< 2 Samue 19 >

1 Hagi kini ne'mo'ma Absalomunku'ma asunku huno zavi'ma ateankea mago'a vahe'mo'za Joapuna eme asmi'naze.
Yoabu akaambiwa, “Mfalme analia na kumwombolezea Absalomu.”
2 Hagi kini ne'mo'a, nemofonku zavi ate'ne hazanke'ma nentahiza, mika sondia vahe'mo'zama ha'ma huzamagateraza musezamo'a rukrahe hige'za, mikomo'za zavi ate'naze.
Kwa jeshi lote, ushindi wa siku ile ukageuka kuwa maombolezo, kwa sababu siku ile vikosi vilisikia ikisemwa, “Mfalme anahuzunika kwa ajili ya mwanawe.”
3 Hagi ana hige'za ha'ma huzmageterazage'za musema osu'zama zamagazegu'ma hu'za azaza hu'za mika sondia vahe'mo'za akohe'za rankumapina efre'naze.
Siku ile watu wakaingia mjini kimya kama vile waingiavyo kwa aibu watu waliokimbia kutoka vitani.
4 Hagi kini nemo'a asenire azana refiteno nemofo Absalomunkura rankrafage huno, nenamofo Absalomu, nenamofo Absalomuo huno zavira ate'ne.
Mfalme akafunika uso wake akalia kwa sauti, akisema, “Ee mwanangu Absalomu! Ee Absalomu, mwanangu, mwanangu!”
5 Hagi Joapu'a kini nemofo nonte vuno kini nera ome asamino, Menina mofavre zagakane mofane zagakane a'nekane, henka a'nekanema zamagu'ma vazuna zankura ontahinka amanahu'za hunka tagazea eriramine.
Kisha Yoabu akaingia ndani ya nyumba ya mfalme na kusema, “Leo umewaaibisha watu wako wote, waliookoa maisha yako, maisha ya wanao na binti zako, maisha ya wake zako na masuria wako.
6 Hagi kagri'ma kahe'za haza vahe zamavesi nezamanteka, kagri'ma kavesi kantaza vahera zamavaresa huzmantane. Hagi e'ina'ma hana kavukvamo'a sondia vahete kva vahekane, sondia vahekanena zamage amne hane. Na'ankure Absalomuma ofri manigeta tagra maka'mota fruntesina, kagra muse hasine.
Unawapenda wale wanaokuchukia, na unawachukia wale wanaokupenda. Leo umeonyesha wazi kwamba majemadari wako na watu wao hawana maana kwako. Naona kwamba ungefurahi kama Absalomu angekuwa hai leo na sisi sote tuwe tumekufa.
7 Hagi menina otinka megia vunka sondia vaheka'a kasunku kea ome huzamanto. Hagi e'i anama osananana, Ra Anumzamofo avufi huvempa huankino, mago vahe'mo'e huno meni kenagera kagranena omanigahaze. Hagi kasefa kareti'ma maninka enantegati'ma erinka e'nana knazana, meni knazamo'a agatereno havizantfa hugahie.
Sasa utoke nje ukawatie moyo watu wako. Naapa kwa Bwana kwamba ikiwa hutatoka nje, hakuna mtu atakayesalia pamoja nawe ifikapo leo jioni. Hii itakuwa mbaya zaidi kwako kuliko maafa yote yaliyokupata tangu ujana wako hadi sasa.”
8 Anage higeno kini nemo'a vuno kuma kahante'ma nemania trate umani'negeno, kini ne'mo'ma kuma kahante manine kema mika vahe'mo'za nentahi'za, eza eme ke'naze. Hianagi anama hige'za Absalomu avaririza vu'naza sondia vahe'mo'za atre'za seli nonkuma zamirega vu'naze.
Kwa hiyo mfalme akaondoka akaketi kitini pake penye lango. Watu walipoambiwa, “Mfalme ameketi langoni,” watu wote wakamjia. Wakati huo, Waisraeli walikuwa wamekimbilia nyumbani kwao.
9 Hagi miko Israeli naga nofi'mo'za amanage hu'za ke hakarea hu'naze, kini ne'mo'a ha' vahe timofo zamazampintira tagunevazino, Filistia vahe zamazampintira taza hu'neanagi menima Absalomunku koro huno kini ne'mo'a kumara atreno fre'ne.
Katika makabila yote ya Israeli, watu walikuwa wanabishana wao kwa wao, wakisema, “Mfalme alituokoa kutoka mikononi mwa adui zetu; ndiye alituokoa kutoka mikononi mwa Wafilisti. Lakini sasa mfalme ameikimbia nchi kwa sababu ya Absalomu,
10 Hianagi tagra Absalomu kinia azeri otunanagi, hapi ahazageno fri'ne. Hagi nahigeta kini ne' Devitina ke hazageno kini trara eme erino omani'ne?
naye Absalomu, tuliyemtia mafuta atutawale, amekufa vitani. Basi mbona hamsemi lolote kuhusu kumrudisha mfalme?”
11 Hagi kini ne'mo'a anage huno pristi netre Zadokine Abiatanena kea atrezanante'ne, nahigeta kini nera kea hazageno noma'arera e'ne huta Juda vahera zamasamio.
Mfalme Daudi akapeleka ujumbe huu kwa makuhani Sadoki na Abiathari, kusema: “Waulizeni wazee wa Yuda, ‘Kwa nini mwe wa mwisho kumrudisha mfalme katika jumba lake la kifalme, maadamu kile kinachosemwa katika Israeli yote kimemfikia mfalme katika makao yake?
12 Hagi tamagra nagri naga manita nagri kora mani'nazanki nahigeta kea huta onavreta natrageno, aru vahe'mo'za navre'naze?
Ninyi ni ndugu zangu, nyama yangu na damu yangu mwenyewe. Kwa hiyo kwa nini mwe wa mwisho kumrudisha mfalme?’
13 Hagi Amasana ome asami'o, agra nagri kora manine, nagra huhamprigante'nugenka Joapu nona erinka sondia vahetera kegava hugahane, nagrama havigema hanugeno'a Ra Anumzamo'a nahegahie.
Nanyi mwambieni Amasa, ‘Je, wewe si nyama yangu mwenyewe na damu yangu? Mungu na anishughulikie, tena kwa ukali, kama kuanzia sasa na kuendelea wewe si jemadari wa jeshi langu mahali pa Yoabu.’”
14 Hagi Juda nagara Deviti'ma hiankemo zamagu'a zamazeri rukrehe hige'za, Devitina kea atrente'za, kagrane maka sondia vahekane ete Jerusalemi eho.
Aliipata mioyo ya watu wote wa Yuda kama vile walikuwa mtu mmoja. Wakapeleka ujumbe kwa mfalme, kusema, “Rudi, wewe na watu wako wote.”
15 Hagi Deviti'a Jerusalemi enaku Jodani tinte ne-ege'za Juda vahe'mo'za Gilgali kumate ome tutagiha hu'za azahu'za avre'za Jodani tina eme takahe'za enaku vu'naze.
Ndipo mfalme akarudi, akaenda hadi kufikia Mto Yordani. Basi watu wa Yuda walikuwa wamekuja mpaka Gilgali ili kutoka kwenda kumlaki mfalme na kumvusha Mto Yordani.
16 Hagi Gera nemofo Simei'a Benzameni nagapinti nekino Devitima eme negeno'a, mago'a Juda naga'ene kini ne' Devitintega ame hu'za urami'naze.
Shimei mwana wa Gera, wa kabila la Benyamini kutoka Bahurimu, akaharakisha kuteremka pamoja na watu wa Yuda ili kumlaki Mfalme Daudi.
17 Hagi Simei enena rama'a Benzameni nagapinti ne urami'naze. Hagi anampina Siba'a Soli eri'za ne-ene 15ni'a ne' mofavre zaga'ane, 20'a eri'za vahe'ane vu'naze. Hagi kini nemofo avuga ame hu'za Jodani tina takahe'za vu'naze.
Pamoja naye walikuwepo Wabenyamini elfu moja wakiwa wamefuatana na Siba, msimamizi wa nyumba ya Sauli, pia wanawe kumi na watano, na watumishi ishirini. Wakaharakisha kwenda Yordani, mahali mfalme alipokuwa.
18 Hagi tina takahe'za vute ete hu'za Deviti nagara zamaza hugantu atre'naze. Hagi kini ne'mo'ma tima takaheno kantu kazigama vu'zama nehigeno'a, Gera nemofo Simei'a agafi eme kepri hu'ne.
Wakavuka kivuko ili kuwachukua watu wa nyumbani mwa mfalme ili kuwavusha na kufanya kila kitu alichotaka. Shimei mwana wa Gera alipovuka Yordani, akaanguka kifudifudi mbele ya mfalme,
19 Hagi Simei'a Devitina amanage huno asmi'ne, Jerusalemi kuma'ma atrenka nevanke'na hu'noa zankura nagra nasunku huanki ramoka, ana hazenkeni'a atrenanto.
na kumwambia, “Bwana wangu na asinihesabie hatia. Usikumbuke jinsi mtumishi wako alivyofanya kosa siku ile bwana wangu mfalme alipoondoka Yerusalemu. Mfalme aliondoe moyoni mwake.
20 Hagi antahio, nagra kefo navu'nava hu'na kumi hu'noe. E'ina hu'negu mika Josefe nagapintira nagra egota hu'na eme hufrufra hugantoe.
Kwa maana mimi mtumishi wako najua nimefanya dhambi, lakini leo nimekuja hapa kama wa kwanza wa nyumba yote ya Yosefu kushuka na kumlaki bwana wangu mfalme.”
21 Hagi Zerua nemofo Abisai'a amanage huno hu'ne, Nahigenka Anumzamo'ma huhamprinte'nea ra nera huhavizana hu'nane? Hagi Simeiga frigahane. Na'ankure Ra Anumzamo'ma huhampri'nea kini nera huhaviza hunte'nane.
Ndipo Abishai mwana wa Seruya akasema, “Je, Shimei hapaswi kuuawa kwa ajili ya hili? Alimlaani mpakwa mafuta wa Bwana.”
22 Higeno Deviti'a Abisaikiznine Joapukiznia amanage huno kenona hu'ne, ama tanagri' zana omne'ne. Hagi na'a higeta nagrira kehara hunenanta'e? Ama'na kna vahe ahefri kna omaneneanki, muse hukna me'ne. Na'ankure nagra menina Israeli vahe kini mani'noanki, mago vahera zamahe ofrigahaze.
Daudi akajibu, “Mimi nina nini nanyi, enyi wana wa Seruya? Leo hii mmekuwa adui zangu! Je, leo kuna yeyote atakayeuawa katika Israeli? Je, mimi sijui kuwa leo ndimi mfalme katika Israeli yote?”
23 Hagi Deviti'a rukarehe huno Simeina anage huno asami'ne, onkahegahue.
Basi mfalme akamwambia Shimei, “Hutakufa.” Naye mfalme akamwahidi kwa kiapo.
24 Hagi Soli negeho Mefiboseti'a, Deviti kenaku urami'ne. Hagi Deviti'ma Jerusalemima atreno viregatira Mefiboseti'a agia sese osuno, kukena'a sese osuno, agi'zokara ohareno atregeno me'ne.
Pia Mefiboshethi mwana wa Sauli akashuka kwenda kumlaki mfalme. Hakuwa amenawa miguu wala kunyoa ndevu zake wala kufua nguo zake tangu siku mfalme alipoondoka Yerusalemu mpaka siku aliporudi ile salama.
25 Hagi Mefiboseti'ma kini ne'ma eme tutagiha huntegeno'a, kini ne'mo agenoka huno, Kagra nahigenka nagranena ovu'nane?
Wakati alipotoka Yerusalemu kuja kumlaki mfalme, mfalme akamuuliza, “Mefiboshethi, kwa nini hukufuatana nami?”
26 Higeno agra kenona huno, ranimoka kagra antahi'nane, nagria nagiamo'a haviza hu'ne. Hagi Jerusalema atrenka vana zupa donkini'a azeri retro hunantenke'na va'neno hu'na eri'za vaheni'gu huana, anara osu'za renavatga hu'naze.
Akasema, “Bwana wangu mfalme, maadamu mimi mtumishi wako ni kiwete, nilisema, ‘Nitandikiwe punda wangu, nimpande, ili niweze kwenda pamoja na mfalme.’ Lakini Siba mtumishi wangu akanisaliti.
27 Hagi Siba'a natreno vuno kagrira havige ome kasamino, nagrira nazeri haviza hu'ne. Hianagi nagra antahi'noe, kagra Ra Anumzamofo ankero vahe kna hunananki, nazano kagri'ma kavesi'nea zana amne hunanto.
Naye amemchongea mtumishi wako kwa bwana wangu mfalme. Bwana wangu mfalme ni kama malaika wa Mungu, kwa hiyo fanya lolote linalokupendeza.
28 Hagi kagra nenfa nagara maka tahe frintesine. Hianagi kagra nagrane ne'zana eme no hunka hanke'na, kagrane ne'zana ne'noe. Hagi ranimoka na'ante mago'a zankura kagrira kantahige'na erigahue.
Wazao wote wa baba yangu hawastahili kitu kingine isipokuwa kifo kutoka kwa bwana wangu mfalme, lakini ulimpa mtumishi wako nafasi miongoni mwa wale waliokula mezani pako. Je, ninayo haki gani kumwomba mfalme zaidi ya hayo?”
29 Hagi Deviti'a ana kemofo nona'a huno, Hago rama'a keaga hananki tagano. Soli mopa kagrane Siba'ene amu'nompinti refko huta erigaha'e.
Mfalme akamwambia, “Kwa nini useme zaidi? Naamuru wewe na Siba mgawanye mashamba.”
30 Hagi Mefiboseti'a ana kemofo nona'a amanage hu'ne, Agrake Siba'a ana maka'zana erino. Hagi kagrama mago hazenkema e'orinka knare'ma hunka kumate'ma anazankura nagra muse hue.
Mefiboshethi akamwambia mfalme, “Mruhusu achukue kila kitu, kwa kuwa sasa bwana wangu mfalme amerudi nyumbani salama.”
31 Hagi Bazilai'a Gileati kazigati ne'kino Rogerimi kumateti Devitina kenaku eramino Jodani tinte eme tutagiha hunteno, kegava hunteno vu'ne.
Barzilai, Mgileadi, pia akashuka kutoka Rogelimu ili kuvuka Yordani pamoja na mfalme na kumsindikiza kutoka huko.
32 Hianagi Bazilai'a 80'a kafu huno ozafare'ne. Hagi agra feno nekino Deviti'ma Mahanamima umanigeno'a, kva hunteno upa'ma hia zana aza hu'ne. Na'ankure agra tusi'a feno ne' mani'negu anara hu'ne.
Basi Barzilai alikuwa mzee sana mwenye umri wa miaka themanini. Alikuwa amempatia mfalme mahitaji wakati alipokuwa anaishi huko Mahanaimu, kwa kuwa alikuwa mtu tajiri sana.
33 Anama higeno'a Deviti'a amanage huno Bazilaina asmi'ne, Tina takahenka nagrane Jerusalemi vananke'na, ome kegava hugantegahue.
Mfalme akamwambia Barzilai, “Vuka pamoja nami na ukae nami huko Yerusalemu, nami nitakupatia mahitaji yako.”
34 Hagi Bazilai'a kenona huno, ramoka, nagra na'ante Jerusalemia vugahue? Nagra ozafa re'noanki'na za'za kna ama mopafina omanigahue.
Lakini Barzilai akamjibu mfalme, “Je, nitaishi miaka mingine mingapi, hata nipande kwenda Yerusalemu pamoja na mfalme?
35 Hagi nagra 80'a zagekafu hugeno, navufgamo'a so'e osu'ne. Hagi kave'ma nene'na e'iza nenoe hu'na haga'a nontahue. Hagi zagamema hu vahe'mo'zama zagamema nehazage'na, nagra antahi so'e nosue. Hagi kini ne'moka nagra eri'za vahekamo'na na'ante kna kamigahue.
Sasa nina miaka themanini. Je, naweza kutofautisha kati ya lililo jema na lililo baya? Je, mtumishi wako anaweza kujua ladha ya kile anachokula au anachokunywa? Je, bado naweza kusikiliza sauti za waimbaji wa kiume na za wanawake? Kwa nini mtumishi wako aongeze mzigo kwa bwana wangu mfalme?
36 Kini ne'moka kagrane Jodani tina takahe'na vugahuanagi, za'za kana ovugahuanki, kagra mago knare kavukva zana huonanto.
Mtumishi wako atavuka Yordani pamoja na mfalme kwa umbali mfupi tu, lakini kwa nini mfalme anizawadie kwa namna hii?
37 Hagi natrege'na ete nagra kuma'nirega vu'na ufri'nena, nenrera nenfa matipi ome asenanteho. Hagi ama'ne eri'za neka'a Kimhamu'a, atregeno kagrane tina takaheno vinkenka nazano nagri'ma hunante'naku'ma hanana zana, agri ome hunto.
Mruhusu mtumishi wako arudi, ili mimi nikafie katika mji wangu mwenyewe karibu na kaburi la baba yangu na mama yangu. Lakini yupo hapa mtumishi wako Kimhamu. Mruhusu avuke pamoja na bwana wangu mfalme. Mtendee lolote linalokupendeza.”
38 Hagi Deviti'a kenona huno, Nagra Kimhamu'na avrenugeno Jodani tina takaheno nevanige'na, kagri'ma kavesinia zana amne huntegahue.
Mfalme akamwambia Barzilai, “Kimhamu atavuka Yordani pamoja nami, nami nitamtendea lolote litakalokupendeza. Nawe kitu chochote unachotaka kutoka kwangu nitakutendea.”
39 Hagi mika vahe'mo'za Jodani tina takahe'za kantu kaziga vazageno'a Deviti'a Basilaina antako hunenteno asomu ke huntetegeno, ete kuma'arega vu'ne.
Kwa hiyo watu wote wakavuka Yordani, kisha mfalme akavuka. Mfalme akambusu Barzilai na kumbariki; Barzilai akarudi nyumbani kwake.
40 Hagi Deviti'a Kimhamu'na avreno ete ti takaheno Gilgali nevige'za, mago'a Israeli vahe'ene sondia vahe'mo'za avega hu'za vu'naze.
Mfalme alipovuka kwenda Gilgali, Kimhamu akavuka pamoja naye. Vikosi vyote vya Yuda na nusu ya vikosi vya Israeli vilimvusha mfalme.
41 Hagi Israeli vahe'mo'za Devitinte e'za amanage hu'naze, nahige'za Juda tafuhe'za katrazagenka, kagra'ene nagaka'anena Jodani tina takaheta neaze?
Baada ya kitambo kidogo watu wote wa Israeli wakaja kwa mfalme na kumwambia, “Kwa nini ndugu zetu, watu wa Yuda, wamemrudisha mfalme kwa siri bila kutushirikisha, na kumvusha ngʼambo ya Yordani, yeye na nyumba yake, pamoja na watu wake wote?”
42 Hige'za Juda vahe'mo'za Israeli vahe'mokizmi ke nona'a hu'za, tamagria nahigeno tamasia nevazie? Tagra rankini nemofona, agri naga mani'none. Hianagi tagrira kini nemo'a mago zana amnea tamigeta nononkeno mago'zana amnea ontami'ne.
Watu wote wa Yuda wakawajibu watu wa Israeli, “Tulifanya hivi kwa sababu mfalme ni jamaa yetu wa karibu. Kwa nini mnakasirikia jambo hili? Je, tumekula kitu chochote cha mfalme? Je, tumejichukulia kitu chochote kwa ajili yetu wenyewe?”
43 Anante Israeli vahe'mo'za Juda vahe'mokizmi kenona hu'za, Tagra rama'a tamagrira tamagatereta 10ni'a naga nofi mani'nonankita, tagra rama'aza Devitimpintira erigahune. Hagi na'a hu'negeta e'inahu knara hunerantaze? Hagi tagra ese'zana ama kini nera ome avreta e'none. Hianagi Juda naga'mo'za mago'ane hanaveti'za Israeli nagara kehara rezamante'naze.
Ndipo watu wa Israeli wakawajibu watu wa Yuda, “Tunayo haki mara kumi kwa mfalme; sisi tunahusika zaidi na Daudi kuliko ninyi. Kwa nini basi mnatudharau? Je, hatukuwa wa kwanza kuzungumza kuhusu kumrudisha mfalme nyumbani?” Lakini watu wa Yuda wakajibu kwa ukali hata zaidi kuliko watu wa Israeli.

< 2 Samue 19 >