< 2 Samue 4 >

1 Hagi Abna'ma Hebroni kumate'ma fri'nea nanekema Soli nemofo Is-boseti'ma nentahigeno'a, hanave'a omnegeno agra tusi koro nehige'za, Israeli vahe'mo'za zamagogogu hu'naze.
Ish-Boshethi mwana wa Sauli aliposikia kwamba Abneri amekufa huko Hebroni, akakosa ujasiri, nayo Israeli yote wakatiwa hofu kuu.
2 Hagi Soli nemofo Is-boseti sondia vahepima ugota huneke rohu'ma vahe'ma re'zama vanoma nehaza sondia vahete kva hu'na'a netre zanagi'a Bana'ene Rekapuke. Hagi zanagra Beroti kumate Benzameni nagapinti netrenkike Rimoni mofavre mani'na'e.
Basi mwana wa Sauli alikuwa na watu wawili waliokuwa viongozi wa vikundi vya uvamizi. Mmoja aliitwa Baana na mwingine Rekabu, waliokuwa wana wa Rimoni, Mbeerothi, kutoka kabila la Benyamini. Beerothi alihesabiwa kuwa sehemu ya Benyamini,
3 Na'ankure Beroti mopa agafa vahe'mo'za fre'za vu'za Gitaimu kumate kraga vahe umani'nazageno, eno ama knarera ehanati'ne.
kwa sababu watu wa Beerothi walikimbilia huko Gitaimu na wameishi huko kama wageni mpaka siku hii ya leo.
4 Hagi Soli nemofo Jonatani'a mago mofavre ante'neana, ana mofavremofo agamo'a haviza hu'ne. Hagi ana mofavremo'a 5fu'a kafu nehige'za Soline Jonataninema zanahaza zanagenkea ehanatigeno, mofavrema kegava nehia a'mo'a ana mofavrea avreno fre'ne. Hianagi ana mofavrema avreno nefreno ome ahentegeno, ana risemofo tarega aga hantagi'ne. Hagi ana rise'mofo agi'a Mefiboseti'e.
(Yonathani mwana wa Sauli alikuwa na mwana aliyekuwa mlemavu miguu yote miwili. Alikuwa na miaka mitano wakati habari kuhusu Sauli na Yonathani zilipofika kutoka Yezreeli. Yaya wake akambeba ili kukimbia, lakini yaya alipokuwa anaharakisha kuondoka, mtoto alianguka akawa kiwete. Jina lake aliitwa Mefiboshethi.)
5 Hagi mago zupa ferura Is-boseti'a noma'afi maseno mani'negeno, Beroti kumateti Rimoni mofavremoke Banake Rekapukea ome ke'naku vu'na'e.
Basi Rekabu na Baana, wana wa Rimoni Mbeerothi wakaenda nyumbani kwa Ish-Boshethi, nao walifika huko wakati alipokuwa kwenye mapumziko yake ya mchana.
6 Hagi zanagra witima erinaku'ma hiaza huke nomofona agu'afinka ufre'ne Is-bosetina kazinteti amupi ome rakeno fri'ne. Hagi vahe'mo'a ozanageama'a zanagra ananke akafrike agenopa e'nerike, ana kenagera atiramike frene vu'na'e.
Wakaingia kwenye chumba cha ndani kana kwamba wanachukua ngano, wakamchoma Ish-Boshethi mkuki wa tumboni. Ndipo Rekabu na Baana nduguye wakatoroka.
7 Hagi zanagrama nompima ufrenema ka'ana agra tafe'are mase'negene ome negeke, kazina amupi reke ahe nefrike agenopa akafrike erike, ana kenageke Jodani agupofi freke vu'na'e.
Walikuwa wameingia ndani ya nyumba wakati alipokuwa amelala kitandani chumbani kwake. Baada ya kumchoma mkuki na kumuua, walikata kichwa chake. Wakiwa wamekichukua, walitembea usiku kucha kwa njia ya Araba.
8 Hagi ana agenopa erike Hebroni kumate Devitinte uhanati'ne anage hu'na'e, Ha'ma regante'nea ne' Soli nemofo Is-boseti agenopa amanagi ko. Hagi menina Ra Anumzamo'a kagrima ha'ma hugante'naza vahera rankva nimoka kaza huno nona huzamante.
Wakamletea Daudi kichwa cha Ish-Boshethi huko Hebroni, wakamwambia mfalme, “Hiki hapa kichwa cha Ish-Boshethi mwana wa Sauli, adui yako, aliyejaribu kuondoa uhai wako. Siku hii ya leo Bwana amemlipia kisasi mfalme bwana wangu dhidi ya Sauli na mzao wake.”
9 Hianagi Beroti kumateti ne' Rimoni ne'mofavrerarena Rekapune Banakiznia Deviti'a anage huno kenona huzanante'ne, Maka hazenkema nagrite'ma ne-egeno'a mani'nea Ra Anumzamoke naguranevazie.
Daudi akawajibu Rekabu na Baana nduguye, wana wa Rimoni, Mbeerothi, akasema, “Hakika kama Bwana aishivyo, ambaye ameniokoa kutoka taabu zote,
10 Hagi kora mago ne'mo'a Solima fri'nea nanekea erino eme nenasamino, agesama antahiana knare naneke nasamigahie huno antahi muse hu'neanagi, nagra ana nera Ziklaki kumate ahe fri'noe. Ana nanekema eme nasamia zamofonte mizama'a ami'noe.
yule mtu aliponiambia, ‘Sauli amekufa,’ akadhani ananiletea habari njema, nilimkamata, nikamuua huko Siklagi. Hiyo ndiyo zawadi niliyompa kwa ajili ya taarifa yake!
11 Hagi mago hazenke'ama omne fatgo ne'ma noma'afima masenegeno ome ahe fria hazenke vahera, na'a huntegahue? Ana nona'a nagra tanahe frinugeta ama mopafina omanigaha'e.
Je, ni mara ngapi zaidi wakati watu waovu wamemuua mtu asiye na hatia akiwa ndani ya nyumba yake mwenyewe na kwenye kitanda chake mwenyewe? Je, sasa nisidai damu yake mikononi mwenu na kuwaondoa duniani?”
12 Huno nehuno Deviti'a agranema nemaniza sondia vene'ne huzamantege'za, ana netrena zanahe nefri'za zanagia zanazana nekafri'za zanavufga'a eri'za Hebronia mago tiru me'nea ankenare ome hantinte'naze. Hianagi Is-boseti aseni'a eri'za Abnama asente'naza havegampi Hebroni ome asente'naze.
Kwa hiyo Daudi akawaamuru watu wake, wakawaua. Wakakata mikono yao na miguu, na kutundika viwiliwili vyao kando ya dimbwi huko Hebroni. Lakini wakakichukua kichwa cha Ish-Boshethi na kukizika katika kaburi la Abneri huko Hebroni.

< 2 Samue 4 >