< Tiuteronomi Kasege 28 >

1 Hagi tamagra Ra Anumzamofo ke'ama nentahita, menima nermasamua kasege'ama kvahu so'e hutama avaririsageno'a, Rana tamagri Anumzamo'a ama mopafi vahepintira rantamagi tami'nigeta mareri vahe manigahaze.
Utakaposikiliza kwa makini sauti ya Yahwe Mungu wako ili kwamba ushikilie amri zake zote ambazo nakuamuru leo, Yahwe Mungu wako atakuweka juu ya mataifa yote ya ulimwengu.
2 Hagi Rana tamagri Anumzamofo kema avaririsageno'a, ana maka zama hanafina asomura huramantegahie.
Baraka hizi zote zitakuja kwako na kukupita, kama utasikiliza sauti ya Yahwe Mungu wako.
3 Hagi rankumatamifine, hozatamifinena asomura huramantegahie.
Utabarikiwa ndani ya mji, na utabarikiwa shambani.
4 Hagi mofavretamine, hozatamine, sipisipi afutamine, bulimakao afu'taminena asomura huramantesigeno, rama'a fore hugahaze.
Matunda ya mwili wako yatabarikiwa, na matunda ya ardhi yako, na matunda ya wanyama wako, ongezeko la ng’ombe wako, na wachanga wa mifugo wako.
5 Hagi ne'zama erineriza ku'ene, ne'zama negraza zantaminena asomu huntesigeno, ne'zamo'a rama'a hugahie.
Kitabarikiwa kikapu chako na chombo cha kukandia.
6 Hagi maka'zama hanaza zana, Ra Anumzamo'a asomu huntegahie.
Utabarikiwa utakaporudi ndani, na utabarikiwa utakapotoka nje.
7 Hagi ha' vahetimo'za magoke kampinti e'za hara eme huramantegahaze. Hianagi Ramo'a tamaza hina, hara huzmagateresage'za korora 7ni'a kampi panini hu'za fregahaze.
Yahwe atasababisha maadui zako wanaoinuka dhidi yako kupigwa chini mbele yako; watajitokeza dhidi yako kwa njia moja lakini watakimbia mbele zako kwa njia saba.
8 Hagi hozama vasageta nentaza nontamia, Ra Anumzana tamagri Anumzamo'a asomu huneramanteno, tamamisia mopafina asomura huramantegahie.
Yahwe ataamuru baraka kuja kwako katika maghala yako na katika kila unapoweka mkono wako; atakubariki katika nchi anayokupatia.
9 Hagi Rana tamagri Anumzamofo kasegema kegava nehutma, avaririso'ema hanageno'a, Agrama huvempama hu'nea kante anteno, Agra'a vahe tamazeri ruotge hugahie.
Yahwe atawaimarisha kama watu waliotengwa kwa ajili yake, kama alivyoapa kwenu, iwapo mtashikilia amri za Yahwe Mungu wenu, na kutembea katika njia zake.
10 Ana'ma hanigeno'a anante maka vahe'mo'za Ramo ke hu'nea vahere hu'za ke'za antahi'za nehu'za, tamagrira kesga huramantegahaze.
Watu wote wa ulimwengu wataona ya kwamba mmeitwa kwa jina la Yahwe, nao watawaogopa.
11 Tamagehe'ima zamigahue huno'ma huhampri zamante'nea mopafina Ramo'a maka zantamia eri ampore nentenigeno, maka zama hanaza zamo'a knare zanke hugahie. Mofavretamine, bulimakao afuzagatamine, hozataminena eri amporegahie.
Yahwe atakufanya kuwa na mafanikio sana katika matunda ya mwili wako, katika matunda ya ng’ombe zako, katika matunda ya ardhi yako, katika nchi aliyoapa kwa mababu zako kuwapatia.
12 Hagi Ramo'a monafima fenozama nentea nona anagino eri ruhagaro hinkeno, mopatamifina ko'ma nerianknarera kora nerinkeno, maka'zama hanaza zana asomu huramante'nigeta, mago zankura vahepintira memea osugahazanagi, vahe'mo'za tamagripinti memea eme hu'za erigahaze.
Yahwe atafungua kwako ghala lake la mbingu kuruhusu mvua juu ya ardhi katika muda sahihi, na kubariki kazi zote za mikono yako; utakopesha kwa mataifa mengi, lakini wewe hautakopa.
13 Hagi tamagrama menima avaririho hu'nama neramasmua kasegema, kegava nehuta avariri so'ema hanageno'a, Ramo'a tamagrira tamaza hina henka omegosazanki, ugagota nehuta mareri vahe manigahaze.
Yahwe atakufanya kuwa kichwa, na sio mkia; utakuwa juu tu, na hautakuwa chini, iwapo utaisikiliza amri za Yahwe Mungu wako ambazo ninakuamuru leo, ili kuzishikilia na kuzitenda,
14 Hagi menima neramasmua kasegea avariri fatgo hu so'e nehuta, tamaga kaziga rukrahe huge, hoga kaziga ome rukrahe hugera nehuta havi anumza tamimofontera monora huontegahaze.
na usipogeuka kinyume na maneno yoyote ninayokuamuru leo, kulia kwako wala kushoto kwako, na kufuata miungu mingine na kuwatumikia.
15 Hianagi Rana tamagri Anumzamofo kema ontahita, menima neramasmua kasegene, trakenema ovrarisageno'a, amana kazusi kemo'a tamazeri haviza hugahie.
Lakini usiposikiliza sauti ya Yahwe Mungu wako, na kushikilia amri zake zote na sheria zake ninazokuamuru leo, basi laana hizi zote zitakuja kwako na kukupita.
16 Hagi rankumatamine hozataminena Ra Anumzamo'a kazusi huntenkeno, haviza hugahie.
Utalaaniwa utakapokuwa mjini, na utalaaniwa utakapokuwa shambani.
17 Hagi ne'zama erineriza ku'ene, ne'zama kreta nenaza zantaminena Ramo'a kazusi huntenkeno haviza hugahie.
Kitalaaniwa kikapu chako na chombo chako cha kukandia.
18 Hagi mofavretamine, hozatamine, bulimkaone sipisipi afu'zagatamia Ramo'a kazusi huntenkeno haviza hugahaze.
Litalaaniwa tunda la mwili wako, tunda la ardhi yako, ongezeko la ng’ombe wako, na wachanga wa mifugo.
19 Hagi inantegama vuta eta nehutma, nazanoma hanazana Ramo'a kazusi huramantegahie.
Utalaaniwa utakaporudi, na utalaaniwa utokapo.
20 Maka zama hanaza zana Ramo'a kazusi huramantenkeno, antahintahitamimo'a savri nehinkeno tamarimpa nehenigeno tamahe fanane hina, ame huta fanane hugahaze. Na'ankure tamagra kefo avu'ava nehutma, Nagrira tamefi hunami'naze.
Yahwe atatuma laana juu yako, kuchanganyikiwa, na shutuma katika kila jambo uwekalo mikono yako, hadi utakapoangamizwa, na hadi utakapotoweka haraka kwa sababu ya matendo yako maovu ambayo utakuwa umenitelekeza mimi.
21 Hagi Ramo'a kri atrenkeno tamazeri haviza hinketa, magore hutma amama vutama omeri santihare'zama nehaza mopafina, omanitfa hugahaze.
Yahwe atafanya pigo likung’ang’anie mpaka kukuangamiza kutoka katika nchi utakayoenda kumiliki.
22 Ana nehuno Ra Anumzamo'a ruzahu ruzahu krinuti, tamazeri havizantfa nehuno, amuho krinu'ene tamavufga zore krinu'ene, zage atrena amuhonentake huno maka zana tefanane nehina, ne'zantera kria fore nehina, ne'za aninarera kravara azeneri'na, vahera fri vagaregahaze.
Yahwe atakushambulia kwa magonjwa ya kuambukiza, kwa homa, kwa uvimbe, na kwa kiangazi na jua kali, na kwa upepo mkali na ukungu. Hivi vitakufukuza hadi uangamie.
23 Hagi kora orinkeno monamo'a hanavetino bronsi havegna hinkeno, mopamo'a aenigna huno tusi hakavetigahie.
Mbingu zilizo juu ya vichwa vyenu zitakuwa shaba, na ardhi chini yenu itakuwa chuma.
24 Hagi Ra Anumzamo'a kora eri rukarehe hinkeno, monafintira kugusopane kasepane eramino, maka vahera tamahe frigahie.
Yahwe atafanya mvua ya ardhi yako kuwa unga na vumbi, kutoka mbinguni vitashuka kwako, hadi utakapoangamizwa.
25 Hagi Ra Anumzamo'a tamatre'nigeno ha' vahe' timimo'za tamahegahaze. Hagi magoke kazigati vuta hara ome huzamantegahazanagi, tamahe panani hanageta, panani huta 7ni'a kampi fregahaze. Anama hanageno kokankoka vahe'mo'zama tamagrite'ma havizama fore'ma haniazama kesu'za, zmagogogu hugahaze.
Yahwe atakusababishia upigwe mbele ya maadui zako; utawafuata kwa njia moja dhidi yao lakini utakimbia mbele zao kwa njia saba. Utapelekwa huku na kule miongoni mwa falme za nchi.
26 Hagi fri'nageno'a tamavufgamo'a namamofone afi' zagagafamofo ne'za sampregahie. Ana namaramine afi' zagagafama aru hari tre vahera magore huno omanigosie.
Mzoga wako utakuwa chakula kwa ndege wote wa angani na kwa wanyama wa ulimwengu; hakutakuwa na mtu wa kuwatisha.
27 Hagi Isipi mopafima me'nea usge namune, hoga asi namune, hagave namuntminu Ramo'a tamazeri haviza hinkeno, ana namuntmimo'a tusi'a hagahaga nehu'za vagaoregahaze.
Yahwe atawashambulia na majipu ya Misri na vidonda, kiseyeye na mwasho ambazo hautapona.
28 Ra Anumzamo'a antahintahi tamimofona tamazeri savri nehuno, tamavurga tamazeri asu hinketa neginagi nehuta,
Yahwe atakushambulia kwa ukichaa, kwa upofu, pamoja na kuchanganyikiwa kwa akili.
29 avu asuhu vahe'mo hanimpi kanku hakea kna huta zage ferupina kankura haketa neginagi nehuta, maka zama hanaza zamo'a knarera osugahie. Maka zupa keonke zantamia musufa nesena, tamaza huno tamahoke ahe vahera omanigahie.
Utapapasa papasa mchana kama kipofu apapasavyo usiku, na hautafanikiwa katika njia zako; daima utakandamizwa na kuporwa, na hakutakuwa na mtu wa kukuokoa.
30 Hagi e'ina a' erigahane hu'za hugantegahazanagi, ru vemo ana ara anteno masegahie. Nona kintegahananagi, ana nonka'afina ovasesankeno, ru vahe'mo masegahie. Waini hoza antegahananagi, ana hozaka'afintira raga taginka onenankeno, ru vahe'mo tagino negahie.
Utamchumbia mwanamke, lakini mwanamume mwingine atamkamata na kumbaka. Utajenga nyumba lakini hautaishi ndani mwake; utapanda shamba la mizabibu lakini hautafurahia matunda yake.
31 Hagi kavu negesanke'za bulimakao afuka'a ahegigahazanagi, magore hunka ame'a onegahane. Donki afuka'a kavu negesanke'za eme rente'za avazu hu'za vute'za, ete eme onkamigahaze. Ha' vaheka'amo'za kavu negesanke'za, sipisipi afuka'a eme avregahazanagi, mago vahe'mo'a kaza osugahie.
Ng’ombe wako atachinjwa mbele ya macho yako, lakini hautakula nyama yake; punda wako atachukuliwa kwa nguvu mbele yako na hatarejeshwa kwako. Kondoo wako watapewa maadui zako, na hautakuwa na mtu wa kukusaidia.
32 Hagi kavu negesankeno ru kumate vahe'tmimo neka'ane mofaka'anena eme avre'za nevnageno, tumoka'amo'a atanegahianagi, mago'zana osugahane.
Watoto wa kiume na mabinti zako watapewa kwa watu wengine; macho yako yatawatafuta siku nzima, lakini yatashindwa kwa shauku juu yao. Hakutakuwa na nguvu mikononi mwako.
33 Kamu'nama nehagenigenka ante'ne'nana hozaka'a, antahinka kenka osu'nesana kumateti vahe'mo'za ne'za erihana nehu'za, maka zupa kazeri haviza huvava hugahaze.
Mavuno ya ardhi yako na ya kazi yako yote – taifa usilolijua litayatafuna; daima utaonewa na kugandamizwa,
34 Maka kaziga hazenke zantmimo kagigatenkenka, hazenke zanke negesankeno antahintahi ka'amo'a savri hugahie.
ili upatwe na wazimu kwa yale utakayoona yakitendeka.
35 Hagi kagiareti'ma marerino kasenire'ma uhanati'niana, Ramo'a usge namunu kazeri havizahina, tusanamasama hananana ana namumo'a teoganigahie.
Yahwe atakushambulia kwenye magoti na miguu kwa majibu makali ambayo hutaweza kupona, kutoka chini ya miguu yako mpaka juu ya kichwa chako.
36 Hagi Ra Anumzamo'a tamatrena tamagrane kini ne' timinena kina hurmante'za tamagehe'izane tamagranema onke'nesaza moparega tamavre'za vanageta, anantega havere'ene zafare'enema tro hunte anumzantami monora ome huntegahaze.
Yahwe atawachukua pamoja na mfalme ambaye mtakuwa mmemuweka juu yenu kwa taifa ambalo hamjalijua, wala nyie au mababu zenu; kule mtaabudu miungu mingine ya mbao na mawe.
37 Ana'ma Ra Anumzamo'ma tamatrenigeno tamavre'za vanaza kumate vahe'mo'za nege'za tusi antri nehu'za, tamagizanere'za, kizazokago ke huramantegahaze.
Nawe utakuwa chanzo cha kitisho, mithali, na uvumi, miongoni mwa watu wote ambako Yahwe atakupeleka.
38 Rama'a hozafina avimza hankregahazanagi, kenutamimo'za ana hoza ne'za erihana hanageta, osi'a hamaregahaze.
Utaweka mbegu nyingi shambani, lakini utakusanya mbegu chache, kwa maana nzige itaziangamiza.
39 Hagi waini hoza anteta kegava hugahazanagi, havi kafamo'za nehana hinketa, waini tine krepi raganena onegosaze.
Utapanda mashamba ya mizabibu na kuyapalilia, lakini hautakunywa divai yoyote, wala hautakusanya matunda yoyote, kwa maana funza watayala.
40 Hagi olivi zafamo'a mopatamifina rama'a hugahianagi, raga'amo'a nena osu'neno tagiraminketa olivi masavena erita ofregosaze.
Utakuwa na miti ya mizeituni katika eneo lako, lakini hautajipaka mafuta yoyote juu yako, kwa maana mti wako wa mzeituni utaangusha matunda yake.
41 Hagi ne' mofara kase zmantegahazanagi, tamagri'enena omanigahaze. Na'ankure ana mofavreramina ha' vahe'mo'za eme zamavare'za kina ome huzmantegahaze.
Utakuwa na wana wa kiume na mabinti, lakini hawatabaki kuwa wako, kwani watachukuliwa mateka.
42 Hagi maka zafa ani'nane, hozataminena kenutamimo'za ne'za eri hana hugahaze.
Miti yako yote na matunda ya ardhi yako – nzige watajitwalia.
43 Hagi ruregati vahe'ma tamagranema enemaniza vahe'mo'za, maka zama hanaza zamo'a knare hinke'za, hankaveti'za marenerinageta, tamagrama maka'zama hanaza zamo'a havizanke huno uramigahie.
Mgeni aliye miongoni mwako atainuka juu zaidi yako juu na juu; wewe mwenyewe utashuka chini na chini.
44 Hagi zamagripintike maka zana nofira huta erigahaze. Hanki tamagripintira nofira hu'za e'origahaze. Zamagra aseni manisageta, tamagra zamarisona manigahaze.
Atakukopesha, lakini hautamkopesha; atakuwa kichwa, nawe utakuwa mkia.
45 Hagi Rana tamagri Anumzamo'ma avaririho huno'ma huramante'nea kasege'ane, trake'anema ovaririsageno'a, maka ama ana kazusi zamofo knazamo'a tamavaririno nevuno tamahe frigahie.
Laana hizi zote zitakujia juu yako na kukuandama na kukupita hadi utakapoangamizwa. Hii itatokea kwa sababu haukuisikia sauti ya Yahwe Mungu wako, ili kushikilia amri na maagizo yake aliyokuamuru.
46 Hagi ana kazusi zamofo knazamo'a tamagrite'ene henkama tamagripinti fore hunante anante'ma hu'za esaza vahetera mago avame'za me'nena Ramofo rimpahe'zane hu'za ke'za antahi'za hugahaze.
Laana hizi zitakuwa juu yako kama ishara na miujiza, na juu ya uzao wako milele.
47 Hagi rama'azama neramia zanku'ma tamagrama tamagu'areti huta Rana tamagri Anumzamofoma musema huontesazana,
Kwa sababu hukumuabudu Yahwe Mungu wako kwa shangwe na furaha moyoni mwako ulipokuwa na mafanikio,
48 ha' vahe'timi huzmante'na tamavre'za kina ome hurmantesageta, zamagri eri'za vahe umanigahaze. Anantega tamagakura nehuta, tinkura tamavenesina, kukenagura upa nehutma, maka zankura upa hugahaze. Anama nehanageno'a Ramo'a kare namare zafa tamagumpi anakinteno, tamazeri haviza nehina frigahaze.
kwa hiyo utatumikia maadui ambao Yahwe atatuma dhidi yako; utawatumikia katika njaa, katika kiu, katika uchi, na katika umaskini. Ataweka mzigo wa chuma juu ya shingo yako hadi akuangamize.
49 Ra Anumzamo'a ha' vahera afete moparegati ru zamageru neranaza vahe zamavreno e'nige'za, tumpamo'ma hiaza hu'za eme tamavre'sga hu'za vugahaze.
Yahwe ataleta taifa dhidi yako kutoka mbali, kutoka mwisho wa ulimwengu, kama tai arukaye kwa mhanga wake, taifa ambalo lugha yake hauelewi;
50 Hagi ana ha' vahe'ma esazana vahe'mofonku zmasunku osu' vahe egahazanki'za, tavava ozafane ne'one mofavreraminena zamasunkura huozmantegahaze.
taifa lenye sura katili ambalo haliheshimu wazee na halionyeshi fadhila kwa wadogo.
51 Hagi mika zagagafatimine, hoza timinena eri haviza hanageno, magore huno witine, kasefa wainine, olivi masavene, bulimakao anenta'ene, meme anenta'enena omanitfa hinketa tamagaku hutma frigahaze.
Watakula wachanga wa ng’ombe wako na matunda ya ardhi yako hadi utakapoangamizwa. Hawatawaachia nafaka, divai mpya, au mafuta, wachanga wa ng’ombe au mifugo yako, hadi watakaposababisha kutoweka kwako.
52 Hagi Rana tamagri Anumzamo'ma tamami'nea mopafima tagu'vazigahie hutama nehaza kuma vihutamia ha' vahetamimo'za avazagigagi'ne'za, tapage hugahaze.
Watawazingira katika malango ya miji yenu, hadi kuta zenu ndefu na imara zitakaposhuka chini ardhini, kuta ambazo mliziamini. Watawazingira ndani ya malango ya miji yenu kotekote katika nchi ambayo Yahwe Mungu wenu amewapatia.
53 Hagi ha' vahe'mo'za kumatamimofoma avazagi kagiza ha'ma huramantesageta, ne'za ne'zanku hugeta Rana tamagri Anumzamo'ma tamami'nea ne'ene mofa'enena zamaheta negahaze.
Utakula tunda la mwili wako mwenyewe, nyama ya watoto wa kiume na binti zako, ambao Yahwe Mungu wako aliwapatia, katika uvamizi na katika dhiki ambayo adui zako wataweka juu yako.
54 Hagi amu'nontamifima mago knare ne'ma vahe'mofo knare'za hunente'nia ne'mo'agi, nefuno, avesinentesia a'amofono, fri vaganerenigeno magoke mani'nesia mofavre'anena ne'zana omitfa hugahie.
Mwanamume laini na mlegevu miongoni mwenu – atakuwa na wivu kwa kaka yake na kwa mkewe, na kwa watoto wowote waliosalia.
55 Hagi ha' vahe'mo'ma avazagi kagi'nenigeno ne'zana omnetfa hugahiankino, ana ne'mo'ma mofavre'ama aheno nene'nuno'a, magore huno naga'a omitfa hugahie.
Kwa hiyo hatawapatia kati yao nyama ya watoto wake ambayo ataenda kuila, kwa sababu hatabakiwa na chochote katika uvamizi na dhiki ambayo adui yako ataiweka juu yako ndani ya malango yote ya mji wako.
56 Hagi fenoma'amo agatere'nigeno agia avapara vano nosuno, mago'zanku upama osu marerisa a'nemo'za nevene, ne'ane mofa'anena ne'zana ozamitfa hugahie.
Mwanamke laini na mlegevu miongoni mwenu, ambaye hatadiriki kuweka tako la mguu wake ardhini kwa sababu ya ulaini na maringo yake – atakuwa na wivu kwa mume kipenzi wake mwenyewe, kwa mtoto wake wa kiume, na kwa binti yake,
57 Hagi ha' vahe'mo'ma kuma'ma avazagi kaginigeno, ne'zama omnetfa hanigeno'a, ana a'mo'a kasema ante'nia mofavrene, ana mofavre noma'anena frakino ante'neno agrake oku'a negahie.
na kwa mtoto wake mchanga atakayetoka katikati ya miguu yake, na kwa watoto atakayewazaa. Atawala kwa siri kwa kukosa kitu kingine, katika uvamizi na dhiki ambayo adui yako ataweka juu yako ndani ya malango ya mji wako.
58 Hagi tamagrama ama avontafepima krente kasegema ovariritma, Rana tamagri Anumzamofo hihamu masa'ane agi'agu'ma koro'ma huontesazana,
Iwapo hautashika maneno yote ya sheria yaliyoandikwa katika kitabu hiki, ili kuheshimu jina hili tukufu na la kutisha, Yahwe Mungu wako,
59 Ramo'a tamagrite'ene mofavretamirera vagaore kri atrenkeno, me'neno tamazeri haviza huvava hugahie.
basi Yahwe atafanya mapigo yako kuwa ya kutisha, na yale ya wazao wako; yatakuwa mapigo makuu, ya muda mrefu, na magonjwa makali, ya muda mrefu.
60 Hagi Isipi mopafima fore higetama negeta kore'ma hu'naza krimo tamagritera ekamaregahie.
Ataleta juu yako mara nyingine magonjwa yote ya Misri ambayo ulikuwa unayaogopa; yatakung’ang’ania.
61 Hagi Ramo'a ruzahu ruzahu krima kasege avontafepima omne'nea kria atreno, tamata hoza neramino tamahe frigahie.
Pia kila gonjwa na pigo ambalo halijaandikwa katika kitabu cha sheria hii, hayo pia Yahwe atayaleta juu yako hadi utakapoangamizwa.
62 Rana tamagri Anumzamofo kea ontahi'nazagu, monafi hanafira agatereta rama'a vahe manigahazanagi, tamahe hana hinketa osi'a vahe manigahaze.
Utabaki wachache kwa idadi, ingawa ulikuwa kama nyota wa mbinguni kwa idadi, kwa sababu haukuisikiliza sauti ya Yawhe Mungu wako.
63 Hagi Ra Anumzamo'a tamagri'ma tusi'a musema huramanteno knare'ma huramantegeta, rama'a vahe'ma fore'ma hu'nazaza huno hazenkezama tamino tamahe fananema huzankura muse hugahie. Amama ufreta omeri santiharesaza mopafintira tamazeri vatitregahie.
Kama vile hapo awali Yawhe alivyofurahia juu yako na kutenda mema, na kuwazidisha, basi atafurahia juu yako kwa kufanya upotee na kwa kukuangamiza. Utang’olewa katika nchi utakayoenda kuimiliki.
64 Hagi Ramo'a tamazeri panani hinketa, mago mago huta ru vahe'mokizmi mopafi afete umani emani hu'neta, anantega havere'ene, zafare anumzantmina tamafahemo'zane tamagrane keta antahita osu'nezasa havi anumzante monora huzmantegahaze.
Yahwe atakusambaza miongoni mwa watu wote kutoka mwisho mmoja wa dunia hadi mwisho mwingine wa dunia; huko utaabudu miungu mingine ambayo hujawajua, wewe wala mababu zako, miungu ya mbao na jiwe.
65 Ana kumategama manisazana mika zupa tamarimpa fru zana omnena manigsa osugahaze. Ra Anumzamo'a maka zupa tamazeri koro nehina, tamavuma ke'zamo'a knarera nosina, manizantmimo'a knare osugahie.
Miongoni mwa mataifa haya hautapata utulivu, na hakutakuwa na pumziko chini ya miguu yako; badala yake, Yahwe atakupatia huko moyo wa kutetemeka, macho yanayofeli na nafsi inayoomboleza.
66 Hagi antahintahitamimo'a savri hinketa feru'ene hanimpinena antahintahia huvava nehuta, frigahumpi manigahune huta antahigahaze.
Maisha yako yataning’inia kwa mashaka mbele yako; utaogopa kila usiku na mchana na hutakuwa na uhakika kabisa maishani mwako.
67 Hagi nanterama asesigeta amanage hugahaze, hanima huno kenege'ma sesiana knare hugahie huta nehuta, kinagama senigetama mani'neta nanterama sesiana knare hugahie huta hugahaze! Na'ankure mika'zama kesazazamo'a havizantfa hinkeno tusi tamagogogu hugahaze.
Asubuhi utasema, “Natamani ingekuwa jioni!” na jioni utasema, “Natamani ingekuwa asubuhi!” kwa sababu ya hofu mioyoni mwenu na vitu ambavyo macho yako italazimu kuona.
68 Anante mago'anena onkegosanema hu'noa kumatega ventefi Ra Anumzamo'a huramantesigeta ete Isipi vugahaze. Anama hina kazokazo eri'za vahe manisune huta tamagra'a zagore atregahazanagi, tamagrira mizana osegahaze.
Yahwe atakuleta Misri mara nyingine kwa meli, kwa njia ambayo nilikuambia, “Hutaiona Misri tena”. Kule utajitoa kuuzwa kwa maadui zako kama watumwa wa kiume na kike, lakini hakutakuwa na mtu wa kuwanunua.

< Tiuteronomi Kasege 28 >