< Tiuteronomi Kasege 11 >
1 Hagi Ra Anumzana tamagri Anumzamofona tamavesi nenteta kasege'ane, tra ke'anena amage antetma avaririho.
Mpende Bwana Mungu wako na kushika masharti yake, amri zake, sheria zake na maagizo yake siku zote.
2 Hagi tamagesa antahiho, menina ama nanekea ke'za antahi'za osu'naza mofavretamigura nosuanki, maka zama Ra Anumzana tamagri Anumzamo'ma himamu hankave'ane azanutu'ma tazeri fatgoma hia zama ke'naza vahe'motagu nehue.
Kumbuka hivi leo kwamba sio watoto wako walioona na kujua adhabu ya Bwana Mungu wako: utukufu wake, mkono wake wenye nguvu, mkono wake ulionyooshwa;
3 Hagi Isipi kini ne' Feronte'ene maka Isipi mopafinema erifore'ma hu'nea avame'zane kaguvazanena tamagra ke'naze.
ishara alizozifanya na mambo aliyoyafanya katikati ya Misri, kwa Farao mfalme wa Misri na kwa nchi yake yote;
4 Hagi Isipi sondia vahe'mo'za hosi afu'zmine, karisi zaminema eri'za tamavariri'za neazageno, Ra Anumzamo'ma Koranke hagerimpi zamahe fanane hu'nea zana tamagra'a ko ke'naze.
lile alilolifanyia jeshi la Wamisri, farasi na magari yake, jinsi alivyowafurikisha na maji ya Bahari ya Shamu walipokuwa wakiwafuatilia ninyi, na jinsi Bwana alivyowaletea angamizo la kudumu juu yao.
5 Hagi ka'ma kokampima kegava huramanteno tamavreno amare'ma e'neana ko ke'naze.
Sio watoto wenu walioyaona yale Mungu aliyowafanyia huko jangwani mpaka mkafika mahali hapa,
6 Hagi Rubeni nagapinti Eliapu mofavrerare Datanine Abiramukiznima, Ra Anumzamo'ma mopama eri aka'ma higeno maka a' mofavreznine fenoznine seli nozninema mopa agu'ama fre'naza zana tamagra'a ko ke'naze.
wala lile Mungu alilowafanyia Dathani na Abiramu, wana wa Eliabu wa kabila la Reubeni, wakati ardhi ilipofungua kinywa chake katikati ya Israeli yote, ikawameza pamoja na walio nyumbani mwao, hema zao na kila kitu kilichokuwa hai ambacho kilikuwa mali yao.
7 Hianagi tamagra'a tamavufinti, Ra Anumzamo'ma hihamu'ane zama erifore hu'neazana ke'naze.
Bali ilikuwa ni macho yenu wenyewe ambayo yaliyaona mambo haya yote makuu Bwana aliyoyatenda.
8 E'ina hu'negu menima avaririho hu'nama neramamua kasegea kegava nehuta, avariri so'e hiho. E'ina hanutma tamagra hankavetita anama omerinaku'ma nehaza mopa omerigahaze.
Kwa hiyo fuateni maagizo yote ninayowapa leo, ili mpate kuwa na nguvu za kuingia na kuiteka nchi ile ambayo mnavuka Yordani kuimiliki,
9 Kema antahitama avaririsuta, amirimo'ene tumerimo'enema avite'nea mopama Ra Anumzamo'ma tamagehe'ine, tamagri'enema tamigahue huno'ma huhampri tamante'nea mopa omeritma za'zate manitma vugahaze.
ili mpate kuishi siku nyingi katika nchi ile ambayo Bwana aliapa kuwapa baba zenu na wazao wao, nchi itiririkayo maziwa na asali.
10 Na'ankure omeri santiharenaku'ma unefraza mopa Isipi mopama atretma e'naza mopagna osu'neankita, hozama antesaza hozafina ne'zamo'ma hagenogura tina afita ontagigahaze.
Nchi mnayoiingia kuimiliki haifanani na nchi ya Misri mlikotoka ambako mlipanda mbegu yenu na kuinywesha, kama bustani ya mboga.
11 Hianagi menima ufre'zama nehaza mopafina, agonaramine aguporaminena me'negeno, kora runente.
Lakini nchi mnayovuka Yordani kuimiliki ni nchi ya milima na mabonde inywayo mvua kutoka mbinguni.
12 Hagi e'i ana mopa Ra Anumzana tamagri Anumzamo'a kafuma agafa huno kafuma vagamareno'ma hania knafina, avunteno kegava nehia mopa me'ne.
Ni nchi ambayo Bwana Mungu wenu anaitunza; macho ya Bwana Mungu wenu yanaitazama daima kutoka mwanzo wa mwaka hadi mwisho wa mwaka.
13 Hagi menima neramua kasegema avariri so'e nehuta, Ra Anumzana tamagri Anumzamofoma tamagu tamenteti'ene huta avesinteta mono'ma huntesageno'a,
Hivyo kama mkiyatii maagizo yangu ninayowapa leo kwa uaminifu, yaani kwa kumpenda Bwana Mungu wenu, na kumtumikia kwa moyo wako wote na kwa roho yenu yote,
14 Agra mopatamifina ko'ma ru knarera atresigeno kora rugahie. Hagi ese' ko'ene henka kora nerinketma, witine wainine olivi masavetaminena eri nompina antegahaze.
ndipo atawanyweshea mvua katika nchi yenu kwa majira yake, mvua ya masika na ya vuli, ili mpate kuvuna nafaka zenu, divai mpya na mafuta.
15 Ana nehuno mopatamifina zagagafamo'zama nesaza trazana tami'nigeno hage'za rama'a nehanageta, tamagra ne'zana neramu hugahaze.
Nitawapa majani kwa ajili ya ngʼombe wenu, nanyi mtakula na kushiba.
16 Hagi antahintahitamimo'ma savari'ma hanigetama Ra Anumzama atreta havi anumzama nevaririta mono hunte'zankura kva hiho.
Jihadharini, la sivyo mtashawishika kugeuka na kuabudu miungu mingine na kuisujudia.
17 Hagi ana'ma hanuta Ra Anumzamofona azeri arimpa ahesageno, mona kahana eriginkeno, kora orina, ne'zamo'a fanane hinketa, Ra Anumzamo'ma knare mopama tami'zama nehia mopafina ame huta frigahaze.
Ndipo hasira ya Bwana itawaka dhidi yenu, naye atafunga mbingu ili mvua isinyeshe nayo ardhi haitatoa mazao, nanyi mtaangamia mara katika nchi nzuri ambayo Bwana anawapa.
18 E'ina hu'negu amama neramasmua nanekea antahintahi tamifine tamagu'afine eri antenkeno meno. Ana nanekea tamazante'ene kokovite'ene anakinte'nenkeno avame'za me'neno tamagemakani zankura, mika zupa huramagesa huvava hino.
Yawekeni haya maneno yangu katika mioyo yenu na akili zenu, yafungeni kama alama juu ya mikono yenu na kwenye paji za nyuso zenu.
19 Mofavretmimofona ama ana nanekea rempi huzmiho. Hagi nontmifi manisarero, kama vano hanafino, mase'narero, otisarera ama nanekea huge antahige hiho.
Wafundisheni watoto wenu, yazungumzeni wakati mketipo nyumbani na wakati mtembeapo njiani, wakati mlalapo na wakati mwamkapo.
20 Ama ana nanekea no kaha zafare'ene kuma keginamofo kafante'ene krenteho.
Yaandikeni juu ya miimo ya nyumba zenu na juu ya malango yenu,
21 E'i ana'ma hanageno'a, Ra Anumzamo'ma tamagehe'ima huvempa huno zamigahue huno'ma hu'nea mopafina, tamagrane mofavre nagataminena za'za kna manitma vugahaze. Monamo'ma mesga huno mopa agofetu meaza hutma manigahaze.
ili kwamba siku zenu na siku za watoto wenu zipate kuwa nyingi katika nchi ile Bwana aliyoapa kuwapa baba zenu, kama zilivyo nyingi siku za mbingu juu ya nchi.
22 Hagi nagrama menima avaririhoma hu'na neramua kasegema tamage hutma nevariritma, Ra Anumzana tamagri Anumzamofoma avesinenteta, avu'avazama'a nevaririta, Agri'ma azeri hankavematisageno'a,
Kama mkishika kwa makini maagizo haya yote ninayowapa kuyafuata, ya kumpenda Bwana Mungu wenu, kuenenda katika njia zake zote na kushikamana naye kwa uthabiti,
23 Ra Anumzamo'a ana mopafi vahera zamahe natitresigetma, tamagri'ma tamagatere'za rama'a hu'za tusi'a hankave vahetami mani'naza vahe'mofo mopa omerigahaze.
ndipo Bwana atawafukuza mataifa haya yote mbele yako, nawe utawafukuza mataifa yaliyo makubwa na yenye nguvu kukuliko wewe.
24 Hagi maka kumapima tamagiama rentesaza mopamo'a, tamagri mopa megahie. Sauti kaziga ka'ma mopareti vuno noti kaziga Lebanoni agonare uhanatigahie. Hagi zage hanati kaziga Yufretisi tinteti vuno, zage fre kaziga Mediterenia hagerinte uhanatigahie.
Kila mahali mtakapoweka mguu wenu patakuwa penu: Nchi yenu itaenea kutoka jangwa la Lebanoni, na kutoka mto wa Frati hadi bahari ya magharibi
25 Hagi mago vahe'mo'e huno hankavetino hara hu tamagateoregahze. Na'ankure Ra Anumzana tamagri Anumzamo'a huvempama hu'nea kante anteno mika vahera kama vanarega zamazeri koro hinke'za, tamagrikura tusi koro hugahaze.
Hapatakuwa na mtu atakayeweza kusimama dhidi yenu. Bwana Mungu wenu, kama alivyoahidi, ataweka juu ya nchi yote utisho na hofu kwa ajili yenu popote mwendako.
26 Hagi keho, menina asomu'ma eri kane, sifnafima mani kane tamaveri nehue.
Tazama, leo ninaweka mbele yenu baraka na laana:
27 Hagi tamagrama Ra Anumzana tamagri Anumzamofo kasegema menima neramasamua kema avaririsuta, asomu erigahaze.
baraka kama mtatii maagizo ya Bwana Mungu wenu, ambayo ninawapa leo;
28 Hianagi Anumzamofo kema menima neramasamua kema atreta havifima nevuta, keta antahita osu'nesaza havi anumzama avaririsuta, kazusifi manigahaze.
laana kama hamtatii maagizo ya Bwana Mungu wenu na kuacha njia ambayo ninawaamuru leo kwa kufuata miungu mingine, ambayo hamkuijua.
29 Hagi Ra Anumzana tamagri Anumzamo'ma tamavreno ana mopafima ufrena, ana mopama omenerisuta, Gerisimi agonareti asomu kea huama nehutma, Ebali agonareti kazusi hunte kea huama hiho.
Wakati Bwana Mungu wenu atakapokuwa amewaleta katika nchi mnayoiingia kuimiliki, mtatangaza baraka kutoka Mlima Gerizimu, na kutangaza laana kutoka Mlima Ebali.
30 (E'ina agonararena Jodani timofo zage fre kaziga Araba, Kenani vahe'ma nemaniza mopamofo mago kaziga asoparega Gilgali Moreama me'nea oki zafaramimofo tava'onte me'na'e.)
Kama mnavyofahamu, milima hii ipo ngʼambo ya Yordani, magharibi ya barabara, kuelekea machweo ya jua, karibu na miti mikubwa ya More, katika nchi ya wale Wakanaani wanaoishi Araba, jirani na Gilgali.
31 Hagi kofa'a knafi Jodani tina takaheta, Ra Anumzana tamagri Anumzamo'ma tami'nea mopa omeriku nevaze. Hagi ana mopa omerita umanisuta,
Karibu mvuke ngʼambo ya Yordani kuingia na kuimiliki nchi ambayo Bwana Mungu wenu anawapa. Wakati mtakapokuwa mmeichukua na mnaishi humo,
32 amama neramasamua kasegene tra kenena avariri so'e nehutma, kegava hiho.
hakikisheni kwamba mnatii amri na sheria zote ninazoziweka mbele yenu leo.