerafi atupa'a tro nehutma, mago kevumofona megi'a atuparera anazanke hugahaze.
Lazima ufanye tanzi za rangi ya samawati upande wa mwisho wa pazia moja katika ule upindo wa fungu lake. Vivyo hivyo utafanya upande wa mwisho wa ile pazia iliyo, katika fungu la pili.
5 Mago kevu tavravemofo atumparera 50'a eri hagerafi atupa'a tro nehutma, mago kevumofonena anazanke hutma trohinkeke, ana tarega tavravemokizni atumpa'amokea zamavugosa ohumi ahumi hugaha'e.
Fanya matanzi hamsini katika pazia moja, na matanzi hamsini katika upande wa mwisho wa ile pazia iliyo katika kuungana kwa pili.
6 Ana tare kevu tavravema erinteno vazirusi hanigeno erintrako hu'zana, gorileti erikorave huta 50'a rinia eri hagerafi atumparamintera tro hunte'nageno, ana seli mono nomo'a magoke megahie.
Fanya hivi ili hizo tanzi zielekeana. Kisha ufanye vifungo hamsini vya dhahabu, na kuunganisha hayo mapazia pamoja kwa vile vifungo na hiyo maskani itakuwa ni moja.
7 Ana seli mono noma rufite tavravea meme afu'mofo azokateti maka 11ni'a tavrave tro hugahaze.
Lazima ufanye mapazia ya nywele za mbuzi yawe hema juu ya maskani. Lazima ufanye mapazia kumi na moja.
8 Ana maka 11ni'a tavravea mago avamenteke'za trohinkeno, zaza'amo'a 13ni'a mita hina, atupa'amo'a tare mita hutere hugahie.
Urefu wa kila pazia utakuwa dhiraa thelathini, na upana wa kila pazia utakuwa dhiraa nne. Hayo mapazia kumi na moja yatakuwa ya kipimo kimoja.
9 5fu'a tavravea erinteta rehati rehati hinkeno mago tavrave nesena, 6si'a tavravemofona anazanke hutma rehatinkeno mago erisena, anampinti 6simofona repasi hinkeno ete eme ruhamprino seli nomofo avuga ufre kaziga, ana tavravemo'a taparino meno.
Lazima utaunganisha mapazia matano mbali, na mapazia sita mbali, na lile pazia la sita utalikunja hapo upande wa mbele wa ile hema.
10 Hanki eri mago hutama hatinte'naza tavravemofona eri hagerafi atumpa'a, 50'a tro nehutma, mago'ma hatinte'naza tavravemofonena anazanke hutma tro hugahaze.
Ufanye tanzi hamsini upande wa mwisho wa pazia lile lililo la mwisho katika hayo yaliyounganywa pamoja, na tanzi hamsini upande wa mwisho wa lile pazia lililo nje katika hayo ya pili yaliyounganywa pamoja.
11 Anantera tare tavravere'ma 50'a eri hagerafi atupa'ama troma hunte'nafima, erihagerafino eri ruhampri'zana bronsireti erikorave huta 50'a rini kana tro hutenenkeno, ana tare tavravea erirusi hinkeke seli mono nomo'a erimago huno megahie.
Kisha ufanye vifungo hamsini vya shaba, na kuvitia vile vifungo katika zile tanzi, na kuiunganya ile hema pamoja, ili iwe hema moja.
12 Ana seli mono nomofo agofetu'ma refite'nia tavravemo'ma agatereno vania atupa'a atrenkeno amefiga uramino ruhananeno.
Kipande kile kilichosalia, kile kiangukacho, cha yale mapazia ya hema, itaanguka huko upande wa nyuma wa maskani.
13 Ana seli mono nomofoma rufite tavravema tro'ma hanazana, rugaruga asoparega 50'a sentimita atrenkeno vugatereno tare kaziga asopa nomofona rufiteno.
Lazima kuwe na dhiraa moja upande mmoja, na ile dhiraa moja upande wa pili - ya urefu wa mapazia ya hema uliosalia, zitaanguka katika ubavu wa maskani upande huu na upande huu, ili kuifunika.
14 Hanki ana nomofoma rufite selima tro'ma hanazana, ve sipisipi afumofo akrute erikoranke huta rufineteta, ana agofetura hagerimpi bulimakaomofo amega akru eritma rufite vagaregahaze.
Nawe fanya kifuniko cha ile hema, cha ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu, na juu yake kifuniko cha ngozi za pomboo.
15 Ana seli noma ki zafa akasia zafaraminteti tro hugahaze.
Nawe lazima ufanye hizo fremu za maskani za mti wa mjohoro.
16 Ana seli noma eri otino ki'zafaramimofo zaza'amo'a, 4'a mita hina, kuta'amo'a 66'a sentemita hutere hugahie.
Kila fremu utakuwa na urefu wa dhiraa kumi, na upana wake kila ubao utakuwa dhiraa moja na nusu.
17 Ana seli mono noma vazisgama hania zafa zazate taga hutma tro hunte'nenkeno tra'afina ome rusi huno meno. Anazanke hutma maka asopa zafa tro hiho.
Kila fremu itakuwa na ndimi mbili, zenye kuunganishwa huu na huu. Ndivyo utakavyozifanya mbao zote za maskani.
18 E'i anama hutama tro'ma hanaza zafaramimpintira 20'a zafaretira seli nomofona sauti kaziga retrureho.
Kisha ufanye zile mbao za maskani, mbao ishirini kwa upande wa kusini kuelekea kusini.
19 Hagi ana asopa zafaramimofo agafafima azerikona hina oti fatgo hania zana, mago zafamofo agafafina silvareti tare tra trohutere hinkeno, ana maka tra'mo'a 40'a fore hino.
Lazima nawe ufanye vitako arubaini vya fedha chini ya zile fremu ishirini. Vitako viwili chini ya fremu moja, kupokea zile ndimi zake mbili, na vitako viwili chini ya fremu nyingine kupokea zile ndimi zake mbili.
20 E'i anahukna huta noti kaziga 20'a zafaretira seli noma azeri oti'zafa retrureho.
Kwa upande wa pili wa maskani, upande wa kaskazini, mbao ishirini
21 Hagi ana asopa zafaramimofo agafafima azerikona hina oti fatgo haniazana, mago zafamofo agafafina silvareti tare tra trohutere hinkeno, ana maka tra'mo'a 40'a fore hino.
na vitako vyake vya fedha arubaini. Lazima kuwe na vitako viwili chini ya fremu moja, na vitako viwili chini ya fremu nyingine.
22 Seli nomofo amefira zage fre kazigama vazisgamahu zafaramina 6'a tro nehutma,
Ufanye fremu sita kwa ajili ya upande wa nyuma wa maskani kuelekea magharibi.
23 seli nomofo amefi'ma ome renegente eme renagentehu tare atupatrentera retruresaza tare zafa tro hugahaze.
Tena ufanye fremu mbili kwa ajili ya hizo pembe za maskani zilizo upande wa nyuma.
24 Anama renagentete'ma marerisa'a tare zafamokea, magoke trate regriteke anagamu atupa'amokea rinifinka ufre'nakeno znazeri tragotegahie. Mago kaziga renagentetera anazanke hiho.
Hizi fremu zitakuwa zimetengana upande wa chini, lakini zimeshinkana kwa juu ya duara moja.
25 E'inama hanageno'a makara 8'a zafa mena, ana zafa azeri oti trara silvareti mago mago zafarera tare agi'a trohutere hinkeno ana makara 16ni'a tra megahie.
Fremu zitakuwa ni nane, na vitako vyake vya fedha. Vitako kumi na sita, vitako viwili chini ya fremu moja, na vitako viwili chini ya ubao wa pili.
26 Ana zanke hutma seli mono nomofo asoparegama rugekahu zafa akasia zafareti 5fu'a tro hiho.
Lazima ufanye mataruma ya mti wa mshita- mataruma matano kwa ajili ya mbao za upande mmoja wa maskani,
27 Hagi mago kaziga (saut) asopareganena 5fu'a rugeka zafa tro nehuta, seli mono nomofo atupa kaziga zage fre (west) kaziganema me'nea zafarera anazanke huta 5fu'a rugeka zafa tro hiho.
na mataruma matano kwa ajili ya fremu za upande wa pili wa maskani, na mataruma matano kwa ajili ya fremu za upande wa maskani ulio nyuma kuelekea magharibi.
28 Amu'nompi rugeka'ma hanaza zafamo'a mago asopamofo atuparetira vuno, mago atupare uhanitino.
Na hilo taruma la katikati lililo katikati ya zile fremu, litapenya toka mwisho huu hata mwisho huu.
29 Ana zafaramimofona goliretike erinona vazinezamanteta, rugekama hanaza zafaramima erirusi hu'zana goliretike erikorave hutma retrure zafarera tro huntegahaze.
lazima uzifunuke hizo fremu kwa dhahabu. Nawe lazima ufanye maduara yake ya za dhahabu, kuwa kama vishikizo, na hayo mataruma utayafunika dhahabu.
30 Mosesega ama agonafima kaveri'ma huankante amage antenka ana seli mono nona azeri otio.
Nawe utaisimamisha hiyo maskani sawasawa na mfano wake uliooneshwa mlimani.
31 Seli mono nomofo hunaragisaza tavravema tro'ma hnazana knare huno zmana zmanama hu'nesia efeke nofiki hokonke nofiki, fitunke nofiki, koranke nofi avazu huno zagi'nesia osi nofiteti tavravea tro hutenke'za, ana zama trohu antahi'zama eri'naza eri'za vahe'mo'za, Serabimi ankeroramimofo amema'a ana tavraveramintera hati'za tro hunteho.
Nawe fanya pazia la nyuzi za rangi ya buluu, zambarau na nyekundu, na nguo za kitani nzuri zenye kusokotwa, litafumwa na kutiwa makerubi, kazi ya fundi stadi.
32 Ana tavravema hantisazana, 4'a akasia zafarera golireti eri ano nevazita, ana zafarera golireti eri rusi hu'zana tro nehuta zafama retrure trara silvaleti 4'a tro hiho.
Kisha litungike katika nguzo nne za mti wa mshita zilizofunikwa dhahabu, vifungo vyake vitakuwa vya dhahabu, katika vitako vya fedha vinne.
33 Ana tavravea erirusihu rinire hantinkeno evuno hunaragintena ana tavravemofo amefiga'a, ruotage huno ruotgetfa hu'nefinka huhagerafi huvempa kasege vogisia anampinka antenkeno meno.
Nawe tungika lile pazia chini ya vile vifungo, nawe lete lile sanduku la ushuhuda. Lile pazia litawagawanyia kati ya patakatifu, na mahali patakatifu sana.
34 Anama ruotage huno ruotagetfa hu'nea asama hunaragintepinka kasegema me'ne vogisimofo agofetura asunku tra trohuta rufiteho.
Nawe lazima utaweka kiti cha rehema juu ya lile sanduku la ushuhuda ndani ya mahali pale patakatifu sana. Na ile meza utaiweka nje ya pazia.
35 Hanki hunaraginte tavaravemofo avuga ruotage'ma hu'nefina, noti kaziga mago Nagri navure'ma antesageno me'nia bretimofo trara nentetma, ana seli mono nomofo sauti kaziga tavi'ma rekaruhunte lambe tavi zota anteho.
Lazima uweke kinara cha taa kuikabili ile meza upande wa maskani wa kuelekea kusini. Lile meza utaiweka upande wa kaskazini.
36 Ana seli nomofo kahama ufrete'ma tafi tavravema tro hanazana, hokonke nofiki, fitunke nofiki, koranke nofiki hutma, kapokureti'ene avazu huta osite nekazareti hanetma tro hiho.
Kisha utafanya kisitiri kwa mlango wa hema, cha nyuzi za rangi ya buluu, zambarau, na nyekundu, na kitani nzuri yenye kusokotwa, kazi ya mshonaji wa taraza.
37 Kafante tavravema hanti'zana 5fu'a retrure zafa akasia zafare golireti ano nevazita, ana zafarera golireti eri rusi hu'zana tro nehuta, zafama retrure trara bronsireti 5fu'a tro hiho.
Nawe fanya nguzo tano za mti wa mshita kwa kile kisitiri, na kuzifunika dhahabu; kulabu zake zitakuwa za dhahabu. Nawe utasubu vitako vya shaba vitano kwa ajili yake.